SAMBARO YA PAPAI BICHI
Vložit
- čas přidán 11. 10. 2022
- Mahitaji
Tomato 2 za kiasi ( shemsha usage)
Mafuta ya kupikia kiasi kjk 1 cha kulia
Bizari nyembamba 1/4 kjk cha chai
Kitunguu thom na tangawizi ilosagwa kiasi kjk 1 cha chai
Mafuta ya kupikia kisai vjk 2 vya kulia
Mbegu za rai/halidari kiasi kjk 1 na 1/4 ( cha chai)
Pilipili vyekundu ai kijani kiasi 3 mpaka 5
Kitunguu thom na tangawizi kiasi kjk 1 cha kulia
Papai bichi lilokatwa vipande viferu kiasi 1/2 mpaka kikombe 1 utakavyopenda
Karoti zilokatwa vipande virefu kaisi 1/2 au kikombe 1
Embe iloiva nusu - kaisi 1/4 kikombe au zaidi
Chumvi Kiasi
Sukari kiasi kjk 1 cha chai
Maji ya ndimu kiasi vjk 2 vya chai
THIS RECIPE IN ENGLISH • SAMBARO ( RAW PAPAYA)
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
THE ENGLISH VERSION ON OF THIS RECVIPE CAN BE FOUND HERE czcams.com/video/vUl9jQEJ9JA/video.html
Mashaallah mwenyezi mungu ailinde kazi ya mikono yako
Mashallah nzuri sana❤❤❤
Asalam Alaykum mimi sina maneno zaidi na kuombea dua njema Allah akupe kheri za duniani na kesho kiama Ahsnte love u daima habbty wetu 😍😘
Shukran sana kwa support na dua njema, amin kwetu sote
Ahsante, nimeipenda,hakika!
MashaAllah. Shukran habibty. Jazzaka llahu lkhair ❤
Mashallah mamy barka inshallah
Jazakallah khayran
Bismillah mashaallah Jazakallahu lkheir habibty😍😘
MaAshallah
Masha the best sambaro
shukran jazakallahul kheir
Wa aleykum sallam💐💪
Maa Shaa Allaah
Alhamdulilah
😍
Wallah mate yananitoka
Pole 🤣
Mash allah pilipili kwa chakula cha mchana hapo utakula tu Shukran habibty twakupenda sanA
ndio maana akina sisi hatupungui uzito maana vitu hici vinalisha sana
@@aromaofzanzibar kweli habibty wangu mimi ni kiila hiyo pilipili nyingi chakula kidogo
😋😋😋😋😋😋😋
Lai naweza kutumia kwenye nn pia
Utakachopenda mwenyewe ukiona kinaenda hamba shida
Nilikuwa naisubili kwa hamu
shukran
Samahn aroma nipo nje ya mada kidogo, iv wap naweza pata sizzling plate??
Wewe unaishi wapi ? Kama Marekani utapata maduka ya restaurant supplies
@@aromaofzanzibar npo tz dada
Walyem mssalam mum na inakaa kwa mda gani?
Wa aleikum musalaam, kiasi kwa wiki bila friji lakini kwenye friji hata wiki 3 au 4
asant mpnz inaonesha tam
samahn habibty nna swali ambalo halihusiani. Ati kwa uku marekani brand gan ya mandi ambayo wewe uliona ni nzuri? Aksante
Brand ya mandi au brand ya mchele
@@aromaofzanzibar oh samahan nlmaanisha zile mandi kama za sambusa ama vidole vya zainab