SHEIKH MUHAMAD NASSOR HADHARA YA 2016 MAWAIDHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 62

  • @IbrahimKaranja-qu9yn
    @IbrahimKaranja-qu9yn Před měsícem

    Allah ampe kheir za dunia na akhera

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 Před 2 lety

    MashaAllah

  • @hamidaabeid2265
    @hamidaabeid2265 Před 5 lety +1

    allah amraham kipenzi chetu shehe nasoro kwa kuanzisha zawiyatul qadiria, pia na kufundisha vijana adam

  • @rahmanunuu6370
    @rahmanunuu6370 Před 3 lety

    Nimemuona baba angu Allah Amrehem Alhaj Adam Wamaana,Allah Amrehem Mashaallah Sheikh Dedes Sheikh Haji Juma etc,

  • @user-el8kl8fp1r
    @user-el8kl8fp1r Před 6 lety +1

    mashaallh

  • @alikhamis6967
    @alikhamis6967 Před 3 lety

    Mashaallah

  • @zainabuhussein1842
    @zainabuhussein1842 Před 5 lety +1

    Mashaalah

  • @kulthumissa3580
    @kulthumissa3580 Před 7 lety +1

    shukran cn

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 Před 3 lety

    رضي الله عن شيخنا محمد ناصر ❤️

  • @ramlajuma5644
    @ramlajuma5644 Před 5 lety +1

    hii ndo twariqa bhan mashallah

  • @ramsoothman6856
    @ramsoothman6856 Před 7 lety +1

    shukran

  • @neemambelwa7197
    @neemambelwa7197 Před 6 lety

    Jazakallahu khaira Allah atujaalie ucha Mungu na sie Aamiin tujiepushe na hadaa za dunia

  • @hamidajuma2726
    @hamidajuma2726 Před 5 lety +2

    Maalim naomba uzitume videos nyengine za sheikh Abdul rahman

  • @issasaid2229
    @issasaid2229 Před 7 lety

    mashaallah

  • @neemambelwa7197
    @neemambelwa7197 Před 6 lety +1

    Je kuna uwezekano wakupata CD za dhikri za Qadiria? Za Sheikh Mihommad

  • @mustayoo
    @mustayoo Před 6 lety

    Mashekhe waongo hao.uzushi mwingi.wala hawana mashiko uzushi kibao.

    • @thaubannaftali1439
      @thaubannaftali1439 Před 5 lety

      Mzushi ni wewe,wamezusha nini?

    • @zaynabshair4195
      @zaynabshair4195 Před 5 lety

      Wewe ambaye sio mzushi unauhakika wa kesho mbele za mwenyezi mungu?

    • @mwalimameir4305
      @mwalimameir4305 Před 4 lety

      Sisi hatuwajibu wajinga wasiotaka kusoma ila tunawaambia usilolijuwa uliza kwa wanaojuwa,wewe unaeona ibada hizi hazifai bado huna macho ya kuona mbali .

    • @husseinmkanga8182
      @husseinmkanga8182 Před 4 lety +1

      je,wewe una ilmu gani kuliko hawa???jitafakari

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 Před 3 lety +1

      Wewe usipofanya toba kazi ipo maana maneno yapo wazi tatizo lipo wapi kudharauliana

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Elimu bora ni Quran na sunnah na kufuata njia ya mtume S.A.W na maswahaba wake na mataabiina katika karne bora tatu alizozitaja mtume S.A.W baada yake nakujiepusha na uzushi wowote katika dini. Usimuamini sheikh yoyote kwa kila anachokuambia kama hajakupa dalili ya Quran au sunnah au maswahaba wa mtume. Usiangalie kiarabu cha mtu maana wengi hubabaika tu na kiarabu tu. Someni kiarabu vizuri lakini baada ya kumjua Allah (tawhiid) na mtume (sirra) na Quran (kwa mujibu wa walivyofahamishwa maswahaba na mtume S.A.W na jiepushe na bida'a maana ni upotofu

    • @jumaaibrahim8305
      @jumaaibrahim8305 Před 5 lety +2

      Canoksan comprehensive learning program kasome kwanz kisha ndio ubishane

    • @kingcobra9238
      @kingcobra9238 Před 4 lety +3

      Elimu yako aliyokupa kakupoteza mpuuzi wewe na huyo aliyekufundisha maana hauna adabu MIMI NI MURIDI WA SAYYID ABDULQADIR JAILAN kamwambie sasa shekhe wako mwambie akamsome Jailan ni nani

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před 3 lety

      Allah akujaalie usome dini uifahamu. Seyyidinaa Omar (r.a) alipokwenda kumuazinia Seyyidinaa Hassan ibn Yassari wakati anamuombea Dua alisema Allah amfundishe tafsiri ya Quran ya ndani na ya kawaida ili akiongea na watu wamuelewe. Kwahiyo wewe usihukumu watu bhana

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před 3 lety

      @@kingcobra9238 Hawa Jamaa ni wapumbavu sana.
      Umeongea vizuri Sana akamuulize Sheikh wake Jailani ni nani? Wakasome majmuu fatawa watamjua Sheikh Abdulqadir (qa)

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 Před 2 lety

      @@kingcobra9238 hivi unadhan shehe abdulqadit jailan alikuwa mzushi kama nyie wazush? Hakuwahi kukohoa

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 5 lety

    Masheikh Wa Visa Mawaidha Kama Umeenda Senema Vile Unaenda Kuburudika na Komedi Kucheka cheka Hakuna Lolote hapo.Poleni sana Masufi na waganga wa ramli kwenu ndio MAsheikh

    • @mbwanabaruti7496
      @mbwanabaruti7496 Před 5 lety +1

      Wewe huna unachokijua ni bora utumia adabu ya kukaa kimya tu.

    • @matanohassan5925
      @matanohassan5925 Před 5 lety +1

      Wewe huna adabu katika uislamu chunga sana wewe

    • @suhelkassim8837
      @suhelkassim8837 Před 4 lety

      Yaan wewe baba faisal ni msenge sana wewe ukiona jambo halikuhusu usiwe unatoa kauli mbaya kaa kimya pumbavu

    • @rehemamsoa2563
      @rehemamsoa2563 Před 4 lety

      Wee baba faisali utakuwa choko tu nna wawas na wew

    • @nurabdiyare8025
      @nurabdiyare8025 Před 4 lety

      ابو فيصل mkalimani anaongeza mambo ambayo hajaongea tofauti kabisa

  • @peace-8400
    @peace-8400 Před 6 lety

    Tariqa bora ni sunnah

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 Před 6 lety

      S Moha Unachokitafuta maishani mwako utakipata. niliona kwenye video nyingine ukimkashifu Sheikh Muhammad Nassor mkosefu wa adabu wewe.

    • @peace-8400
      @peace-8400 Před 6 lety

      Mohamed Magora
      Huyu mzee hafai, kabisa ni khorafi, huyu mzee kazikwa msikitini kilicho zuia yeye, kuzikwa na mandugu zake nini

    • @thaubannaftali1439
      @thaubannaftali1439 Před 5 lety +2

      Bwana mtume Muhammad kazikwa wapi,au khabari huna

    • @thaubannaftali1439
      @thaubannaftali1439 Před 5 lety +2

      Njia ni mbili,sharia na twariqa na hii twariq ndani ya Quran M/Mungu ameiita min'aj.Sasa hiyo sunnah unayosema ndiyo imefafanua vizuri shariah na twariqa.Kama unatengeneza maisha yako ya akhera na duniani lazima uwe na hivi vitu viwili.