VITUKO! VYA ZUCHU kwa VIATU HIVI -"NAPENDA KUVAA na KUNUKIA VIZURI.
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Endelea kuwatoa jasho la nywele vigwegwe 😄😄, zuchu wangu nakupenda mno kipenzi changu 😘🔥
ILOVE so much
Zuchu mama lao 💪🔥🔥🔥🔥
tuko pamoja sana WCB 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zuchu upo juu,hongera sanaaaa
Nakubali moja kwa moja
i just love her jamn
Zuchu uk vzr dah❣
My love zuu❤❤❤a
Mtoto Waki Zanzibar Hatari👏👍
I like it zuchu
Skia hits hizo,alafu kuna watoto wanatka compete na huyu Binti 😂
Hapo sasa zuchu she is something else 💪
very nice 😍
hongera!❤
Zuu fanya akili yako inapokutuma unapendeza kipenzi sana
Mke ya boss
Zuuuuuuuuchuuuuuuuuuuuuu
Zuuuuuu wa mond
❤❤Zuu
Fanya unavyojisikia unapendeza sanaa
Zuch Uewez Mm
Dah yani ana nuru kuwa msanii na kukatika mbele za watu. Aaaah tuwacheni apo
Sasa hivi viatu zuchu ni vya ndani si nje kwenye vumbi wala kokoto just ndani Kwa especially Kwa wale wanaishi nje chini baridi, kutokana na Hali ya hewa sasa yeye anavaa ofisini Mie nashindwa kumuelewa kama ana vaa barabarani daaah kazi kweli
Kwani huwa viatu vimeandikwa majina kuwa hv vya ndani , barabarani, kwenye vumbi , kwenye kokoto , au Kuna viatu vya kuingilia kwenye gari mtu unavaaa popote pale unapopenda kila mtu ana life stail ya maisha yake
@@mariambakari7796 kujibishana na mjinga nawewe unae majibu inakuwa mjinga kama yeye anyway wacha nikwambie kwanye maisha yake ingawaje siyajui unaishi vipi? Ushawahi kumuona mtu kavaa viatu hivyo akatembelea kwenye maji,ama mavumbini ,kokotoni soli ya kiatu hicho umeiyona Kwanza jinsi ilivyo ,2 kiatu hicho sio ngozi wala kitambaa kigumu cha kuhimili mawe ,mitope vumbi ndio maana wazungu wanakiita sleepers za ndani kama unavyoona mahouse koti usifikiri like ni Joho ama koti la kutike ni kujikavia mwilini kutokana na kivazi chandani hakikosawa na hivyo viatu Kwanza ni feathers tupu Ile soli yake kama karatasi humu kidogo na Sufi kote ama pamba ndio maana sio vya kutembelea nje mzungu akimuona kavaa na kutembelea barabarani anajua huyu autism's ndio katoka hivi upo
@@mariambakari7796, Kwa Afrika mnajivalia tu maana hamjui lkn kwa Ulaya kila kiatu kina jina lake, mahala pake na weather yake ya kukivaa. Huezi kuvaa slippers/lounge shoes nje, kichekesho. Na sikiatu tu hata mavazi huezi kuvaa pyjamas nje ukatembelea...ssa kwann slippers???
@@mariambakari7796, Kila mtu ana life style yake lkn kuvaa kiatu cha ndani, nje...sikm ni life style bali ni kutokujua. Poti pia Afrika utaona watu wanafanya mabakuli. Hio haitwi life style ni kuiga bila ya kua na elimu ya kitu.
Zuchu nakupenda sana ,ila apo ungeva na suruwwali nyewusi ungewaka sana yani kipenzi
Vitu
Vibaya
Simba sports
Wcb
Viatu vya ndani hivo. Si vya kutokea. Ulaya tunatembelea ndani na zaidi msimu wa winter (baridi)
Kwni apo yuko njee jmn
Acha ushamba sasa hapo c yupo ndani au yupo nje harafu hivi viatu vipo sehemu kibao tu na hujaulizwa Kama upo ulaya au ukiwa ulaya hunyi
Ulaya ya buza au..
@@karasuyazidi8547 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@wisperfect5320 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Jaman mbavu zangu nibakishieni
She looks like she smells like Shea butter and success 🥰🥰🥰🥰
Hashuo huyu
Alikiba
King kiba
Dad atary
Iko freshi barida
The bouncer mlangoni😂😂😂
Kanuna kama vile kanyimwa tonge la ugali
Aky ningeanza kucheza na Mimi😂😂
@@hahmadhabibu2076 itakua time ya kula ugali imepita yeye bado yuko hapo😂.
i see him😂😂😂
Sema ZUCHU anamahit
Saaanaaa
Anapendeza skuizi
zuchu wewe ni dini gani naona hatukuelewi kabsa kiukweli maana hapo umevaa fulana inamstalaba vip sasa muogope sanna mungu tambua ipo siku 1 utakufa usiipende dunia kihivo dada yangu kumbuka na kifo utamueleza vip mugu na umeva fulana hio ya kikafri kabsa
Mhhhh ata Akivaa baibui kwaanacho kifanya bado haisaidii kikubwa tumuombe tu Allah Atujaalie mwisho mwema kwakweli maana mhhh nasi kwakutizama tu tayari tumeshiriki katika hii dhambi ya music
Hivyo sio viatu ni viatu vya ndani kipindi cha winter. Jamani winter shoes nia aibu kuvaa nje ya nyumba
She looks like a fool putting on house shoes on the street, that sole is not even made for street.
Acha ushamba
Chill mzee
Wasanii ndio zao hizo kufanya majabu umemuona Jackson beiber we huo sio ushamba kwao ni kutafuta attention tu
Kwani hapo cyupo ndani au yupo k.koo.....tulia kwanza
Hio misalaba vp Tena zuchu au sikuhiz Mambo kwa yesu video kanisan Sasa misalaba.....
Mbona amujaweka inayoendelea
Jamani ivi Zuchu mzuri??
Dgy
Zuchu
bodyguard ka2mbua machooo🙄🤣🙄
czcams.com/video/Dn8saxAgIaE/video.html
FAHAMU PESA NA PETE ZA MAJINI ZENYE KUVUTA MALI NA UTAJIRI MKUBWA.... .*#*#
czcams.com/video/Dn8saxAgIaE/video.html
😂😂😂😂😂
watangazi ni waongo haja vaa hiyvo viatu plz
Aaliyah yuko wapi😹
😂😂😂 asa ndo asije kwenye kipindi..... 🙌
Sasa zuchu ilo beli ulovaa sawa umewaka, ila mwenzie ni jeans sio ilo jeje ulovaa ww
uyu zuchu mumfundishe kwanza kuvaa na kupangilia mavazi😂😂😂
Go and teach her if u trust ur self in designing
basi mufundishe wewe kuvaa
aeza kuwa hapo ulipo hata dera zur huna
We mwnyw inawezekana upo hoiiiii
Village gal
No village girl ..it’s bout being authentic..if being being authentic called village girl it’s stupidity. this style is popular in under 30s youth black culture
She sold her soul for money, looks and fame......jehanamu yakungonja...
Acha makasiriko tafuta pesa
Ulikuwa nae alipokuwa wanafanya hivyo? Acha wivu na ufanye kazi kwa bidii
Sawa Mungu
@@jenahando2747 😆😆😆😆😆
@@neemawilfred6994 aaaahhh aaaahh aaaahhh nimecheka balaa umejua kumjibu daaah aaaahh😂😂😂😂😂😂
yan uyu zuchu namshangaaga sana yan anadhalilisha wasanii wenzie mtu gan hajui kuvaa khaaa🤣🤣🤣🤣yan nguo za zuchu ni ilala 2000 mbili aon haya
Acha wivu
Muazime za kwako
muazime za kwako
Hebu zako😂
Unataka avae dress she is a musician my dear
Simba sports
czcams.com/video/Dn8saxAgIaE/video.html
FAHAMU PESA NA PETE ZA MAJINI ZENYE KUVUTA MALI NA UTAJIRI MKUBWA.... .*#*#
czcams.com/video/Dn8saxAgIaE/video.html