Kasisi John Mbinda ateuliwa kama askofu wa kanisa katoliki dayosisi ya Lodwar
Vložit
- čas přidán 3. 04. 2022
- Baba mtakatifu Francis amemteua kasisi John Mbinda, kama askofu wa kanisa katoliki dayosisi ya Lodwar. Hadi uteuzi huo, askofu huyo mteule Mbinda, alikuwa akihudumu kama kasisi msaidizi wa parokia wa na kwa sasa anahudumu anasaidia katika parokia ya St. Edward Chiswick, huko Uingereza, wadhifa alioshikilia kuanzia tarehe mosi mwezi huu.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: / kbcchannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1news
Check our website: www.kbc.co.ke/
#Catholic #Lodwar #JohnMbinda