Huyu ndiye MMILIKI wa VYOMBO VYA NEEMA na ARUSHA DIAPERS, alivyoanza utahamasika, anasomea MASTERS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Arusha Diapers Instagram - www.instagram....
    Vyombo vya Neema Instagram - / vyombo_vya_neema
    Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Komentáře • 26

  • @annamnyari7127
    @annamnyari7127 Před 6 měsíci +5

    Nimefurahi sana kumuona Neema, nimesoma naye Neema shule ya msingi Makole, Namshukuru Mungu sana kumuona, Hongera sana Neema, mimi ni Anna .

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie Před 6 měsíci +3

    Nmempenda sn huyu dada mkarimu sn mashallah. Allah azidi kunfungulia milango ya barka Ameen . ❤

  • @aminarashidi5649
    @aminarashidi5649 Před 6 měsíci +2

    Thank you,neeema na Sky kwa interview nzuri ya kuelimisha na nimejifunza kitu🙏

  • @nicasmtei1749
    @nicasmtei1749 Před 6 měsíci +2

    Hongera sana young Sis Ney. Endelea Kubarikiwa.

  • @marymkonyi5922
    @marymkonyi5922 Před 6 měsíci +1

    Well done Neema. Vyombo vyako vizuri sana. Mimi ni mteja wako

  • @nicasmtei1749
    @nicasmtei1749 Před 6 měsíci +2

    nimewatch yote. am inspired na hatua za Neema. Keep it on my dada

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 Před 6 měsíci +1

    Hongora boss wangu neema. Nakumbuka ulinipa kazi ya kupendezesha nyumba yako kwa kuweka baluster❤🎉

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 Před 6 měsíci +1

    ❤nimejifinza Asante nami siku moja nitakuja hapo kuhamasisha kama neema Insha'Allah 😊

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 6 měsíci

    Ushauri mzuri, Sana. Ukianguka futa vumbi, jipanguse, endelea. Mtegemee Mungu, bila Mungu hutoboi. Fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu na mteja ni zaidi Ya mfalme. Neema, you can be a Pastor too.

  • @peninahkajura9083
    @peninahkajura9083 Před 6 měsíci +1

    Nimekupenda Bure🙏

  • @mtungisimulizi
    @mtungisimulizi Před 6 měsíci +3

    Mimi wa kwanza naomba likes zangu

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 6 měsíci

    Hongera Sana Neema. Pia umefanya interview nzuri sana you hit to the business and inspire others. I like that you did not talk politics, mama anapiga mwingi, Asante Sana mama etc. Wao wameshatoa, elimu umepata now ni sisi kujiongeza na wengine wajifunze. Asante pia sns sky.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 6 měsíci +2

    Mungu kwanza katika mambo yote,nimeipenda hiyo pongezi kwako dada kwa sala na kazi.

  • @halimasanga3830
    @halimasanga3830 Před 6 měsíci

    Dada hongera sanaaa.

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 Před 6 měsíci +2

    Na follow now very humble😮

  • @nicasmtei1749
    @nicasmtei1749 Před 6 měsíci +1

    Habakuk 2:2-3 SUV
    BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

  • @user-ts6yb7zt8n
    @user-ts6yb7zt8n Před 6 měsíci +1

    Nice

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 Před 6 měsíci +1

    Na mimi ninaomba kuwa kwenye grp jaman

  • @asmahhamis9416
    @asmahhamis9416 Před 6 měsíci

    Hivi tunawapataje kuna simu au email

  • @vom84
    @vom84 Před 6 měsíci +2

    Wanawake wa hiv wanakuwaga na akili, ni wajanja sana.

  • @UpendoKalwisya
    @UpendoKalwisya Před 6 měsíci

    Big up ney,,,lkn kuna kitu nime notice kwako,unaiba mawazo ya watu wako wa karibu maana idea zote mbili hazikua zako,n za rfk zako...watu kama wew ndio hufanya watu wasishee idea zao za biashara kwa watu wao wa karibu

    • @Mwananchii
      @Mwananchii Před 6 měsíci +1

      Kwamba na hao rafiki zake wao ndo wakwanza kufanya hizo biashara!?
      Riziki anatoa Mungu so chill.
      Na by the way rafiki zake walikua okay kushare!!

    • @marymkonyi5922
      @marymkonyi5922 Před 6 měsíci +1

      Umemwelewa tofauti, rafiki yake alikuwa anaiza brand yake? Rafiki kununua kuna ubaya gani? Hata kama angechukua haiziii rafiki zake kuendeleza biashara zao. Wateja ni wengi unahitaji mbinu kuwa pata au kuwa maintain

  • @MagrethKessy-fj1ul
    @MagrethKessy-fj1ul Před 6 měsíci

    Nikisikia mtu anaitwa somebody Mosha moja kwa moja ninamuonaga ni ndugu yanguwakin mosha tupo wachache sana