UZINDUZI KITABU CHA YANGA | Mwana FA ataja sababu za kuvutiwa na Yanga, asema yeye Coastal Union
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2024
- Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma anaeleza sababu za kushiriki shughuli za Yanga, aipongeza kwa mafanikio na kufanya kwa vitendo mambo wanayokusudia kuyafanya, ampa maua yake Rais wa TFF, Wallace Karia.
Ni katika uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Yanga LIVE kutoka Hyatt Hotel, Dar es Salaam.
#YangaSC #UzinduziKitabuYanga #Kitabu #KitabuChaHistoriaYanga - Sport
Huyu kijana huwa nampenda sana akiongea nimtulivu nimwerevu na anajitambua sana namuazii mungu amlinde
Mungu Akutangulie Mwana Fa.💛💛💛💚💚💚💚👏👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏
Mwana FA ni mtu na nusu ni kiongozi bora na wa mfano pongezi kwa mh Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hili kabla ya sisi wengi...!!!
Asante kaka najuwa mzuri sana
Yaani yanga inanipa Raha saaaaana i❤ you yanga
Big up Brother🎉🎉🎉🎉
Allaah Akbar
❤ME WA KWANZA LEO 😅 NIPENI LIKE,👍
Hiyo Ndo yanga
Hongeleni wananchi
Asante sana