PASAKA USTADH SHAFII na MWALIM KINYOGOLI-UKWELI KUHUSU PASAKA NA UWONGO WA WACHUNGAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • ENDELEA KUANGALIA CHANNELI HII

Komentáře • 248

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 5 měsíci +9

    Nampenda sana SHEKH SAID KINYONGORE kwa jili ya ALLAH MASHALLAH YEYE NA SHEKH MAZINGE HaWO NDIYO KIBOKO WAWA PINZANI WADINI YA KISILAM ALLAH awaojaliye neemaa za kila aina zakheri nawawo ameen

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t Před 5 měsíci +11

    Mashallah kwa mafundisho mazuri kutufalanulia zaidi

  • @adamunzeyimana1806
    @adamunzeyimana1806 Před 5 měsíci +7

    Mashaa Allah
    Shukran kwa kutu elimisha
    Allah azidi kukubariki Duniani na akherah

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 Před 5 měsíci +7

    Mashaa Allah nawapenda kwa ajili ya Allah sw

  • @nicholouskavindi8512
    @nicholouskavindi8512 Před 5 měsíci +8

    Hamjakosea pasaka ya Kwanza n Hyo kuepuka kifo baada ya kuchinja mnyama Sasa pasaka wetu halisi n Yesu Kristo Kwa kumwagika kwake damu Na kufa Na kufufuka kwake Sisi tumepona Amen

    • @ibrahimsaad617
      @ibrahimsaad617 Před 5 měsíci

      Andiko lipi mpendwa

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 5 měsíci

      Lete andiko yesu ni pasaka yako

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 5 měsíci

      ujinga wa wazi

    • @servantofgod4340
      @servantofgod4340 Před 5 měsíci

      ​@@fatumamwalimu5765
      1WAKORINTHO 5:7 "BASI JISAFISHENI MKATOE ILE CHACHU YA KALE MKAWE DONGE JIPYA. KAMA VILE MLIVYO HAMKUTIWA CHACHU..KWAMAANA PASAKA WETU AMEKWISHA KUTOLEWA SADAKA, YAANI KRISTO".

    • @servantofgod4340
      @servantofgod4340 Před 5 měsíci

      ​@@fatumamwalimu5765
      Kazi mnayo... Mwataka kuziba jua kwa ungo😅 KRISTO NI BWANA WA MABWANA. nyie swalini muende kwenye pepo ya uzinzi . Pepo ya mwanamme mmoja kugonga mabikra 72.. Ila waislam😅akili hamna

  • @williamgabrielmassawe3654
    @williamgabrielmassawe3654 Před 5 měsíci +1

    Kristu pasaka wetu ,amechinjwa sadaka tuile kalamu yee na tuimbe alleluya.

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před 5 měsíci +5

    Masha Allah Mungu akulipen nyinyi ote

  • @arkamali446
    @arkamali446 Před 5 měsíci +12

    Mnapambana sana na darsa ni nzur sana ALLAH ATAWALIPA KILICHO CHA SAIZ YENU. WALLAH SISI HATUNA CHA KUWAPA.

    • @ISAALMASIHI9823
      @ISAALMASIHI9823 Před 5 měsíci

      Waislamu maamuma someni korani, unampiga shetani mawe lengo afe au? kiumbe kisichoonekana! inashangaza, nisaidie aya au lengo na dalili tu

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 5 měsíci

      ​@@ISAALMASIHI9823mkigusiwa ukweli ndio mnatafuta pakufia! Mafunzo hayo mnapewa muache sarakasi, nyinyi makafiri mnaposema mnatoa mapepo uwa mnawaona? Kwani shetani akipigwa mawe wewe unaumia nini? Hau ndio ukweli umekuingia ila ubishi tu,au unaumia maana kwa mujibu wa bibilia zenu huyo shetani ndie aliewaletea mokozi? Nabii Ibrahim alimpiga mawe,na sisi waislam wengine tunafanya hivyo ivyo

    • @salimali3688
      @salimali3688 Před 5 měsíci

      No

    • @ISAALMASIHI9823
      @ISAALMASIHI9823 Před 5 měsíci

      @@salimali3688 wewe ni shekh kwelkweli, soma sana Quran hata nami nampenda Yesu kupitia biblia na si hadithi au mapokeo
      Thawabu ya Allah iwe nawe

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před 5 měsíci

      ​@@ISAALMASIHI9823tokea lini kafiri akaelewa hio ni bibilia unaikataa loo

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi Před 5 měsíci +5

    Mashallah Allah awalinde mashekhe wetu

  • @ahmadiKesse
    @ahmadiKesse Před 5 měsíci +5

    Allah awape nguvu na ufahamu zaidi watu waelimike

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před 5 měsíci +2

    Wewe pasaka sio yako wewe huijui, utaumia tu😅😅😅😅

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 Před 5 měsíci

      sawa yako ww tuambie imeandikwa wapi mpaka uifuate?😂

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před 5 měsíci +4

    Ma Sha Allah elimu nzuri

  • @SalminiSalmini-tf2zd
    @SalminiSalmini-tf2zd Před 5 měsíci +3

    Nawapenda kwajil ya allah sheikh shafii na said juma kinyogoli

  • @KhamisiKelly
    @KhamisiKelly Před 5 měsíci +10

    Binafsi nlikuwa nawatafuta sana sheikh shaffi na kinyogoli kwa heshima nawaomba muandae muhadhara na pasta ndacha mumfundishe huku kenya anadanganya watu.

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 Před 5 měsíci +2

      Kenya hapo yupo sheikh ramadhani bin kuriya anamuweza sana huyo ndacha

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 5 měsíci

      Ndacha ameshaandaliwa mihadhara hapa Tanzania na hakuna aliyeweza kumshinda

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂....Yaaani mtaiba kila kitu lakini baaado...ati Pasaka ilikuwa kwa ajili ya Waislam??
      Wala haihitaji degree...pasaka ilianza kabla ya Uislamu na sio kweli wakristo wapo karibu maana quran haisemi hivyo 😂😂

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 5 měsíci

      @@rockygappi1018Muongo wewe

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 5 měsíci

      @@rockygappi1018 QURANI 5:82 Hakika. Utawakuta Waliomaadui zaidi Kuliko Watu ( Wengine ) Kwa WAISLAMU ni MAYAHUDI Na Wale MUSHIRIKINA ( Wasiokuwa na KITABU ). Na Utawaona Waliokaribu kwa Urafiki na WAISLAMU ni Wale Wanaosema ; Sisi ni WAKRISTO ." ( Hayo ) Ni Kwa Sababu wao ( WAKRISTO ) Hawatakabari ; ( Wakiijuwa Haki Huifuata ) 🙏🙏🙏@rockygapp1018 Umeona ANDIKO?

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Před 5 měsíci +5

    Vyuma 2 vimekutana 😂😂😂

  • @topeng.1506
    @topeng.1506 Před 5 měsíci +3

    Ma’ashallah tumeelimika.kwamba pasaka sio Siku ila Mnyama yaani Kondoo ao Mbuzi.

  • @samxx411
    @samxx411 Před 5 měsíci +1

    Sheikh Said yupo kimya sana siku hizi, huwa nampenda sana akitoa hoja zake na akizifafanua wakati wa muhadhara

  • @KhamisMdzomba-w6h
    @KhamisMdzomba-w6h Před 5 měsíci +2

    Jazakallah kheir

  • @salimothmanhoza
    @salimothmanhoza Před 5 měsíci +3

    Ulevi wa dini ni mbaya zaidi kuliko bangi,wokovu uko kwa Yesu tu,pasaka wetu amekwisha kutolewa kuwa sadaka yaani kristo 1korintho,5:7

    • @ShafiunaWaziri-vz7bi
      @ShafiunaWaziri-vz7bi Před 5 měsíci

      Unamfata Paulo unapotea mashee aya wanatoka katika bibilia we puuza na fata mkumbo2

    • @ibrangowo6185
      @ibrangowo6185 Před 5 měsíci

      UKWELI UTABAKIA KUWA UKWELI TU HATA KAMA WATU HAWAUTAKI AU WATAUCHUKIA.

    • @sayidabdillah8505
      @sayidabdillah8505 Před 5 měsíci

      Na hawa wabrania wanatokana na nabii Ibrahim amabye asili yake anatoka mashariki ya kati katika nchi ya iraki yaani waajemi or warabu kwa hiyo yesu or nabii issa ni muarabu si mzungu wala Hana asili ya kizungu km ambayo mumedanganywa na wazungu

    • @sayidabdillah8505
      @sayidabdillah8505 Před 5 měsíci

      Lakini km unaamini kifo cha yesu msalabani basi amini kuwa hakikusadii kitu kwa sababu kifo cha yesu hakikusadii ww or mtu yoyote hakuna mtu anayebeba dhambi ya mtu kila mtu anabeba dhambi yake

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před 5 měsíci +2

    Masha Allah kwakutukumbusha

  • @servantofgod4340
    @servantofgod4340 Před 5 měsíci +2

    1WAKORINTO5:7
    "BASI JISAFISHENI MKATOE
    CHACHU YA KALE MKAWE DONGE JIPYA. KAMA VILE MLIVYO HAMKUTIWA CHACHU..KWAMAANA PASAKA WETU AMEKWISHA KUTOLEWA SADAKA, YAANI KRISTO

  • @makalohassan
    @makalohassan Před 5 měsíci +1

    Mashaallah Allah awajaze kheri.

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Před 5 měsíci +1

    Mwapotea kwakuwa hamuyajui maandiko wala uweza WA Mungu. Mtafuteni mwalim Francis Ndacha awasaidie maana anapatikana.

    • @AthumaniPuchu
      @AthumaniPuchu Před 5 měsíci

      Ndacha haamini pasaka maana yule ni msabato

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před 5 měsíci

      Ndacha muongo anatoa tafsiri anazotaka yeye sio vitabu vinavosema

    • @salumkagame509
      @salumkagame509 Před 5 měsíci

      Kwani hico.kitabu wanaco soma si bibilia? Mpaka ndaca aje labsa kama wanaongea kizungu aje atafasiri?

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 5 měsíci +1

    MashaAllah Allah awafanyie wepesi kwa kila kitu

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 5 měsíci +2

    Nambona huku ulaya watu waweka mayai rangi rangi na vifaranga toys na chicolate ziko kama za mayai ya rangi rangi nivipi hivi tuelezeni tafadhali maanake nini mayai ni wapi kwa wapi

  • @JonasAmisiheradi
    @JonasAmisiheradi Před 5 měsíci

    Walaykoum salam, Tume musalimu Mwalimu Saidi Jumaa Tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO, tupo pamoja, Ramadan Mubarak kwa wote

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma9729 Před 5 měsíci +2

    Uislam mzuri sana

  • @abdallahassan2983
    @abdallahassan2983 Před 5 měsíci

    Mashallah

  • @meekman1805
    @meekman1805 Před 5 měsíci +1

    Maashallah

  • @juvenalymwanalyela202
    @juvenalymwanalyela202 Před 5 měsíci

    ukweli kuhusu kifo cha Muhammad kuhusu kufa kwa sumu

  • @gasorekassim5499
    @gasorekassim5499 Před 5 měsíci

    mashaallh from 🇨🇵

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před 5 měsíci

    MashaAllah ❤❤❤❤

  • @QofSaidiKbsk01
    @QofSaidiKbsk01 Před 5 měsíci

    Maashallah ma ustadh wetu

  • @wakwetuluanda965
    @wakwetuluanda965 Před 5 měsíci

    Yesu wakati anakuja chakula na wanafunzi wake akatoa kikikombe anasema hinidamu yangu damu ya agano jipy kwajili ya ondoleo la dhambi fanyenj ivi kwa kunikumbuka mimi someni vizuri walimu bibilia pana sana

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 Před 5 měsíci

      Biblia yenye kupachikwa maneno?soma ww upotee peke yako

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 5 měsíci

    good movie

  • @juvenalymwanalyela202
    @juvenalymwanalyela202 Před 5 měsíci

    Ukweli kuhusu mwezi nanyota ukweli kuhusu Muhammad kupasuliwa kifuwa malasaba kutowa fungu la shetani

  • @hassanhategekimana4526
    @hassanhategekimana4526 Před 5 měsíci +1

    Na hio pasaka ilitajwa kabla ya Yesu kuja duniani! Je wanaosema pasaka inamanisha kufufuka kwa Yesu wanatoa wapi wakati ilitajwa Yesu hajazaliwa?

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Před 5 měsíci +1

    Kama mmeujua ukweli WA biblia kwani mnakuwa na shingo ngumu kumkubali Bwana YESU enyi waislamu?

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p Před 5 měsíci

    Ukristo ni tolii jamani hupati Christmas kwenye kitabu wala pasaka wanayosherekea hupati kwenye kitabu wanachoamini hukuti neno ukristo wala biblia kwenye kitabu wanachofuata msiba

  • @SalumHaji-wj2ht
    @SalumHaji-wj2ht Před 5 měsíci

    Nawatakia afya jema muendelee kutoa darasa hili watu welewe

  • @johnpetro378
    @johnpetro378 Před měsícem

    Shafi na kinyogori, Qruan imewaelekeza kama kuna jambo hamrijui basi ulizeni kwa wakristo,
    Hapo ulipokuwa unasoma ( body language of the bibble)
    Huna chochote ulichoeleza kuhusu spirtual knowledge ya hizo contents
    Tafuteni walimu wakikrsto mufu dishwe,

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 5 měsíci +1

    Masha'allah Masha'allah

  • @benadi6254
    @benadi6254 Před 5 měsíci +1

    😂😂😂😂hizi comedi show ni mingi sikuhizi

    • @user-gy5en6cy8o
      @user-gy5en6cy8o Před 5 měsíci

      Zipi hizo fungua masikiio na uelewwe chukua kalam na karatasi andika hizo point hapo alaf kaa chini utafakari upate knowledge 😢

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 Před 5 měsíci

    Mtu yoyote Asiye elewa mafundisho ya mchungaji Fransis Ndacha Basi wewe so muelewa wà chochote, Haya Ni mahubili ya Pasaka Kama Ni sahihi Pasaka Ipo, Na Ndacha ndie peke yake anauwezo wà kufundisha kinachoeleweka,

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Před 5 měsíci

    Taratibu tuu mtaelewa

  • @mwesi527
    @mwesi527 Před 5 měsíci

    Wap katika quran allah wenu anaitwa BABA,?ili pasaka iwe ya waisilam

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Před 5 měsíci

    Hakika mnatafuta kumjua Mungu WA biblia lakini mmekutana vipofu watupu hebu mtafuteni mwalim Christopher Mwakasege atawasaidia Sana kama hamumtaki mwalimu Ndacha

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 Před 5 měsíci

    Nyie NI manafiki Tu , kila MTU NI haramu cha mwenzake.

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc1727 Před 5 měsíci

    Waislamu ni wapinganji maanake wakafili, kila kitu kilico kuwa agizo la Mungu, kwa waumini wa islamu wanapinga, hawa wanaonekana ni wapinga kristo, wa masijali , tena huyu kinyogori anapinga anaco kijuwa, ni memusiya akisema Yesu hafai kufatwa ni mwenye dhambi , kinyogori emekufulu hafai kusikilizwa, aliyo ya pinga , ukisoma injili yohana 13:1-17 mustali wa 17 Yesu aliwambia mukiajua Hao mutakuwa heli mukiyafanya . Hawa makafili waislamu wakija wakapinga , kwa sasa mumeumbuka , wa naofata njia ya wislamu wa mepotea walimu wao wa mewapoteza nawo walipezwa na majini nao wakapoteza watu , kujeni kwa Yesu na sasa anawasubili , yeyote akija kwake hamufukuzi anasema njoni kwangu mimi ni munyenyekevu wa moyo .matayo 11:28-30

  • @canmakoye547
    @canmakoye547 Před 4 měsíci

    Woote wango hapo hamjui kitu

  • @user-zr7on8ys1l
    @user-zr7on8ys1l Před 5 měsíci +1

    Muhim San Kam hii

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 Před 5 měsíci

    Kinyogoli achaga kuijikanyaga wewe unakuwa mwongo mpaka uzeeni

  • @FeristaKoku-it9nx
    @FeristaKoku-it9nx Před 5 měsíci

    Shafii na kinyogoli mgefundisha kuhusu hidi na sio pasaka maana mnadanganya

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 Před 5 měsíci

      Unasemea chumbani.watafute ukafunzwe uwache kukata mauno kanisani😂

  • @aloycekayanja1756
    @aloycekayanja1756 Před 5 měsíci

    Hapo nyie Islam hamuelewi baada ya wayahudi kumkataa YESU mungu zie ahadi zote za waizrael zilipewa watu wote hata kama si mwizrael au muyahudi,Nandi o maana wakristi ni wa8zrael wa kiroho Sio WA kimwilli KAMA KITU HAMKIJUi WAULIZEÑi WAKISTO KA MA MTUME WENU ALIVYO WAAMBIA.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci

    Jamani hayo majina ya Mitume… mnayatamka vibaya mengine. Yakobo basi???

  • @maase2023
    @maase2023 Před 5 měsíci +1

    Nyie mbn visirani sana lkn? Si muwaache wafurahike na sherehe zao ziwe kweli au si kweli waacheni nyie yawahusu nn visirani wakubwa basi kukalia majungu tu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 5 měsíci

      Kwa hyo kama mnaingia kwenye shimo msitahadharshwe? Kumbuka ukifanya unayoyataka kuna jahannam

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Před 5 měsíci

      Tukiwaacha mnapotisha waislam wenzetu ndo mana tunasema ukweli

    • @AthumaniPuchu
      @AthumaniPuchu Před 5 měsíci

      Huutaki ukweli😂😂😂😂

    • @maase2023
      @maase2023 Před 5 měsíci

      @@AthumaniPuchu zungumzeni sikukuu zenu mwatakia nn sikukuu za wengine? Ni uhasidi tu huo

    • @AthumaniPuchu
      @AthumaniPuchu Před 5 měsíci

      @@maase2023 Lakini ingekuwa amekosea mngemkosoa lakini inaonesha yupo Sahii Sawa kwakua Amtaki Ukwel bac

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 Před 5 měsíci

    Nabii is_ haka alikua na mtoto wakike jina lake ni faa- iqa

  • @AlfredZacharia-of3je
    @AlfredZacharia-of3je Před 5 měsíci +1

    Kwann waislam wanampiga mawe shetwan wakati nae ni muislam maana mhamad alimsilimisha, ukisoma kitabu Cha kiislam ulimwengu wa Majin ukurasa wa 20 kinasema Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha shetwan na wanawe kuomba msamaha Kwa Allah na kuwa waislam, ila ni mtume mhamad ndiye aliye mwombea msamaha shetwan na kuwa muislam na waislam wanafundishwa kupendana wao Kwa wao sasa kwann kumpiga mawe shetwan ambaye muislam?Ila katika biblia shetwan kasharalaaniwa na hukum yake ni moto wa milele soma. Ufunuo 20:10 na matayo 25:41.

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 Před 5 měsíci +1

      Safi sana iyoo, na wanapinga YESU KRISTO hakufa na hajafufuka nimewapa kifungu 3:55 koroani wasome iyoooo

    • @user-gy5en6cy8o
      @user-gy5en6cy8o Před 5 měsíci

      Wachana na hilo kwanza jibu hili la pasaka kwanza 😢

    • @AlfredZacharia-of3je
      @AlfredZacharia-of3je Před 5 měsíci +1

      Asant sana kaka

    • @AthumaniPuchu
      @AthumaniPuchu Před 5 měsíci

      Ndio mada au umelewa😂😂😂

    • @AthumaniPuchu
      @AthumaniPuchu Před 5 měsíci

      Unajitaidi kuitetea pasaka lakini Auna Aya 😂😂😂😂

  • @abuibra
    @abuibra Před 5 měsíci

    Je?kuna mu'israel yeyote mkristo,hapo Jerusalem .

  • @edwardpeter9014
    @edwardpeter9014 Před 5 měsíci

    Kwaiyo Iddy ndiyo yakweli

  • @deogratiussaru3074
    @deogratiussaru3074 Před 5 měsíci

    Wajinga wawili wamekutana hamwezi kutufundisha wakrito nyie kizazi cha shetani

    • @AbediMadjaliwa
      @AbediMadjaliwa Před 5 měsíci

      Kwanini umewafatilia wajinga, wewe na wawo nani mjinga😅😅😅😅😅😅😅😊

  • @maase2023
    @maase2023 Před 5 měsíci

    Mmekalia kuwasakama wenzenu tu juu ya furaha zao mahasid wakubwa nyie mbn wao hauwasikii kukejeli au kukashifu sikukuu au furaha yoyote kwenye dini yetu? Kuweni wastaarabu nyie acheni majungu yenu ya kujuha hayo! Kwani sisi tumekamilika mpk kupita kukashifu na kukejeli wengine???

    • @lapozzydone5203
      @lapozzydone5203 Před 5 měsíci +1

      Dini imewaruhusu kufanya hivyo kukemea maovu kama unao uwezo wakukemea ama kuchukia.. Wewe unae tetea batwil kua makini Usije jikuta pabaya..
      Hata wao kama wanaona sikukuu zetu pia azina ushahidi wanaruhusiwa kuzikosoa kwa ushahidi.. Maana wao wamekosolewa kupitia kitabu Chao..kama niuongo waje wajitete ama wewe unaweza watetea kimaandiko kama uko nayo.

    • @maase2023
      @maase2023 Před 5 měsíci

      @@lapozzydone5203 wenzetu hawana majungu kama sisi ! Ww kemea mambo maovu yaliyopo ndani mwetu waislam ndio mungu anavoelekeza hao wenye dini zingine waacheni mungu ndie atakaewaongoa sio ww! Uchofu wa roho na majungu tuyaache

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 5 měsíci

      @@lapozzydone5203 Swadakta

    • @AthumaniPuchu
      @AthumaniPuchu Před 5 měsíci

      😂😂😂😂 Shida mnadanganyana sana

  • @ISAALMASIHI9823
    @ISAALMASIHI9823 Před 5 měsíci +3

    Dini ni ulevi
    Akili mbovu sana, unampiga mawe shetani?
    Nahisi hata shetani anawashangaa waislamu

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y Před 5 měsíci

      Ndio mana bible inasema kitu cha enzi cha shetani kipo kanisani na nyinyi mumenyamaza kimnya ndio Mana watu wakienda kanisani mapepo juu juu lakini wakiwa majumbani mwao kimnya

    • @user-ec5hw3kh4m
      @user-ec5hw3kh4m Před 5 měsíci +2

      Wewe unataka apigwe mawe nani? Waislamu wanampiga mawe shetani, Wakristo wanamkubatia shetani.

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 Před 5 měsíci

      Acheni uongo huwezi kudanganya wenye wenye akili ila utadanganya wenye Majini make nyie ndio mnayo, mtume wenu alisilimisha Majini lkn YESU KRISTO aliyakemea majini,

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 Před 5 měsíci

      Koroani yenu yenyewe inasema YESU atakufa na atafufuka, 3:55

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 Před 5 měsíci

      Ama kweli mnajuaga kutunga hadithi sijui mnapata nn kwenye hii dunia jmn,