Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Naombeni like siyo ubaguzi hivyo
Pia ningeomba utupe uchambuzi kuhusu Deborah Fernandez
Sawaa Simba tumesajili Lakini mwanetu #Mbwaduke kazi ya uchambuzi anaiweza aiseeee Big up sana Brother
MO, unatishaaaaa, ila Fei na Mayele TUACHIE sisi Mashabiki tukusaidie, unafanya kazi kuuubwa Mzee baba🏆🏆🏆
tunafurahia presentation zako mwaduke
Jaman naomba like na ww
Welcome okejepha
Huyu dogo anaonekana anatumia akili sana
Welcome debola mavambo fernandez
Ukisikia jina Fernandez ni shida ❤
Mchambuzi boraaaa🎉🎉🎉
Mungu ajalizie kazi ya mikono yko broo❤❤❤
Nakubali uchambuzi wako😊😅😮😢
FEI mwakani ndani ya simba
Moo chukua fei toto simba atakiwahsa sanaaa
Mo Mayele na Fei tunawaomba
Nkufuatlia xn
😂😂utopolo mnasikia haya, Heshima lazima.
Simba inasajili udagaudagaaa😂😂😂😂😂😂😂duh patamu hapo
Umejuaje kma ni udagaudaga,?
Wakwanza leo😅
Nilikuwa nasubili upange kikos Cha Simba kitakavyokuwa
Vyura washapata hofu hapa😢
Ahsante kwa uchambuzi ila tusaidie na failure Zak maan mazuri tayari tumeshapata mr . Statics
Umesikiliza mpaka mwisho Mkuu au bando lilikata? Mbona humu Mzee wa Data kaeleza yote mazuri yake na changamoto zake? Sikiliza tena vizuri...
Mnasemaje hukoooo
Ningekua kiongozi yoyte pale simba ningemuajiri huyu mwamba ktk uchambuzi wa wachezaji na kujua na akae wapi ,kwa sababu ipi, huyu ni hatari
Tunaomba utupe taarifa za ELIE MPANNZU
Tusubiri Welcome(s) mpya ili kujua kama naye yumo ama ama la!
Vp Elie Mpanzu amesajiliwa na Simba ?
Soon...jiandae maana Mzee wa Data atatiririka hapa kwa facts tupu!
Naombeni like siyo ubaguzi hivyo
Pia ningeomba utupe uchambuzi kuhusu Deborah Fernandez
Sawaa Simba tumesajili
Lakini mwanetu #Mbwaduke kazi ya uchambuzi anaiweza aiseeee
Big up sana Brother
MO, unatishaaaaa, ila Fei na Mayele TUACHIE sisi Mashabiki tukusaidie, unafanya kazi kuuubwa Mzee baba🏆🏆🏆
tunafurahia presentation zako mwaduke
Jaman naomba like na ww
Welcome okejepha
Huyu dogo anaonekana anatumia akili sana
Welcome debola mavambo fernandez
Ukisikia jina Fernandez ni shida ❤
Mchambuzi boraaaa🎉🎉🎉
Mungu ajalizie kazi ya mikono yko broo❤❤❤
Nakubali uchambuzi wako
😊😅😮😢
FEI mwakani ndani ya simba
Moo chukua fei toto simba atakiwahsa sanaaa
Mo Mayele na Fei tunawaomba
Nkufuatlia xn
😂😂utopolo mnasikia haya, Heshima lazima.
Simba inasajili udagaudagaaa😂😂😂😂😂😂😂duh patamu hapo
Umejuaje kma ni udagaudaga,?
Wakwanza leo😅
Nilikuwa nasubili upange kikos Cha Simba kitakavyokuwa
Vyura washapata hofu hapa😢
Ahsante kwa uchambuzi ila tusaidie na failure Zak maan mazuri tayari tumeshapata mr . Statics
Umesikiliza mpaka mwisho Mkuu au bando lilikata? Mbona humu Mzee wa Data kaeleza yote mazuri yake na changamoto zake? Sikiliza tena vizuri...
Mnasemaje hukoooo
Ningekua kiongozi yoyte pale simba ningemuajiri huyu mwamba ktk uchambuzi wa wachezaji na kujua na akae wapi ,kwa sababu ipi, huyu ni hatari
Tunaomba utupe taarifa za ELIE MPANNZU
Tusubiri Welcome(s) mpya ili kujua kama naye yumo ama ama la!
Vp Elie Mpanzu amesajiliwa na Simba ?
Soon...jiandae maana Mzee wa Data atatiririka hapa kwa facts tupu!