| UTALII WA ISRAELI | Ni taifa lenye historia ya kipekee dunia nzima
Vložit
- čas přidán 3. 06. 2023
- Nchi ya Israeli inaloenziwa kama ardhi takatifu ina historia ya kipekee inayounganisha dini tofauti duniani ikiwemo ukristo, uislamu na uyahudi. Mamilioni ya wakristo nchini huazimia kuzuru taifa hili kwa shughuli za ibada. Lakini kando na masuala ya kidini taifa hili linajivunia kupiga hatua katika nyanja ya teknolojia, kilimo, na ziwa lililo sehemu ya chini zaidi duniani. Gatete njoroge alikuwa israel akiandamana na walimu 17 waliotajwa kama bora na wanafunzi wao kutoka sehemu tofauti nchini.
May God bless, protect and strengthen lsrael and all the Jewish people living around the world
Religion, the opiate of the masses.-Karl Marx.
this has changed the way I believed....all those bible stories n everything in the bible happened here...agree with me the bible is a story buk.comprisising of many stories n happenings of this place..n pple shudnt take it that seriously..wakenya mliletewa hichi kitabu na kimetumika sana kuumiza kumaliza na kuuwa mandugu zenu .."the case in shakahola."it's high tym pple opened their eyes concerning this our "faith ,beliefs" n mostly bible based. tuone tujiulize tulikosea wapi.not to the so called god but tulikosea wapi kama jamii, ndugu kwa ndugu...thank u
And Who is forcing u to believe the bible? U are just an idiot,,keep your foolishness to yourself
The path of those who have an eye partially open amidst the blind is not an easy one. Take courage sister and keep going.
Hawa ma zayuni wa Israeli wamenyakuwa ardhi za palestina na wanaongoza hio inchi kwa ubaguzi wa kidini, kikabila, kiuchumi nk... Ni wakoloni. FREE PALESTINE🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
So what?
@@kariukigeorge6060 Blood suckers. 🩸🩸🩸🩸🩸
Palestine ended on 1948
Pole hio ni nchi ya Babu Yao Ibrahim
PALESTINE ❤❤❤
As you can see from the comments below, Kenyans are not fools. We have come along way but we grow sharper n sharper n sharper day by day, seeing through all the rubbish. ❤ to my fellow Kenyans who dare to open their eyes n face the harsh realities. We can NOT escape suffering and hardship but what we can do is be courageous n face reality HEAD ON! N push on.
FREE PALESTINE...🇪🇭🇪🇭🇪🇭... Citizen nyinyi munalipwa kusifia watu tu
Hawa si nchi ni ukoloni wamenyanganya ardhi ya Palestine, wali jaribu kuuwa Yesu hawana utu na WA ubinafsi
Yesu aliuliwa kukamilisha unabii tayari ilishaandikwa.. Ili utukufu wa Mungu udhihirke.. waache Wayahudi na Yesu mwenyewe alisema Ee baba wasamehe kwa kuwa hawajui watendalo.. msamaha ulishapita 😅
Mmerudia saana hii feature nanyi citizen Tv
Wacheni ushenzi kutuletea mambo ya wauwaji hawa wa israeli manake mumezidi kila wakati israeli
Mbona wivu 😅.. hio nchi hutoweza 😅😅
Wacha niwarekebishe hii ni nchi ya Palestina si nchi ya Israeli kwa sababu Israeli walikuja hapo kama wakimbizi.palestina walitawaliwa na wakimbizi wa Israeli ambaye alikuwa anapata usaidizi wa marekani.hiyo ndiyo mnafaa kufahamu.
Mmh Wacha kupoteza watu kwa chuki za kidini😢.. hii nchi ya Babu Yao Ibrahim.( Israel is the Jewish State)
Waisraeli Halisi uzao wa Iseka waliotawaliwa na mbeberu na kupelekwa Utumwani ni Wabantu Waafrika
Yeremia 31:7-12
[7]Maana BWANA asema hivi, Mwimbieni Yakobo kwa furaha, mkampigie kelele mkuu wa mataifa, tangazeni, sifuni, mkaseme, Ee BWANA, uwaokoe watu wako, mabaki ya Israeli.
[8]Tazama, nitawaleta toka nchi ya kaskazini, na kuwakusanya katika miisho ya dunia, na pamoja nao watakuja walio vipofu, na hao wachechemeao, mwanamke mwenye mimba, na yeye pia aliye na utungu wa kuzaa; watarudi huko, jeshi kubwa.
[9]Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawaendesha penye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.
[10]Lisikieni neno la BWANA, enyi mataifa, litangazeni visiwani mbali; mkaseme, Aliyemtawanya Israeli atamkusanya, na kumlinda, kama mchungaji alindavyo kundi lake.
[11]Kwa maana BWANA amemweka huru Yakobo, amemkomboa mkononi mwake aliyekuwa hodari kuliko yeye.
[12]Nao watakuja, na kuimba katika mlima Sayuni, wataukimbilia wema wa BWANA, nafaka, na divai, na mafuta, na wachanga wa kondoo na wa ng’ombe; na roho zao zitakuwa kama bustani iliyotiwa maji; wala hawatahuzunika tena kabisa.
Hiyo ni jangwa, siyo nchi ambayo Waisraeli Waafrika Wabantu uzao wa Iseka na Yakoba walioenda baada ya kutoka Misri.
Nchi takatifu ni iliyo chini ya jangwa la Sahara kuelekea Afrika kusini
Hio Ardhi ni ya uzao wa Ishmaeli sio uzao wa Iseka ambayo ardhi yao ni yenye mvua, milima, mito, mobonde etc
Kumbukumbu la Torati 11:10-12
[10]Kwa kuwa nchi mwingiayo kuimiliki, si mfano wa nchi ya Misri mlikotoka, uliyokuwa ukipanda mbegu zako humo na kuinywesheleza kwa mguu wako, kama shamba la mboga;
[11]lakini nchi mwivukiayo kuimiliki ni nchi ya vilima na mabonde, nayo hunyweshwa maji ya mvua ya mbinguni;
[12]nayo ni nchi itunzwayo na BWANA, Mungu wako; macho ya BWANA Mungu wako, ya juu yake, tangu mwanzo wa mwaka hata mwisho wa mwaka.
Kumbukumbu la Torati 8:7-10
[7]Kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yuakuingiza katika nchi nzuri, nchi yenye vijito vya maji, na chemchemi, na visima, vibubujikavyo katika mabonde na milima;
[8]nchi ya ngano na shayiri, na mizabibu, na mitini, na mikomamanga; nchi ya mizeituni yenye mafuta, na asali;
[9]nchi utakayokula mikate humo, pasina shida, hutapungukiwa na kitu ndani yake; nchi ambayo mawe yake ni chuma, na milima yake yafukuka shaba.
[10]Nawe utakula ushibe, utamshukuru BWANA, Mungu wako, kwa nchi nzuri aliyokupa.
Sasa Jerusalem ni Israel au parestine
Israel
WEWE LULU HAKUNA NCHI YA ISRAEL.... THAT IS PALESTINIAN LAND OCCUPIED BY ZIONIST JEWS AND NAMED IT ISRAEL..
Pole yako 😅
@@annasolomon9855 ONENI HI..wee Mama ku google ni Bure.. ATI bure yako angalia wayahudi kupitia kitu inaitwa Balfour declaration walifika lini hapo na NAKBA ni Nini? Wee hujua kuwa hio nchi ya Palestine ni Bora kwa wakristo zaidi kihistoria na kiimani kama Bethlehemu Nazarethi Galileo Jerusalemu lakini hao mayahudi husinywa na kuthalilisha wakristo hata zaidi ya waislamu? Fanya research kidogo uangalie Zionist Jews treatment of christians on the holy Land..na Kama ni historia Musa aliwakomboa hao mayahudi kutoka utumwa wa pharaoh huko misri na walipofuka bahari arthi tukufi ya palestina walikuwapo wenyeji walio karibisha hao mayahudi kwa roho kunjufu.. Soma ufunguke akili.
Israelites must be the smartest humans on earth