Dereva wa Zitto Kabwe aongea baada ya kukamatwa na Polisi
Vložit
- čas přidán 23. 01. 2017
- Jana January 23 2017 tulisikia taarifa kutoka jeshi la polisi Shinyanga kuhusu kukamatwa kwa gari alilokua analitumia kiongozi wa chama cha ACT WAZALENDO ambae pia ni Mbunge wa Kigoma mjini Zitto kabwe.
Ilidaiwa kwamba sababu ya gari hilo kukamatwa ni kosa la kutokuwa na vibali halali huku Polisi ikimtaka Zitto ajitokeze.
Leo Dereva Patrick Muhidin akiwa Dodoma amepata nafasi ya kuongea kueleza ukweli.
Sizonje tumekupa dhamana ulete maendeleo sasa hayo mengine ya kukimbiza wapinzani kakutuma nani?
pole saana DRV mungu yupo na ww. haya mambo yapo siku zote
ulisema tutakukumbuka Sanaa!! Dah!!!!
yani ni kama tu kuhama kwenye hili li Nchi, kila kitu kimekua tabuu toka uchaguzi uishee, we miss you so much my only one favourite leader Mh, dkt jakaya mrisho kikwete. Nimeamini sasa!!!!
Emmanuel Msigala umbea tu alivyo kua madalakani
kikwete miss you so much kweli saivi tabu tu
Tabu tupu uongoz karaha
Emmanuel Msigala matusi mliokua mkikaa mkimtukana Huyo Jk malipo ndo hayo
sasa mbona hawaelewi wawe wazi tujue nini hasa walikua wanakiitaji
mana maelezo ya kaimu kamanda mkoa shinyanga anaeleza gari haikua na docoment na muheshmi aliitelekeza ,
maelezo Dereva gari inayo docoment nayeye mda walioifata gari alikua kwenye gari .......!!!
Tunaomba nguvu ya dola itumike kuktetea haki za wanyonge.
Huo ni uonevu na hao polisi inaonyesha ni jinsi gani wanafanya kazi kwa kubahatisha! Kama polisi wamesikia kuwa gari flani inashaka wanachotakiwa kufanya sio kwenda na kumchukua dereva! Cha kwanza wanatakiwa kufika kwenye gari na kuulizia leseni na pili kadi ya gari na kama kila kitu kiko sawa haikua na sababu ya kumpeleka jamaa kituo cha polisi na wao kunaki na gari siku mbili. huo ni uonevu na ujinga.
Ndio Tanzania mpya hiyo :( :( :(
Hahahaha hawana kazi yakufanya hao wanatapatapa hehehhehehe nabado watangangaka sana chadema miaka mia😍😍😍✌✌✌✌
pole kaka kwayalio kupata
polisi ni genge la wahuni
Jaman enzi za jakaya hayakuepo haya me nimechoka etii
Polisi msifanya watu waanze kuwachukia, tendeni haki, acheni kuwanyanyasa watu bila sababu. Yapo mengi mazuri kwenye awamu hii ya tano, kasoro ni kukamatanakamatana kama kuku wa kienyeji. Mheshimiwa rais Magufuli, you are doing fine so far, the world knows it, but can you work on this issue? Tunataka haki kwa kila mtu. Nakumbuka ulisema hupendi kuona watu wananyanyasika, tunakuomba angalia hilo. At the end of the day kila mtu aone anastahili kuishi kwa amani. Kitakuwa kinatuuma kama innocents wakisumbuliwa, wezi na wavunja sheria ndiyo ila si kwa wale wanaokupinga. Ukristu au uislamu wa kweli ni pamoja na kupokea mashahihisho ili utambue kuwa wewe ni binaadam.
tunakoelekea wapi, wanyonge tutapona kweli, mbona haya mambo yanatisha ivi! kila siku yanaibuka mapya duh mungu tusaidie
pole sana
Mambo mengine Ni kizungumkuti walimtafuta ZITTO au GARI ......Ni AIBU so Unprofessional
Unamakosa dreva inakuwaje uwende police KIBOYA? walikutaka ww au Zitto? Waje na sarch warent au oder navitambulisho vyao Co vazi tu ujitambuwege
Defender nne kwenda kukamata gari moja....hahahahaaaaa
JOSEPHAT MAPUNDA hii nchi ni ya kisenge sasa
Genge la wahuni tuu
gali ni full document
Wanaoamni amani ya Tanzania inapotea kabisa tujuane
Wanatafuta kla sabab alimradi wawatie watu katka tabu na mashaka
Nchi hii kuna wa2 wanajua wanaishi milele ile kaeni mkijua km pua zenu zimeangalia Chini Lazma mfe au Km Pua Zenu Zimeangalia juu bac hamfi Jiulizeni Xaxa Pua Zenu Zimeangalia Wapi,,,,????????????
maaskar ndo wanasababisha watu wazidi kuwachukia. kwa unyanyasaji wanaotufanyia
Ndo ubaya wakuchukuwa form 4 fells kuwa polisi
Adam Nguvu umeona eeeh
Io fells inamaanisha na ww hata form 4 hujamaliza😂😂😂😂
haya ndo mabadiliko
tuloyataka asante mungu j p m ongez
moto
kikweteeeeee
Labda wanashida na gali walikuwa wanataka kupiga nalo selfii
Asant San #millard Ayo kw tarifa tofauti .
Tatu taki ujinga huyu zitto mpka tumfunge au ande kigoma kutengeneza mawese mbwaa
Hapo Polisi wetu wailijichanganya Kwakweli, wasilishushe hadhi jeshi letu bwana ah!
matrafiki kiukweli mnaboa sana wauongooo
Polisi hao tunao walipa kwa jasho letu ikisha wao wanaitumikia ccm kwa kufigiswa vichwa mtapatilizwa nyie na coronavirus na Magufuli wenu ngojeni tu
kwani kuna jeshi la polisi tena nchi hii.....kazi walionao saiv kukmbizan na upinzani tu utadhan ao upinzan wao hii sio nchi yao
WA isagehe wote piga kelele... woyoo
tanzagizaaa iyooo
Mmmm
pole
police wa tz wote maboya had igp wao
mmh
Watanzania tuangalie nchi inavyoendeshwa
Gari za police nne tano hivi ndio nini?
Hapa tanzania hakuna haki. Ndomana kinazito wanaenda inje kuzungumzia. Ukatili unawo fanywa tanzania. Halafu baazi yawatanzania wasiyo jielewa wanaona haya mambo yanayo fanywa nisawa?
mmhhh
tuache ushabik. kukamatwa gari nikawaida. mwenye gari siaende?
viongoz wa upinzani acheni kupgania nchi mtaacha familia zenu
Amakwer
Sivyo utawala unavyokuwa kwani unataka kusema ccm ndiyo wana haki au akili timamu? Police ziro
jamn unamkamataje Mtu ambye c mhusika kwanza n upumbavu
CCM wote ni genge la wahuni mbwa wakubwa loo
Acha kutukana jeshi lenu enye wagaratia musio kuwa na akili,inatakiwa tujiulize tunakwama wapi sio kukalia unafki
Polisi noma
ninyi siwauza unga.
Hovyoooo
wameshindwa kukamata majambazi wanasumbua raia
Ujinga huu utaisha lini mbona hamkueleweka mlikuwa mnaajeenda gani na uyu kiongozi mungu atalipa palipo na malipizi
Kwa hiyo ilogali ni lanani na kwanini mwenyewe hakujitokeza???????
Linga zangono
Mmmmmm??????
pole mno
sijui nnchi inaenda wap kikwete tunakukumbuka
poole
Maoni ya watu bwana, wanaongeea!! hivi hapo polisi wamekosea nini sasa? kama mtu anatafutwa halafu likakamatwa gari lake kosa liko wapi sasa. Kama yeye alikuwepo na alikuwa ajajua gari imekamatwa kwanini asiende polisi, alikuwa anakwepa nini!?
kaz ipo
Hahaha
jamaani
Ndio Tanzania mpya hiyo :( :( :(
mmh
mlisema kikwte cjui nini huyooo sasa mkali gusa unate
Jaman msiwalaum xan make wanatumwa awo mbon wakat w jakay hayakuwepo?