FUMBA TOWN IS THE PLACE TO BE IN ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • ~-~~-~~~-~~-~
    Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
    • LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
    ~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Komentáře • 31

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 Před 6 lety +5

    Beutiful Island of Africa

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 Před 5 lety +1

    Hongera bwana pesa shikamooo!!!!

  • @husseinkarim7839
    @husseinkarim7839 Před 5 lety +2

    Hongera Bakhresa utakumbukwa milele unguja.
    Usisahao Pemba . Maendeleo yanatakiwa sana.

  • @rashidabdallah7356
    @rashidabdallah7356 Před 6 lety +1

    mashaallah zanzibar

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Před rokem

    Mashaallah

  • @abdullaahmada5783
    @abdullaahmada5783 Před 4 lety

    Mtangazi yko vzr sana.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 Před 4 lety

    MashaAllah mji ni mzuri unavutia but 2nauchafuwa/2tauchafuwa kama inavyochafuliwa/ilivyochafuliwa dunia kwa utovu/ukosefu (kushuka)maadili.

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Před 2 lety

      Ni mtihani kwa kweli wallah tatizo serikali wageni wanapoingia hawawacontrol kufuata maadil yetu mwisho wa siku ni adhabu kutoka kwa Allah

  • @aminarashidi4757
    @aminarashidi4757 Před 3 lety

    hao wanawake wafanyiwe utaratibu ,wajiheshimu

  • @mwanaz3110
    @mwanaz3110 Před 6 lety +3

    Wee Bakharesa ukigombeya Urais kwangu mimi kura ipo100%

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Před 2 lety

    Good

  • @lipymuscat4779
    @lipymuscat4779 Před 6 lety +2

    Nahis km ni muscut oman THE WAVE😘

  • @azitilove3408
    @azitilove3408 Před 3 lety +1

    This is Fumba uptown?

  • @kuruthumuramadhani4516

    Nimepapend

  • @saleheally4685
    @saleheally4685 Před 5 lety

    kweli nimeamini shikamoo kelele heshima pesa

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 Před 5 lety +3

    mukisha maliza kutembea murudi katika nchi zetu sawa?nimarufuku kukaa mgani kwenye visiwa sawa?

  • @maulidabdullah5681
    @maulidabdullah5681 Před 4 lety

    Hi

  • @abubakarmuhammadsaid3244

    Kwani hapana Wazanzibari wakuwahuji!?

  • @simaijuma7982
    @simaijuma7982 Před 6 lety

    baada ya kutubia uyo bahresa ndo anazidisha uchafu

  • @MohdMohd-ne7jj
    @MohdMohd-ne7jj Před 5 lety +2

    katengeza kweli lakini wafanyakazi walio fanya hayo wamefukuzwa kama mbwa hata haki zao hawajapewa

    • @hasinahamiss3309
      @hasinahamiss3309 Před 4 lety

      Uongo mbn mm bd nip

    • @hasinahamiss3309
      @hasinahamiss3309 Před 4 lety

      Cjamon at 1 alie fkuzwa

    • @olaolacocacola9242
      @olaolacocacola9242 Před 4 lety +2

      Mohd Mohd Ikiwa kuna waliofukuzwa basi Bakhresa hahausiki mana Bakhresa alifunga mikataba na makampuni kwaajili ya ujenzi wa miradi husika kwahio kampuni inapokwenda kinyume na makubaliano ya ktk mikataba basi tayari kampuni inakua imeshapoteza kazi ikiwa ni pamoja na waajiri wake waliopitia kwa kampuni

  • @mohdmbarouk8340
    @mohdmbarouk8340 Před 6 lety

    magest yapo tuje tumuongezee bakhersa mizambi maana kwa hapo mizambi hawezi kuyaepuka kwa sababu yy ndio asbabu maana ndio aliyejenga mijengo mizigo inamsubiri ya zambi

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 Před 4 lety +1

      Zambi utabeba wewe mwenyewe coz mji unajengwa watu waishi ndio lengo hilo

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 4 lety

      Atakayeenda kutenda dhambi ni yeye kaamua lkn mjengeji kajenga watu waishi

    • @sudaissoud3670
      @sudaissoud3670 Před 3 lety

      Hapna. ..bs hata ukijenga shule ikiwa wanafunzi wanafanya uchafu bs zambi anapata mjengaji au!

    • @supqimohd5360
      @supqimohd5360 Před 7 měsíci

      Kila mtu at beba mzigo wake usitegeme uzinifu wako ata hukumiwa bakharesa