Mkono wa Eid

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Video from Salim Omary Selemani

Komentáře • 28

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 2 lety +13

    Kama na wewe unasikilza wimbo huu mpaka leo hii gonga like nyingi

  • @davidjohn5977
    @davidjohn5977 Před 5 měsíci

    Nyimbo inanikumbusha nikiwa form one Kibasila 1998,Bibi yangu marehemu Mwanahamisi alikuwa akiupenda sana.Ni nyimbo nzuri hakika

  • @kokombwana8625
    @kokombwana8625 Před 5 měsíci +1

    Wimbo unanikumbusha miaka ya 80,nikiwa mdogo,nyumbani kwetu Kwakivesa,Handeni,nikiwa na kaka yangu Mwenjuma,mtoto wa mjomba

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 Před 5 měsíci

    Wimbo huu hau huchuji. Nimeanza kuanzia nikiwa Mdogooooo lkn mpaka leo utamu wake uko vilevile. Nyimbo zilikuwa zamani Bwana. Siku hizi matusi matupu, wimbo wiki au Mwezi umeshachuja. Hakuna Wanamuziki miaka hii.

  • @rashidlunku8303
    @rashidlunku8303 Před 3 lety +3

    Salumu abdallah yazid morogoro iyo Allah ampe kauli thabit amiin

  • @EdgarJim-ml6tu
    @EdgarJim-ml6tu Před 5 měsíci

    Nakumbuka wazazi wangu

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 Před rokem

    Ala zilikuwa zinaimba kwanza zenyewe na unazisikia kabla sauti yenyewe haijasikika.meneno yalikuwa yanasikika,Koo safiiiiii,ujumbe mtamu,hisia Kali,hauchoshi kuusikiliza na una maadili mema ya dini.
    Natamani mshale wa saa ungerudishwa nyuma nimuone live salum abdallah yazid, naomba Mungu ampe pumziko la amani daima.

  • @halidvova950
    @halidvova950 Před 3 lety +4

    Nikiwa na strees huwa narudi hapa na kujikumbusha maisha ya utotoni
    Kipindi hicho unapata kila kitu kutoka kwa wazazi basi Mungu awape malazi mema huko kaburini

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před 2 lety +1

    Nakukbali inanikimbusha enzi zetu.

  • @zaniabakari7871
    @zaniabakari7871 Před 4 lety +5

    Inanikumbusha utotoni, idd ikiwa siku muhimu sana. Siku hiyo ndio tutakula mandazi (kaimati) na Wali. Jamani tunatoka mbali.

  • @aminarubibi4852
    @aminarubibi4852 Před 4 lety +4

    Mziki mtaam alikuwa anaupenda Sana marehem baba Allah amuondolee adhabu za kaburi

    • @adamtawete5865
      @adamtawete5865 Před 4 lety

      Amina Rubibi anaitwa nani huyu msanii

    • @ZeProfesa
      @ZeProfesa Před 3 lety

      Mwenyezi Mungu ampe kauli thabiti

  • @ibrahimsuleiman1644
    @ibrahimsuleiman1644 Před 2 lety +2

    Wasaniiwasasahivi kaziyaokukaauchi sautiwanaziediti lakinibadombaya

  • @Pmaker19
    @Pmaker19 Před 11 měsíci

    Daaah nimekumbuka nikiwa mdogo enzi hizoo miaka ya 1993 Eid ilikuwa Eid kweli nguo mpya kula wali matembezi japo hatukua wa imani hiyo ila ilikuwa poa sana 🇹🇿

  • @bakarisheghembe7898
    @bakarisheghembe7898 Před rokem

    Mkono wa Eid

  • @aishamatangamatangamatanga1344

    Daaah yanikumbusha utotoni

  • @husseinkihame9542
    @husseinkihame9542 Před 3 lety +1

    Beautiful song 2021

  • @dadamaisha4470
    @dadamaisha4470 Před 3 lety +1

    What a talent... beautiful 🤩

  • @sangomamourice7082
    @sangomamourice7082 Před 3 lety +2

    Sichoki mwaya

  • @RioIpo
    @RioIpo Před rokem

    Dah kitambo sana Eid Minnal aidina

  • @babefaidha3654
    @babefaidha3654 Před 4 lety +2

    Mkono wa eid

  • @jumakabota1231
    @jumakabota1231 Před 3 lety +1

    Salumu Abdallah