Mbunge wa Starehe 'Jaguar' akamatwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • Jaguar amekatwa katika majengo ya bunge kufuatia matamshi ya chuki dhidi ya raia wa kigeni wanaofanya biashara humu nchini
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Komentáře • 515

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga284 Před 5 lety +2

    Mi ni mTz huyu mbunge muangalie akimaliza muda wake msimpe kura ataharibu uhusiano wetu wa kindugu baina ya nchi zetu,tunawakenya wengi sana tz habaguliwi mtu no matter they do we considered them as Tanzanian,tunawapenda sana.

  • @shambebro382
    @shambebro382 Před 5 lety +113

    Good job Matiagi👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 may God protect Kenya from stupid empty headed Politicians....

  • @ayoubchacha9090
    @ayoubchacha9090 Před 5 lety +3

    Sisi watanzania tunawapeda wakenya wrote, Hugo jaguar pumbavu sana

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 Před 5 lety +1

      Ayub huu uhusiano ni wa milele na hautatikiswa na watu vigeugeu

  • @icetruth
    @icetruth Před 5 lety +12

    He should resign, and continue singing, kigeugeu, leave us in peace with our neighbors, wewe jagua jagua love thy neighbor

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali5430 Před 5 lety

    YES YES KENYA IS FREE OF ALL WELLCAME TO KENYA ANYONE WHO WHATS TO CAME KENYA IS PEACE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪☝️☝️☝️☝️✌✌✌✌

  • @amiinaishmail4788
    @amiinaishmail4788 Před 5 lety +6

    How many Kenyans are out there working in different countries.........don't destroy our image out here ....

    • @alimonja1739
      @alimonja1739 Před 5 lety

      YEESS good question !! even here zanzibar we have many kenya in our hotels but we lives together like sister and brother why he say that i think he is crazy

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 Před 5 lety +102

    Mahusiano ya Tanzania na Kenya ni makubwa kuliko huyo mpuuzi mmoja tu.

  • @osodeswagg651
    @osodeswagg651 Před 5 lety +5

    Sukuma ndani....km umekubali like.plz

  • @khadijahtumna2016
    @khadijahtumna2016 Před 5 lety +4

    The comedy In Kenya is in high level!..... Ataachiliwa tu

  • @miriamotundo6479
    @miriamotundo6479 Před 5 lety +17

    Kwani they needed a whole police unit to arrest one person? Kenya jamani....drama nayo 😂😂😂😂😂

  • @yusuphharuna1476
    @yusuphharuna1476 Před 5 lety +1

    Bora mm mungu aliniachisha bangi na pombe sasa namtumikia

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Před 5 lety +1

    Welldone heshima ifanye kazi..hawajui wakenya wangapi tuko nje ya nchi struggling to make life..wanadhani kila mtu anakulia kwa golden plate kama hao...kamata wote

  • @nestorycyprian4112
    @nestorycyprian4112 Před 5 lety +14

    He learnt only being musician but he knows nothing about international relation policy , it is nestory from tz

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 5 lety +1

    Watanzania Huwa wanatubagua Lakini kauli ya Jaguar ilikuwa mbaya kiasi

  • @kalulu44
    @kalulu44 Před 5 lety +2

    Jaguar has a point. DIAMOND IS SELLING MORE RECORDS IN KENYA THAN HIM

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 5 lety +2

    Huyo Mbunge BWEGE kweli...!!?? Tanzania wafanya biashara number moja Ni Wakenya . Hivi UBAGUZI mtaacha lini ndugu zetu.!!??

  • @africanchief3523
    @africanchief3523 Před 5 lety

    Wanasiasa vigeugeu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ssamamc3465
    @ssamamc3465 Před 5 lety +39

    MWANASIASA KIGEUGEU! Amesahau wimbo wake haraka sana! Such a let down;

  • @vivianwanini5906
    @vivianwanini5906 Před 5 lety +1

    Yes.. Kenya we love people, Kenya we are not like middle East ama South Africa... Kenya knows God.

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 Před 5 lety

    Jaguar karibu sana zanzibar uje uone tunavyoishi na wakenya ni kama tumezaliwa tumbo moja . Kuwa makini sana na ulimi wako .... wakenya karibuni zanzibar 🙌🙌🙌🙌

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 Před 5 lety

    WE TANZANIANS WE HAVE MANY FRIENDS FROM KENYA, WE WERE VERY SAD TO HEAR THIS GUY SAYING THAT, AND WE BEGAN TO MISS OUR GOOD FRIENDS ACORDING HIS WORDS.WE THANK THE GOVERNMENT OF KENYA FOR WHAT HAS DONE.GOS IS GOOD! NOW AGAIN WE STILL HAVE OUR GOOD NEIGHBORS OF KENYA! WE WELCOME YOU TO OUR COUTRY AGAIN.THANK YOU!! GOD BLESS KENYATA! AND THE CITIZENS OF KENYA!!!

  • @blizzokassim6495
    @blizzokassim6495 Před 5 lety

    Kenya we love u....na bora mlivyokanusha hyo kauli mana nadhani Wabongo mnatuelewa vizuri tutavuruga nchi yenu jumla jumla...Kama Alshababu tuu wanawashindwa msiitest Tz kumalamamake

  • @joankioko5203
    @joankioko5203 Před 5 lety +1

    So many Kenyans work outside kenya what a statement is this?what if all other countries talk like him God grant wisdom to this leader's

    • @afropages2322
      @afropages2322 Před 5 lety

      This guys will never have wisdom. For him to even conceive the idea!!!

  • @shadadiabdul6689
    @shadadiabdul6689 Před 5 lety +2

    Huyo jamaa alikua amelewa.Ukiona Watanzania wako Kenya basi ujue kuna Wakenya wapo Tanzania. Tumemsamehe ajifunze kuheshimu uhai wa Binadamu na utu.

  • @clarionphilips2556
    @clarionphilips2556 Před 5 lety +1

    Matiang'i you are our next president, kamata wakora wote! No peace for criminals like jaguar, funzo kwa politicians corrupt! Jaguar ni msanii sio minister, arudi kutunga nyimbo

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 5 lety +1

    Good job East Africsn community parliament for discussing this . Otherwise Serikali ya Kenya sidhani wange hangaika because ange shikwa mara tu baada yaku ropoka maneno yale. But hadi bunge la East Africa na Tanzania kuingilia kati ndio ana shikwa leo

  • @twalibbakari4338
    @twalibbakari4338 Před 5 lety

    huyu Jaguar ni mjinga hajui sana sasa hivi watu wafikiria kufanya kazi na biashara kwa pamoja yy afikiria ugomvi

  • @stephenlankai5411
    @stephenlankai5411 Před 5 lety

    Kazi nzuri sana , ...kukamatwa kwa m chochezi

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 5 lety

    Huyu Mbunge ni Jipu, hakuna maendeleo mkibaki wenyewe, ajifunze kutoka mataifa Makubwa yote yana wahamiaji, ninachoshukuru Serikali ya Kenya iko makini na wameshatoa tamko. Salam kutoka Dar es salaam

  • @djatm1319
    @djatm1319 Před 5 lety +22

    Kukamata mwasiasa Kenya ni kama kutafutia kura juu ataachiliwa na aendewe na wafuasi wake....

    • @susankaburu140
      @susankaburu140 Před 5 lety +1

      Hii ni business iko kenya atawachiliwa bail ya 250 atakosa kweli

    • @djatm1319
      @djatm1319 Před 5 lety

      @@susankaburu140 sure

  • @consolataakwabi7321
    @consolataakwabi7321 Před 5 lety +66

    Hahaa...alidhani yy ni nani...kamatwa kabisa.......anajuwa ni wakenya wangapi wako outs8de KENYA.....

    • @unclemusaa6188
      @unclemusaa6188 Před 5 lety

      Shinda apo

    • @rachealimoli4653
      @rachealimoli4653 Před 5 lety +6

      Hajui ,asituharibie sisi wenye tuko mbali coz atatusaidia.

    • @janetkerubo7643
      @janetkerubo7643 Před 5 lety +1

      @@rachealimoli4653 aki

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 Před 5 lety +5

      Consolata Akwabi Hajui , anaamka tu na kuanza kuropoka , hajui atasababisha wakenya wangapi kupata shida nje ya kenya , anaangalia tumbo lake tu .

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 Před 5 lety +3

      Consolata Akwabi Atulie , ajifunze masuala ya kidiplomasia , shida na majirani si nzuri .
      Angeshauri serikali ya Kenya kukaa na serikali jirani kuangalia a best way kuhusu biashara za wananchi wao wakiwa nchi jirani .

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 Před 5 lety +1

    Mimi ni mtanzania. Nilikuwa mshabiki wa song za Jaguar. Kumbe ni pumbavu kabisa. Sisi siku zote tunashirikiana. Kuna wakenya wengi Tz. Benki ya KCB iko hapa, kuna viwanda, magari na biashara nyingi za wakenya. Lazma tujifunze kuvumiliana.

  • @deusgabri
    @deusgabri Před 5 lety +2

    Msingemkamata ningeshangaa sana.....huyu ni mbunge mjinga sana....WANANCHI WANATAKA EAST AFRICA yeye anachochea ubaguzi.....

  • @denyoshfitness4394
    @denyoshfitness4394 Před 5 lety

    Team Jaguar

  • @nassibnassib4845
    @nassibnassib4845 Před 5 lety +3

    Citizen.. Mgepiga ile ngoma yake ya Kigeugeu.

  • @masachihorticultureunitcol711

    Kitu kibaya ni kuwasema vibaya watanzania na waganda. Hajui kuna wakenya wengi wapo wanaishi Tanzania. Kuna wakenya wengi pia wapo Tanzania pia wakenya na watanzania wameoana sana.

  • @hassantnikweliameir1233
    @hassantnikweliameir1233 Před 5 lety +1

    wakenya wamechukua ajira zetu katika sekta utalii hapa Zanzibar je huyu Jaguar anasemaje?

  • @isayamwidete6420
    @isayamwidete6420 Před 5 lety +7

    Its where i get the dought, to choose youth speciffically to MARIJUANA SMOKERS,to hold heavy position!!!!shame on you JAGUAR!!!We are waiting to see you hr in TANZANIA!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿after all your foolish announce!!!!!!

  • @mgemawilliam4105
    @mgemawilliam4105 Před 5 lety

    Kweli serikali ya Kenya mko vizuri, maana kama mngemuacha huyo mpuuzi akaendelea kupayukapayuka hovyo, angewaharibia mahusiano na nchi jirani hasa sisi ndugu zenu wakaribu na wakihistoria Tanzania. Tunawapenda sana Wakenya

  • @ben-kings8954
    @ben-kings8954 Před 5 lety +6

    The government should be tight on this...we have to consider our kenyans in foreign countries

    • @SA-xj8hc
      @SA-xj8hc Před 5 lety +1

      Benjamin Nyangena come to Zanzibar to see the influx of Kenyans who sell their bodies to “Muzungu”

    • @kosalbai
      @kosalbai Před 5 lety +1

      Suleiman Abdallah umalaya sio geni duniani. It’s the oldest profession. Are there no Tanzanian or Zanzibari whores?

    • @jj7520
      @jj7520 Před 5 lety

      @@SA-xj8hc Yani una andika matako/akuna Manufaktur inkine kwenu?weka eshima kidogo man!

    • @user-nw8lm1qb8u
      @user-nw8lm1qb8u Před 5 lety

      @@SA-xj8hc umetumaliza waaaaaaa

  • @phylliswanjiku7719
    @phylliswanjiku7719 Před 5 lety +7

    we salute you honorable Moses kuria and Korir for speaking for the business men and women

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 Před 5 lety +1

      Wanjiku go to Tanzania & Kampala or even Juba & find out who is selling newspapers if not Kamau or Njuguna wake up

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 Před 5 lety

      I can see team tangatanga hand in this.The fools being used don't know that after the completion of expelling foreigners their paymaster may well use the same medicine against their folks.2007/8 is again a likelihood !

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 Před 5 lety +13

    Mimi ni mtz. lakini nafanya kazi na wakenya hapa tz. na ninawapenda maana wanajituma xana na wako na bidii ktk kazi

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 Před 5 lety +1

    We are here 4revalution,si fitina wote east Africa why jaguar aanze bifu za kisenge na ye juzi tu hapa ndio kapata ubunge, aache nyodo mbio zake zitaishia ukingoni.

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 Před 5 lety +1

    Jaguar amesahau kuwa yeye Kazi yake kubwa ni music, ubunge unapita. Atafanyeje music wake kwenye nchi zingine kama mbaguzi hivyo? Kachemka sana huyo mbwa

  • @trendingupdatechannel7757

    Just love my country

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 Před 5 lety

    Yule Ambassador wa China hapa Kenya hivi majuzi alizunghumza vizuri na kutengheneza uhusiano kati ya nchi mbhili so kwani huyu Jaguar angheminghilia huyu Ambassador pia?

  • @njengakamau1058
    @njengakamau1058 Před 5 lety +8

    Acha iwe funzo kwa wengine wote....uhusiano wa Kenya na Tanzania ni mkubwa kuliko jaguar

  • @reubenfavour
    @reubenfavour Před 5 lety +1

    That Was A Reckless Statement From JAGUAH.....
    KWENDA KABISA

  • @Ita_Martin
    @Ita_Martin Před 5 lety +6

    Kenya hatuna chuki na Watanzania...karibuni...matamshi ya Jaguar hayaambatani na msimamo wa wakenya..🇰🇪

    • @isayajilala1645
      @isayajilala1645 Před 5 lety +4

      Martin K. yameisha joh hata sisi tz hatuna noma na nyie

    • @johnmohblaxta
      @johnmohblaxta Před 5 lety

      hope pia Tz watatukaribisha vile unawakaribisha huku

  • @imaniseverini1538
    @imaniseverini1538 Před 5 lety +2

    Me mtanzania .. Hatujui tumemfanyia nini huyo mbunge

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 Před 5 lety +1

    Sio wote watu wa nje ni wabaya kuna wenghine wanatakia Kenya mafanikiyo na mtu kama huyu Jaguar ni adui wa uhusiano zakuleta maendeleo katika inchi wacha akakule sembhe ya bure

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Před 5 lety +2

    Wanasiasa vigegeu! kawa kigeugeu mwenyewe, hivi tukimuweka Diamond bungeni yatakuwa haya haya? maana huyu alikuwa mwanamuziki kama Diamond!

  • @mayamayasa4447
    @mayamayasa4447 Před 5 lety

    Why are you humiliating a Kenyan for talking for his citizens? What are MPs for? To represent us. Which country have you ever heard of jailing its citizens for speaking against illegal immigrants? Kenya is the first one to be against its Citizens to support immigrants. This is foolish! Release Jaguar!

  • @Prisca.W
    @Prisca.W Před 5 lety

    "Anafululizwa sijui anapelekwa wapi"😂😂😂😂😂

  • @abdyaly2413
    @abdyaly2413 Před 5 lety +1

    Matiangi ameifanya kazi nzuri..
    Manake huyu jaguar anatuebisha sana, chuki si kitu kizuri, maneno zake za jana zilikua na ujinga mengi..

  • @davisamark8515
    @davisamark8515 Před 5 lety +1

    Anaharibu siasa za kenya na mahusiano ya nchi rafiki na kenya

  • @joyann985
    @joyann985 Před 5 lety +1

    Let me look where Hon. Babu Owini is🙌🙌💃💃💃

  • @shabanborondi6526
    @shabanborondi6526 Před 5 lety +4

    Amewaongelia wa TZ tu?...mbona kuna wakenya kibao wanafanya biashara hapa Bongo...huyo jamaa was just having a bad day he didn't mean what he said

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    MUSI PUMNAZE WATU AKILI WASIO KUWA NA PESA NDIO HUKAMATWA NA WAOZEE JELA WENYE HELA NI KUTUFUNGA MACHO TU JU ATATOKA HAKUNA KITU HAPO

  • @bonnybonny8337
    @bonnybonny8337 Před 5 lety +2

    How about Kenyans who get harassed by Tanzanian authorities everyday? What is Uhuru's PR govt doing about that?

    • @ssamamc3465
      @ssamamc3465 Před 5 lety +1

      Jaguar's remarks are Xenophobic but I remember Tanzania burnt our live chiks and took cattle yet it wasn't such a big deal to them.

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 Před 5 lety +3

    Niko na rafiki yangu kutoka Kenya tuncheka tu ili boya linavyokamatwa pumbafuu

  • @zachgodfst7421
    @zachgodfst7421 Před 5 lety +20

    Payukeni 2,,,,,,,,,, kuku zetu ?? Cow zetu??? 🏃‍♂🏃‍♀🏃‍♂🏃‍♂🏃‍♀ ......🏋‍♂🏋‍♀🏹🏹

    • @margaret8940
      @margaret8940 Před 5 lety +3

      Ebu watuambie. Wamejaa hapa wanapayuka payuka. Mbona hawakupayuka wakati kuku na ngombe zetu ziliangamizwa. Kenyans wamechoka na wameamua.

    • @dutchsafari7562
      @dutchsafari7562 Před 5 lety +2

      Waliingia illegally bila kufwata utaratibu wa boarders

    • @sylvestermatinde7527
      @sylvestermatinde7527 Před 5 lety +1

      Acheni fitina nchi haijengeki bila wageni,Tz wanalisha Kenya kW njia nyingi,kazi nzuri kwa waziri Wa ulinzi ,Sikh zote mkikuyu ana fitina ya kijinga bila kujua kidole kimoja hakivunji njawa.

    • @stonecold4630
      @stonecold4630 Před 5 lety +1

      Sylvester Matinde .acha ukabila mkikuyu anatokezea wapi? Kwani nyinyi wa bongo pia mumeambukizwa ugonjwa wa ukabila na chuki dhidi ya wakikuyu? Jua wakikuyu ni wateule

    • @mrope348
      @mrope348 Před 5 lety

      @@stonecold4630 mna uteule gani nyie chuki na choyo zimewajaa tele

  • @mercypedha5519
    @mercypedha5519 Před 5 lety +8

    I hope hii ni ukweli na anepekekwa Polisi na Sio kwa Hoteli kufumba watu Macho😏 wapi Matiang'i he need ku pinch mapua ya Jaguar

    • @jayramadhan4584
      @jayramadhan4584 Před 5 lety +1

      Kumtioa bunge haiwezekani cz ame changuliwa na wanchi sio serekali.

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 Před 5 lety

      @@jayramadhan4584 😅😅😅

  • @hajiismaily3401
    @hajiismaily3401 Před 5 lety +26

    Acha akamatwe mahusiano yetu yalikuwa tangia zama hizo yeyeniwajuzi tu

  • @shirowdestinys5775
    @shirowdestinys5775 Před 5 lety

    Hapo sawa

  • @wisdomband8677
    @wisdomband8677 Před 5 lety

    Dah tz tupo vizuri Kenya siji tena

  • @janenana9579
    @janenana9579 Před 5 lety +1

    Hiyo ni kufungwa macho kwa raia maskini, Ole wenu amepelekwa 5 Star Hotel.Sisi raia wanyonge jela imejengewa wanyonge. 5 Star PAP.

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja3360 Před 5 lety +1

    Basi na sisi tutafukuzwa kwao

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 Před 5 lety +3

    Great job Fred Matiang'i. We are proud of you. These empty headed politicians should face the music

  • @evalenad6256
    @evalenad6256 Před 5 lety

    Safi sana safi sanaaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾akafungiwe mbali huko

  • @lucassalvatory7251
    @lucassalvatory7251 Před 5 lety

    Unaleta ujinga kwa kuwasema watanzania hovyo afu ubaki salama ??? Nice Matiang

  • @ednacharles524
    @ednacharles524 Před 5 lety +9

    alifanya vibaya Sana, kusema watawafukuza na wachape hao wachina, lakini jaquar anafaa ajue pia kuna wakenya wengi wako inje ya nchi na tuko free sana

    • @peterirungu2904
      @peterirungu2904 Před 5 lety

      Weh kwenda you don't know what you're saying,.tembea middle east ujione who kenya treaded

  • @reginakaloki6590
    @reginakaloki6590 Před 5 lety +1

    The singer kigeugeu. Ndani sasa may be he never knew about kigeugeu

  • @Josethekenyan
    @Josethekenyan Před 5 lety

    release jaguar

  • @sheegitonga8836
    @sheegitonga8836 Před 5 lety

    Waaah.... cogratulation acha alale ndani....kwani Kuna Nini....Hawa wamechizikah hawana adabu

  • @starlight_channel
    @starlight_channel Před 5 lety +22

    Tukipiga Tz kesho kwa Afcon watanzania wako kenya warudi kwao,wakitushinda tuitishe marathon, wakitushinda tuitishe collabo ya OG na Simba,wakitushinda tuitishe magufuli 🔒tuwafungie huku Kenya.

    • @kacherosimba5762
      @kacherosimba5762 Před 5 lety +3

      Hahhahaha huyu mlevi wenu jagua mwambieni akome tukilianzisha huku mtatafutana ako magu hataki utani na raiya wake

    • @jj7520
      @jj7520 Před 5 lety +1

      Heee 😂😂😂😂waaa kenya 😎

    • @mbarukgude5335
      @mbarukgude5335 Před 5 lety +2

      Stupid politician, mbona huyu mtu ni falaa wa ina gani? Hajui kwani wakenya wangapi wako worldwide wafanya maendeleo ya kenya huyu akiwachwa asijaribu kuibisha kenya ..akifanya hivyo alivyo sema basi abiria tutamfunzaa adabu mjinga

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 Před 5 lety +2

      Utashangaa Kenya ikinyolewa bila wembe

    • @starlight_channel
      @starlight_channel Před 5 lety

      @@sospeteranyango6274 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 Před 5 lety +1

    tz Kenya mbona ni ndugu

  • @nimky1422
    @nimky1422 Před 5 lety

    Enyewe vle Aliongea sio poa lakini Kenyans we must wake up and protect our small business men and women

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 Před 5 lety +1

      Protect what has any of them hindered u 4m putting up your mahindi choma jiko.Hawa watu wanajituma.Wao sio serikali saidia.

  • @francisjkidua8303
    @francisjkidua8303 Před 5 lety

    Well done

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 5 lety

    Jaguar, kigeu geu! "anatugeukia"

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 Před 5 lety +1

    Jaguar umefudishwa kuongea matope na kina kuria acheni za ovyo hio ckazi yako mehemehe majirani wetu wameishi kufanya biashara na pia wakenya hufanya biashara Tz acheni upuzi mumekula mkajza matumbo sasa mtukosanishe na majirani bure kabisa

  • @jerryomish4581
    @jerryomish4581 Před 5 lety +5

    Huyu aende aozee kamiti . How many jobs has he offered to the youths

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 Před 5 lety +2

    Huyo anampango wakuvuruga amani yawakenya mkemeeni hafai ikibidi na Ubunge avuliwe hanasifa yauongozi

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před 5 lety +2

    Sukuma ndani huyu NGURUWE

  • @peterolal249
    @peterolal249 Před 5 lety +37

    Vijana ambao wameingia bunge wakijifikiria na kujijaza na chuki isiyifaa. Let him face the law and be answerable to his words. Am just requesting top leaders to keep off from this.

    • @rehemadani3600
      @rehemadani3600 Před 5 lety

      Mimi naomba anyongwe nikama muuaji vile, kinachomchanganya nimbunge mfanya biashara ndiyo Maana anakulupuka kuzungumza

    • @lilamhanzi1929
      @lilamhanzi1929 Před 5 lety

      Use the link to get the app for "free top up"

  • @magesatv9659
    @magesatv9659 Před 5 lety

    Kumbe wakenya ndo mlivyo sisi tunaishi na ndugu zenu Kama ndugu zetu nyinyi mnawatenga ndugu zetu najua jaguar atakuwa amefikisha kilio Cha wakenya walio wengi ila Nini fresh toka tanzania

  • @timelessbeauty5677
    @timelessbeauty5677 Před 5 lety

    Juzi tu mwanamke alikuwa analia jinai ambavyo jagua amemu abandon na watoi ...we asked him to pray God to take over from her ...now look at machozi ya mwanamke what it does, this is the beginning....

  • @kamaumuritu4713
    @kamaumuritu4713 Před 5 lety

    Make kenya great again.

  • @oduorevans3493
    @oduorevans3493 Před 5 lety +3

    Mad leader

  • @johnnzayiramya9339
    @johnnzayiramya9339 Před 5 lety +1

    JAGUAR AMEGUKA KIGEUGEU HHHHH SHAME ON HIM

  • @akibarahamadi5058
    @akibarahamadi5058 Před 5 lety +1

    mbunge rofa sana uyo ajuwi chenye anafany

  • @adhiambonyasuna4043
    @adhiambonyasuna4043 Před 5 lety

    Jaguar is not apolitician,akuje polepole,ama aende aimbe.these young Kenyan politicians are giving us headache.kupayuka

  • @joethige
    @joethige Před 5 lety +2

    No one is above the law. Let him pay for his sins

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 Před 5 lety

    Huyu Jaguar nimemchukia kuanzia leo kasahau kama yy alikuja sana Tanzania enzi zile anaimba na kasahau kuwa kuna wakenya wengi tu na tunawajua wako Tanzania pia???? Huyu mbunge mavi mchochezi na kichwa chake kama pumbu... Kenya na Tanzania ni majirani wema atuache....

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 5 lety +1

    What a shame mzungu na mchina
    Mnawasujudia ijapokuwa wengi wao wanaharibu Afrika yetu kwa namna moja ama nyingine, alafu ikija kwa waafrika wenzako unaleta fitina na chuki, We cant wait to see Africans unite and be brothers and sisters lakini kwa ajili ya watu Kama nyie tunafeli kabisa, wenzetu huko Ulaya hawana boda wala chuki wanafanya kazi bega kwa bega ili kuona Ulaya yao inaendelea. Ndio maana wanasema black people with black mentalt shame on you again

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 Před 5 lety

    Kwan jaguar ni binadam au mnyama,atajua hajui

  • @limolimo4701
    @limolimo4701 Před 5 lety

    mkiwapiga wabongo huko kenya mimi naanza naanza na huyu mpangaji wangu ningumi 2

  • @dyddadizzo
    @dyddadizzo Před 5 lety +4

    Hiyo ni nyumba ya Wazito👊.akae huko😂✋

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 5 lety +6

    wakati mataifa makubwa wakiungana kumpiga mnyonge mataifa fukara wanabaguana waafrika tunanongwa kweli kweli

    • @franga7870
      @franga7870 Před 5 lety

      Sasa mtu mmoja amekuwa taifa?duh!

  • @eliudijastini8372
    @eliudijastini8372 Před 5 lety

    Kalewa uyoo bwege maisha hayaendi ivoo na watu hawaishi ivoo