MH.ALBERT CHALAMILA AMPONGEZA MWAMPOSA KWA HUDUMA ANAYOFANYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 04. 2021
  • Mh. Albert Chalamila ameudhuria kongamano kubwa katika ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa na kuwashauri watu wote kuacha matendo maovu katika kusaidia serikali kufanya maendeleo.
    #Mh.AlbertChalamila #mwamposalive #ariseandshinetanzania

Komentáře • 57

  • @emmanuelpele8528
    @emmanuelpele8528 Před rokem +1

    Sina hofu, na amini nitapona kwa Jina la Yesu Kristu. Na kosa nauli ya Kuja huko ila kwa Imani yangu nitapona. Unisaidiye kimaombi nipona na kidney, sukari na roho. Amen.

  • @caritashaule3548
    @caritashaule3548 Před 3 lety +2

    Mungu akubariki mtumishi uwe na Maisha marefu uzidi kutufundisha juu ya uwepo wa mungu katika Maisha yetu.amen.

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 Před 2 lety +1

    Amina muheshimiwa mkuu wa mkoa wa mbeya kututembelea viwanja vya Tanganyika pekeaz

  • @anethmartine2669
    @anethmartine2669 Před 3 lety +5

    Amina mwamposa mungu azd kukulinda tunakupenda sana

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 Před 3 lety +8

    Huyu mtumishi wa Mungu alichosema ni kweli, na mama Rais aombe kuishinda roho ya kishetani na viongozi walio mzunguuka. Kwa jina la Yesu Christ✝️ 🙏

  • @silvanusnabothi6139
    @silvanusnabothi6139 Před 3 lety +5

    Karibu sana Mwanza kiongozi mwenye maono ya kujitambua. Kweli tunahitaji viongozi kama wewe.

  • @mikelabia716
    @mikelabia716 Před rokem

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam chalamila Mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi

  • @lolakimaro8767
    @lolakimaro8767 Před 3 lety +5

    Napokea miujiza kwa jina la yesu

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 Před 3 lety

    Mwenyezi Mungu akubarik

  • @nusurahassani4760

    Asante mungu

  • @alexpeter9709
    @alexpeter9709 Před rokem

    Ni jambo jema sana kwa Mkuu wa mkoa pia kwa Rais wetu Mama Samia Mungu awabariki sana

  • @richardbizimana8020
    @richardbizimana8020 Před 3 lety +1

    Bwana YESU asifiwe

  • @janemsigwa7343
    @janemsigwa7343 Před 3 lety +1

    Mungu naomba utufungulie milango ya baraka katika familia yangu kwa jina LA yesu

  • @richardkabulo3968
    @richardkabulo3968 Před 3 lety +2

    j aime arise and Chine

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 3 lety +1

    Hongera chalamila.hofu ni ya shetani.tumeomba mungu

  • @annamoka2576
    @annamoka2576 Před 3 lety +1

    Ameni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety +2

    Kazi inaendelea chalamila yuko kwa mwamposya hongera sana

  • @francismfinanga2588
    @francismfinanga2588 Před 3 lety +1

    Amen

  • @divaruhumbika2877
    @divaruhumbika2877 Před rokem

    👏👏👏👏👏👏👏👏Amen