For sure Tundra na whozu waliendana sanaaaaaaaa and wale since utotoni wamejuana and the dad wa Tunda blessed them kwa kumkubali whozu publicly and baba ake Tunda ni baba Mwenye heshima zake... Tunda but y😭😭😭... Stop it bana just work things out na whozu that man atakama ana weaknesses ila anakupenda and anajiheshimu... Unataka nin kingine khaa... Usitumie uzuri wako vibaya dearest
@@btskookie4453 cha kufanya yeye anywe maji atulie demu yule hana moyo ana pepo la ngono, na siyo mtu wa kukaa naye kujenga maisha anataka high life huku kazi hafanyi
Mimi sijaelewa baba ake Tunda alisema Tunda ndo mwanaye wa mwisho na ndokachukua mali zote anaziangalia za baba ake dar. Ila sijaelewa huyo mdogo ake tunda inakuaa je
huyu tunda mbona malaya tunamjua tangu akiwa form one sumaye sekondary morogoro Jina la tunda sijui limetoka wapi huku tunamjua kwa jina la anna sebastian baba ake askari polisi
na huooo tunda eee mungu wangu kinanikera sana ebu kione na huo young deee mapenzi hapo.hakuna ivi yupo anarudiaa kwa ma x mutasikia amerudia kwa casto distoni badee arudiee simba badaee whozu😂😂😂wacha nicheke huooo bibi choko ipo siku atatulia
Yan hyu tunda kichwa maji.zirooo kbsaaa.kadada karembo lkn hakijuihyu young d kwa maongezi yke tu haeleweki pua kubwa ka pilpil hoho.ila sjui kwann NAMPENDA WHOZU NAMUONA MTU SMART SANA.
Najaribu kuangalia kinachopiganiwa sikioni kwani hamuwaoni hao mavideo vixen wenu mnakorogeana hapo bora tunda lenyewe lingekua APPLE ulitoe nyuma ya iphone mana limeshamegwa
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa HERO ni msanii wa muziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya naozindua leo usipite bure ni sapoti kwa SUBSCRIBE yako MOJA TU ntashukuru sana gusa hapa czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html
Madem masuper star wanataka maniger wasiokuwa na wivu na kuwabhana kushindwa kufanya mambo yao, kwasababu kiuhalisia huwez kumgharamia kila kitu, so Whozu mtoto mshamba hawez Gangstar Love
Duh! Mtaani kunae wanawake wazuri warembo wamaaana wanao jielewa Mnawakosaje mpaka mnadondokea kwa Wapuizi mfano wa 2nda aisee?? Alafu unapenda kabisa Eti Dem 2nda
"Mtoto anaheshima sana na magari ya watu"Dee dharau hii noma sana!!!
😀😀
Na kweli anaheshima angeigusa Kama kidume😂😂😂😂😂
Sijaelew alimaanisha nn code ngumu😂
@@eviepretty9006 Maana yake bora avunje Cm co Gari angelipa
Haha 😂😂
Mbona awezi kujieleza vzr kama ujamuelewa young dee kama mm gonga like yako hapa
Dee yupo ivyo broh
kama ujamuelewa ww,mbn kaeleza vzul but simple
Ati mtoto ana heshima sana na magari nani amesikia ivo ebu gonga like
🤣🤣🤣vitu vingine vya bei
🤣🤣🤣
Huyu anamkebei meenzake tu we muwache yatamkuta
@@mdzainb3722 huyu jamaa yuko na dharau sana
@@chilowechilowe8153 haha alijua hyo atalipia
Angalia hapa makala ya #King #Mswati na mila za kuoa mademu bikra.
czcams.com/video/iTG1_mr2Pf0/video.html
czcams.com/video/iTG1_mr2Pf0/video.html
Jamaa hata maneno yake hayaeleweki kabisa ambaye hajamwelewa kama mm like twende sawa
Mi nimemuelewa sana coz ninadili na machalii wa aina kama yake bangi kwa sana kitungi kwa sana really mazafakaz niggaz, you know what i mean?
Hata mm sijamuelw
Sasa we elisha utamuelewaje akati unaonekana kama unaimba kwaya kansani, na we Ricardo usichoelewa ni nini hapo jmn??🤔
Duuu uyu Yong Dee anae erewa swaga zake anae erew like
Mtoto Ana heshima sana na magari 😂😂😂😂🙌 icho kicheko cha young Dee sasa😂😂😂
wehu.wamekutana huwezi nambiaa haoooo wanahakili timamu
Hahahahahhh
Hello guys, looking Munyarwanda ariko anafanya gari
czcams.com/video/Eb8wyGb9PHg/video.html
Umeona mtt whozu alvona heshma uyo
We mdada mtangazaji unavaa vizur,sura nzur,sauti nzuri daaaah
Brouzi nzuri sana na rangi nimependa ilo hiyo suruali mmmh hapana
haha bora umxifie mtangazaji tu
Vp akupe???😂😂
For sure Tundra na whozu waliendana sanaaaaaaaa and wale since utotoni wamejuana and the dad wa Tunda blessed them kwa kumkubali whozu publicly and baba ake Tunda ni baba Mwenye heshima zake... Tunda but y😭😭😭... Stop it bana just work things out na whozu that man atakama ana weaknesses ila anakupenda and anajiheshimu... Unataka nin kingine khaa... Usitumie uzuri wako vibaya dearest
Mbona naona ni kama young Dee ametupiga viswahili jaman....... 🤣🤣🤣🤣
Tunda si ulisema umelogwa juzi tu!!! Ss trip hii utajiloga mwenyewe na maradhi
Hawa patagi maradhi hawa sjui kwanini ila dem wa kawaida aki jaribu kidogo ana ambulia ngoma
Whozu mjinga sana yani una jikuta una penda wakati demu mwenyewe tunda 😂😂🤣
😂😂😂😂😂
jamani ni moyo umependa sio kosa lake😒
Unampendaje dem km tunda
@@btskookie4453 cha kufanya yeye anywe maji atulie demu yule hana moyo ana pepo la ngono, na siyo mtu wa kukaa naye kujenga maisha anataka high life huku kazi hafanyi
Ujinga kwel
Young dar lisalama💥💥💥
Like kama unaona hamna wafanya mazoezi hapo 🤣
Xana😂
hamna kitu hapo wamekamatwa.... za mwizi ni arobaini tu hamna kingine hapo😂😂
😂😂😂😂
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣noma
Kama umesikia mtoto ana heshimu mgali like twende sawa
😂😂😂😂Kwakwel naisikia makelele
Pumba, young dee
Talk simple and clear
Inshort umeongea pumba pumba like a 10 years of age
ujinga mtupuu anaongeaa
@@sarahmcharo1548 just like katoto
Imepigwa pupu pupu pupu pupuuupupu😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂
Young Dee fireeeeee
Thanks
kiki kiki kiki................................... acheni kazi ziongee
Tunda nae kichecheee!📢📢📢
Itakuwa kuna nyimbo young d ft whozu video vixen tunda
Kama nakubali iviiiiiii
Sanaaa mwambaaaaaa
Young Dee msenge kweli 😂😂😂😂
Kama una amini young dee teja gonga like😂😂😂😂😂😂
Mi nmemuelewa young daresalam
Mimi sijaelewa baba ake Tunda alisema Tunda ndo mwanaye wa mwisho na ndokachukua mali zote anaziangalia za baba ake dar. Ila sijaelewa huyo mdogo ake tunda inakuaa je
Sio lazima awe wa tumbo moja ni ndugu zake tu labda
Si unajua NDUGU tu
Muongo huyo
huyu tunda mbona malaya tunamjua tangu akiwa form one sumaye sekondary morogoro Jina la tunda sijui limetoka wapi huku tunamjua kwa jina la anna sebastian baba ake askari polisi
@@calvinloveambroce842 hahahaaa lakini hakumalizia hapo alihamia mgugu secondary School sema ndio Mambo ya usupastar hayo
Alinipa kagetto nijipumzishe nanikaskia like apa👇
WHOZU AFUNGUKA KUHUSU KUMFUMANIA TUNDA 💥💥
LINK Hii hapa 👇👇
czcams.com/video/m915JRu4XCs/video.html
Tuache bab
Huy bwan mdg ana madharau ety ana heshima na magari
Mia mwanangu young dar
Dee fala tu!! whozu mwana freshii mbona
.....nice
Mapenzi shkamo yani huyu tunda kanikwaza kumzalilisha baba yake na whozu
😆😆😆😂😂
Wliendana sana na whozu mpk mzazi anamjua hajui maana yababa yake kumuongelea hajatulia kiufupi kwanza nimeona insta ana vidudu cjui kweli ama😅😅😂😂
@@dechaggagirl1614 Ndo maana ameamua kuanza mazoezi... Kufata ushauri wa profesa J.
Kula vizuri, lala vizuri pumzisha mwili wako
@@dechaggagirl1614 yani kwanza walipendezana sana mapenzi bwana mmmmm,,,,!! anaempenda yye ndo huyo hatuwezi jua labda show NAZO chanzo
na huooo tunda eee mungu wangu kinanikera sana ebu kione na huo young deee mapenzi hapo.hakuna ivi yupo anarudiaa kwa ma x mutasikia amerudia kwa casto distoni badee arudiee simba badaee whozu😂😂😂wacha nicheke huooo bibi choko ipo siku atatulia
😂😂😂😂😂
@@latifahjamal2999 acha kucheka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@timothmwakakusyu4563 ni tabu tena ni tabu kweli kweli😂😂😂
@@janatahmad7048 kwa kweli hili balaa nimejikuta nacheka kwa nguvu hata kumuurumia whovu kumeisha, wapambane na hali zao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha eti mtoto anaeshima Sana na magari kweli D pamoja
Yan hyu tunda kichwa maji.zirooo kbsaaa.kadada karembo lkn hakijuihyu young d kwa maongezi yke tu haeleweki pua kubwa ka pilpil hoho.ila sjui kwann NAMPENDA WHOZU NAMUONA MTU SMART SANA.
Mtangazaji hehe unanichekesha sana
Najaribu kuangalia kinachopiganiwa sikioni kwani hamuwaoni hao mavideo vixen wenu mnakorogeana hapo bora tunda lenyewe lingekua APPLE ulitoe nyuma ya iphone mana limeshamegwa
Hii n kiki
Wabongo bwana channel ya wanafki wanaohojiwa nao wanafki wote wamekutana
Young deee ana swagga kumamamkeee
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa HERO ni msanii wa muziki naomba nikualike kutizama video ya mziki wangu mpya naozindua leo
usipite bure ni sapoti kwa SUBSCRIBE yako MOJA TU ntashukuru sana gusa hapa czcams.com/video/kHp-9wK9Tyw/video.html
Km nawewe unamin young dee anagonga mziki wapeke yake bila kumdis mtu gonga like sarut kwa young dee
Aaa qumamaqe huyu mwamba bado anatumia drugs cz me sijaelewa chochote alichokisemaaa
😂😂😂
Sure
Nipe like kama bado una mkubali whozu 😈
Mm sijaelewa chochote zaidi ya kicheko cha Dee😂😂😂
😂😂😂 hata mi nimeelewa kicheko chake tu yani apo kamaliza hahahah
Duhhh
Young D we fala kwel apo ndipo nahamin young killer mkubwa wenu wa kaz
Hakika killer ni hatar sanaa hiz ni mbuzii tu
Umeona eeeeeh
WHOZU AFUNGUKA KUHUSU KUMFUMANIA TUNDA 💥💥🔥
LINK Hii hapa 👇👇
czcams.com/channels/wV_BUstGOKET3KXgwG8ZDQ.html
motooo
Aise kama una amini young dee na tunda wana mahusiano gonga like hapa
Young Dee mnyamwezi sanaaaa
Umeona eee!!
Mbona haeleweki Kama hujamwelewa Kama mm like
Mpira umerudi kwa Kipa😂😂😂
DG kalewa
Mtoto ana heshima sana na na magari🤔🤔
@@mohamedslh5478 😁😂😂
Aliyya unajuwa kuongea yaan mpk Raha Sana jinsi chuzi unalivyopamba
Lol😂😂😂🔥👌
Mhhh we tunda utatumika mpaka lini
Whozu kama anaingia 18 hivi? 😆😆Mchane tu kwa project mzey baba
Dadeki..... Dogo muchaga alivuruga kimoko .... Hakumalizia....
Mm mwenzeno sijamuelewa ata kidogo alichoongea naomba munisimuliee kasemajee??🤔🤔🤔
Mie Kawa wewe
Ana wenge...hajui kitu anasema
Kesema unga nisehemu yamaisha yake hawezi acha😃😂😂
@@salhamrishoaish9292 🤣🤣
@@salhamrishoaish9292 ivyooo duuu
Young umeniangusha sana maelezoyako hujastua kweli mze baba wewe?
Bange siyo nzuri😀
Kuna m2 kulala kwa ex weee.... Hakuna mtoto apa ma ex mungu anawaona
Madem masuper star wanataka maniger wasiokuwa na wivu na kuwabhana kushindwa kufanya mambo yao, kwasababu kiuhalisia huwez kumgharamia kila kitu, so Whozu mtoto mshamba hawez Gangstar Love
D mnyamwez sana madogo hawajielewi achana nao wanavamia hawajuh hz mambo ushamalzsga
Noma kweleee
Dogo simkubali ata kidogo uyo dee daressalama anajiona sana mpumbavu uyo
Sana
@@alexandrinadomaino9868g
Angepgwa mngese uyu dogo
First to come on the show.
True haeleweki
whozuu akome kutembea nawake zawatu yee sianajuafika kua tunda alikua demu wa msanii mwezie sasa alianzaje kumpe
Aaliyah Dada angu hujui kuringa na hujiskii big up
Dee mim binafsi skuelewi blow na humzidi chochote whozu na hamendani na tunda labda whozuh wa gonga 🙌🙌
Daaah
Whz anahesima sana namagari😛😛😛
Kiki tuzawabingo wasipotee mitandaoni 254
Dogo anaheshima sana na magari 😂😂😂
Brother mbna maelezo yako hayaeleweki kabisa bro!au ndyo interview yako ya kwanza
Mtoto ana eshima sana namagari yawatu
Nc
Tunda anastress ameamua kujiachia sasa maradhi haya daah MUNGU atusaidie vijana.
Wozu kakosea angemshika young d amkanyage na gari dharau gani hiiiiii
😀😀😀😀😀
Nimerudi kuja kuangalia baada ya tunda kupata mtoto young d utawek wapi sura yako
Tanzania hawa wadada wanapigwa mapasi sana.
We msengee
Hv jaman mme muelewa hyu young d maana me sina hta moja nililo elewa hta kudanganya
Mtoto ana heshimu ndinga ya kaka😁😁😁😁😁😁
Duh! Mtaani kunae wanawake wazuri warembo wamaaana wanao jielewa Mnawakosaje mpaka mnadondokea kwa Wapuizi mfano wa 2nda aisee?? Alafu unapenda kabisa Eti Dem 2nda
Naqubali
Aisee
Dogo ana ongeaje
Mwanamke ni msimamo ww ukiachana na ex kata mpaka communication
Umezidi uboya yang dee
oya dada enu mtangazaji kavaa jinzi leo
Umalaya wa Tunda unahitaji maombi
Muwe makini na HIV maana mnapeana pas sana za madem nyiny wasanii Dem mwenyewe Tunda
Yaani we acha tu kesho na kesho kutwa wakiumwa wamerogwa mambo mengine tunayatafutaga tu
Kweli
Kahaba liloshindikana
Baba kawapea tu baraka juzi kwa birthday Leo hii washaachana ama n kiki
Kwakwel
Hao Malaya2 sas yanin uchukiane na boy mwenzako
Noma kweli🔥
Uyu tunda hatawaua jamn whozu nae amelipa baada ya kunyolewa nywele🌬️
WOZU NAE KITUKO SANA ANAVUNJA SIMU BADALA YA KUMVUNJA YOUNG D 😂😂😂
Ahahahahaaaaaa