MAGONJWA YA MAHARAGE NA TIBA ZAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Magonjwa Katika zao la maharage ni changamoto kwa wakulima. Katika kilimo cha maharange Ili upate mavuno mengi ya kupasa kudhibiti magonjwa. Ukungu, unjano na wadudu mbalimbali uwa athari kubwa sana.
    #kikimochatangawizi#tangawizi#kilimo
    ✍️Jifunze zaidi kuhusu kilimo cha maharage. Jinsi ya kupanda,mbolea na mavuno ya zao hili. Bonyeza apa
    • Kilimo cha maharage

Komentáře • 54

  • @AndrewGasper-or4sd
    @AndrewGasper-or4sd Před 5 měsíci +1

    Msaada naomba kujuwa ni wadudu gn Wanao shambulia Jani la harage kwa kukata na kutoboa kama ulivyo onyesha kwenye video hpo

  • @NelsonLunyungu
    @NelsonLunyungu Před 5 měsíci +1

    sijaelewa vizur kwenye myauko ni dawa gan nitumie

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 5 měsíci

      Apo HADI dukani ndugu WATAKUPA dawa waliyonayo

  • @davidletee
    @davidletee Před 4 měsíci +1

    Nidawa ipi au Gani hutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 4 měsíci

      Tembelea duka LA kilimo utapata dawa, waliyo nayo ndugu

  • @asaakaim
    @asaakaim Před rokem +1

    Mm nahitaji mbegu mzuri ya maharage

  • @martineopapa7383
    @martineopapa7383 Před rokem +1

    Bro kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayoifanya.mimi ni mkulima wa maharage ya kumwagilia,changamoto ni kuwa nikimwagilia maharage huwa yanaanza kunyauka huku yakionyesha dalili ya kuoza mizizi na shina kwa chini yaani karibu na mizizi,namba msaada wako

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Tupo pamoja ndugu.shida ipo kwenye shamba lilikua Lina wadudu.apo ni dawa upige

  • @user-il6ni4ug1b
    @user-il6ni4ug1b Před 9 měsíci +1

    Kwakweli mnamafunzo ambayo yanatusaidia sana sisi wakulima. Ninaomba ushauri, mazingira niliyopo hakuna mbegu za maharage zilizothibitishwa.
    Nilikuwa ninaomba ushauri KATI YA MBEGU KUUKUU NA MPYA ZIPI NI BORA KWA KUPANDIA?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 9 měsíci

      Barikiwa Sana ndugu nahisi tumeshawasiliana

  • @oriethkimaro333
    @oriethkimaro333 Před rokem +1

    Naomba Dawa hiyo jiana lake la dawa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Dawa ya UGONJWA Gani apo maana magonjwa ni MENGI tumetaja

    • @oriethkimaro333
      @oriethkimaro333 Před rokem +1

      Majani kutobolewa pamoja na maharage yanatobolewa yanapo Anza kutoa matunda nipigie Dawa gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Zipo NYINGI SANA ndugu Cha KUFANYA tembelea duka la pembe jeo watakupa waliyo na yo ndugu

  • @asaakaim
    @asaakaim Před rokem +1

    Udongo wa tope na mfinyazi maharage yanakubali?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Yes ni mzuri pia ila kumbuka kuweka mbolea

    • @asaakaim
      @asaakaim Před rokem +1

      Mbolea ya kupndia au ya kukuzia?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Aina zote za mbolea

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 Před 9 měsíci +1

    Shida kuongea sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 9 měsíci

      Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️

  • @myoungbrother2872
    @myoungbrother2872 Před 8 měsíci +1

    Nitumie dawa gani kupalilia maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 8 měsíci

      Zipo nyingi Sana ndugu apo tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA waliyonayo

  • @JosephKadeha-gm5ut
    @JosephKadeha-gm5ut Před rokem +1

    Eka ya maharage hutoa gunia ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Zaidi ya gunia 10 utegemea na matunzo yako na ubora w shamba na Hali ya hewa pia

    • @JosephKadeha-gm5ut
      @JosephKadeha-gm5ut Před rokem +1

      @@AGALUSTV vp kuhusu dawa nidawa gani ni ya mala kw mala

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Dawa za ukungu, na wadudu kama Kuna barid

  • @asaakaim
    @asaakaim Před rokem

    Maharage yangu mvua nyingi sana majani yanapiga njano

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Piga mbolea ya maji

    • @asaakaim
      @asaakaim Před rokem

      Nishapiga marambili buster

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před rokem

      Ishu ipo kwenye udongo mbolea imepotea na Mvua. Ni zao gani kwanza

    • @asaakaim
      @asaakaim Před rokem

      Udongo wa mfinyazi

    • @asaakaim
      @asaakaim Před rokem

      Maharage

  • @cosmaslisu837
    @cosmaslisu837 Před 2 lety +1

    Vp kilimo Cha nyanya

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 2 lety

      Unahitaji Kujua nini kwenye kilimo cha Nyanya masomo yapo kwenye Channel hii mengi tu mfano magonjwa ya nyanya n. K video ni Zipo apa
      czcams.com/play/PL8xez8Eh4s0H7UnL1W2MsOqohuc0owITS.html

    • @cosmaslisu837
      @cosmaslisu837 Před 2 lety +1

      @@AGALUSTV sumu za kuua wadudu wanaoshambulia nyanya Kama vile vipepeo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 2 lety

      OK Zipo nyingi ndugu. Pia Kuna vipila au Raba pia Zipo Kaz ya hivi viraba vinakusanya vipepeo vya karibu na kuviua. Ushauri ndugu Chek Duka la pembe jeo lililokaribu ndugu🙏🏿🙏🏿

    • @cosmaslisu837
      @cosmaslisu837 Před 2 lety +1

      Vp kuhusu mbegu zinazofanya vizuri za nyanya au tuseme Aina gan za mbegu zinazofanya vizuri?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 2 lety

      Mbegu hutegemea na msimu,yaani mvua nyingi au kiangaz, pia eneo lako unalotaka kulima, ni vizur ukajua ivyo kwanza ndugu

  • @Binanceforextradertanzania
    @Binanceforextradertanzania Před 10 měsíci +1

    Tutumieni namba za Whatsapp

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 10 měsíci

      Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝

    • @Binanceforextradertanzania
      @Binanceforextradertanzania Před 9 měsíci +1

      @@AGALUSTV umetuacha tu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Před 9 měsíci

      Wapi ndugu. Yaani shida ipo wapi ndugu 🙏🏿

    • @davidletee
      @davidletee Před 4 měsíci

      Nitumie dawa Gani kutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage namba mniambie jina ladawa