BABA YANGU KIPOFU Full episode /16/

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #love

Komentáře • 937

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  Před měsícem +442

    TUNAWAPENDA SANA WATAZAMAJI WETU, ILI TUENDELEE KUFANYA VIZURI TUNAHITAJI SAPPORT YENU ,KUNA MCHANGO WA SHILI ELFU MOJA TU (1000) KWA AJILI YA USAFILI ILI TUWE TUNABADILI MAZINGIRA YAKUSHUTIA KUPITIA M-PESA NO +255744188105. KAMA UKO TAYARI KUTUSAPORT KWA GUSA HII LINK UJE WHATSAP KWA MAELEZO ZAIDI👇👇👇👇chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa

  • @mohammedikimbute
    @mohammedikimbute Před měsícem +30

    Natamani sana kuwa mwana Sanaa ila sijui pakuanzia safi sanaaa kazi ni nzuri

  • @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk
    @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk Před měsícem +22

    Kazi nzuri baba Joan mnatufurahisha Sana imekuwa ndefu Sana nimeipenda asanteni❤❤❤❤

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Před měsícem +40

    Wa mwisho kutoka Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪likes hapa tukigojea episode nyingine❤❤❤❤

    • @Sheriann-pg5hq
      @Sheriann-pg5hq Před měsícem

      Utapata mingi sana lakini tafathali twakuomba chana hela yoyote❤❤

  • @NelcyAfrica
    @NelcyAfrica Před měsícem +29

    Filamu ya baba joan iko na mafunzo mazuri sana. Naipenda kutoka Nairobi kenya

  • @user-fr4wf5sl2r
    @user-fr4wf5sl2r Před měsícem +33

    Jamani leo nimechelewa kwasababu yasafali ndefu kutoka 🇧🇮 burundi kwaiyo naomba hata like 10

  • @MwanakombokoMohamed
    @MwanakombokoMohamed Před měsícem +91

    Wakwanza kutoka Kenya gonga like tukisonga,nawapenda nyote

  • @user-hb9eq2fo6z
    @user-hb9eq2fo6z Před měsícem +48

    Wapili jameni 😊😊😊 na sitaki like ya mtumimi, tutakosana tusiaribiane moods😊,,,, sitaki mchezo mimi😅😢

  • @maryamt594
    @maryamt594 Před měsícem +42

    Hee baba kalobo fanya basi umwambie mama kalobo akubandirishiye hiro shati❤❤❤❤

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l Před měsícem +136

    Watazamaji wa hii movie weka like kwa baba Joan 🎉🎉🎉

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 Před měsícem +116

    Kama unakubali Baba Joan ndie mtunzi bora wa filamu kwa sasa kama ninavyomkubali naombeni likes zenu

  • @MereTz-xv2vu
    @MereTz-xv2vu Před měsícem +49

    Kutoka USA nipeni like zangu guys Leo nimewayi ❤❤❤❤❤❤❤

  • @dadsgirl7250
    @dadsgirl7250 Před měsícem +165

    Wale wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪pia Mimi hapa mlike my comment 😂😂😂❤

    • @MbekeKisaingu
      @MbekeKisaingu Před měsícem +5

      Hapa wa pili

    • @maryatieno9130
      @maryatieno9130 Před měsícem +4

      🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Aminasaloom-bm4el
      @Aminasaloom-bm4el Před měsícem +5

      𝑲𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒂𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒕𝒖𝒌𝒐𝒐𝒐𝒐🤣🤣

    • @Cynthia-t1u
      @Cynthia-t1u Před měsícem +3

      😂😂😂😂wacheka na ushahidi umeenda😅

    • @salehHassan-rl8bd
      @salehHassan-rl8bd Před měsícem +3

      😂😂😂😂😂😂🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @SalmahBilally
    @SalmahBilally Před měsícem +43

    Kuna mie wa Kenya 🇰🇪 npe hata like kumi. Naona movie Ina Bamba kweli.

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Před měsícem +62

    Kama wampenda baba karobo gonga likes hapa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-gg9wi7oi8h
    @user-gg9wi7oi8h Před měsícem +29

    Wanao fuatiria baba joani na house girl ya khai gonga like🎉

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m Před měsícem +6

    Woow sijui nipongeze aje Baba karobo filamu zako ni hatari Sana wacha mungu akusaidie usije mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤❤❤

  • @MsafiryChitema
    @MsafiryChitema Před měsícem +5

    Aseeeh salute kwako kakaa baba joani this is great movie

  • @gracenyauma
    @gracenyauma Před měsícem +6

    Cjui wangapi , kutoka kenya 🇰🇪 ila nasubilia sana hadi mwisho akh❤ baba kalobo twakupenda sana n ukamtunze mwanao kalobo ❤❤❤❤

  • @PrettyRodah
    @PrettyRodah Před měsícem +27

    Kenya 🇰🇪 jmni leo nimewahia nipeni izo likes 😊

  • @lilimoswambu9934
    @lilimoswambu9934 Před měsícem +8

    Huku ni kuomba tu like hakuna comment ya kuusu vilami jameni waaah😢 baba kalobo usijali kaka mungu Yuko na wewe utapona unaishi maisha magumu sana aki lakini hapa Kuna funzo penda mtu alivyo fumuliana Kwa shida na Raha roho yaniuma sana 😢😢kipindi baba karobo anapitia mengi

  • @mwanalimamwanlima198
    @mwanalimamwanlima198 Před měsícem +5

    Watching it from Imarat ..shuqrn sana baba karobo

  • @user-oq5py5fv8t
    @user-oq5py5fv8t Před měsícem +4

    Watching from kenya hii movie ina funzo kubwa sana thumbs to the starring baba karobo 👏 👏 👏

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w Před měsícem +10

    Wow congratulations tasha kwa kukamilisha ushahidi wote thank you very much wow team nasra kibanio na mumeo Nasra congrats guys❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 Před měsícem +60

    Wa ine kutoka Burundi
    Munigongeye likes ba brothers
    Tumuonyeshe upendo baba kalobo❤❤❤

  • @WilliamJoel-kz2jv
    @WilliamJoel-kz2jv Před měsícem +13

    Kazy nzur sana hatuchez mbar na baba kalobo❤

  • @IssaMusa-44
    @IssaMusa-44 Před měsícem +21

    I’m watching from USA 🇺🇸

  • @esterester3628
    @esterester3628 Před měsícem +4

    Baba Kalobo umenfurahisha Sana Kwa hio msimamo wako big up sana❤❤❤🎉

  • @thomasmwita4586
    @thomasmwita4586 Před měsícem +14

    Leo mimi wa kwanza kutoka Kenya nipe like

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic Před měsícem +4

    Baba Joan hongera sana kazi nzuri aisee na dakika za kutosha

  • @pendoelias1792
    @pendoelias1792 Před měsícem +5

    Ni nzuri san hii move tunaomba muwe mnaiwahisha kidogo

  • @shilaanyango
    @shilaanyango Před měsícem +5

    Am enjoying the movie 🎥,,, from Uganda

  • @SamyBoudan
    @SamyBoudan Před měsícem +18

    Kwa Leo nime ji tahidi fika mapema 😅😅 naombeni like jamani

  • @PatrickPeter-ce9zn
    @PatrickPeter-ce9zn Před měsícem +42

    Wakwanza team baba Joan gonga like hapa tujuane

  • @LayanLayan-np6qb
    @LayanLayan-np6qb Před měsícem +5

    Hongera sana Baba Joan 🎉🎉🎉kazi yako nzuri

  • @CarineJean-bi7sq
    @CarineJean-bi7sq Před měsícem +9

    Kaka hongera sana umeva uhusika kabisa umefanya nipende iyi filamu

  • @IyshaSaidi
    @IyshaSaidi Před měsícem +13

    Jaman ii mov n nzur Sana baba kalobo unatuburudisha

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial Před měsícem +24

    Nimefika Kwa dakika5 Baba karobo kingereza kinakuchanganya jaman

  • @matronicsuzie4829
    @matronicsuzie4829 Před měsícem +8

    Nimeliwait sana hili film safi sana lakini mnatueka sana angalao kwa siku tuweke mbili tutashukuru moja haitoshi samahani ❤

  • @LenaMasinga
    @LenaMasinga Před měsícem +1

    Njooo kwangu baba karobo❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj Před měsícem +16

    Nimechelewa ila likes mbili tu ya kunionyesha upendo tuuu

  • @jollymunezero4629
    @jollymunezero4629 Před měsícem +25

    Kirundi sasa cakwetu nip like please

  • @ChristabelShumira
    @ChristabelShumira Před měsícem +3

    Wooow 🎉movie mzuri sanaa baba kalobo,,yani ina mafunzo daaah

  • @JaneWanjiru-g3c
    @JaneWanjiru-g3c Před měsícem +2

    Aki napenda karobo sana , mtoto ndogo mwenyewe akili zake zimezidi mtu mzima 🎉🎉🎉🎉❤❤much love karobo from Nairobi Kenya

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Před měsícem +1

      ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před měsícem +9

    Sasha ukivaa baibui wapendeza MashaAllah, na design ya corecod mtu sio hii..

  • @user-bx1eo2wc4h
    @user-bx1eo2wc4h Před měsícem +5

    ❤❤ nzur Sana sema imechelewa kidogo Baba kalobo

  • @mkasykhamisi2587
    @mkasykhamisi2587 Před měsícem +1

    Congratulations nawapenda sana baba Joan na team yako❤chukua maua yako bb Joan🌹🌹🌹💐💐

  • @AshaBinmorisho
    @AshaBinmorisho Před měsícem +8

    Leo nimekasirika sana kwanini wame mu iba simu

  • @FestoMgallah-l9j
    @FestoMgallah-l9j Před měsícem +6

    Baba joani me shabiki yako kutoka mozambique naomba ujitahidi kuwahisha kazi tunasubiria sana mpaka hamu yakufatilia inaisha jitahidi sana mashabiki zako tunaenjoy sana na kazi zako

  • @user-wv3du7ld2p
    @user-wv3du7ld2p Před měsícem +2

    Yani Hulu kila MTU anaomba like nyie Vipi, anyway Baba karobo I was waiting ukweli ijulikane oooohbut anyway KAZI nzuri Sanaa keep it up

  • @SetianKarino
    @SetianKarino Před měsícem +10

    Jamàni nimefika kwa wakati nipeeni like ❤

  • @adielndayishimiye2122
    @adielndayishimiye2122 Před měsícem +7

    Tunashukulu sanakwa move hiyi nikali sana be Gap 💪💪 🇧🇮🇧🇮

  • @mohammedikimbute
    @mohammedikimbute Před měsícem +14

    Good Mr kandibele

  • @MamabelindaBelinda
    @MamabelindaBelinda Před 6 dny +1

    Baba Joan hongera Kwa movie nzuri

  • @Joharishaban-ji5em
    @Joharishaban-ji5em Před měsícem +17

    Wakwanza jaman kutoka oman jamn kama tupo pamoja like kumi tu ♥️

    • @JoriJori-es2re
      @JoriJori-es2re Před měsícem +1

      Tuko pamoja kabisa❤

    • @user-vh9lx6zo7x
      @user-vh9lx6zo7x Před měsícem

      upo Oman sehem Gani habibty

    • @phyilicereanson4975
      @phyilicereanson4975 Před měsícem

      Oman wanalipa ngapi habibty

    • @user-vh9lx6zo7x
      @user-vh9lx6zo7x Před měsícem

      @@phyilicereanson4975 kutokana na nyumba utakayopata kama ni kubwa bhc na mshahara unakuwa mkubwa

    • @user-vh9lx6zo7x
      @user-vh9lx6zo7x Před měsícem

      @@phyilicereanson4975 na kama ulishawahi kuja kwa mara ya kwanza ukarudi tena yaan namaanisha ex gulf hao hela yao Huwa ni kubwa hata kama nyumba ni ndogo kwa sababu wanajua kila kitu

  • @FrenkiManizo-bx1ut
    @FrenkiManizo-bx1ut Před měsícem +6

    Safi kabisa nimekubali sana

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Před měsícem +8

    Nikooo hapaaa wa kwanzaa🥰🥰🥰🥰

  • @user-yg7zp3my9g
    @user-yg7zp3my9g Před měsícem +4

    Kazi nzuri keep up movie tamu keweli

  • @user-qv9ju5jc7u
    @user-qv9ju5jc7u Před měsícem +9

    shetani anaona wivu kwajili ya mamakarobo😅😅😅😅😂😂

  • @ZaynabShabani-bk8mu
    @ZaynabShabani-bk8mu Před měsícem +24

    Jamani mie nimekuwa wakwanza leo like zenu❤

  • @karembo7082
    @karembo7082 Před měsícem +5

    Haya time baba karobo twendeninalo hadi tamati😂😂

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo Před měsícem +2

    Hongera baba Joan na team nzima ya baba yangu kipofu kwa kazi nzuri na yenye mafunzo M/Mungu azidi kuwainua❤❤❤ 🙏

  • @user-su9hn8es9n
    @user-su9hn8es9n Před měsícem +6

    🎉 ❤ kazi nzuri kutoka kenya

  • @user-md5xi3bi8g
    @user-md5xi3bi8g Před měsícem +5

    Hongera baba kalobo

  • @Lilly-ec4bs
    @Lilly-ec4bs Před měsícem +2

    Whaaaa hivi mama unataka baba awendani kashakua gogoo chukuo maua kalobo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-qc9xc3ff3e
    @user-qc9xc3ff3e Před měsícem +2

    Indeed mama karobo mwanamke hofyo mbaya haezi hata oshea mwanamume wake nguo akabadilisha moja tu siku zote ghai sina ubaya watching from kenya🇰🇪🇰🇪♥️♥️

  • @ruthwatitu89
    @ruthwatitu89 Před měsícem +5

    Watching from Kenya napenda vile munaigiza

  • @Aimable-o6r
    @Aimable-o6r Před měsícem +6

    Following you 5/5

  • @MaestroRugamina
    @MaestroRugamina Před měsícem

    Mungu azidi kukupa maisha marefu iliuendelee nakutu burudisha nakutupa mashauri zaidi baba kakupenda kweli❤🎉🎉

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 Před měsícem +2

    Mungu nipe uhai nielew watoto wangu mwenyewe🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před měsícem +3

    Hiloo jina aisee mbona refuuuu hivyoo tena jina lakuchanganyaaa🤣🤣🤣🤣🤣wakuitee tuuu baba karobo baba Joan halafuu Mr jacob

  • @alvezog_3836
    @alvezog_3836 Před měsícem +3

    Ila Hapo Kwenye Kuibiwa Simu Yani Ulikua Inajulikana Kama Sim Itaibiwa Tu,Hapo Baba Kalobo Fanya Kitu Wakati Wengine Tusijue Kinachofata..

  • @PentergonHonesty
    @PentergonHonesty Před měsícem +1

    Thanks too much babajoan struggle & ilove your work so much god be with you and to bless your works to grows away

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Před měsícem +2

    Nataka wanangu wawe na akili ya kalobo nakupenda sana kalobo,,,uko wapi nikupe zawadi yako mtoto mzuri

  • @user-lm7ny6gi4x
    @user-lm7ny6gi4x Před měsícem +4

    Wah daah nampenda baba joan

  • @JoriJori-es2re
    @JoriJori-es2re Před měsícem +4

    Mapema kabisa😂😂😂 ndan ya baba karobo

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi Před měsícem +1

    Wooow karobo kapata mchumba😂😂😂😂😂😂😂😂🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣harusi tunayo hatuna 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-kt3er8th9l
    @user-kt3er8th9l Před měsícem +1

    😂😂😂😂 baba joan!!! eti mama karobo ni mbaya hadi shetani anamuonea wivu noma sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pokea upendo wa dhati kutoka kenya, sisi ni maandamano tu.

  • @NancySibiaOnguti-gb9yq
    @NancySibiaOnguti-gb9yq Před měsícem +9

    Baba kalobo, kalobo amepata mjumba 😂😂😂 na mjumba wa kalobo ndo ako na simu ya usaidi wa kumwangamisha shetani mama kalobo 😂😂😂😂😂like zangu jameni ndo kufika kutoka Kenya 🇰🇪

  • @EliezerIrakoze
    @EliezerIrakoze Před měsícem +3

    Congratulations. Good Job

  • @user-yc4tu1zy9i
    @user-yc4tu1zy9i Před měsícem +2

    Baba joani asante kwa kazi nzuri mungu awatangulie mumalize salama movie yenu

  • @user-vr4dz4jb2t
    @user-vr4dz4jb2t Před měsícem +1

    Uyo kalobo ilo shavu anakunywa sana maziwa au lakuzaliwa nalo😂😂😂😂😂😂😂

  • @NellyKandolo
    @NellyKandolo Před měsícem +6

    Wa mwicho leo nipeni like zangu 😂😂😂

  • @marthawanjiru6675
    @marthawanjiru6675 Před měsícem +3

    Karibu nilale ndaa nikapata episode 16 ipo wow baba kalobo❤❤❤🇰🇪

  • @RizikiNzalla
    @RizikiNzalla Před měsícem +1

    Baba Joani nakubalisana kazi nzury sana na nimeendelea kuwafatilia muda mlefu so kitu ambach nakiona mbeleyako ni utakuwa msanii mkubwa sana tanzania

  • @user-ff6ez9zp3g
    @user-ff6ez9zp3g Před měsícem +1

    Huyo demu anaye kufukuzia aiseee ungemuona namzimia kinyama pole sana daah kumbe huoni big up wewe ni moto wa kuotea mbali

  • @KizaDesire-f4p
    @KizaDesire-f4p Před měsícem +7

    Utafika mbali

  • @user-rf1ut3zc6l
    @user-rf1ut3zc6l Před měsícem +2

    ❤❤❤❤😂😂😂😂 naku miss kwakwel

  • @user-vs7hs5fy7p
    @user-vs7hs5fy7p Před měsícem +2

    Nawapenda sana kutoka 🇰🇪 Mungu azidi kuwabariki sana maana munatupa mafunzo ya kimaisha ❤

  • @J74251
    @J74251 Před měsícem +2

    Nimechelewa Sana hata 😢😢😢ila ninaraha nimefika Kwa mda mzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤tamu sanaaa ❤🎉❤🎉❤

  • @user-rt6fh1wf3t
    @user-rt6fh1wf3t Před měsícem +3

    Aki hii series ni tamu sana aki

    • @maylucson001
      @maylucson001 Před měsícem

      Tamu na tena ni tamu tena yaniii❤❤❤❤😂

  • @user-ti1ol3ti9j
    @user-ti1ol3ti9j Před měsícem +3

    Wa 🇧🇮 tujuwane baba karobo ❤❤❤❤❤

  • @BeltesaMuhasa-mo8ti
    @BeltesaMuhasa-mo8ti Před měsícem +1

    Asante sana kwa kazi ndugu yangu, hii kazi ni Noma sana , ni watakiye kazi njema baba

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před měsícem +1

    Kazi nzuri baba joan🎉🎉🎉🎉 ushauri wangu apo kwa kurecord wakt mwengine mboreshe...kwasababu kwa hali ya kawaida hio simu ilivyoshikwa mtu anaezashuku kama anarekodiwa

  • @faithhalima451
    @faithhalima451 Před měsícem +5

    Naomba likes wapendwa kutoka kenya

  • @zebedayonyataige6516
    @zebedayonyataige6516 Před měsícem +5

    Aste aste❤

  • @judithmutindi1227
    @judithmutindi1227 Před měsícem

    Baba kalobo umeweza kabisaa ❤❤❤ toka pande za Kenya,,,oyeee babake

  • @zephbaraka
    @zephbaraka Před měsícem +3

    Thanks for your concern..... following from Kenya
    Good work @babajoani

  • @MwaliSuleih
    @MwaliSuleih Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ahsante xan wadau Masha'Allah kazi inazid kubamba jamn hongereni xan Mungu azid kkuza vipaji na mnazidi kutufunza jamn ❤❤❤❤❤❤❤❤ mzidi kuendlea

  • @PhilemonBwalala
    @PhilemonBwalala Před měsícem +2

    Wa kwanza Léo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩