ALL GOALS : MOROCCO 3-0 TANZANIA AFCON 2023 (MAGOLI YOTE MOROCCO VS TAIFA STARS)
Vložit
- čas přidán 16. 01. 2024
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala - Sport
Kiukwel kbsa mtangazaji sio mzalendo,
Ana maneno ya kejel kwa timu yetu ya taifa, haya mambo huwez kukuta azam tv badilikeni ndugu zangu
Tanzania sio kwa soccer kuhusu soccer na Tanzania ni sawa na chura na maji ya moto
Huyo Hakim Ziyech alikuwa anachezea chelsea tena kipindi hicho chelsea inamoto kwelikweli. Tanzania tumecheza mpira mzuri.
Sasa uyu mtangazaji mwenzetu au Morocco
Mtangazaji mmoja wa Luninga akiwa mubashara wakati mchezo unaendelea akasema yeye anachokiona ni kama Taifa Stars inazuia mafuriko kwa mikono !
Tanzanian plays are only good in knocking down the opponents 😅
Siku tukiweka vipaji mbele tukaacha kujuana juana mtoto wa fulani tutafanikiwa kwenye mpira tofauti na hapo ipo siku tutakula 7
Mtangazaji wa hovyooo kabisaaa 😂😂
Starts Uwezo mdogo maneno mengi😢
Kweli Kabisa
Himid na Fei kwenye bao la pili unaweza kusema stop short kama ingekuwa pooltable Ounahi kawafanya vibaya sana quality imeamua mechi.
goal lapili fei na himid mau wamekbia macho
Mtangazaji wewe ni msenge una kauli za kishoga kwa team ya taifa
Morocco Ni Team Kubwa..Kwaiyo Ni jambo la kushukuru Tumefungwa 3 Tumejaribu
Hakuna cha timu kubwa,ukienda kwa mechi kama hizi unajitahidi,
Tunisia na namibia ipi timu kubwa?? Misri na msumbiji ipi timu kubwa?? Mambo yanabadirika na sisi tubadirike kaka wenzet wamewezaje kupata matokeo
Watanzania ni wamwisho kwenye hizi team zlizopita, 😢😢😢 starehe nyingi
Tanzanians should stick to singing love songs..leave football to real men😅😅
Brother as a moroccan I ask you to be respectfull towards our Tanzanian brothers, they tried and did their best 🙏.
TZ mpira hakuna wakina Samatta na Manula washazeeka mzee.
Pesa inayochangwa kuwasaidia ifanye mambo ya maana
Majirani mliingia uwanjani na woga
Ukweli lazima uongelewe. Tanzania hatuna plan/ mikakati ya ndani na nje ya nchi. Mikakati ya ndani ni pamoja na ku scout talent kwa vijana wadogo na kuwaweka kwenye academy. Mikakati ya nje ni kuwasaidia kupata timu za nje. Naamini tukiwa na wachezaji 6 au 7 wanaocheza nje tutakuwa tumejenga uwezo mkubwa. Timu nyingi za taifa zinazofanya vizuri zinawachezaji wengi waocheza nje
Angekuwa Aly Salim au tungemkodisha hata diara
Mimi sijui mpira kivile..ila timu iliyopambana kuipeleka Taifa stars Ivory coast ingetumika timu ile ile sio kwenda AFCON na timu mpya wajamii.. INDIVIDUALS WIN POINTS it is a team that Win Trophies..eeh..!!!
Watoto wa mama kzmkaz😂
Hard luck the tanzanian coach said tha morocco won by cheating he is algerian so he hate morocco obviously we played better its football we are still brother in the end but the coach is algerian if we win with 7 0 they will say cheating they will never accept morocco winning hatres blinded them
Hakuna kujaribu tumepqmbana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿😢😢
Hivi huyu manula ni kipa kweli
Tanzania na soka ni wapi na wapi acheni kujidanganya
Manula amechoka
Hawa watangazaji mbona kutamka majina ni shida? Ashilaf Hakim ndo nani?!
Huyu mtangazaji angetuletea wachezaji kutoka ukoo wao walioamia Tanzania maana yu ...
Watoto wa mama kizimkazi ndio Nini?
Gol kipa anafungisha goli
Ujui kitu kabisa fuatilia netball. Ameshindwa kufuatilia chanzo cha tatizo angalia bao la 1 na la 2. Alafu jiulize nin kazi yamabeli au ulitaka kazi ya beli afanye golikipa? Ujui chochote tupishe.
Wewe unaesema goalkeeper anafungisha, vipi yule babu yako akidaka hatuwezi kufungwa??
Hiyo c mzalendo analeta usimba na uyanga tumejitahid sana ila wacheazaji wako na uwoga mkubwa kutokana na level za watu waliokutana nao
Mama regesha timu tunapata asara
Manula hamna kıpa hapo
Aishi atafute timu kufulia sisi tulijua kwamba atakua kala rushwa kumbe ubora wake umepotea
Mtangazaji atakuwa chadema mmmh
Morocco ni timu kubwa saana. Taifa stars tumecheza Moira safi. Tena Kwa kutumika watoto wetu WA kitanzania.Nampongeza saana Aish Manula.dumisha taifa letu.
Wewe mtangazaji huna uzalendo Sasa unafurahia nini na kubeza timu yetu, huna maana kabisaaa😂 9:22