Ubarikiwe sana dadangu kwa ujumbe mzuri nikweli Mungu anatuwazia mema kwani tunapita katika magumu lakini yeye anakuwa nasi siku zote ndo maana nasema Mungu atabaki kuwa Mungu ubarikiwe sana Magreth
Hongera sana dada Magreth Mungu akuinue sana kwa viwango vya juu sana ila naomba msaada wako yanapatikana wapi maneno hayo mazuri ya wimbo huu katika Bible plz
Ubarikiwe sana dadaangu kwa ujumbe mzuri sana
Endelea kumtukuza MUNGU katika Roho
Barikiwa sana kwa Ujumbe mzurii
Leo nimeukumbuka huu wimbo safi sana kazi nzuri
Mungu azidi kukuinua dada uwimbo nimetafuta sana
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri
Napenda Sana wimbo wako x ya mwisho nilikuona ulikuja kutoa huduma makoka dar kwa fedrik kihongo
Ubarikiwe sana dadangu kwa ujumbe mzuri nikweli Mungu anatuwazia mema kwani tunapita katika magumu lakini yeye anakuwa nasi siku zote ndo maana nasema Mungu atabaki kuwa Mungu ubarikiwe sana Magreth
nzuri sichoki kuangalia na kusikiliza pia
Bariwa sana Mtumishi wa MUNGU.Ni kweli yuko tafauti na mipango yao.
Mungu akuinue viwango tofauti hd washangae nabalikiwa san nanyimbo zako
Kabisa tunae Mungu aliemshindi kabisa
Barikiwa sana dada magreth.
Dada MUNGU azidi kukuinua. Hakika Nyimbo zako zinaganga moyo. Ni kweli MUNGU Yuko tofauti na mwanadamu.
Kwa kweli YEYE yupo tofauti na walimwengu
Hongera sana dada Magreth Mungu akuinue sana kwa viwango vya juu sana ila naomba msaada wako yanapatikana wapi maneno hayo mazuri ya wimbo huu katika Bible plz
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ STILL. LISTENING JUNE 2024!!!
Kweli Yesu yuko tofauti
2021 bado niko na #Mungu ananiwazia mema# by Magreth Mwakyusa
.
.
.Barikiwa sana sister
NIMEBARIKIWA SANA. MUNGU AZIDI KUKUINUA ZAIDI KWA KWA KAZI YAKE.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Dada yangu Mage leo nimeamka wimbo huu umeimba sana ndani ubarikiwe sana 🤝✔️
Dadangu umepewa nafasi ya kufariji wote waliokatishwa tamaa,
Ipalilie hiyo karama dada, nimakusudi ya mungu.
Asante nimependa sana ujumbe.
Naupenda huu wimbo siweze kueleza namna ninavyobarikiwa nao,
Bado huu wimbo una nguvu ubarikiwe sana Daughter
Ahsante kwa nyimbo hii inanibariki sana
Aaaaaamen Ni kweli Mungu ni mwema sana Dada Mungu akubariki
Nakuona mbali sana barikiwa sana Mtumishi Magreth Mungu akuinue katika huduma Yako.
Oh my God,nimetafuta wimbo huu lkn nilikua sikumbuki jina lako,nimefurah Mana nilikuonaga Living water Church Kyle Mwanza, barikiwa na usonge mbele.
Yuko tofaut
Mungu Akubariki sn Muimbaji Kwa ujumbe mzuri❤
kweli baba yuko tofauti mno'Mungu akubariki kwakukutia kitu kinywani mwako ili tuendelee kujua ukuu wake
Naitaka hii nyimbo siipati
kweli mawazo ya Mungu sio kama ya mwanadamu
Ubarikiwe sana mtumishi ❤
Huu wimbo hua naupenda sana jamaani, Ameeeni.
Umenibariki kwa kweli,ubarikiwe Sana
Ameen
Huu wimbo huu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli.mungu.yuko.tofauti.namawazo.yawanadamu.
Barikiwa sana🙌
Hakika anatuwazia mema
Hakika wimbo unabariki mno barikiwa.
Nakupenda sana dada nimepitia mapito kama hayo walitaman nishindwe lkn Mungu alivyo Wa Ajab alinishindisha wakabk wanashangaa
Barikiwe mpnz
Nabarikiwa
kwel MUNGU yupo tofaut na wanadamu ubarikiwe kwa wimbo mzur
Keeping on singing my sister God will help you and though this song I am blessed.
jaman hii binafs inanfarij sana dada ubarikiwe kwa nyimbo nzury kma hii
Amina
Sauti nzuri,wimbo umejaa ujumbe mzito sana barikiwa ufike alipopakusudia
Ujumbe ni mzuri sana nikweli, mungu hafananishwi na chochote ingawa alimumba mwanadamu kwa mfano wake
Nzur
Ubarikiwe Mtumishi wimbo umenifàriji. Asante
kweli huu wimbo hutia tumaini kwa yule alie kata tamaa ubarikiwe sana Dada yang
This is my testimony for sure
Asante mungu kwa kuniwazia mema Siku zote
ubarikiwe sana dada magreth,nimefrahi kukuona leo live galilaya buhongwa mwanza,karbu tena dia
sister you are great...uinuliwe zaidi ,,,nmeuskia sana wimbo wako kwenye rudisha radio ya bishop gwajima....Mungu akubariki dada
Asante Mungu kwa kuniwazia mema,hakika nitashinda
yako tofauti na wanadamu x2 ,ananiwazia mema barikiwa sana
Dada uko vizuri..nimebarikiwa sana..na mm naomba Mungu akubariki sana
Ndo maana namheshim sana Mungu wangu
Yes Amen mtumishi
Honger sana dad magreth kaz nzuri sana mungu akubarki
asante yesu kwa kuniwazia mema
barikiwa dada
Bila shaka wewe pia unatuwazia mema watu wote tuishio katka ulimwengu huu, maana sidhana kama kuna mtu hajaguswa na huu wimbo.
Asante dadangu.
Mungu akubariki dogo, nimependa uimbaji wako ,zaidi jinsi ulivyo ww mwenyewe hujajipamba pamba
Barikiwa mpendwa! Wimbo unanibariki mno
Yupo tofauti akawaza nishinde
I love the message God bless u Dada
Elia Lydia safi
Aminaaa
Amen
Amina Dada kwa wimbo wenye nguvu kwetu tulio kata tamaaa,kumbe yupo mtetezi wetu,
Kawimbo katamu ujue. Ntaupataje sasa, au una cd?
ni kweli mawazo ya Mungu ni tofauti na ya wanadamu, ubarikiwe dada kwa wimbo wenye faraja kubwa ktk maisha yetu
mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa ujumbe mzuri
good song
❤
huu wimbo sichoki kuusikiliza barikiwa mgreth
mungu akubaliki sana magret 😙😙😙
Nice
Amen hogera dada kwakaz zuru
amen my sister kwawimbo mzur
hakika ua gud Magreth!!
So encouraging...
Kwa kweli yuko tofauti kabisa.
be blessed
Dada mugu AKUBARIKISANASANA
GOD bless you ma siater
So encouraging Song
Good,
Nakupenda
nakupenda sana dada magreth kwa ujumbe mzuri
Anatuwazia mema
barikiwa sana Dada hakika Mungu anatuwazia mema
Dada Mungu azidi kukuinua zaidi ya hapo
Josia Andrew Nyimbo zuri nimebarikiwa sana Mungu akuinue zaidi
Pp
Hakika umekua faraja kubwa sana huu wimbo katika maisha yangu
Amina
Amina