RC SERUKAMBA : WANANCHI JITOKEZENI KUJIANDIKISHA GREAT RUAHA MARATHON

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amewataka wananchi Mkoani Iringa kujitokeza na kujiandikisha kwa wingi katika mbio za Marathon zinazofahamika kwa Great Ruaha Marathon ambapo mgemi Rasmi katika Mbio hizo ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.
    Mbio hizo zinatarajiwa kufanyika Julai 6,2024 katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha

Komentáře •