Ufugaji wa Nguruwe - Hadithi ya Ritha Mgoba, Amaria Kimata na Wiliam Kigava

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • EAMCEF ilisaidia ufugaji wa nguruwe ili kuthibitisha kama jamii inaweza kupata kipato kutoka chanzo mbadala mbali na misitu na kwa hiyo, jamii ingepunguza utegemezi wa moja kwa moja wa misitu. Kwa kufanya hivyo wangewezesha utunzaji wa bioanuwai katika Hifadhi za Mazingira Asilia za Kilombero na Uzungwa Scarp.

Komentáře •