ALIKIBA ALIVYOTUMBUIZA SIMBA DAY 2023, MASHABIKI WAITIKA..
Vložit
- čas přidán 5. 08. 2023
- SIMBA DAY: Hivi ndivyo Mfalme wa Bongo Fleva King @officialalikiba alivyoingia katika dimba la Benjamin Mkapa …
Tupo #LIVE kwenye CZcams Channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio
#UFMUpdates #SimbaDay #TamashaLaSimbaDay #SimbaSC #UnyamaMwingi #Unyama #SikukuuYaSimba
@simbasctanzania @ahmedally_ - Sport
Mfalme Wetu❤️❤️🦁..Uyu Ndio Msanii Kipenzi Chetu,Msanii anayemueshimu Mungu na Kumuabudu pia.Hababaishwi na strehe za Dunia.Ndio maana Hana tattoo Wala hajatoboa pua.Nampenda na Moyo wngu Wote❤️❤️❤️. Allah Akujalie Kila la kheri mfalme Wetu🦁❤️
Kumamamayo Angelikua anamheshimu mungu angefanya yotehaya haramu
Kasikie vibaya Uko Kwenu wewe.Kama Umekasirika Jitie kidole unuse,kudadeki zako
Apo peny kumueshim mungu unajuaje na unajuaj kua ababaishwi na stareh za Dunia,,yaaan tumpend kweny music ila sir ya mtu msogeleee na kuish nae utajua mengi
@@mozasalum8742 matusi ya nini
Umesemq point nying umesahau tu mzk nao ni ushenzi 😅😅😅😅😅
me nilikuwa team mond ila saiv nimehamia team kiba umekuja simba umetisha sana
Tanzania 🇹🇿 Raha sana I'm proudly to be a tanzanian
The really star for bongo flavor.
Mtu apendwaki na kila wanadamu.
Ongera ndugu ali, allah azidi kukuzidishiya.
Mfalme wa bongo freva Mungu akulinde kipachi chako 🔥💥💥👊🇹🇿
Ni fleva si freva😂
@@sturbbornvideoz8547 x
The one and King in Tanzania kuongezea ni mfalme wa East Africa....kipenzi Cha wote pole na mkarimu...kipaji Cha kuzaliwa hakina mfano wake...big up Bro
Unyama 4ever 🦁🦁🦁🦁🦁
Nakukubali sana alikiba na ulivohamia simba ndo kabisaaaaaa❤❤❤❤❤
Mnyamaaaaa🦁🦁🦁🦁🦁❤❤❤❤❤❤
Pita kelele king mnyama umetishaa🎉🎉🎉🎉🎉 l love you
Ali kiba ni MYAMA kweli Show yake hii mpaka Mh. Rais Samia alihuzulia kulishuhudia LIVE. daaah #Kingkiba MYAMA #MYAMA🎵❤❤❤ #KINGKIBA👑 #SUMU🎵❤
I love you simbaaaaaa❤❤❤❤❤❤
Wenye nchi hao🦁🦁🦁❤❤❤
Unyamaaaaaaa💕💕
Asante DC Mwijaku🎉🎉
Salute kibaaaa umetisha
Once a King always a King
Yes mfalme wa Bongofleva ndio huyu sasa❤ KingKiba n balaaah na nusu
Yeeeeeeee babaaaaa ❤️💯💯💯💯💯💯
Dc Mwijaku chawa International umetisha sana
Aipend san simb❤❤❤❤❤
You guys in Tanzania you care for your talents in Kenya we never such large multitudes of people just for football big up TIZI(TZ)
Mwijaku juu sana
Unyamaaa mwingii big up
Simba day Excellent 🔥🌹🌹
Namkubali Sana Vituko vya Dr.Mwijaku...nakukaribisha...kenya 🇰🇪K🇰🇪E🇰🇪N 🇰🇪Y 🇰🇪A...
Mnyaaamaa! Nice performers ❤ simba
Kuna Simba arafu kuna mnyama unamjua mnyama wewe ❤king 👑
I love ue Simba❤❤❤
Wenye nchi yao simba tamasha lao Lili fana sana❤
No 1 like you,I love 4 rever
Noma huku Kenya
Salute legend ❤
Umefanya Unyama King Aisee❤
I ❤ you simba
Alikiba love you sooo
Fanya kazi king kiba zuhura nimshamba2 wa Sanaa
Kuazia leo mm nitimu kiba unyamaaa mwingi sana
Mzee mnyama kwa kweli🙌🙌
Unyamaa ni mwingi❤❤❤❤❤
Bahati,bugalamaa
I love u Kiba and ur team Smile Is My Best Action SIMBA
🔥mambo ni fire
❤simba unyama mwing
Unyama sanaaaa
Unyama mwingiiii❤❤❤
King Kiba 👍
King kiba 👑👑👑👑🥰🥰🥰🥰
Piga kelele Kwa Simba akee❤❤❤❤
Mwijako we nouma brother 🤝👍
Ila kanoga bhnaaa❤❤
Kabisa ni uyo peke yake ❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akupe maisha marefu Ali kiba 💯
Unyama ni mwingi❤❤❤❤
Hapana chezea simba❤
Unyama mwingi hongera simba kwa siku nzuri
Unyamaaaaa mwng kabsa
This is simbaaaa😍😍🔥🔥
ila Kiba alipendeza sana na hilo vazi la kifalme🎉🎉
King ❤
Once the King 👑 always the King 👑 Simba nguvu moja❤️🤍
Mwijaku 😂😂😂 🔥🔥🔥🔥
Nakubal sana
Unyama mwingiii❤
Our one and only king
Kajulaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Boa sorte kiba,❤
Jamani mwiJaku wewe mkali ndani ya team kiba 😂😂😂😂 nakupenda toka DRC bwana wewe noma wacha niseme
King simba
King kiba🔥🔥
Mwijaku ❤❤😂😂😂😂
Unyama mwingi Love ❤️❤️💋
Best show 🎉
King Kiba forever
🎉pamoja kiba🎉🎉🎉
Na km yy simba❤❤❤
Fireeee
Hii ni Kali ya mwaka
Anapendwa Sana kiihalisia
Mwijaku. Upo vizuri upeweaua yako kkaa
Kiba a bien assuré le show
Vive le roi
Sijawahi kuona anabeti,, kubeti ni zambi ,,, kamali ni zambi,, anamjua mungu apasavyo,, atazidi kubarikiwa
Mnawakilishaga Taifa vizuriiii kwa nyimbo nzuri na mic zao nzuri,,,ila sasa kutetea waafrika ndo hamuwezi,,,,mleteni kaka R Kelly atufundishe sisi watemi ,,Michael Jackos si hayupo???Tunamtaka MWALIM R KeLLy tunifunze maunyama mengi ya nchi za watu
Nakukumbali sana mfalmeeeee
Mambo ni moto
King kiba thanks much kwa burudani
Waganga wa kienyeji katika ubora wao
Njoo tukutibie
Unyamaa huu
Kiba kiba kiba kiboko❤
Jamani team waganga haoooooh😅😀😃😄😄
Pendeza san weeeee ❤❤❤❤❤
Mwiiijaaakuuuu😂😂😂😂😂😂
Kk umepende za san mfalumewetu wajinyonge pam ja nazuch kk❤❤❤❤
Samahani sana ndugu zetu yanga kuwavulia simba nguo
Achen makasiriko king kiba mmoja tyuuu unyama mwingii
nakukubari sana mwamba alikiba
Yoooh!!
King 👑💪
Iyo imeenda🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Unyama. Mwingiiiii
❤❤❤king kama kawa❤
Simba
Broo umependeza Sana 🌹🌹🌹
Mbana pua sio vocalist
Ni msanii anayeimba amaizing