Marioo - Unanionea (Official Lyrics Video)
Vložit
- čas přidán 22. 06. 2020
- Stream/Download:linktr.ee/mariootz
Listen to Marioo on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/mariootz
Apple Music: / marioo
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
Spotify:open.spotify.com/artist/4ZTqT...
Follow Marioo on Social Media:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
Twitter: / kingbad_
The Official CZcams Channel Of Marioo.Subscribe for the Latest Music Videos, Performances, and More. / mariooofficialmusic
+For More Information Booking Marioo:
Contact:emailmariootz@gmail.com
©2020 Bad Nation.All rights reserved.
#Marioo #Unanionea #KingBad - Hudba
Kama umesikiliza nyimbo hii 2024 gonga zakutosha likes hapa
Apana
Kama ulisikiliza huu wimbo 2024 gonga like tukisonga
Plz jamani naomba likes. ..sijawai kupata ata siku moja😐
Umepata
Umepats
Kwendraaaa 😂
❤
@@lucasmalale❤❤❤❤🎉
This song reminds me the time i was almost going to depression 😭😭hakuna kitu mbaya kuwachwa kimadharau, yaani bila kumkosea mtu😢I thank God I'm healed and siiiiiiiiiingle
It is painful kuachwa kwa Kosa la kusingiziwa na wapambe tu Daah broo you sung this song to me.respect to you
Mungu zaidi
Aky 🙏
It's painful kuachwa bila kosa TENA kIMATHaRau
Cheers
Mariiioo....kenya loves you bro !! Likes za watanzania jameni♡♡♡
Jamaniiii mari0 unak0sha r0h0 Yangu.... Wangapi tup0 Pam0ja ✨❤️
Huyu jamaa n zaid ya maelezo ,,,mariooo respect!!!!!!
Tupo wengii
I’m no a fun of swahili or bongo songs.. but hapa nimeguswa,, cnt stop crying listening to this song while remembering for what she did to me... maumivu ya moyo hayana dawa.😭😭😭😭
Aaah, pole bro
Wallah tena
Wah tuko kwa dau moja bro
Walahi maumivu ya moyo inaeza kutoa matumbo pia😭😭😭
Sorry broo...
Mario wangu siezi wacha kuskiliza Ngoma zako....afu hii nyimbo nikama umeniimbia mm
Uwiii marioo unanigusa jmn,😘😘
Uwiii Mario ujawai kosea walai
Nakukubali xana Mzee baba Huwa unanikosha sana nanymbo zko like zenu jmn km nawe unamkubali marioo💪💪
Gud papa
czcams.com/video/mHRciBhGcys/video.html
Kama una mkubali Mario gonga Like hapa 💥
I officially anounce Marioo as the king of Romantic songs and voice in Tanzania 🥰🥰
Who are you to announce?
I totally conquer.🙏👍😘
🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
This song has the most
This song has the most amazing and melodious. The music ,
Kwanini bibi yangu unitumia hii ngoma atakama nko mbali mama i love you so much.goma congo ni mbali lkn am coming soon baby.nko fine
Jamaa hufai mbna kama unanigusia sana 🙆♂️🙆♂️🙆♀️🙆♀️ hekenya sarutee mariooooo
Kumbe ume tugusa hote
hekenya na wewe
czcams.com/video/mHRciBhGcys/video.html
I don’t think you have to miss this🤭 just click on link below & follow me boss 👉 instagram.com/dangotegoldz
😂😂
"Na kama kuachana nimekubali sawa fanya yako" 😊😊😊 what a sweet song🤗🤗🤗
Hiz ndo nyimbo za kutrend mwezi mzima!! Nyimbo zinazogusa hisia na mioyo yetu..
Use me as a this is the kind of music we want!!! 🇹🇿🇹🇿
Sina zaid la kusema kwako ila much respect kwa kaz za mikono yako. Unafanya vyema sasa kwenye mziki nakukubali sana. Mungu akupe umri mrefu kama namba za vocha. Amiin
Bonge la ngoma ,,,like nyingi kwa mario kama unamkubali
czcams.com/video/mHRciBhGcys/video.html
Marioooo Aaaaaanh😄😄😄...we jamaa una uandishi flan hiv wa kimafia saaaaana..Nakubalii
Hajawahi kufeli M.Tz penda sanaaa
@@cattiemoses3645 Anajua mnoooo🔥🔥 nimemfuatilia Tokea kwenye #Bure mpka kwenye hii #Unanionea...Ana balaa sana huyu bamdgo
Hisia jamaa,nakubali nyimbo tamu sana,+254 present
Marioo huu wimbo unanigusa saana nipo katika wakt huu na ninapousikiliza ni kilio tuu big up bro
😆😆wewe una tumanga me napata usingizi na nyimbo zako ❣️❣️❣️jamani ata ka like basi 🗣
czcams.com/video/mHRciBhGcys/video.html
Ka coment ka kinyama
Rweyumbiza Kabantega uhmmmm
Umeguna seme huu wimb nimesklz mar 10
Marioo anatisha sn kk ww noma sn
Aaah mariooo from today I call you the young king of the new music generation✌✌ umenitouch si kichizi
so hot Mariooo😍😍😍😍
Marioo you really give me the strength to move on with life.... after I got a heart break ....I like your songs may God bless you
Me to... Respect to marioo..... My ex left me to die on my own😭
Me too this song makes me stronger than ever I swear after being broke
Marioo is the best
Polee
Marioo 💪❤️👑
Hihi nyimbo ime nisema mimi apa kiukweli kaka mungu andeleee kukupa ujuzi zahidi from 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺
Team Mario, nyimbo zako nazipenda sana full love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yan had nimesisimkaa huyu jamaaa in fund heshima yako kaka duuuh
Kam unaamin GONGA LIKE
Kwl
Inatosha, aya na hii unanionea Ni sound trucks kabisa! Bongo movie mko wapi! Mbona mmelala hivyo? Big Sana marioo kwa utunzi unaozama na kuweza kuteka hisia za mtu! Kwa huu utunzi pekee unapata wazo moja la filamu Kali mno!
This song should be given an award.. of all your songs this has taken all my attention and it has been on repeat mode
Mwanangu ushatendwa saaanaaaaaa yaache mapenzi tu.. Marioo🔥🔥🔥🔥
Yani uwimbo nauckiliza kila wakati
Am a kenyan
Kusema tu ukweli ngoma za Tz zenye zimeproduziwa na bonga mimi huzifeel
Sijui yueka nini kwa beats zake
Salute to this producer
Mbaya sana uyo jamaa 🔥🔥🔥🔥
True
@@fessie101 yeah
Kwanza ile ya Harmonize - Atarudi beat iliweza
Yueka hiriki ,pilipili manga na nteleeh kilo moja !
The most underrated bongo musician from Tanzania🔥moto kama pasi wanakuonea tu we mkali braza from +254
Hivi kazi safi sana....pokea mapenzi toka Kenya...ila naomba kama waweza Fanya colabo na blaq diamond ngoma mfano na amapiano.....
Wew ni zaid ya wote kwenye Nyimbo za maumivu🔥 Nani anakubaliana na mimi??
Alie muumiza asee alimuachia kidonda aswaa
Mimi apa ja
Mamobywwa
Mamobywwa
👌👌💯💯💥
Leo nimecoment kwenye Video yangu mwenyewe.Sasa mnipe Likes na nyie hahahaha halafu niulizeni chochote kuhusu hii video ntawajibu hapa
Umetisha sana humu..
Ila kama unatendwa sana na mapenzi
@@shambaproject2256 hapana mambo haya wengi wanapitia
@@shambaproject2256 asante sana
mzee baba we noma sana humu tunaishi
Hivi kweli yupo mwenye roho mbaya kukushinda, maana mi sijaona duniani..# punch line. # Mario is underrated ila ni msanii mkali mno.
Hii ngoma naikubali sana toka niumizwe mpaka leo nikisikiliza hii ngoma nasema wacha aende zake
Me nakupenda sana omary kama mariooo nakupenda sana unajua kuubembeleeza moyo wangu kwa hisia za nyimbo zako .
Japo najua mapenzi si kwichikwichi ty ila mazoea nimekuzoea.
#unanionea
#mchawihawezikuelewa
#tupe burudni
Marioo upo vizuri San mungu hakusimamie katika Kazi yako
Mario unafany nn apo we n level nyngne kabsa,bro unajua kuandika,kupangilia,kuimba toka iyo level sio yako
aende wapi sasa na mziki wa bongo umejaa fitna na uteam
I don’t think you have to miss this🤭 just click on link below & follow me boss 👉 instagram.com/dangotegoldz
Hivi Leo wanipa moyo,nilimtambua Kama rafiki wa shida na Raha,ila ndo hivo.....🙏
waaah kama unaamini kuna kitu inakuja mario ft bonga kuja na like bonga nakuaminia kenya 254 chill bro niombee unanionea basi nipokee na vibao vingine naona sasa mario kqapata producer wa stle yake sasa
Kaka nyimbo zako za tofauti sanaaaaaaa yni una voko flaniii hviiii daaahh🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tz Kila siku tunazidi kukua kimuziki
voko la kiaina yake
Daaah utazani kachukuwa mistari kwenye penzi langu 😢😢😢😢
Anaye mkubali Mario kama mm gonga like tujuwane 😢😢😢😢
😂😂😂😂
The baddest
hahahaha
😂😂😂😂Yani amepita mule mulee🤣🤣
Umejua kunichekesha wajina
Big up umenitach sana nataman niweke like 1000000000000 sema nikiweka nikiongeza inatoka yaan nakubali saana kama kuachana nimekubali
Am chimamy from Kenya aki marioo unafanya nitowe machozi ninapo sikiliza hii song aki nikama umeniimba mimi nakupenda bure bro
Jaman tulioguswa hapa tujuane.#Unanionea🔥🔥🔥🔥
Kbs
Maumivu ya moyo
Wee acha tuuu
@@edinajohn6575 noma sana Aisee
Man who never disappoint ..from +254 kama unakauli moja na mimi piga like tukisoga
shenzi umekuwa kama wa tz kuomba likes?ni za kudo?
@@kevintely3375 kwa raha yangu jamaa
@@kevintely3375 😁😁😁
@@kevintely3375 sawa bwana sisi wa tz sindo wajinga
czcams.com/video/mHRciBhGcys/video.html
Nakukubali sana marioo,,,wewe ndie msanii ambae kwa kila nyimbo huhitowayo lazima chozi linitoke mzeee
I just love this song, it hits different. Wakenya 🇰🇪 likes za Mario hapa
Tanzania to the world!! Keep pushing our local language Swahili to the world...wataelewa tu!! We are proud of you Marioo..🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Chingo
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️💪🏾💪🏾
Kutoka moyoni mwangu. We ni mkali sana. Keep good music alive.
Kabisa Mari your are my hero
Hapa umecheze marioo hii songo yanigusa pia mshikaji wangu🙏🙏
Kweli kaka nizaidi ya uwezo maisha yangu ndo vile unavo imba kila siku
Daah nahisi kulia haki yani,,,dah bro unaimba kinachonitokea right now😪😪😭. "Ananifanya nione mapenzi mabaya wakati kwak nd pa kuponea." Nipeni like 30 bas labda moyo utatulia😭😭😭😭
Pole
Ni yeye
Daaah polee mwenetuuu sema nn marioo katembea mulee muleee kama vp tusebenzee tu kiainaa mwenetuu
Hahahahahahaha umepata 80 maumivu yamekata
Pole sana. Ndivyo yalivyo mapenzi.
Bonyeza link hii uitazame hii video, naamin kwa kiasi kikubwa itaufariji mtima
czcams.com/video/_vGu4l1MoMw/video.html
Mafans wa marioo mko wapi . Enjoy good music🌹❤🌹
Mimi fan wake sana toka +254
tupo sister eeeeeeh iyi ya leo kali kinyama
Tupoooo🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴
💯💯💯💯
Kiu kweli Mario fundi
Leo najikuta nalia...kuna watu kweli wana roho mbaya
Hongera sana me nakukubali sana💪🏻ombi langu kwako naomba usije ukalewa sifa endelea hivyo hivyo...kama wakina fulani sasa hivi hawaimbi tena kwa hisia...ila sifa sasa ndo zinawaponza
Nimemkubali sana kwa moyo wangu wote. Wangapi wanasema marioo adumuu milelee 🌍🐯🦁🦁🤗
Hivi bongo mbona mwanitia wivu. Good song wallah🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Karibu jirani yetu ❣
😂😂😂💥💥💥
Kalibu tz jirani yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@@dayocha1855 shukran
The best song ever ❤️
Marioo Marioo Marioo 🥵🥵🥵
Hii ni kali brathe 🔥🔥🔥🔥👏🏾👏🏾👏🏾
I salute u man..hapa ulijituma vilivyo..
Kali kuliko yako na Nadia 😂😂
Skrrrrra!!!
Aisee broo kama huwa unachungulia mioyo ya watu maana unagusa mule mule👊🏻👊🏻👊🏻
Weeee msengee unajuwaa sanaaaa marioo🔥🔥🔥📺🎤🎧🎧😍
You know how to compose, write, and even to sing. This is more than a music to listen, ni nzuri kupita maelezo.
Hongera kwa kazi nzuri
Unanifanya nadata Sana na nyimbo zako sichoki kumsikilizaa .kazi nzur nimeipendaa mno umesema kweli kabisa( Unanioea .)
Rip to our exs who left us for no apparent reasons,we healed and moved on
I can't believe I healed completely nothing lasts forever
@@simonkefa2772good for you 🎉
😭😭 kila nikiumizwa marioo ndo mfariji wangu #godBlessMarioo😭
@Yóùñg Mìddó Mùssá 😭😭😭 napiga cm yake anampa mpenz wake mpya anitukane😭😭😭 but marioo ananifariji 😭😭
😭😭 shkamoo mapenzi
Wow I love the beats, I don't understand what he's saying but am feeling this for real, african artists always underrated but keep showing the world what you are made of, big up Africa one love 🌹
One love from Tanzania
Translate this song....best luv song 2020
one.love from Kenya
You know TANZANIA we got the artists 🔥💥 that make Africa proud
I don’t think you have to miss this🤭 just click on link below & follow me boss 👉 instagram.com/dangotegoldz
Best..fanya ngoma kama hizi..achana na hao akina mapiano..utakubali ikipita miaka 10..wew utakumbukwa kama legend.utaacha legacy kwny music..hata mr nice amesahaulika kwa sababu aliimba vitu vyepesi..lakin alionekana bora kwa kpind kile..
Ukopoa sana yaani, song zako lazma zigonge kwenye maisha ya mapenzi 👊👍🇹🇿 big up broo
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽MariooTz🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii Nzitoo Current Favourite 💯💯💯
Kama unamini kuwa marioo, ni wakuonewa na ni mzuri akiliya weka like twende😀😀😀😀
Whoever is reading this: Your skin isn’t paper don’t cut it Your body isn’t a book don’t judge it Your heart isn’t a door don’t lock it Your life isn’t a movie don’t end it you’re beautiful be you...stay safe (By the way I’m also a small CZcamsr looking for your support) I didn’t create this quote just wanna spread positivity
Hii nyimbo aisee sitoacha kuisikiliza maana dah....!
Marioo asante bhana
Wapi like za Mario all the wa from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kkkkkkk hatar
Oman 🇴🇲 gonga like kwa 𝐎𝐦𝐦𝐲 ake ❤️❤️❤️🌹🌎nakupenda jamani we kaka
Daaah mapenzi kazi ukipenda sana ndio unachukuliwa mpweke zaidi wacha nijipende
🧕😢😢👂👂👍👍Safi sana kwa nyimbo nzuri una nikumbusha mengi 💔😭🧕💓🔥
Atariiiii vi mistar vyako ni ttz 🙉🙉♨️🤦🏿♀️
N n n n
Anae mkubari marioo like kamazote fanyeni ivyo bas wadauuu juuu sikuzote
I don’t think you have to miss this🤭 just click on link below & follow me boss 👉 instagram.com/dangotegoldz
Jaman ebu nipeni like maana ujamaa uwa ananigusa sna me!
Hii nyimbo hua yaniliza mm dhuuuu mariooo mungu akuekee😭😭
This song is just something else,
It just gets to hit some nearves in a persons life , ,especially those who have been heartbroken
💯🔝
Like kwa Mariooo!!!
Nakukuba sana marioo inaimba kwa isia unanikosha kinoma
Nic lov song😍😍😍😍😍💓💓💓
please kindly translate to engl
The future of bongo flavor is in good hands... keep up with the good music Marioo!!!
My star
Indeed
inatosha landed me to unanionea. kwa kweli nyimbo zako zatuliza moyo..i can now move on after listening to your wonderful songs.
Tunao onewa tujuane hapa 😢 😢 😢
Crushie 😭😪❤️
Marry me😂✊♥️
Utakuwa unaugua😪
Marioo very independent musician magical hardwork, thumbs up bro
This song has never gets old really Tanzanian language absolutely perfect I love it unanionea 👏🤣🤣👌 from somalia 🇸🇴🖐️🖐️🙏
Kweli unafanya niamini mapenzi mabaya daaah inauma sana big❤❤❤❤❤❤ Mario hii niyaukweli mazeee
Waooooo! Kama umeguswa penyewe like
Lakini Marioo wewee utaniuaa....unajua!!😭
Una kipajiii marioooo we ni hatareeeee sana ma men endelea kupambanaaaa utafika mbaliiii mnooooooooooo
8 months later and I am here enjoying this song like never before 😢💔...
Just like me 😭😭😭
@@aminaabdi6538 sending love 💜👐
@@dianahmiaka3156 😘❤️🌚🌝
@@aminaabdi6538😂
"Marioo umekuwa wapi hizi siku zote?" Hili ni swali sote tunamuuliza, huyu kijana ni fundi hatari. Umeshinda kaka!
ndio ameshinda achague mjiiii/ mi nimempa mji wa kigoma
WAPI LIKES ZA MARIOO KUTOKA KENYA
Daaaah marioo hili goma umeimbaa aisee inanifanya nikumbk mbalii saanaa
We binadamu Mungu amekupa kipaji nyimbo zote zinabamba
Ngoma kubwa mzee, Utunzi wa hatari, Vocal ni balaaa.Mario 🙌🙌
Naomba likes all the way from Kenya😘😘Marioo to the top💪
Hii nyimbo huwa naisikia mara mbilimbili ukweri kwangu haichuji arafu jamaa namkubali sanaaaaaaaaaaaaaaa
Good sana ngoma kali sana yenye isia kali yenye kusisimua mungu azidi kuinua kazi yako uendelee kufanya vizur zaid kaka