USISAHAU KU-SUBSCRIBE NA KUKOMENT VIDEO ZETU ILI TUPATE VIZURI ZAIDI NA VIDEO NYENGINE KWA WAKATI SAHIHI. TUCHUNGE SANA MAANDISHI YETU YAWE YA STAHA. SHUKRAN SANA. 🤝
dahhh we farahani asaaa unajuwa mm niwaache 2u kubwa nawaombea kw mungu muzidi kushikan n kupendan n mungu awaondole fitina za maduwi wasokupendeni n wasokutakien heri ila kaswida km utaisikiliz kw umakin hakim inaliza ....❤❤❤ nawapenda wote kilalaheri
Na ndio mana nikakwambia Khali mziki baridi coz huwezi kuapambanisha na mziki Moto na Ivo kafa mapema tu kwa Al balaghu,, nyau,,aah kumbe na wewe ndo wake wale tu wamziki baridi,uko kwao zenji ndo kabisa wanaitwa mziki baridi ,,wana waogopa safina zanziba na safina nnaja,jhawa ndo wanajua dufu kwa kule kidogo na ghazali ya zenji ,dah ndugu zako bado Sana sioni kitu kasida zinafanana utunzi mbovu answa nyepesi sn,halafu ubaa wenyewe darasa wanazo tafutiwa ndo saizi yao na Ivo wanapotezwa,darasa nnzito waliekewa sharifa tu na kilichotokea ulikiona na zenji khald waliwakimbia sharifa maagano.
USISAHAU KU-SUBSCRIBE NA KUKOMENT VIDEO ZETU ILI TUPATE VIZURI ZAIDI NA VIDEO NYENGINE KWA WAKATI SAHIHI. TUCHUNGE SANA MAANDISHI YETU YAWE YA STAHA.
SHUKRAN SANA. 🤝
Nakubaliii nngoma kali
Jamaa wakali sana …. Pc hii ndo tune yao ila chini , pande la kat , answa au juu mali ina pakuliwa vizuri. Saf appreciate…
dahhh we farahani asaaa unajuwa mm niwaache 2u kubwa nawaombea kw mungu muzidi kushikan n kupendan n mungu awaondole fitina za maduwi wasokupendeni n wasokutakien heri ila kaswida km utaisikiliz kw umakin hakim inaliza ....❤❤❤ nawapenda wote kilalaheri
Allahumma Aamin, Shukran Sanaa Akhuy!!!❤
Tuwekee Khalid na balagh bwana
We nae ujui jamvi sa balagh atafany nn
MashaAllah!
Balaghu na Khalid wote wabovu mziki baridiiiiiiiiii
Unajua madufu wewe
Akaimbe yeye tumuone
Omba jamvi naww usilete taarabu
Khalid ndg akuna wanajua sana wamekamilika kila idara awana baya
Wewe hata Jina lako hulijui😅
Shukran ujumbe mzito
Dah hashir maskin mpk machoz yanamtoka kasda ina ujumbe mzito
Maa Shaa Allah 😢
Nataka kuona balaghu vs halid
Tuwekee na la balaghu
Oooooh ooooooh ooooooooooo ooooooooooooo oooooooooooooo oooooooo oooooh oooooooooooh ooooooooooh ooooooooooooo 🤣😂😅😆😁😄😃😀 ooooooooooohhhh raha sana oooooooooh ooioiiioooh hahahhaahhahaha FAR-HAN BHANA
Khalid awa napenda nikiwaona wakika jmv na Mananzil toka aje dar wote awamuwezi
Ndg ss awo Hizbu wanapiga nn au we kwny dufu unaangalia nn
Na ndio mana nikakwambia Khali mziki baridi coz huwezi kuapambanisha na mziki Moto na Ivo kafa mapema tu kwa Al balaghu,, nyau,,aah kumbe na wewe ndo wake wale tu wamziki baridi,uko kwao zenji ndo kabisa wanaitwa mziki baridi ,,wana waogopa safina zanziba na safina nnaja,jhawa ndo wanajua dufu kwa kule kidogo na ghazali ya zenji ,dah ndugu zako bado Sana sioni kitu kasida zinafanana utunzi mbovu answa nyepesi sn,halafu ubaa wenyewe darasa wanazo tafutiwa ndo saizi yao na Ivo wanapotezwa,darasa nnzito waliekewa sharifa tu na kilichotokea ulikiona na zenji khald waliwakimbia sharifa maagano.
@@user-gi2jv4kl7s😂 Mzima kweli Wewe 😂
maanazil mlivyo poa hata sisi hamtuwezi😂 tofauti ya sisi na nyinyi ni jina na umaarufu ila kwa kazi labda tuwape shamsia dufu baridi😅
@@NOURSWABIRINAunaitaka manaazil ipi babu na chuo chako kipi usipige kelele sema upewe alafu utaamua mwenyw hujui au
Hawa wapemba hatar