Q CHIEF AGEUKA MGANGA WA KIENYEJI, ASIMULIA UGOMVI NA BABA YAKE HADI AKAMUIMBA | HARD TALK..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Q CHIEF AGEUKA MGANGA WA KIENYEJI, ASIMULIA UGOMVI NA BABA YAKE HADI AKAMUIMBA | HARD TALK..
    KATIKA kipindi cha 'HARD TALK' leo Oktoba 19, Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, amefanya mahojiano na mwanamuziki Q Chief, kuhusiana na upande wake wa pili wa maisha ambao watu wengi hawaufahamu.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 55

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @Chapesatv
    @Chapesatv Před rokem +6

    Dahhh Q-chef the man and half bro get yourself together I know the cake 🎂 still there.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem +3

    We ❤ you chila ,part 2 Lilian please 🇹🇿🇨🇭

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před rokem +1

    Lillian mungu akuzidishie kwa kweli unachokibeba kuhoji wakubwa tu ndo tumeelewa hapa mungu akueke

  • @abdurahamansebeku6996
    @abdurahamansebeku6996 Před rokem +1

    Unajua bro q chila tatizo lako moja tuuu hii kisa unatakiwa uiacha kwakua mungu kila anapo kupitisha Ana maksadi yake basi Acha kulaumulaumu mara kwamara nikama unamkosoa mungu jifunze kuwa kheri nyengine zipo ndani yasharih

  • @SUZIBALE_OG
    @SUZIBALE_OG Před rokem

    Easy but hard to understand the spiritual meaning of all story of Q cheeler. I understand him a lot and this Guy is more than people what they see Q cheef. Bro your Special Person in Tanzania kwa kwa macho ya kawaida ni ngumu sana kumuelewa Ila watu wa Imani We understand him a lot. Tuliwahi kuonana na kupiga story Kadhaa Na Brother Q ila hatukupata Time nyingi Kuongea na kuelekezana ila there's something in Q chiller pamoja na Eby skills ambavyo wanapigana navyo bila watu wa nje kuona ila watu wana judge them kama wamepotea Q 1day Tanzania na dynia wataelewa namaanisha nini.... Naitwa Luay Seif Sayeed Al-Alawi

  • @arafatmiraj9926
    @arafatmiraj9926 Před rokem

    Una mikwara sana Qcheela

  • @aminahussain3058
    @aminahussain3058 Před rokem +2

    Nakukubari sana

  • @tato8979
    @tato8979 Před rokem +2

    Q chief namkubali sana nyimbo zake

    • @annabadru2352
      @annabadru2352 Před rokem

      Nampenda sn huyu kaka mimi Jamani yani nampenda mno. Q Chief kwangu no 1❤

  • @samboarnold611
    @samboarnold611 Před rokem

    Deep spiritual content

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 Před rokem

    Nimekukubali sn, Mungu atakusaidia

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před rokem +9

    Huyu sio bangi imemzidi huyu kweli ila Kuna maneno anaongea nikweli kabisa mtu wakukumaliza nindugu

    • @mapekhamis3882
      @mapekhamis3882 Před rokem +1

      kunavtu anapitia ila kutokana na mazingira yake flan ayo uwezi kukubali moja kwa moja inabdi amuamin mola tu mengine ni mapitio ktk iz baadh ya familia,mila zipo destur zipo ktk baadh ya familia (makabila)ila apo kwny mlango wake anaujua mmh 🤔🙄

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia Před rokem

      😂😂😂😂

  • @mmn7480
    @mmn7480 Před rokem

    ndugu mtangazaji umependza snaaaaaa

  • @mmn7480
    @mmn7480 Před rokem

    Mashaalh

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Před rokem

    YESU anakuhitaji

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 Před rokem +2

    Watakao kuelewa ni watu kama sisi tuliopitia kwenye haya matatizo kama yako

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před rokem +3

    Mungu ata musaidia tu one day , bora uzima 🙏🏿

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem +2

    Mc luvanda anaona hii interview mke wake anavyosifiwa kweli??🤣🤣🤣

  • @crownpress5512
    @crownpress5512 Před rokem

    Kumbe wasanii wakihojiwa kwa akili wana akili....ila ukiwahoji ujinga wanakujibu ujinga

  • @faithkapondo5383
    @faithkapondo5383 Před rokem +2

    Dada mwasha kolumba hatak kutumalzia stor ya bayo

  • @skenedy2766
    @skenedy2766 Před rokem

    😔😔😔😔😔😔😔🙏😔🙏😔😔🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 that's true brother chef 🙏

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Před rokem +1

    Interview yenu si mngeifanya ya kingereza? Tuipende lugha yetu

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 Před rokem

    Hiyo background music ina tusumbua

  • @amirimbwambo3463
    @amirimbwambo3463 Před rokem +1

    Tunakusubiri kwamu ssna kaka

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Před rokem

    Sikuzote naheshim yamtokayo mtu 🙌

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před rokem

    UNAOTESHWA NA MASHEITWANI BROO...!!
    HAKUNA UJUMBE UNAOTOKA KWA MWENYEZI MUNGU HAPO

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před rokem +1

    Mh!

  • @georgesikazwe5914
    @georgesikazwe5914 Před rokem

    Sasa cjaelewa unazungumzia nini mbn sielew kingereza kingi what the point...

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 Před rokem +1

    Mbona unaonekana kama bangi nyingi na ulevi uliepitiliza

  • @sihabasihaba5155
    @sihabasihaba5155 Před rokem +3

    Acha bangi utatoboa

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Před rokem

    Q chief km q chillah jamaa wa simple

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 Před rokem

    Bange haijawahi kumuacha mtu salama chila umefeli usijali wewe siyo wa kwanza kufeli anza upya kwanza tengeneza afya yako maana umekondeana mnoo start again siyo dhambi acha bange

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 Před rokem

    Code mixing code switching inaboa mngeamua moja kama mnaongea kiswahili iwe hivyo au ni english tujue hii interview imeboa sana

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Před rokem

    Atarr uyu mwamba cjamuelewa bado kaniacha njiapanda cjuwii kijiti kile kimemponzaa

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Před rokem

    Bangi

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 Před rokem

    Mwasha na q chief nyie ni WASWAHILI hii ENGLISH yenu acheni bana tumechoka
    WEE MWASHA NEXT INTERVIEW SEMA SWAHILI ACHENI UBWA BWA

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 Před rokem

    Sikuizi Q chifu kichaa kinamuanza muangalieni jamani huyo NI mwehu kabisa haeleweki kabisa

  • @manbonge3015
    @manbonge3015 Před rokem +2

    Chila una danganywa na ibilisi

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před rokem

    Unanimalizia bando kwa kingereza chenu mi sielewi ngoja nitoke

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem

    Huyu hajaacha madawa tuu🥲

    • @TradingPHD
      @TradingPHD Před rokem

      So unajifanya mungu mtu ? So now you are judging people.. pumbavu

    • @beatymassawe123
      @beatymassawe123 Před rokem

      Nahisi anahitaji health medical check up. Hizo outfit alizovaa jamani ni kwa nchi zenye baridi. Hii interview si umefanyika Tanzania?

    • @TradingPHD
      @TradingPHD Před rokem

      @@beatymassawe123 Tanzania kila Hotel kuna AC.. mbona rayvany, harmonize ha Diamond uwa wanavaa makoti ya winter za everest mountain.
      Haters are everywhere.. hapo wala hajavaa koti iyo inairwa VEST

  • @abdullahsayid5280
    @abdullahsayid5280 Před rokem +1

    Anatafuta njia ya kutokea huyu mziki ushamshinda

    • @tinnamsuya8221
      @tinnamsuya8221 Před rokem +1

      Huyajui maisha ww siku ukiyajua hutaongea haya unayoongea,huyu jamaa anaongea point sana zenye ukweli mtupu wala sio bangi

    • @tinnamsuya8221
      @tinnamsuya8221 Před rokem +1

      I just love him aisee sikujua kama ana kitu kikubwa hv ndani yake

    • @abdullahsayid5280
      @abdullahsayid5280 Před rokem +1

      @@tinnamsuya8221 🤣🤣

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před rokem +2

    mh....sio bangi hizi jamni

  • @georgesikazwe5914
    @georgesikazwe5914 Před rokem

    Usijitilishe huruma mwamba pambn ndug nd tulivo kulostishana t so kaa chini achan nao ushakua.mkubwa hakun wa kukupigania zaidi ya ww mwenyew

  • @yasinazam116
    @yasinazam116 Před rokem

    Q chief needs therapy
    Confused fella
    Ujanja ukizidi mwisho inakuwa mshamba
    There things to see here
    He needs help
    He can't control himself