The Gospel music of East Africa is on another level let's support this amazing talent by watching and sharing this message until we reach 10 million Views in one month
Naomba nikusaidie wewe uliyesema hii nyimbo angapewa boazdunken ,, kwenye huduma hayo mambo hajaitendea haki God requires what he has given you that is it""ndo maana Kuna aliyepewa talanta kumi Tano na mwingine Moja,,na ndo maana Kuna mbegu zilizozaa hamsini nyingine mia nyingine elfu ,,,kwa Mungu amefanya asilimia mia kwasababu ndo alichopewa na ndo maana huu wimbo akampa yeye na Wala sio Boaz dunken ☺️☺️☺️
KUNA NAMNA MUNGU WETU ANATUFURAHIA SANA KWA HIZI IBADA ZINAZOFANYIKA......! Mungu wetu alieinuliwaa juu sana azidi kukutunza kwa utukufu wa ufalme usioshindwa na jambo.
The Gospel music of East Africa is on another level let's support this amazing talent by watching and sharing this message until we reach 10 million Views in one month
Nimefurahi Sana kupitia huu wimbo
Naomba nikusaidie wewe uliyesema hii nyimbo angapewa boazdunken ,, kwenye huduma hayo mambo hajaitendea haki God requires what he has given you that is it""ndo maana Kuna aliyepewa talanta kumi Tano na mwingine Moja,,na ndo maana Kuna mbegu zilizozaa hamsini nyingine mia nyingine elfu ,,,kwa Mungu amefanya asilimia mia kwasababu ndo alichopewa na ndo maana huu wimbo akampa yeye na Wala sio Boaz dunken ☺️☺️☺️
Hongera Sana mtumishi wa Mungu NEEMA ya Mungu ikazid sna kwako katika kuitenda kazi yake
Pianist chukua maua yako.....🌺
Ubarikiwe mno mwana wa Mungu tunakupenda Mfanyie Baba yako kazi amekuamini
KUNA NAMNA MUNGU WETU ANATUFURAHIA SANA KWA HIZI IBADA ZINAZOFANYIKA......! Mungu wetu alieinuliwaa juu sana azidi kukutunza kwa utukufu wa ufalme usioshindwa na jambo.
Amen... nyimbo nzuri mtumishi barikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪
Wastahili bwana ....huu wimbo mkali sana una ufuasi huku Kenya 🇰🇪... More blessings zoravo and the entire team ❤❤
Niko chini ya mbawa zako Nimesongea 😢🙌🙌🙌😊
Kama kunakitu hunifurahisha ni kukuta wimbo wa ibada kutoka kwa Zorazo! Nimebarikiwa kabisa
NIMESOGEA🔥
Nimesogea enzini pako nakuabudu wewe ni mkuu wewe ni mfalme ameen
Zoravo Mungu azidi kukutumia wakati wotee Uinuliwe na Mungu wa Miungu
HII NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waoo sikujua kama huu wimbo umeibwa na wewe
Waaaaao am a blessed
Hatimae wimbo wangu umeachiwa huru jaman😊 arururururu🎉🎉🎉🎉🎉
Yesss....asante yesu....Love from Kenya 🇰🇪
wastahili BWANA YESU 😢😢