Mohd Mohd Ikiwa kuna waliofukuzwa basi Bakhresa hahausiki mana Bakhresa alifunga mikataba na makampuni kwaajili ya ujenzi wa miradi husika kwahio kampuni inapokwenda kinyume na makubaliano ya ktk mikataba basi tayari kampuni inakua imeshapoteza kazi ikiwa ni pamoja na waajiri wake waliopitia kwa kampuni
magest yapo tuje tumuongezee bakhersa mizambi maana kwa hapo mizambi hawezi kuyaepuka kwa sababu yy ndio asbabu maana ndio aliyejenga mijengo mizigo inamsubiri ya zambi
Beutiful Island of Africa
Hongera bwana pesa shikamooo!!!!
Hongera Bakhresa utakumbukwa milele unguja.
Usisahao Pemba . Maendeleo yanatakiwa sana.
mashaallah zanzibar
Mashaallah
Mtangazi yko vzr sana.
MashaAllah mji ni mzuri unavutia but 2nauchafuwa/2tauchafuwa kama inavyochafuliwa/ilivyochafuliwa dunia kwa utovu/ukosefu (kushuka)maadili.
Ni mtihani kwa kweli wallah tatizo serikali wageni wanapoingia hawawacontrol kufuata maadil yetu mwisho wa siku ni adhabu kutoka kwa Allah
hao wanawake wafanyiwe utaratibu ,wajiheshimu
Wee Bakharesa ukigombeya Urais kwangu mimi kura ipo100%
Ajaja
Good
Nahis km ni muscut oman THE WAVE😘
kwely
This is Fumba uptown?
Nimepapend
kweli nimeamini shikamoo kelele heshima pesa
mukisha maliza kutembea murudi katika nchi zetu sawa?nimarufuku kukaa mgani kwenye visiwa sawa?
Kweli kabisa hatutaki uchafu ktk visiwa vyetu
Hi
Kwani hapana Wazanzibari wakuwahuji!?
baada ya kutubia uyo bahresa ndo anazidisha uchafu
katengeza kweli lakini wafanyakazi walio fanya hayo wamefukuzwa kama mbwa hata haki zao hawajapewa
Uongo mbn mm bd nip
Cjamon at 1 alie fkuzwa
Mohd Mohd Ikiwa kuna waliofukuzwa basi Bakhresa hahausiki mana Bakhresa alifunga mikataba na makampuni kwaajili ya ujenzi wa miradi husika kwahio kampuni inapokwenda kinyume na makubaliano ya ktk mikataba basi tayari kampuni inakua imeshapoteza kazi ikiwa ni pamoja na waajiri wake waliopitia kwa kampuni
magest yapo tuje tumuongezee bakhersa mizambi maana kwa hapo mizambi hawezi kuyaepuka kwa sababu yy ndio asbabu maana ndio aliyejenga mijengo mizigo inamsubiri ya zambi
Zambi utabeba wewe mwenyewe coz mji unajengwa watu waishi ndio lengo hilo
Atakayeenda kutenda dhambi ni yeye kaamua lkn mjengeji kajenga watu waishi
Hapna. ..bs hata ukijenga shule ikiwa wanafunzi wanafanya uchafu bs zambi anapata mjengaji au!
Kila mtu at beba mzigo wake usitegeme uzinifu wako ata hukumiwa bakharesa