Dereva wa Zitto Kabwe aongea baada ya kukamatwa na Polisi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 01. 2017
  • Jana January 23 2017 tulisikia taarifa kutoka jeshi la polisi Shinyanga kuhusu kukamatwa kwa gari alilokua analitumia kiongozi wa chama cha ACT WAZALENDO ambae pia ni Mbunge wa Kigoma mjini Zitto kabwe.
    Ilidaiwa kwamba sababu ya gari hilo kukamatwa ni kosa la kutokuwa na vibali halali huku Polisi ikimtaka Zitto ajitokeze.
    Leo Dereva Patrick Muhidin akiwa Dodoma amepata nafasi ya kuongea kueleza ukweli.

Komentáře • 79

  • @jeffreymwandepu3165
    @jeffreymwandepu3165 Před 7 lety +17

    Sizonje tumekupa dhamana ulete maendeleo sasa hayo mengine ya kukimbiza wapinzani kakutuma nani?

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 Před 7 lety +2

    pole saana DRV mungu yupo na ww. haya mambo yapo siku zote

  • @emmanuelmsigala1374
    @emmanuelmsigala1374 Před 7 lety +5

    ulisema tutakukumbuka Sanaa!! Dah!!!!

  • @emmanuelmsigala1374
    @emmanuelmsigala1374 Před 7 lety +15

    yani ni kama tu kuhama kwenye hili li Nchi, kila kitu kimekua tabuu toka uchaguzi uishee, we miss you so much my only one favourite leader Mh, dkt jakaya mrisho kikwete. Nimeamini sasa!!!!

  • @elishasanga2604
    @elishasanga2604 Před 7 lety +4

    sasa mbona hawaelewi wawe wazi tujue nini hasa walikua wanakiitaji
    mana maelezo ya kaimu kamanda mkoa shinyanga anaeleza gari haikua na docoment na muheshmi aliitelekeza ,
    maelezo Dereva gari inayo docoment nayeye mda walioifata gari alikua kwenye gari .......!!!
    Tunaomba nguvu ya dola itumike kuktetea haki za wanyonge.

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 Před 7 lety +4

    Huo ni uonevu na hao polisi inaonyesha ni jinsi gani wanafanya kazi kwa kubahatisha! Kama polisi wamesikia kuwa gari flani inashaka wanachotakiwa kufanya sio kwenda na kumchukua dereva! Cha kwanza wanatakiwa kufika kwenye gari na kuulizia leseni na pili kadi ya gari na kama kila kitu kiko sawa haikua na sababu ya kumpeleka jamaa kituo cha polisi na wao kunaki na gari siku mbili. huo ni uonevu na ujinga.

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye Před 7 lety +4

    Ndio Tanzania mpya hiyo :( :( :(

  • @khadoojomary.562
    @khadoojomary.562 Před 6 lety +2

    Hahahaha hawana kazi yakufanya hao wanatapatapa hehehhehehe nabado watangangaka sana chadema miaka mia😍😍😍✌✌✌✌

  • @harrisonkitsao6851
    @harrisonkitsao6851 Před 7 lety +3

    pole kaka kwayalio kupata

  • @jaferyhussein8390
    @jaferyhussein8390 Před 7 lety +10

    polisi ni genge la wahuni

  • @pendoissanjya5730
    @pendoissanjya5730 Před 7 lety +3

    Jaman enzi za jakaya hayakuepo haya me nimechoka etii

  • @adambago
    @adambago Před 7 lety +6

    Polisi msifanya watu waanze kuwachukia, tendeni haki, acheni kuwanyanyasa watu bila sababu. Yapo mengi mazuri kwenye awamu hii ya tano, kasoro ni kukamatanakamatana kama kuku wa kienyeji. Mheshimiwa rais Magufuli, you are doing fine so far, the world knows it, but can you work on this issue? Tunataka haki kwa kila mtu. Nakumbuka ulisema hupendi kuona watu wananyanyasika, tunakuomba angalia hilo. At the end of the day kila mtu aone anastahili kuishi kwa amani. Kitakuwa kinatuuma kama innocents wakisumbuliwa, wezi na wavunja sheria ndiyo ila si kwa wale wanaokupinga. Ukristu au uislamu wa kweli ni pamoja na kupokea mashahihisho ili utambue kuwa wewe ni binaadam.

  • @veronicakisandu5033
    @veronicakisandu5033 Před 7 lety +1

    tunakoelekea wapi, wanyonge tutapona kweli, mbona haya mambo yanatisha ivi! kila siku yanaibuka mapya duh mungu tusaidie

  • @barakajaphet8001
    @barakajaphet8001 Před 7 lety +2

    pole sana

  • @emmanuelellymwakyusa2900
    @emmanuelellymwakyusa2900 Před 4 lety +1

    Mambo mengine Ni kizungumkuti walimtafuta ZITTO au GARI ......Ni AIBU so Unprofessional

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Před 6 lety +2

    Unamakosa dreva inakuwaje uwende police KIBOYA? walikutaka ww au Zitto? Waje na sarch warent au oder navitambulisho vyao Co vazi tu ujitambuwege

  • @josephatmapunda537
    @josephatmapunda537 Před 7 lety +7

    Defender nne kwenda kukamata gari moja....hahahahaaaaa

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 7 lety +1

    gali ni full document

  • @fadhliaweso7096
    @fadhliaweso7096 Před 4 lety +1

    Wanaoamni amani ya Tanzania inapotea kabisa tujuane

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 Před 6 lety +2

    Wanatafuta kla sabab alimradi wawatie watu katka tabu na mashaka

  • @messithedon9502
    @messithedon9502 Před 6 lety +1

    Nchi hii kuna wa2 wanajua wanaishi milele ile kaeni mkijua km pua zenu zimeangalia Chini Lazma mfe au Km Pua Zenu Zimeangalia juu bac hamfi Jiulizeni Xaxa Pua Zenu Zimeangalia Wapi,,,,????????????

  • @rehemasalima2150
    @rehemasalima2150 Před 6 lety +1

    maaskar ndo wanasababisha watu wazidi kuwachukia. kwa unyanyasaji wanaotufanyia

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Před 6 lety +4

    Ndo ubaya wakuchukuwa form 4 fells kuwa polisi

  • @erickmwaluko2017
    @erickmwaluko2017 Před 7 lety +2

    haya ndo mabadiliko
    tuloyataka asante mungu j p m ongez
    moto

  • @papafikiri
    @papafikiri Před 7 lety +3

    kikweteeeeee

  • @mussachuo250
    @mussachuo250 Před 6 lety +1

    Labda wanashida na gali walikuwa wanataka kupiga nalo selfii

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 Před 7 lety

    Asant San #millard Ayo kw tarifa tofauti .

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 Před 4 lety

    Tatu taki ujinga huyu zitto mpka tumfunge au ande kigoma kutengeneza mawese mbwaa

  • @timorpathsullusi7055
    @timorpathsullusi7055 Před 4 lety

    Hapo Polisi wetu wailijichanganya Kwakweli, wasilishushe hadhi jeshi letu bwana ah!

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 Před 7 lety +1

    matrafiki kiukweli mnaboa sana wauongooo

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 Před 4 lety

    Polisi hao tunao walipa kwa jasho letu ikisha wao wanaitumikia ccm kwa kufigiswa vichwa mtapatilizwa nyie na coronavirus na Magufuli wenu ngojeni tu

  • @emmanuelaggery6877
    @emmanuelaggery6877 Před 7 lety +4

    kwani kuna jeshi la polisi tena nchi hii.....kazi walionao saiv kukmbizan na upinzani tu utadhan ao upinzan wao hii sio nchi yao

  • @manasemasembo3588
    @manasemasembo3588 Před 7 lety

    WA isagehe wote piga kelele... woyoo

  • @jacksonjohn8162
    @jacksonjohn8162 Před 7 lety +1

    tanzagizaaa iyooo

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před 3 lety

    Mmmm

  • @officialracker8066
    @officialracker8066 Před 7 lety +1

    pole

  • @mdindaoscar948
    @mdindaoscar948 Před 7 lety +1

    mmh

  • @ricksonmrema8196
    @ricksonmrema8196 Před 5 lety

    Watanzania tuangalie nchi inavyoendeshwa

  • @manyikarithe238
    @manyikarithe238 Před 5 lety

    Gari za police nne tano hivi ndio nini?

  • @hamissimaleda8779
    @hamissimaleda8779 Před 4 lety

    Hapa tanzania hakuna haki. Ndomana kinazito wanaenda inje kuzungumzia. Ukatili unawo fanywa tanzania. Halafu baazi yawatanzania wasiyo jielewa wanaona haya mambo yanayo fanywa nisawa?

  • @shilladickson3646
    @shilladickson3646 Před 7 lety +1

    mmhhh

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety +2

    tuache ushabik. kukamatwa gari nikawaida. mwenye gari siaende?

  • @jamesyakusola9639
    @jamesyakusola9639 Před 6 lety +2

    viongoz wa upinzani acheni kupgania nchi mtaacha familia zenu

  • @radhyahjuma7804
    @radhyahjuma7804 Před 7 lety +2

    jamn unamkamataje Mtu ambye c mhusika kwanza n upumbavu

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 Před 4 lety

    CCM wote ni genge la wahuni mbwa wakubwa loo

  • @massjmalulu3862
    @massjmalulu3862 Před 4 lety

    Acha kutukana jeshi lenu enye wagaratia musio kuwa na akili,inatakiwa tujiulize tunakwama wapi sio kukalia unafki

  • @doreenrichard1177
    @doreenrichard1177 Před 4 lety

    Polisi noma

  • @robertmartin1589
    @robertmartin1589 Před 5 lety

    ninyi siwauza unga.

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 Před 4 lety

    Hovyoooo

  • @jamesjames5129
    @jamesjames5129 Před 5 lety

    wameshindwa kukamata majambazi wanasumbua raia

  • @isaackmbunda7858
    @isaackmbunda7858 Před rokem

    Ujinga huu utaisha lini mbona hamkueleweka mlikuwa mnaajeenda gani na uyu kiongozi mungu atalipa palipo na malipizi

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 7 lety +2

    Kwa hiyo ilogali ni lanani na kwanini mwenyewe hakujitokeza???????

  • @merickmihira1060
    @merickmihira1060 Před 6 lety

    Linga zangono

  • @davidnicholas8772
    @davidnicholas8772 Před 6 lety

    Mmmmmm??????

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 Před 7 lety +1

    pole mno

  • @kamarakameke1101
    @kamarakameke1101 Před 7 lety

    poole

  • @nabakitz83
    @nabakitz83 Před 7 lety +1

    Maoni ya watu bwana, wanaongeea!! hivi hapo polisi wamekosea nini sasa? kama mtu anatafutwa halafu likakamatwa gari lake kosa liko wapi sasa. Kama yeye alikuwepo na alikuwa ajajua gari imekamatwa kwanini asiende polisi, alikuwa anakwepa nini!?

  • @eddynyaki5539
    @eddynyaki5539 Před 5 lety

    Hahaha

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 Před 7 lety

    jamaani

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye Před 7 lety +4

    Ndio Tanzania mpya hiyo :( :( :(

  • @mdindaoscar948
    @mdindaoscar948 Před 7 lety +1

    mmh

    • @hamisiabdala6232
      @hamisiabdala6232 Před 7 lety +4

      mlisema kikwte cjui nini huyooo sasa mkali gusa unate

  • @revocatusmanyama8621
    @revocatusmanyama8621 Před 5 lety

    Jaman msiwalaum xan make wanatumwa awo mbon wakat w jakay hayakuwepo?