Nakumbuka sana mawaidha yake mufti lakini sijamsikia muda mrefu sana mmefanya vizuri kutuwekea hizi clip sasa mashekhe wamekuwa wengi wengine ndio hivyo tena tuwe na subra
Almaruhumu MUft swadick Shekh Hemed bin Juma bin Hemed mMwenyezi Mungu amrehemu, alifanye kaburi lake liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi na siku ya mwisho afufuliwe chini ya kivuli cha Mtume Mohammad.
yaarabbi muweke huyu mzee wetu sheghe wetu hemmed bin jumaa mufti wetu mahali pema peponi nimeyaona mawaidha yake nimekumbuka miaka hiyo hiyo imepita alla awajaalie nyie mlioweka haya mawaidha ya huyu mzee wetu al marhum mungu awalipe inshaallwa
Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu ya kaburi Mzee wangu Alhabib Mufti Shekh Hemed Bin Jumaa Bin Hemed. Siku ya Mwisho Mwenyezi Mungu akufufue pamoja na Mtume Mohammad.
Huyu MZEE nikisikia sauti yake inanikumbusha mengi ya huko nyuma. Hususan dini kupitia RTD. Tafadhali rusheni clip zake kwa uwingi ikiwa ni pamoja na hostoria yake.
Kama umesikia dalili kama miye gonga like twende sawa.! Mwenyeenzimungu amrehemu sheikh Hemed bin Jumaa bin Hemed Al Buhry amin amin amin..!
Ameen
Ewe mola wetu mghufurie na umrehemu sheikh wetu na umuingize peponi
MaashaAllah Allahummahufirllahu Waramhu
namuomba ALLAH amrehemu na amsameh sayyiatihi amuondelee adhabu ya qabr na amruzuku pepo ya firdaus yaumal hisabb ameen yarabb ameen
Nakumbuka sana mawaidha yake mufti lakini sijamsikia muda mrefu sana mmefanya vizuri kutuwekea hizi clip sasa mashekhe wamekuwa wengi wengine ndio hivyo tena tuwe na subra
Mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi mufti
Namuomba Allah kwa rehma zake ampe pepo ya Firdaus sheikh Hemed bin Jumaa bin Hemedi
Mashaallah
Allah Atupe subira kwa kila jambo
Llahaula walakwata ilabilah Laadhim
Almaruhumu MUft swadick Shekh Hemed bin Juma bin Hemed mMwenyezi Mungu amrehemu, alifanye kaburi lake liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi na siku ya mwisho afufuliwe chini ya kivuli cha Mtume Mohammad.
Eee Mola msamehe sheikh Hemed Bin Jumaa bin Hemed makosa yake. hakika ametuelimisha mengi
Mungu akulipe heri siku ya kiama inshallah
Mashallaah allah akuraham na tunaomba mrushe hizi kazi zake kwa wingi zaidi
Allahumma ghfirlahu waafu an'hu yaa rabbi
Mungu amlaze malipema pepon clip zake nyingi nitapataje?
Jazakallah khairan
yaarabbi muweke huyu mzee wetu sheghe wetu hemmed bin jumaa mufti wetu mahali pema peponi nimeyaona mawaidha yake nimekumbuka miaka hiyo hiyo imepita alla awajaalie nyie mlioweka haya mawaidha ya huyu mzee wetu al marhum mungu awalipe inshaallwa
mawaidha mazuri cn
Mashekh wetu ambao hawakutuwachia mizozo wala mifarakano walituunga tukawa wamoja Yaa Rabbi turudishie hazina waliotuwachia mashekh wetu
Masha Allah kheir , Bahari ya elimu ilikuwapo kwake
Allah amuweke mahali pema peponi
AllaHu tuletee shekhe mfano wake au zaidi kwa rehema zako
Dk masenga Mrisho amen yarabe
ASALAAM ALEIKUM.
Huyu ndie Mufti hakika hajapatikana mwingine.
Mashallh Allah.akupe pepoya Fridaus.amin ilmu yako mashallh
Allah amuhifadhi palipo pema Amin.
Allah akulipe kila jema akuwekee nuru ktk kaburi lako allahumma amin
Masha Allah allah akulipe
Allah yarahm babu yetu, shekhe wetu hemedi bin jumaa bin hemedi
Asalaam,aleykum,ndugu zangu katika imani nnaombi lahusu ,kuzipata darasa zote za al maruhumu muft hemed bin juma,
nashukuru
jazakallah
Masha ALLAH ALLAH akulipe kheri
Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu ya kaburi Mzee wangu Alhabib Mufti Shekh Hemed Bin Jumaa Bin Hemed. Siku ya Mwisho Mwenyezi Mungu akufufue pamoja na Mtume Mohammad.
Awa ndio mamufuti acha,wa sasa matapeli
Jamani hakuna vidio?
Huyu MZEE nikisikia sauti yake inanikumbusha mengi ya huko nyuma. Hususan dini kupitia RTD. Tafadhali rusheni clip zake kwa uwingi ikiwa ni pamoja na hostoria yake.
Ijumaa saut hii husikika zaman sana
mbona hamuongezi hizi clip, harakati nzuri sana
Naomba muweke kiss cha swahaba alkhama
@@rajabumhina3592 inshallah
Masha Allah!!.darsa nzur sana,