AMBWENE MWASONGWE: BINTI WA IMANI
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Nimeona nikubariki kwa wimbo huu ambao ni ushuhuda wa kweli wa Binti mwenye Imani ambaye nilisimuliwa story yake ya kusisimua sana...
alikuwa na Nia ya kusoma Ila uwezo haukuwepo na alikuwa amezaliwa hamjui baba yake, alipata kazi Dar, kazi za ndani (housemaid) na akaamua kujiendeleza kwa kumuomba boss wake aende shule...
na boss wake alikuwa mwema akamruhusu, lakini ombi la pili lilikuwa gumu zaidi, huyu msichana aliomba akamchukue mama yake kijijini aje afanye kazi za ndani badala yake ili yeye akasoma, ili ule mshahara mdogo mama akichukua awe anamtumia shule imsaidie.
Imani ya namna hii Mungu hawezi iacha ianguke bure.
Kuelekea ibada ya shukrani pamoja na live recording niliyoiandaa mwezi wa December tar 08 Mlimani City... nitakuwa nikikuletea baadhi ya shuhuda na nyimbo kama hizi ili Imani yako pia iinuke.
Kama utataka kutusupport kifedha kufanikisha maandalizi ya ibada hii tafadhari wasiliana nami kwa number 0767619931 na 0713619931 Utaongea nami Ambwene Mwasongwe moja kwa moja.
Kama imekugusa gonga like, tujuane
Nizaidi unariliwe sana
Unasikiliza nyimbo alafu unawaza aka kazambi kakipumbafu kanakokung'ang'ania kanafanya nini hapa toka kwa jina la Yesu ubarikiwe MTU WA Mungu
Verse ya pili imenikosha sana,barua ya binti alionwandikia mama yake kijijini,Inatia moyo sana yan....YUPO NA MUNGU LAKINI ANATAKA NA MAMA YAKE ASIMSAHAU MUNGU❤
We wanipenda kuliko rafiki 😢wewe wanijali kuliko ndugu 😊 Thank God 😢
My role model from Tanzania hakuna utunzi umeimarika sauti ya ninga iliyojaa upako natamani mungu aniajalie neema nifikie hapa ulipo bro miaka 20sirahisi hongera
hongera kwa kuwaza utumishi,,,mwemaa but ushauri kidgo,,,hata uwe na saut nzuri vip bila upako watu watakuona wa kawaida tu,,,,hivyoo kuwa na muda mwingi wa kuomba sirini,,,nawe utakuwa mtu mkubwa!!! but sorry kama nimeongea vibaya🙏🙏
Nimekuelewa vizuri kabisa,haujakosa ❤
Mtumishi unanibariki sana na uimbaji wako
Mungu akubariki sana Broo, nabarikiwa sana nyimbo zako maana Zina upako mno.
@@stephenmakau4410 l
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Uniazime moyo wako nitarudisha utakatifu ,,,,
Powerful
Huu wimbo Umegusa maisha yangu 🥹🙌ni kama nimeimbiwa mimi
Wewe waweza hesabu Machungwa ndani ya mbegu. 🙏
ibarikiwe tumbu île iliyo kuzaa ambwene, gonga like nione uko hapa 😭😭😭
Nimemfuatilia mwimbaji huyu kwa muda...tangu alipoimba "chozi la haki" ulionisaidia wakati depression iligonga hodi mara kadhaa...Hakika Bwana amemsaidia pamoja na mke wake...🎉🎉Tena Tanzania mumebarikiwa.😊
Ambwene is a best song writer
Mwili wa Kristo tuna baraka ambayo wengi hawajaijua na ni ndugu huyu Ambwene ubarikiw kwa karama nzuri hii uliyo pewa na Mungu .sisi wadogo zako tunajifunza mengi kutoka kwako
Mzee wa Imani Mungu akutunze utunzi wako unagusa na kuganga mioyo nabarikiwa sana kusikiliza nyimbo zako
Huu wimbo kwangu umenifanya kupata nguvu zaidi Mungu ni mwema wakati wote
Nyie😭😪🙌
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa MUNGU ❤nyimbo zako huwa zinanibariki sana🙏
Hakika wewe unanipenda Yesu😢😢😢😢😢niazime moyo wako nitarudisha utakatifu
Ameeen
Ooooh my God...mon Dieu...mon Roi...quelle bonne inspiration...nimejipata kwa maombi yakushukuru after kusikiliza huu wimbo...
Ambwene mwasongwe wewe ni Baraka kwa maisha yangu...nakuita kila mara mtu karibu na Mungu...ubarikiwe saana ❤❤🙏🙏🙏🔥
Tuma kitu kwa account yake mkono mtupu haulambwi😂
Ila kaka angu unaimba pia utunzi wa nyimbo 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 mwimbaji wangu pendwa kutoka Tanzania 🥰🥰🔥 Mungu akutunze 🙏
Daaah nmelia sana nikiwa nakumbuka matendo Makuu ya mungu aliyotenda maishani mwangu 🙏🙏🙏mungu hadanganyi 🙏🙏🥺dear lord your daughter is thankful 🙏🙏baronies sana mzee wa imani
Ambwene mwalimu wangu kila siku pasipo kuchoka naku fata kila siku from UAE
Nyimbo zako zinagusa sana maisha yangu 😢😢 Yesu akutunze kwa ajili ya kazi yake njema
Unasemaje yesu amtunze kwani ndiye kampa uhai😂
I logged into Instagram and I came across a part of this song. I was really going through a rough moment of asking God so many questions but the moment I listened to it, it I knew it was from God because of the peace that I experienced within a second. May God bless you for allowing Him to use you.
The same to me
Legendary..mwanamziki wangu wa gospel bora wa Muda wote.!!
Nakusubilia mbinguni. Nimeipenda zaid
Huu unatugusa vijana wa kimaskini tuliosoma kwa shida huku tukimtumikia Mungu na akatufanikisha kumaliza salama, Mungu ni mwaminifu kwenye maisha yangu.Nimejawa na ushuhuda kupitia huu uwimbo.
Mungu aendelee kukufungulia neema nyimbo ni nzur sana @ambwene
I can't stop listening this testmony, since morning till now I'm on repeat. Asante sana mtumishi wa bwana
More blessing uncle Ambwene
Maisha mazuri yapo ingawa mara nyingi yanaletwa na misukosuko kuvumilia ndio njia nzuri ya kufikia malengo
ubarikiwe sana ambwene Mungu akutie nguvu ...
Mimi naweza vunja yai kwa jiwe...lakini wewe Bwana waweza vunja jiwe kwa yai ✍️💪. Acha niendelee kukutumikia Maana wewe ni utoshelevu na humtupi mwenye Imani. 🙏🙏
Among The Spirit upon Ambwene's Songs is that of healing brokenhearted. The Spirit of Hope. The Spirit that says tomorrow will be better than today. The Spirit that says it shall be well.
BWANA tuongezee imani
binti wa imani ,, nikama story but yupo na nimemshuhudia. binti akimkumbusha mzazi wake alichowahi kumuahidi awali
Binti alimtia moyo mzazi wake yakwamba "*hata kwa hari hii inawezekana na mimi nikafikia malengo yangu ngoja nisome*"
hivi juzi amehitimu degree yake ya education..
kweli Mungu yuko atendaye kabla hatujafanya lolote, atusikiaye kilio chetu na maombi yetu kabla hatujatoa sauti yoyote ile.
Barikiwa sana nyimbo zako zikafanyike faraja na furaha kwa wenye huzuni
Kuna namna ambwene huimba yasiyo imbwa wakat mwingn ni kama anaimba kwa ala za mzik ambao asili yake ni sirini patakatifu 🙏🙏ubarikiwe sana
MUNGU najua akusubi kumuweka ambwene kwenye Marshall ya watu wengi amefanyika baraka sana
Ndugu yangu kabisa nakukubali sana broo from mibula
Wimbo uko na ujumbe mzito asante qwa wimbo huu umetubariki barikiwa na Mungu aendelee kukuinua zaidi.
Asante MUNGU wangu nakupenda Sana maana huwatumia watumishi wako kunipaa ujumbe kwa wakati sahihi naamini unanipenda kuliko rafiki nimelia machozi ya furaha asanteee MUNGU wangu😭😭😭😭
Wimbo Umenigusa saaana Ubarikiwe Sana kaka ni Mimi Dada Yako Mwana wa Mbwete
Congratulations 🎉 man of God, someone to like my comment ❤❤
Huyo ni mimi kabisa namshukuru sana Mungu kwa aliponifikisha, namuomba Mungu, mchumba angu Mungu ampe moyo wa imani na ibada na upendo, Amina.
n mimi anaongelelea
MUNGU akuzidishe zaidi nakupenda sana huduma yako. Nyimbo zako zote zimejaa ujumbe napenda xanaaa
AMINA,Kweli MUNGU HAMTUPI MWENYE IMANI.kama unaamini weka like.
Kaka mkubwa barikiwa sana
Oooh My God this is my true story for my life😭😭😭😭 God is Good 😭😭😭😭😭
Ata ikitokea nisipofanikiwa nitawaambia kuwa ni wewe Mungu tu, japo na Imani na najua Mungu hujawah Muacha Mja wako❤
Great song
Tusisahau kutoa sadaka zetu kwa nambari zake za mpesa. Mkono mtupu haulambwi. May God bless u all
Hutumii nguvu kubwa kuimba,ila tunabarikiwa sana sana sana✊✊🙌
Ubalikiwe sana MTumishi wa MUNGU
Nyimbo nxur San mtumish wa mungu
Hom boy❤❤ barikiwa
Nyimbo imenigusa sana, nikiutafakari ukuu wa MUNGU alipo nitoa ni mbali sana 😔hata kwa hapa nilipo fikia sio kwa akili zangu, ntamtumikia milele.
Nimeelewa Mtumishi
Amen,kazi nzur bro
I'm blessed with the testimony. Mwenyezi Mungu akufanikishe katika yote , akupe maisha marefu na akilinde kizazi chako.
Hallelua hallelua hallelua hallelua hallelua hallelua
My favorite artist ❤❤
This story is touching my history ooooo my God 😭😭😭😭😭😭
Brother Ambwene , I really love you , you are a really servant of God , you are a wise man ❤❤
You are a lovely portion in our kingdom.
Ubarikiwe kaka ambwene
❤❤❤ ambwene mwasongwe barikiwa kaka nyimbo inagusa moyo wangu nasikia sauti ya MUNGU inasema namimi kabisa
Nimepata baraka zilizowekwa ndani ya tungo za kiswahili Murua! Utunzi wangu bora!, Mziki mzuri muda wote. MUNGU akubariki baba
Ok ok
This song makes me to crying 😭😭😭😭😭😭 Mungu hasemi uongo Wala hamtupi mwenye Imani.
Ubarikiwe Mno 🙏🙏 Hii nyimbo ni ushuuda kwenye safari Yangu mpambanaji 😢😢
Kuna waimbaji wa gospel halafu kuna Ambwene Mwasongwe
Maombi ya NADHIRI.
Ubarikiwe kaka AMBWENE .
Binti wa imani !!! What a testimony!
My best Tanzanian gospel singer ❤️🙌😭
Very best,smart and really spiritual look
Hongera sana Mtumishi wa Mungu.
HUYU NI MIMI😭😭 YESU YESU YESU, YESU wewe ni mkuu sana MIMI NI USHUHUDA UNAOISHI ULINIPA UWAKILI HAKUNA WA KUNINYANG'ANYA,Changamoto zote ni bure MWISHO WA YOTE YESU UMENIVIKA VAZI LA USHINDI NINAKUPENDA YESU nikose vyote Vya dunia hii NIBAKI NAWE YESU🙏🙏
Wakwanza kucomment😢
Wale tunaorudia rudia kusikiliza kama mm🙌
(...)mimi na weza vunja yai kwa jiwe, but wewe wa weza vunja juwe kwa yai(...)😢. AMAZING GOD ❤
Mungu hamtupi mja wake Ayayayayayaaaaa...... 🤚🤚🤚🤚
unaimba vizur ukilita jina la yesu itakua vzr zaidi maana hatuwezi kuwa na imani pasipo yesu yeye ndiye njia kweli na uzma mtu hatamwona Baba pasipo yeye
Kwani Yesu SI Mungu??
❤ohooo harelujah barikiwa sana MUNGU kama ukinipa changwa nimenye hakika ndani ya upako pana neno
Very nice 🙏🙏🙏
Wengi wetu tunamuomba Mungu atupitishe katika majaribu na Mungu anatuvusha lakini tukishafanikiwa tunasahau Nadhiri zetu kwa Mungu Mtumishi wa Mungu KAKA AMBWENE ASANTE KWA KUTUKUMBUSHA NA KUWAKUMBUSHA MARAFIKI , WAZAZI KUKUMBUKA YALE WALIYOMUAHIDI MUNGU UBARIKIWE MNOO KAKA AMBWENE 🙏🙏🙏🙏 MUNGU NI MZURI MNOO HAMTUPI MWENYE IMANI 🙌🙌🙌
Waoooooo,,,I like the way he glorify the power of God.
MUNGU azidi kukuinua mtumishi, hakika nauona utukufu wa MUNGU na ukuu wa MUNGU kupitia nyimbo zako ubarikiwe 🙏🙏🙏
my heart is always blessed with the beautiful message from bro God bless your gift❤❤
Mungu wng nakuja mbele zako… naamin na mim kwangu utatenda zaid🙏🏿🙏🏿 kamwe sitoacha kukutumainia Mungu wng… nami pia ni Binti wa Iman🫶🏽❤️
The legend 🔥🔥🔥
Hakika mungu ni mkuu sana katka maisha yetu barikiwa sana mtumishi
I love this song, it came during the tough moment of my life, hata Mimi niliingia kwenye maombi nikaweka nadhiri na mungu, I swear I'm going to rise up as a winner, and I'm going to testify to the world especially those who are almost giving up, that there is one true love of our lives who loves us conditionally, and has never given up on us, thank you my God the father, the son and the holy spirit... Amen
Hii nyimbo imenifanya nianze kumfatilia uyu anko 😮😮😢
Mungu azidi kukupeleka viwango Vingine always u made me to feel in another stage nskizapo nyimbo zako
Hajavaa mlegezo, hajasuka Wala kunyoa kiduku, haja weka hereni sikioni, Wala haja cheza step, na hata sauti yenyewe haikuchujwa, na kinanda chenyewe hakina mbwembwe, ila wimbo una Kutoa machozi, una gusa moyo, una ongeza, Imani, unaleta matumaini, , na hii ndio maana ya uimbaji, halisi unaotakiwa, wakati mwingine mbwembwe nyingi, huondoa uwepo,, tuishini TU humo, Asante ubarikiwe,
Asante kwa wimbo mwema
Hakika napenda sana huduma yako kaka Ambwene,utungaji wako wa kushangaza sana, Mungu akupe Baraka nyingi saaana maana najifunza kwako sana!!!
Mungu azidi kukupa ujuzi uendeleye kubariki bariki watu wake, akutie kukiwango ya juu. Ume ubariki moyo wangu vilivyo.
Kabala ya hapo halipanga mipango akawake tumaini mbele MUNGU akubariki sana mtumishi 🙏🙏🙌😥😥😥
Huuu wimbo unanigusa saana jamani ubarikiwe mtumishi.kwa kweli Mungu wa ajabu yeye anaweza kuvunja jiwe kwa yai daaah!!! nimuache Mungu niende wapi!??
Naamini Mungu yupo nami ataifanikisha safari yangu 🙏🙌
I have cried this testimony is talking about my life
You are such an amazing and true servant Of God. Nilipokua nasikiliza wimbo huu nimeuona Utukufu wa Mungu ndani yako🤚🏾
Ubarikiwe sana Mr Ambwene
What an inspiration!!! Hamtupi mwenye IMANI.
Am blessed for this song, respect your mtumishi all in all thanks
Am blessed with this song🙏🙏
Kipawa alichokupa mungu sisi tunafarijika sana sitaki kusema lkn sio wewe unaimba ni mungu,aliyejificha ndani Yako.🙏
Nimeipenda hiyo kwamba naweza hesabu Mbegu za chungwa Ila Mungu anahesabu machungwa yalimo ndani ya Mbegu, Duuuu!!!! Wonders
kweli ukimtumikia mungu hawezi kukuacha
MUNGU akubariki sana mtumishi, nabarikiwa sana na nyimbo zako, kumbuka unafanya uinjilisti kupitia uimbaji usikubali magumu au chochote kikutenganishe na Mungu. Asante YESU kwaajili ya Ambwene 🙏🙏🙏
Ohhh my God ihii kama ni stori yangu japo bado cjafanikiwa natumahi Mungu atatenda na kwangu Amina
Hongera saana Ambwene...tunabarikiwa kupitia nyimbo zako
Nyimbo zake zinaishi
Mungu azidi kutumia zaidi uendelee kutubariki