I still remember that night, a crossover night !!! na niliuandika huu unabii. tumwamini Mungu na watumishi wake!!! Mwaminini Mungu ndipo mtakapothibitika, na waaminini watumishi wake manabii ndipo mtakapofanikiwa.
Mimi ni Nachokuomba nabii. Kabla ya ajali watu kupoteza maisha. Nakuomba utangaze mapema. Wape maombi ya kuomba ili kifo kiwaepuke. Usisubiri watu wanapoteza maisha.
Amina baba
Dahhh!!!!!! Hatari
Namkubali sana huyu nabiii malisa,,,,,,,,,,,nawambiaga watu wanao mbeza watakufa bure tuu.....nchi inge msikiliza mambo haya yasingetokea
I still remember that night, a crossover night !!! na niliuandika huu unabii. tumwamini Mungu na watumishi wake!!!
Mwaminini Mungu ndipo mtakapothibitika, na waaminini watumishi wake manabii ndipo mtakapofanikiwa.
Be blessed prophet
Mimi niliposikia niliukumbuka huu unabii
Mimi ni
Nachokuomba nabii. Kabla ya ajali watu kupoteza maisha. Nakuomba utangaze mapema. Wape maombi ya kuomba ili kifo kiwaepuke. Usisubiri watu wanapoteza maisha.