Congratulations to the gospel artist for delivering an outstanding song! It's truly commendable to witness an artist transition from bard songs to creating the best gospel music. This achievement not only showcases their versatility but also reflects their dedication to sharing uplifting and inspirational messages through their music. May the talent continue to flourish, touching the hearts of many with the power of gospel melodies.
Bro Dunia ya saai inaongozwa na demogras bro hata usijaribu kuomba msamaha bro mungu ako kwa kuwa umekuwa kwa Kenya miaka mingi Wacha wakupee kazi ndo waone kweli ww nipesa unatafuta Ww wambie ulikuwa unatafuta pesa
Actually I have no word to say but naomba tu ungesjua advice yetu mapema for now I wish tu wakutolee hyo pesa juu ni mob sana huwezi manage kupata ... Alaf uone zile nyimbo wanasema mbaya undelete zote ubakishe zile mzuri kidogo atleast. Naomba tu ubadilike bro we love you 🎉🎉🎉
Embarambamba alijua alikozea mahali so anaomba msamaha Mungu atakusikia ju hakuna dhambi ndogo wa kubwa dhambi ni dhambi so nikuomba msamaha Kila wakati.Anyway congratulations sana❤❤❤
Love From Tanzania 🇹🇿...Kaka Ongeza Bidii katika mziki,,Usisikize maneno ya Watu
Mziki si mbaya ila hio ujinga ya kuimba akiwa uchi ni muziki gani hio
Yes, aongeze bidii...pia anaweza fanya performance skits in church...he has nyce songs Bora tu mavazi iko sawa
Congratulations 🎉🎉🎉🎉 nice song indeed... This is now a taste of gospel music...
Ya wapi hii gospel?Uko na jokes Pia wewe 😅
@petermokua
Producer na director wa hii ngoma walifanya kazi safi
Watu wamefanya makosa mingi sana kwani yy amekosana nn sikuizi TikTok inalipa sababu ya ujinga
Nice
This is what we want now Embarambamba continue with the same spirit we love your good music 🙏🙏🙏💗❤
Wow This is now gospel song zingine zlikua uchafu tu be blessed our one and only Embarawasing'a
Imagine ulikua umeanza kutupa mbao, lakini Sasa unaiba kama apostle kyade 😂
Wow congrats embarambamba ua reborn again ingekua serikali ilisimama mambo ingelainika ipasyo move on bro this pure gospel song
Nice song,wachana na ile ya kurukaruka kama mwendazimu.Good work Ezekiel Mutua.
This is now the best music😂😂big up embarambamba
Congratulations to the gospel artist for delivering an outstanding song! It's truly commendable to witness an artist transition from bard songs to creating the best gospel music. This achievement not only showcases their versatility but also reflects their dedication to sharing uplifting and inspirational messages through their music. May the talent continue to flourish, touching the hearts of many with the power of gospel melodies.
Congrats embarambamba for the best gospel.
Nice song embarambamba continue with that spirit 🎉🎉let God bless you
Blessed by the song nawe barikiwa mbarambara
Good job ilikuwa kuongeza umalufu❤ bro
Bro Dunia ya saai inaongozwa na demogras bro hata usijaribu kuomba msamaha bro mungu ako kwa kuwa umekuwa kwa Kenya miaka mingi Wacha wakupee kazi ndo waone kweli ww nipesa unatafuta
Ww wambie ulikuwa unatafuta pesa
Wow embarambamba nice song🎉wakisii tuko nyuma yako❤❤❤❤❤❤❤
🙏 🙏 🙏 🙏 msamaha ni jambo la hekima wimbo mzuri sana
Congratulations bro na uwache upusi kabisa hii ndio gospel 🔥🔥
Hizi sasa iko sawa🎉🎉
Congratulations embamba i love the displine now.its now gospel
😂😂😂😂😂😂Embrambamba leo we ni mpole
Juzi aliomba pole
Or else 😅😅😅
Congrat now you made it the true gospel music. Welcome back home the prodigal son
embarambamba best gospel msanii people love nowdays,,,,,,,,nice one💫
❤❤❤ Amen mtumishi 🇰🇪
Uko ndani sasa bro.....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😮😮😮😮😮😮😮🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😊😊😊😊😊😂😂hapa mungu ako.....
A nice song. This is now a gospel song. Keep the fire ablaze
Ingekua serikali ilifanya ivo kitambo kumbe tungepata gospel singer😂😂😂..now continue ivi you will go far❤..matope uachane nayo
Yes sir Mr embarambamba hhiyo ndo gospel songs sio hiyo ujinga ingine eti imesimama eet. Good job bro 💯🔥💯
😂😂😂 Embarambara now tunakusuport full force, this is good gospel 😅
indeed umeimba kama utaendelea hivi then you will be an intentional gospel artist
This is the first gospel umejaribu kuimba zingine zilikua kutusi mungu
Bro nmeipenda hii nayo
Wow Embarambamba reborn, nice one,polite and humble 👏, glory to God
😂😂kimemramba Sasa anaomba mzamaha
Actually I have no word to say but naomba tu ungesjua advice yetu mapema for now I wish tu wakutolee hyo pesa juu ni mob sana huwezi manage kupata ... Alaf uone zile nyimbo wanasema mbaya undelete zote ubakishe zile mzuri kidogo atleast.
Naomba tu ubadilike bro we love you 🎉🎉🎉
Embarambamba sasa hi wimbo mzuri sana nimeipenda amen 🙏 uendeletu hivi Mungu akusaidie ukimba kitu mzuri kama hii itakuwa mzuri sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤜🤛
Kali bro....
Congratulations man Of God 🙏 Sasa nipee corabo
Dir. Mc kuntu stands with you on this🙏
Hapo sasa Embarambamba nice video songs ❤❤❤
😊
AMEN
This is the real Gospel song !! Reformed embarambamba
God bless you Mr Embaramba 🎉🎉🎉 Your going far beyond the past
Thnks for the change CRISS bro !!!!! This is now Gospel !!!! Na nakuombea kesi ifutiliwe mbali
Welcome back embarambamba, new look🎉 keep fire 🔥 burning
Hapo sawa.omoisia
Congratulations nice song.tunataka wimbo Kama izo
Hit moja kali 🎉🎉🎉 shikilia hapo💥
congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉this is the best of the best ur coming lit now🎉🎉🎉🎉🎉 God bless you and lift you more and More 🎉🎉🎉🎉❤
Very nice ubarikiwe zaidi msanii mungu atasimama nawewe na mazuri yako mbele yako
Nice song Mr you have nailed it continue in this spirit you will go far.
Great work Embarambamba keep it up🎉🎉🎉🎉
Nice one ..am very keen ..on this ..embarambamba u a now going far ..
This is now the gospel ata kwa church tunaweza imba sasa🎉
Excellent 🙏 na uwache kuingia Kwa matope
Talanta pure! Thank you embarambamba endelea hivo, tunangoja ingine moto moto
Now you're in a good track, continue with that spirit, the song has nice message to everyone whether kids or adult can listen
Congratulations 🥳🎉Embarambamba.....nice song❤❤❤
Embarambamba alijua alikozea mahali so anaomba msamaha Mungu atakusikia ju hakuna dhambi ndogo wa kubwa dhambi ni dhambi so nikuomba msamaha Kila wakati.Anyway congratulations sana❤❤❤
Hiii sasa iko juuu,Wacha ile ya matope😅😅😅,umesamehewaa katikati jina la yesu
Nice song.cograts embarambamba.
Good song brother.we need of this.God bless you.Congratulations
Nice song indeed God bless you
Eeeh hii ni sawa keep it up,Ile ya kunyandus hapana
Hongera hii ndio gospel sasa
Mungu akubariki na kazi yako
Uko sawa sasa barikiwa
Kumbe ilikuwa tu kiburi ma wazimu. 👏
A very nice and touching song🔥🔥🔥.
We should forgive each other
Embarambamba hapa nmekubali keep it up na toa ingine sasa
Hivyo hivyo embarambamba keep it up
Congratulations Msanii God guids you ❤❤❤❤
Perfect. Yaa keep it up.Now this is what we need to hear.Mungu amesikia.
Hii iko sawa
Keep going omwana ominto abanto batagete gokoiyeri batige upuzi💯✔️🔥
Kumbe ulikuwa unajifanya😅😅 unaweza imba a dignified song in decent attires 😂😂😂
Congratulations 👏
Congratulations embarambamba,,,Kumbe walikusaidia hii ndo wimbo Sasa yenye unafaa kuimbaa Bure ulikua umetuangusha
Now uko best usilutu nyuma🎉🎉🎉
Welcome back to gospel song mtumishi
Huyu anafaa afungwe ,anachezea Mungu
Great gospel, great man. Most famous Gusii gospel artist 😂. Hatutambui Ringtone
🎉🎉❤❤ nice to hear the massage from your song
Hii nayo imeniguse for sure keep it up know yhis is gospel
Amen . This is the taste of the gospel songs.May you follow this track it's now full of the gospel to all nations
Wow bro nice song hadi nimependa
Hii nayo ni pure gospel ❤
Back to pure gospel 🙌 🙏
Good song.watching from haiti..
Msamehe Embarambamba Akii oyeee ❤
Hapa hujasema waah waah wakenya
Nice song may God bless you🙏🙏
Kisii music to the world 🌎 🙌
Yes welcome back 👏👏👏🥳🥳🥳🙌🙌🤗🤗❤️✅
Tumekusame kwa jina la yesu
Congratulations 🎊 nice song 🎵 God bless you 🙏🙏❤
Good song our brother ,my God bless u this is a nice one people need fantastic
Nice one Sasa Hii ndio gospel keep it up 🙏🙏
Good job embarambamba
EMBARAMBAMBA alishtuliwa akarudi form...😅😅 mbona hukimbii hapa 😂
😂😂😂😂
Nice song God bless you my brother 😢
Tunakuompea embarambamba From Kalenjin You will make it
Nice song bro, God bless you
Glory to God 🙏 I like your music 🎵🎶