Motra The Future - The Future Is Now Volume 6
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Song Written and composed By Motra The Future
Produced By Kass on the beat
Video Shot & Directed by KnK
Signed under @intersourcerecords
Connect With Motra The Future On:
Instagram: / motra_the_future
#motrathefuture #intersourcerecords #TheFutureIsNow Vol 6
The future is now vol 6
kuliko niongelee marapa wa bongo
bora niongelee malapa uongo
maana wana sound ka yule poti anayetaka hongo
hawaoni mbele chongo, utadhani hawana ubongo
sijui wanamimba maana wanasound kama wanataka udogo
vimustach kidogo unajiona osama ful
wengi hamna hela na mnaona sana tuu
mnaimba mapenzi kila siku kumbe drama tu
ndo maana juzi nikawaambia mtaachana tu
kuhusu mapenzi nlimwambia yasinta acomment
akaniambia ili mdumu mnatakiwa muwe na content
yaani lazma uchangamke kwa mwenzio
ili usipokuwa akumisi siunajua raha ya mapenzi moments
kipindi tuko SUA tuliokoa mtaa
saa hii tukiwaza shisha tunaokoa mkaa
ujue tulipata shida tukaondoa mzaa
matunda yamezaa
wale madem walikuwa hawanitaki leo waniita mimi toto
wananipeti peti eti twende lini coco
tukale mihogo, sijui wananiona mi ni locko
waambie siuzi sura , kwanza sipendagi mitoko
nyie si mliniambia mi sio size yenu
nyie ndo saa hii mmechakaa hamfai menu
mmekuwa madunga yembe hamkai kwenu
ujana mle mbali uzee ndo mletee kaeni mbali embu
hawa mamaku maku , wanaimba matapu tapu
halafu , hawana kumi hata kwa baku baku
waogea malapu lapu , wanapotea chap chap
wakiniona wanabonyea kama wanacheza shaku shaku
rap ya elisha , raf mcee, sight more ilikuwa shida
si ndo tulikuwa kings kabla ya kings wa alikiba
tatizo leaders, ikija michongo wanajiiba
walitumia unafki, na ulafi pengo kuliziba
ama beast anakataaa soro gani
huskii marapa wanalia kama nimeshika korodani
ooh, nawaimbisha utadhani ni mkongomani
af siogopi nawauwa toka mi solo army
nnajiamini hamnitingishi hata kope
mnajiita wakali na mnakaa kwa nyumba za matope
mnashindia chipsi hamjui kuna matoke
mnasingizia kwamba hampati mistari mpaka dope
leo niko intersourse, sija inter bila sourse
off cause, mwulize Capo vile nishaforce
kuingia mjini sio mchezo mpaka kuitwa Boss
wengine wanatoaga jicho wakija kimapoz
mjue mziki mi umefanya nikazuru mbali
umefanya manzi angu asinione dume suruali
saa hii nambadilishia mama mboga za ugali
mpaka walionihate now , wanakubali
Aliyesema ukiona mishe haziendi nenda wewe
Ye mwenyewe ni ki ben ten tu anangoja aletewe
Ye kazi yake ni kupaka mundende tu kwa mkewe
Na bado kila kazi ni mbovu lazma agongewe
nyie mnacheza , si Dreamz tunachessa ,
Nacheza na viungo vya madem zenu kama testa
Boshen komesha , r.i.p donii na Lexa
Em piga saloot kwanza kisha sema yes sir
watoto wa MUNGU huwaga tunaamini
hatusumbukii ya kesho sijui tutakulaa nini
Ni uhakika maishani baba anatuthaamini
Nikiitisha chochochote kina kuja in a minute
waswahili toka wanapika majungu hayajakwiva
na huku mtaani tuna njaa mpaka tunapata fever
wanaoshangaa mi wa wapi kwa kile nnacho derliver
arusha mabegani kwangu mji wangu ni gueniva
najiskia furaha kuwa hapa , then
kama anavyojiskia ustadhi kuwa makka , and
hatujawahi ku fake hata siku moja tukapata fame
na saa hii hatu rep rep tunabaka , game
and am back again
Baba ako pon de ting
Kwa mara nyingine Tena 2024 nimeisikiliza tena hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥
Kiukweli wa watanzania tunaupendeleo 2 Tunakalili tunatow like kwakina zuchu 2 lkn kuna watu wana Kazi nzuri san mfano huyu jamaa motra the Future kiukweli anajua sana mungu 2 azidi kukumbariki bro ila unawenza sana IPO siku bro like 💗 zitaongezeka 2 kk
lavalava ana views kibaoooooo likes ndo usiseme lakin cjui anaimba nini dah chek mchiz motraaaa xaxa wabongo jauuuu
Hata wakikupiga jungu watakubali 2. Ni hayo 2.
@@Kabi_47 shda unajua nn bro tz mijinga tupo mingi maan mtu ulienda shule ndo unaweza elewa bars na flows kma izi za
Motra The Future zile za kina zuchu cjui lava lva za darasa la 7 mzee that's why they gotta many likes n comments cuz mijinga tupo mingi Tz
Khalighraph Jones is the reason we are here discovering. Msanii ako sawa kabisa. Nashangaa mbona views iko chini hivi.
walai
The next future of hip hop Kama unamkubali montra gonga like
m.czcams.com/video/_f4XojIZRYo/video.html
Motra is not the next he is the current
Thank you Khaligraph nimepata my favourite rapper bongo
wah Kama c kaligraph Jones singejua huyu pap Wa tz am now following him am happy venye marap wanajitokeza tz Na Kenya Kwa hii beef l like him ako juu ana rap poa bxt respect the OG in Capital letter
Montraa anajua kisenge
Umetisha bro nakubali flow yako I call it a conscious rap
🇰🇪🇰🇪
Vi- mustache kidogo unajiona Osama full. Iko wazi nakubali kazi blood
Mzee wang unaandika......@motrathefuture🙌
kuliko niongelee ma rapper bongo,bora niongelee malapa uongo 4real Motra u killin it for the Future...........
Babaako on de Tiiiiiiing
Rest easy Donii na Lexaa
Asee much love man.....Ebu fanya kama hizi tatu afu piga media toa na featuring flan.kali na.mbongo fleva mmoja umwimbishe chorus
Kipindi tuko Sua Tuliokoa mtaa🔥🔥🔥🔥🔥
m.czcams.com/video/_f4XojIZRYo/video.html
Kivipi?
@@dostovan5142 S.U.A ipo Arusha kama tamaduni ilivyo Kwa dar naongelea miaka kazaa hapo nyuma
@@dostovan5142S.U A stand for saving underground artist pia ikaja kusimama kama stand up arusha
umeuaa sana hii motraa kumamakee🔥🔥
Hii ilikuwa noma mno🙌🏾🙌🏾
Marapa wanalia kama umeshika korodanii!! .. Najua wanakuhofia sana na sala zao ni we usifikie levo maana utawazika . Ila wao sio Mungu najua leo inakujia mooooo.. Kali sanaaaa
Chuki zinatoka wapi mzee......we umechukia wao kutoa sala?
We mnyamaaaaa huwa naiiangalia lakin hata sicoment lolote baliiiiiij salut blooooooo
Motra OFFICIALLY A BEAST!!!!!!!!!!!!!!!!!! New age rap...The Visuals on POINT like a NEEDLE
Flow hatari mistar konk
Hii ni kubwa 🔥🔥🔥🔥💯
All the way from Europe 🙌🙌🙌Motra the Badest ✊🏾🔥🔥🔥
Tunaelewa wachache!! Hii video ni ya kufika mbali.
Aaaah wewe kaskazini hip hop ndo laana yetu njoeniii huku mziskie panch line @babaaakooo
Sisi ndio maKINGs kabla Kings ya Alikiba
Saiv nambadilishia mama mboga za ugali🙏🙏🙏 amen
Producer, Motra wote mmoja 💥💥💥
piga salut halafu sema yesir, noma sana bro
Wanataka udongo ha ha ha
Na kwa mex lazima ufe, mamae na hivyo vimashavu vitabonyea maana siuoni usalama wako!
Kubwa sana hii babaakoo
Xjui hata nkuandikie nn chali angu ila unajua kw kweli dah 🤲
Monta is back
Arusha labda mapusha😀😀😀😀😀umeingia anga za Kikosi kazi sasa subiri au kajidumbukize ziwa natron mamae mbege wewe
Kwendaaa kulee kazi kuanzisha vita silaha zenyewe hauna
Montra good sana
Babaakooo
Hii ndiyo style tunayoijua ya Motra 👑👑 pasi kinasa
Tulipata shida tukaondoa mzaaa kaka✌✌✌✌✌
Ebhna@Motra the future kwa hii🙌🙌 ni kali mpaka nomer
Motraaaaa
Flow za kinyamwezi👍👍👍
Huyu ni kaligraph jones wetu tz. Big up bro.
Bar's
Nafurah kuona ma broo wanakaza chuga atujawah shindwa
This is dope 🔥🔥🔥🔥🔥
m.czcams.com/video/_f4XojIZRYo/video.html
Motra this freestyle ni noma hadi leo
All we need is good music keep make 'em👌🏾🔥🔥🎯
Future...nakubali
.nuff Respek
Bado rap kali kwa miaka mitano hii
Kubwaa kubwa hii ni ya was #big
Motraaaaaaaaaaa the future is now ni motooooo kumamake
Motra wasikuyumbishe hii ndio njia yako
From +254 100%lit
Mzee motra umeua toka uko solo army
acha izo ulikuw king wawap labda wa kibololoni
Daa kumbe DON Alisha danja
Si ndio tulikua King's
Kabla ya King's wa Ally Kiba
,
Nakubali mzee Nakubali 🙌👏👏👏
Hatariii sanaa Motraaaa
Askari wa miguu .... Scooby
Nakubali sana kaka mimi shabiki yako mkubwa sana
Mnyama nakukubal sana kaka
#Tz stand up🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waogea malapu lapu....wanapotea chapu chapu
Noma sana
Naona unampa changa la moto Kaligraph
Unajua mwanangu kaa umo umo blood
Unyama
Oya kweli tuna back again nakubali🏁🏁🏁🏁 mwanangu
Uwezo Bro 💪
Hhhhhhnakubali
Kaza bro🇰🇷🙇♂️
Sisi ndio tulikuwa kings kabla ya kings wa Ali kiba ...👑
baba ako ww ni 🔥🔥🔥🔥
🌏another level kizazi
Mtu anayeitwa motra ni noma sana aisee
Bwana wee n baba yakoo
Nakuiballi nakubali baba montra ✌️
Pon de ting babaakoo
Tukiwaza shisha tunaokoa mkaa...
Dooope
Babaako
Wanasingizia mistari haikuji mpaka dopeee bro #Babaako
Tishaaaa bro
Ni kwereee umeua mkali wise
Umeua kinoma mwanangu
Proud to be your fan
Ouyeeeeeeh
Kazi nzuri sana
Respect kama zote we mkali sana !!!!
The future is now zoooooooote hiiiiii ndio best 💯💯💯💯💯,. Marapper wanalia kama nimeshika korodani ,,,,, kama unakubali gonga like hapa
Unatisha sio poa
Keep up the vibe bro 🔥💯
Babaaako
Nakukbal montra the future
For a fact kuna watu hawatoi nafasi kwa real talents. Tusilalamike tuendelee kupambana hata ikimaanisha wakubali mkifa Don’t ever stop my brother
Wanaumia kama umeshika krdn.
Nashangaa marapa wanalia kama nmeshika korodani..
Prriiiiiiireeeeeee
Huu mwaka shughuli ni nzito, KINGS
Aise kweli BABA AKO" mahala pake 🔥😄💥💥💥💥
The future
badman ting mas