Q CHIEF AGEUKA MGANGA WA KIENYEJI, ASIMULIA UGOMVI NA BABA YAKE HADI AKAMUIMBA | HARD TALK..
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Q CHIEF AGEUKA MGANGA WA KIENYEJI, ASIMULIA UGOMVI NA BABA YAKE HADI AKAMUIMBA | HARD TALK..
KATIKA kipindi cha 'HARD TALK' leo Oktoba 19, Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, amefanya mahojiano na mwanamuziki Q Chief, kuhusiana na upande wake wa pili wa maisha ambao watu wengi hawaufahamu.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Dahhh Q-chef the man and half bro get yourself together I know the cake 🎂 still there.
We ❤ you chila ,part 2 Lilian please 🇹🇿🇨🇭
Lillian mungu akuzidishie kwa kweli unachokibeba kuhoji wakubwa tu ndo tumeelewa hapa mungu akueke
Unajua bro q chila tatizo lako moja tuuu hii kisa unatakiwa uiacha kwakua mungu kila anapo kupitisha Ana maksadi yake basi Acha kulaumulaumu mara kwamara nikama unamkosoa mungu jifunze kuwa kheri nyengine zipo ndani yasharih
Easy but hard to understand the spiritual meaning of all story of Q cheeler. I understand him a lot and this Guy is more than people what they see Q cheef. Bro your Special Person in Tanzania kwa kwa macho ya kawaida ni ngumu sana kumuelewa Ila watu wa Imani We understand him a lot. Tuliwahi kuonana na kupiga story Kadhaa Na Brother Q ila hatukupata Time nyingi Kuongea na kuelekezana ila there's something in Q chiller pamoja na Eby skills ambavyo wanapigana navyo bila watu wa nje kuona ila watu wana judge them kama wamepotea Q 1day Tanzania na dynia wataelewa namaanisha nini.... Naitwa Luay Seif Sayeed Al-Alawi
Una mikwara sana Qcheela
Nakukubari sana
Q chief namkubali sana nyimbo zake
Nampenda sn huyu kaka mimi Jamani yani nampenda mno. Q Chief kwangu no 1❤
Deep spiritual content
Nimekukubali sn, Mungu atakusaidia
Huyu sio bangi imemzidi huyu kweli ila Kuna maneno anaongea nikweli kabisa mtu wakukumaliza nindugu
kunavtu anapitia ila kutokana na mazingira yake flan ayo uwezi kukubali moja kwa moja inabdi amuamin mola tu mengine ni mapitio ktk iz baadh ya familia,mila zipo destur zipo ktk baadh ya familia (makabila)ila apo kwny mlango wake anaujua mmh 🤔🙄
😂😂😂😂
ndugu mtangazaji umependza snaaaaaa
Mashaalh
YESU anakuhitaji
Watakao kuelewa ni watu kama sisi tuliopitia kwenye haya matatizo kama yako
Mungu ata musaidia tu one day , bora uzima 🙏🏿
We mpe mungu life yako he will save you
Mc luvanda anaona hii interview mke wake anavyosifiwa kweli??🤣🤣🤣
Kumbe wasanii wakihojiwa kwa akili wana akili....ila ukiwahoji ujinga wanakujibu ujinga
Dada mwasha kolumba hatak kutumalzia stor ya bayo
😔😔😔😔😔😔😔🙏😔🙏😔😔🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 that's true brother chef 🙏
Interview yenu si mngeifanya ya kingereza? Tuipende lugha yetu
Hiyo background music ina tusumbua
Tunakusubiri kwamu ssna kaka
Sikuzote naheshim yamtokayo mtu 🙌
UNAOTESHWA NA MASHEITWANI BROO...!!
HAKUNA UJUMBE UNAOTOKA KWA MWENYEZI MUNGU HAPO
Mh!
Sasa cjaelewa unazungumzia nini mbn sielew kingereza kingi what the point...
Mbona unaonekana kama bangi nyingi na ulevi uliepitiliza
Acha bangi utatoboa
Q chief km q chillah jamaa wa simple
Bange haijawahi kumuacha mtu salama chila umefeli usijali wewe siyo wa kwanza kufeli anza upya kwanza tengeneza afya yako maana umekondeana mnoo start again siyo dhambi acha bange
Code mixing code switching inaboa mngeamua moja kama mnaongea kiswahili iwe hivyo au ni english tujue hii interview imeboa sana
Atarr uyu mwamba cjamuelewa bado kaniacha njiapanda cjuwii kijiti kile kimemponzaa
Bangi
Mwasha na q chief nyie ni WASWAHILI hii ENGLISH yenu acheni bana tumechoka
WEE MWASHA NEXT INTERVIEW SEMA SWAHILI ACHENI UBWA BWA
Sikuizi Q chifu kichaa kinamuanza muangalieni jamani huyo NI mwehu kabisa haeleweki kabisa
Chila una danganywa na ibilisi
Unanimalizia bando kwa kingereza chenu mi sielewi ngoja nitoke
wanakera
Huyu hajaacha madawa tuu🥲
So unajifanya mungu mtu ? So now you are judging people.. pumbavu
Nahisi anahitaji health medical check up. Hizo outfit alizovaa jamani ni kwa nchi zenye baridi. Hii interview si umefanyika Tanzania?
@@beatymassawe123 Tanzania kila Hotel kuna AC.. mbona rayvany, harmonize ha Diamond uwa wanavaa makoti ya winter za everest mountain.
Haters are everywhere.. hapo wala hajavaa koti iyo inairwa VEST
Anatafuta njia ya kutokea huyu mziki ushamshinda
Huyajui maisha ww siku ukiyajua hutaongea haya unayoongea,huyu jamaa anaongea point sana zenye ukweli mtupu wala sio bangi
I just love him aisee sikujua kama ana kitu kikubwa hv ndani yake
@@tinnamsuya8221 🤣🤣
mh....sio bangi hizi jamni
Usijitilishe huruma mwamba pambn ndug nd tulivo kulostishana t so kaa chini achan nao ushakua.mkubwa hakun wa kukupigania zaidi ya ww mwenyew
Q chief needs therapy
Confused fella
Ujanja ukizidi mwisho inakuwa mshamba
There things to see here
He needs help
He can't control himself