MWIJAKU KWA UNYONGE AOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • MWIJAKU KWA UNYONGE AMWOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE #MWIJAKU #MWIJAKUMASOUDKIPANYA #MASOUDKIPANYA #MWIJAKUMSAMAHA #MSAMAHAMASOUDKIPANYA #carrymastorytv

Komentáře • 43

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 2 měsíci +5

    Safi Saan KP otherwise sheria ichukuwe.. mkondo wake nilishangaa saana why amekuchafua vile for no reason. Tena usimchekee hata kidogo wala usiruhusu akusogelee hata kwa bahati mbaya na kukuzoee km alivyo zoweya wengineee...Ahahhahahah umejua kunifurahisha kaka Kp big up👊👊👊👊 ikiwezekekana mburuze kotini huu msamaha wake wakinafiiii ili sikunyingine asirudie kwa wengine

  • @Swahili_land001
    @Swahili_land001 Před 2 měsíci +3

    Unaropoka sana mzee Mwijaku

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před 2 měsíci +1

    Saf sana mr mwijaku kuomba msamaha ni busara mtu wa maana kabisa ww ❤

    • @martinmendrad3531
      @martinmendrad3531 Před 2 měsíci

      Huyo kaomba msamaha wakinguvu sio ridhaa yake, hapo kwakuwa katishwa mambo yakisheria walimtaka aombe radhi sio dhamira yake

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 Před 2 měsíci +1

    Hana adabu huyu mjinga. Kaka Massoud usimchekee amezoea kuchafua watu.

  • @alfakassim603
    @alfakassim603 Před 2 měsíci +1

    Anashoboka now,,, huyu wamkazie atazoea chizi huyoo🤣🤣🤣

  • @evancpeter8149
    @evancpeter8149 Před 2 měsíci +1

    Brother Kp, tafadhari sana ebu kula kichwa hii ng'ombe. Pls usisamehee hii kitu😂😂😂. Kula kichwa... angekula B baba Levo tungemwombia msamaha lkn huyu no! Pita nae plz.

  • @JoakimAlex
    @JoakimAlex Před dnem

    Usiongee maswala ya iman kwana mkiwa iman tofaut ndio unamdhalau,kenge mjane wewe wakunyooshee mjinga wewe

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 2 měsíci +2

    Utakumbana Na mahakama!!!! Hutaamini

  • @danieledward2294
    @danieledward2294 Před 2 měsíci

    Hapo nkupongeze umejiongeza vzr,Mungu akusaidie ktk maisha

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 2 měsíci +1

    Hujaomba msamaha zaidi unajigamba

  • @Mgema001
    @Mgema001 Před 2 měsíci +4

    Kiarabu kingiiii, ulizani unamwambia dotto kumbuka Kp is very educated na anainfluence watu kama mm,...mzee umeyatimba

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Před 2 měsíci

      😂😂😂😂kumbe umeona!!!!! Wacha alikute

    • @dominickmahela1581
      @dominickmahela1581 Před 2 měsíci

      Kuonywa alishaonywa sana lkn sio wa kujifunza sasa ashughulikiwe inavyostahili kiukweli Masoud akanyagie apoapo mafuta mengi

  • @khalifamilulu9109
    @khalifamilulu9109 Před 2 měsíci

    Huyu sio wakusamehewa kabisaaa.

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 2 měsíci

    KP tafadhaliniko chini yamiguu yako hii nguruwe iburuze kwapilato hicho anafanya hapo wala hakuombi rwadhi , bali akudhihaki tu, mfundishe adabu huyu kjenge kazoea watu sana mshamba wa Kazulamimba huyu

  • @hamynas
    @hamynas Před 2 měsíci +2

    huyu punga anafanya masihara na dini ya kiislamu katika mambo yake ya upuuzi upuuzi hada adabu kabisa huyu bwege

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge7554 Před 2 měsíci

    Kuomba msamaha wala sio jambo baya lkn natamani sana Mwijaku utiwe adabu japo kidogo ili unyooke😂😂 Naongea hivi kwasababu wewe umekuwa mtu usiyetumia hekima na busara...Mara nyingi unaongelea mambo kwa mihemko...Chuki na Roho mbaya bila kuzingatia utu na binaaadamu...Sasa umekutana na wataalamu wanaojua kurekebisha watu wa aina yenu..Ulidhani Masoud Kipanya ni Diamond Platinum?😂😂😂. Pambana Mzee

  • @severinemabirika2249
    @severinemabirika2249 Před 2 měsíci

    Acha kutumia maneno ya Mungu kulinda uropokaji wako ....

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před 2 měsíci

      Co we unataka amuombe shetani sioo

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Před 2 měsíci

    Asisamehewe bwege wakuja huyo B zetu tano uzitoe kama auna jela mjinga wee

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 2 měsíci +1

    Jela tu wewe, usilete dini hapa,
    Wakati ukiwasrma watu vibaya
    Uliona sifa sasa leo umekutana na mwamba ,

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 Před 2 měsíci

    Ngoma ikilia Sana?,,,,,,,

  • @MonicaMarealle
    @MonicaMarealle Před 2 měsíci

    Ufungwe tu unamdomo sana

  • @hamynas
    @hamynas Před 2 měsíci

    kipanga endelea na kesi hili dubwana likaozee jela kelele zipungue mtaani

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Před 2 měsíci

    Punguza sifa kidogo mzee

  • @floridakagemulo3183
    @floridakagemulo3183 Před 2 měsíci

    Punguza mdomo mwijaku..unaongea kama umemeza betri

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 2 měsíci +1

    Sheikh Masud Msamehe mdogo wako amekosa

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před 2 měsíci

    unaleta masiala we fala. umeambiwa utoe maelezo ya kina unaishia kulamba lamba lifsi. ngoja mara hii utapanda kizimbani

  • @user-rj5cz8og6f
    @user-rj5cz8og6f Před 2 měsíci

    Pungunza mdomo we muha wa kigoma

  • @ibrahimpatrick5871
    @ibrahimpatrick5871 Před 2 měsíci

    Kwan hii inshu ilikuaje wakuu??

  • @issajambi2417
    @issajambi2417 Před 2 měsíci

    nataka kucheka kabda cjasikiliza mpkak mwisho

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 2 měsíci

    KP kuka kichwa huyu ili asisahau hadi anaingia kaburini

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 2 měsíci

    Kudadadeki safari hii umekutana na KP mtoto wamjini kakutia roba kwenye kona hufurukuti nakujamba juu kenge wewe

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi Před 2 měsíci +1

    Mnafiki mkubwa wewe, hayo yote ya kwamba ni kaka yako sijui ni legend hukuyajua mwanzo. Unajifanya kiarabu kingi sasa hivi. Acha usekwe mahakamani ili upunguze mihemko

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před 2 měsíci

    bado ujasema mbuzi wewe

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 2 měsíci +1

    Huyu hajapmba msamaha!! Anajigamba anajua quran na kiarabu!! Anajifanya mjanja tuu!!! Amesema ujinga.. sijaona msamaha hapo

  • @chancedallas9077
    @chancedallas9077 Před 2 měsíci

    Itakuwa ilijinga Alina hata mwana cheria Ili yani kaingizwa Chaka aombe msamaha Ili azidi kuwa nakosa zaidi