MH.ALBERT CHALAMILA AMPONGEZA MWAMPOSA KWA HUDUMA ANAYOFANYA
Vložit
- čas přidán 24. 04. 2021
- Mh. Albert Chalamila ameudhuria kongamano kubwa katika ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa na kuwashauri watu wote kuacha matendo maovu katika kusaidia serikali kufanya maendeleo.
#Mh.AlbertChalamila #mwamposalive #ariseandshinetanzania
Sina hofu, na amini nitapona kwa Jina la Yesu Kristu. Na kosa nauli ya Kuja huko ila kwa Imani yangu nitapona. Unisaidiye kimaombi nipona na kidney, sukari na roho. Amen.
Mungu akubariki mtumishi uwe na Maisha marefu uzidi kutufundisha juu ya uwepo wa mungu katika Maisha yetu.amen.
Amina muheshimiwa mkuu wa mkoa wa mbeya kututembelea viwanja vya Tanganyika pekeaz
Amina mwamposa mungu azd kukulinda tunakupenda sana
Huyu mtumishi wa Mungu alichosema ni kweli, na mama Rais aombe kuishinda roho ya kishetani na viongozi walio mzunguuka. Kwa jina la Yesu Christ✝️ 🙏
Karibu sana Mwanza kiongozi mwenye maono ya kujitambua. Kweli tunahitaji viongozi kama wewe.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam chalamila Mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi
Napokea miujiza kwa jina la yesu
Mwenyezi Mungu akubarik
Asante mungu
Ni jambo jema sana kwa Mkuu wa mkoa pia kwa Rais wetu Mama Samia Mungu awabariki sana
Bwana YESU asifiwe
Mungu naomba utufungulie milango ya baraka katika familia yangu kwa jina LA yesu
j aime arise and Chine
Hongera chalamila.hofu ni ya shetani.tumeomba mungu
Amin
Ameni
Kazi inaendelea chalamila yuko kwa mwamposya hongera sana
Amen
👏👏👏👏👏👏👏👏Amen