UKIRISTIO NA YESU WAPI NAWAPI|UKIRISTO NI DINI MPYA IMEANZISHWA JUZITU JE MUNGU WENU NANI|SHK MSELEM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • #AdilTV #sheikhmselembinaly
    • UKIRISTIO NA YESU WAPI...

Komentáře • 70

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 Před rokem +1

    Hiyo picha wala si ya Yesu ni mwigizaji wa kimarekani na alijitokeza na akaagiza wasiitumie km Yesu wala bango lkn wanaiweka ktk nyumba za ibada na watu wanamsujudia kama Yesu.
    Poleni sana kwa imani za kububusa.

    • @stevensosipita2851
      @stevensosipita2851 Před rokem

      Naomba nikuulize hivi ushawahi kusikia mkristo akimjadili muislam?mbona mnakuwa wanafiki?huwo ukristo unawahusu nini hata mnatowa povu kila siku?sisi hatuna muda wakujadili dini yenu inakuwa vipi kila siku mnashobokea mkristo niwambie tu hakuna wakumpoteza poleni sana tena sana

    • @mfakishineni4310
      @mfakishineni4310 Před rokem

      Masha Allah

    • @yahyadenny4368
      @yahyadenny4368 Před rokem

      @@stevensosipita2851 Kuwa Muumini maana yake umhurumie mwenzie ktk uhai wa kidunia na ule la akhera bila kujali imani yake ikiwa ni pmj na kutafiti imani sahihi ili tuupate vizuri ufalme wa mbingu na iwapo utaniona sipo ktk imani sahihi una haki ya kunishauri na kunishawishi ili nifuate njia iliyosahihi ya kuabudia.
      Ahsante sana bwana Steven wala hujanikosea chochote

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem +2

    Namshukuru mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye dini ya haki ya uislamu maana hakuna mahali kwenye biblia inasema dini yenu ni ukristo wala yesu hakuacha ukristo kama dini lazma kujiuliza hao waliotuletea ukristo ni kina nani na lengo Lao lilikuwa lipi

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před rokem

    Yesu ni Mtu na ni Mungu pia
    * Mungu hawezi kujificha milele*
    Yesu alikuwepo kabla ya Ibrahimu.Soma Yohana 8:5

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem +1

    Ukisoma John 14 28 yesu anasema mungu wake ni mkuu kuliko yeye pia anasema mbataka kuniua mimi mtu pia anasema naenda kwa baba yangu pia anasema jueni ya kuwa baba amenituma dah mbona maelekezo ya yesu yako wazi jamani sasa kulazimisha yesu mungu mmetoa wapi yesu najita mwana wa adamu John 1 48 yaani namshukuru mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye dini ya hali uislamu

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem +1

    Ushauri wangu ndugu zangu mnaojita wakristo embu pateni mdaa msome zaidi historia ya ukristo pia someni uislamu kama story kweli mtajifunza mambo makubwa nilichojifunza waislamu wanapewa elimu kwanza halafu imani lakini wakristo wanapewa imani kwanza halafu elimu ya vitabu ni ihari silazma hapo kuna shida namshukuru mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye dini ya haki uislamu

    • @msangiramadhan1911
      @msangiramadhan1911 Před rokem

      Kwa mtu anaependa ushauri atakusikia maana umeongea point sana

    • @edsonndomba1049
      @edsonndomba1049 Před rokem

      Sina habari na madini hayanisaidii ninachojua Yesu ni Mwokozi wa Maisha Yangu

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem

      @@edsonndomba1049 ivi maana ya yesu kuwa mwokozi wa maisha ya mtu inamaana gani ningependa kujua maana kuna kitabu za muhubiri au ezekieli aya inasema mwana hatachukua uovu wa babayake na baba hatachukua uovu wa mwanae mtu mwema mwema utakuwa juu yake na uovu utakuwa juu yake pia kuna mahali biblia imesema kila mtu atakuchua msalaba wake mwenyewe sasa yesu anatukomboa kutoka wapi kwahiyo kwa kukombolewa WEWE huna dhambi au na ile sala ya baba yetu kipande cha utusamehe makosa yatu kama toba kinafanya kazi mpaka leo au kimekufa au mtihani kweli kweli.

  • @nuhukenny7183
    @nuhukenny7183 Před rokem +1

    Shukran

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem

    Inasikitisha sana mwanamziki akitoa nyimbo mpya watu wanahangaika kununua bando ili asikilize lakini swala la imani na dini watu tunakuwa wazito sana kutaka kusoma tunabaki kufwata imani tulizowakuta nazo mababu zetu sasa swali kama babu alikosea nasisi tutakubali kupotea

  • @khalfanmohammed7594
    @khalfanmohammed7594 Před rokem

    جزاك الله الخير وبعد الخير جنة النعيم

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před rokem

    Imani hai ni ni Ile ambayo muasisi wake yupo hai. Mtu akifa inayobakia ni historia. Historia haimuokoi mtu. Yesu hayupo aridhin.Atarudi Kwa mara ya pili. Hili ndicho wanachojivunia Wakristo. I

  • @yohana1242
    @yohana1242 Před rokem

    Ukweli unauma shekh mwambie ukweli

  • @khamischumu6830
    @khamischumu6830 Před rokem

    Allah huakbar

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem +1

    Mara yesu mungu mkuu kwenye kitabu cha tito paulo anasema wakati yesu mwenyewe anasema naenda kwa baba yangu naye ni baba yenu mungu wangu naye ni mungu wenu na mungu wangu ni mkuu kuliko mimi ndugu zangu wakristo haya maandiko mnayasoma kwa kugeuza kitabu juu chini au vipi jamani halafu paulo anasema yesu ni mungu tena mungu mkuu dah embu tuache drama bwana

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Před rokem

    Kwana hamkusoma katika vitabu vyenye yakuwa ukristo ilikuwa kabla ya uislamu

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem +1

    Embu tusome bwana tujue ukweli na kusoma sio dhambi tuache kungangania imani kisa wazazi wetu watu wanasherekea kuzaliwa kwa yesu krismasi kitabu kinasema bikira Maria anabeba mimba mwezi wa sita halafu December 25 mtoto anazaliwa luka 2 1 inasema siku za mtoto zilitimia akazaliwa sasa jamani miezi 6 mtoto anazaliwa aaah bana embu tuwe serious kidogo tuache drama kwenye haya mambo

  • @jumaaramadhani2669
    @jumaaramadhani2669 Před rokem +2

    Ujumbe umefika shekhe

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem +1

    Biblia zipo tofauti tofauti kuna yenye vitabu 73 nyingine 66 mara kuna injili zaidi ya hizo 4 zipo mpaka 80 kwanini walichagua wakaziweka hizo 4 tu hizo zingine zipo wapi hao waliochagua ni mungu aliwamrisha hivyo au ni matamanio yao tu mpaka hapo ni vichekesho sana

  • @hafsahamad1353
    @hafsahamad1353 Před rokem

    Wacheni matusi makafir tulieni sindano iwaingie

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před rokem

    Kabla ya Uislamu Ukristu ulishakuwepo miaka 570. Sawa na Karine 6. Ukristu ni Mkuu kuliko Imani yeyote.Ukristo unafahamu mengi Kwa sababu ulikuwepo kabla.
    * Kila Nabii Toka Adamu walikuwa na kalenda yake.Kalenda inayoendelea ni Ya Yesu. Je kalenda ya Nabii mwingine ipo wapi?*

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem

      Tungeweza kupata ilo andiko kuwa ukristo ni dini na andiko kuwa ulikuwepo kabla pia andiko manabii walikuwa wakristo hiyo elimu tutapata wapi

  • @difakilossa5525
    @difakilossa5525 Před rokem +1

    Wewe ni malaya tu kuenda zako

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před rokem

    Wewe nifala hubili acha ujinga

  • @difakilossa5525
    @difakilossa5525 Před rokem +1

    Shee kuma la mama ako na waekunga mkono wote mashee nyote

    • @abdalahsuleman2791
      @abdalahsuleman2791 Před rokem

      Wewe Bado ni mjinga ukajua matus ni dawa una chuki kisikia ukweli

    • @ahmadothuman190
      @ahmadothuman190 Před rokem

      Ukweli unauma eeehe?

    • @khamiskhamis3165
      @khamiskhamis3165 Před rokem

      wacha matusi tuliya dawa ikuingie ukristo si dini wewe wacha ufahamishwe haki apo pumbavu zako

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před rokem

    Acha upotoshaj

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před rokem

    Kama babu zetu walidanganywa na wazungu kwa kupewa koti sweta na pombe ya kisasa wine au whisky akakubali kudanganywa na sisi tutabaki kwenye huo udanganyifu inasikitisha sana sana watu wamejaa makanisani tena wasomi wa vyuo na degree zao ila hawataki kusoma kwa undani historia ya ukristo walioukuta inauma sana

    • @abdalahsuleman2791
      @abdalahsuleman2791 Před rokem +1

      Umefeli sanaaa dini ya ukristo ni kizungu jiulize Yesu aliingia kanisan ?

  • @willymhango1924
    @willymhango1924 Před rokem +1

    Kaa na majini yako

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 Před rokem

      Mkishindwa tü huwa mnakimbilia huko soma ujuwe ukweli Kisha jiuluze kuwa nyinyi mnasema waislm ndio wafuga majini lakini mbona wakristo makanisani kwao ndio wanaongoza kutokana majini na sio kufanya ibada kama wafanyavyo waislam misikitini kwao

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem

    Usitumalizie pesa kwenye bando letu kujipa utajili kupitia jina la tunae mwamini YESU KRISTO,tunaijua dini yetu vzr fanya yako

  • @difakilossa5525
    @difakilossa5525 Před rokem +1

    Nenda ukafirwe nyuma

    • @athmanidi7388
      @athmanidi7388 Před rokem +1

      Kumbe hii ndiyo tabiya ya mkiristo wewe. Agalia mwenye mtandao . Mwalimu ndacha , chaka na wezake na hatuwezi kuwatusi siyo tabiya ya kiislamu pole

    • @difakilossa5525
      @difakilossa5525 Před rokem

      @@athmanidi7388 wewe auwez kuwatusi sio mimi uyu ni malaya tu kama wangine kaz kuchochea nchuk tu

    • @aliomar75
      @aliomar75 Před rokem

      Ukiristo wafundisha matusi sio

    • @difakilossa5525
      @difakilossa5525 Před rokem

      @@aliomar75 uislamu unafundisha ubangozi na kuchija watu djiad sio ?

    • @khamiskhamis3165
      @khamiskhamis3165 Před rokem

      utaanza wew mjinga mkubwa tulia ufahamishwe haki ukristo si dini mjinga wew tulia dawa ikuingie dini ni moja tu uislam basi na mungu ni mmoja tu Allah peke yake hakuna mungu baba wala mungu mwana hapa

  • @phelisiawakio9246
    @phelisiawakio9246 Před rokem +1

    Wachana na dini yetu haikuhusu.

    • @abdalahsuleman2791
      @abdalahsuleman2791 Před rokem

      Ina tuhusu sanaaa kuwaambia ukweli ili mmfate nabii wa mwisho Mohammad

    • @phelisiawakio9246
      @phelisiawakio9246 Před rokem

      @@abdalahsuleman2791 we believe in Jesus Christ and we don't need any direction from anyone.

  • @difakilossa5525
    @difakilossa5525 Před rokem +1

    Tangazan uislamu sio kujadil vitu ambao avimuhusu mashee wajinda sana nyinyi mnatombua na ndevu zenu mkunduni , uislamu dini ya kutokea wapi kila siku mnasabisha damu kumuanguika ali chababe

    • @abdalahsuleman2791
      @abdalahsuleman2791 Před rokem

      Ni lazima kufikisha ujumbe kusikiliza na kuelewa ni juu Yako hakuna nabii mkristo Bali ni biashara tu ya kutawalia watu weusi maana hawa wazungu hata kanisan pia hawaendi

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita2851 Před rokem +1

    Niseme tu kiufupi waislam niwachokozi naniwanafiki sana hivi kuna siku mlisikia mkristo akiwajadili waislam?acheni mambo ya uchwara fuateni dini yenu tutakutana siku ya mwisho hapo ndo tutajuwa nani?atasuka na nani ?atanyoa?acheni chuki na wakristo fuateni uislam wenu

    • @mohamedhashim3235
      @mohamedhashim3235 Před rokem

      Watajadili VP wakati wanakula mchongo tofautisha na Kula Kwa mchongo na Kula Kwa haki. WA mchongo lazima akae kimya ili achonge mchongo wake WA haki lazima aseme Maana haki inamlazimu aseme. Nadhan umeelewa

    • @stevensosipita2851
      @stevensosipita2851 Před rokem

      @@mohamedhashim3235 kwa hiyo tunaposikiaga kuna wakristo wamesilimu nawo wanakuwaga wamekula mchongo?nakama wanakuwaga wamekula mchongo unamsikiaga mkristo gani?anatowa povu?acheni hizo hila za kishetani mungu atawahukumu

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 Před rokem

      @@stevensosipita2851 Ndugu yangu pole sana kama umeumia na anachofafanua sheikh hapo tena ni pole ya dhati wala sikukashifu.
      Naomba nikusaidie jambo ndugu
      Shekhe hapo amefafanua Aya ya Quran hayo ni mafundisho ya uislam wala sio yake yeye
      Tena kufafanua huko lengo lake kile alichokisema Mwenyezi Mungu ndani ya Quran kiwafikie wahusika ambao hawana mpango wa kusoma Quran!
      Ndugu yangu
      shekhe kufundisha kuhusu wakristo kuwa mbali na Yesu sio chuki ni UPENDO ili wenye kutafakari wafuate lililo haki na watoke kwenye batili, hiyo sio chuki ni upendo
      ni sawa na angekwambia huko unakoenda kuna chui, hiyo ni chuki juu yako?
      Hebu yasikilize maneno yake tena vizuuuuri halafu utafakari vizuri, usipo elewa niulize nitakuelewesha.
      Kwa nia nzuriiii kabisa ndugu, usipaniki maana pengine utachukia jambo la haki kisa tu limegusa imani yako ukalichukulia ni baya kwako
      jua hata waabudu mizimu ukiwafuata kuwatangazia habari za Mungu wa kweli wataona unawakejeli.
      Shusha presha relax halafu hoji.

    • @stevensosipita2851
      @stevensosipita2851 Před rokem

      @@sama-_8368 kumbe ukweli unauma sana sindiyo nyie mimi nawajuwa fika hamna imani yoyote ndani ya mioyo yenu.swali hawo mashekhe waliokwenda kwa huyo anayejiita nabii walifungwa kamba ama walienda kwa imani yao?nakama walienda kwa imani yao povu lanini mnalitowa?acheni mungu aitwe mungu kila mtu atahukumiwa kwa dhambi zake

    • @yohana1242
      @yohana1242 Před rokem

      ​@@stevensosipita2851 kwaio ww mungu wako ni yesu inalilah wainailaih rajiun