Viongozi wa ODM wanasema hatua ya vijana itasaidia kulainisha magatuzi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024
  • Wanachama wa chama cha ODM mkoani Pwani wametetea wito wa kinara wa upinzani Raila Odinga wa mazungumzo na rais William Ruto kuhusu masuala yaliyoibuliwa na vijana wa kizazi Gen-z wakisema mazungumzo ndio suluhu pekee.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Komentáře • 1

  • @christine848
    @christine848 Před 17 dny

    Dialogue with Rogues? NADCO siye lengo ya GEN Zs.. Revolution is eminent and urgent Ruto & Raila Must Go!