WELCOME SIMBA? NI MAKUSU MUNDELE WA HAJER/ ANAREKODI ZA KIBABE CAF...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • Sport

Komentáře • 31

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi Před 28 dny +2

    Duh huyu ni babu kabsaaaa

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před 28 dny +2

    Simba wasiletee wachezajji Wazee

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 26 dny

    Huyu mzee sana simba vp

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Před 28 dny +2

    Huyu ameshazeeka ndio tunamsajili

  • @SandaliSaid
    @SandaliSaid Před 26 dny

    Simba n kichomi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 28 dny +2

    Kumsajili Mndele Makusu ni sawa na kumsajili Okwi wa sasa. Hana tofauti na Saidoo. Kazeeka sana. Wamuulize Ibengee kabla ya kumsajili. Kuwa na mgogoro na uongzii ni kwasababu mchango wake ni mdogo sana. Hawezi kuwa mchezaji sahihi kwa Simba.

  • @user-sd7ho5sm8q
    @user-sd7ho5sm8q Před 25 dny

    Kweli simba wameixhiw

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 Před 28 dny

    Mh makusu mundelee ni kama ngomaaa Hana cha ziada katika sokaaaaa

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 Před 27 dny

    Kwasimba yetuhii yenyeuwongozi huu siokweli inawezakumsajili mchezaji mwenyeuwezo mzuri

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Před 27 dny

    Jamani Simba angalieni kiwango chake kwanza. Acha kusajili majina eti alikuwa mahili. Hiyo ni zamani. Msirudie makosa

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi Před 28 dny

    Yaani mcmu ujao Simba ni sawa na Abdallah kumwita Dullah au Mohamed kumwita Moo hawana jipya kabsaaa

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 Před 28 dny

    Nd. MO. kama una taka simba ive safi huyu Umondowe Chama. Simba itakuwa mzuri. Na sema ukweli huyu chama Ana taka awe mbabe kunye clabu. aondoke.

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 Před 27 dny

    Simba sc A.kA kituo cha kulelea wazee ipo siku mtamleta na Okwi

  • @saimonchangombe7888
    @saimonchangombe7888 Před 28 dny

    Nyie Simba mnazinguwa mnasajili majina na wazee😢😢

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 Před 28 dny

    Sasa kama Nd.MO. AKISAJILI yeye.na akisimameya Nd.MO. mwenyewe basi nakuambeya Hawo waleio kwa wanao piga pessa za usajili. Wata ondoka wanyewe. Manake itakwa hamna upigaji.

  • @GM-ix2hh
    @GM-ix2hh Před 27 dny

    Baada ya kuskia umri wake tu nimetoka...kama @simba ipo serious waache kutuzingua

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Před 28 dny +1

    Matapel wakubwa hawa

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 Před 28 dny

    Mbona ni Mzee huyu? Aaaauuuuuwiiiiiii kama ni kweli hiii imekula kweli

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 Před 28 dny

    Mundele Makusu Ni rika la Musonda,Mayele,Tresor Mputu,.Chama.Mkataba Usizidi miaka miwili

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo Před 27 dny

    Hapa tunapigwa tena hamna mchezaj hapo

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Před 25 dny

    Washaanza ujinga

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 27 dny

    Huyu sasa si atakuwa mzee kama kapita timu zote hizo

  • @khalidfundi2600
    @khalidfundi2600 Před 23 dny

    Acha ujinga kamati ya usajili kurudia makosa mnTuletea maveterani Tena ambao hawana uwezo so kuichezea pesa huko makusu wa sasa anatofautiana nini na jobe acheni masihara

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 28 dny

    Simba ujanja ujanja mwingi , na viongozi wa sasa wameigeuza timu kuwa genge lakufanyia siasa

  • @heaventv4668
    @heaventv4668 Před 28 dny

    Eeh kwani azeekee wapi sasa aje

  • @ipyanansajigwa1489
    @ipyanansajigwa1489 Před 28 dny

    makusu hamna kitu humo ... Huyo ni kama jobe tu

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c Před 25 dny

    PANCHA huyo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 28 dny

    Kwani anacheza Timu ya DRC?