Mnasajili wchezaji kwa kiwango kikubwa eti muzitishie timu mtakazo kutana nazo wawaogope kwa uwekezaji huo ni ujinga tu yanga haiangalii ukezaji wako anaangalia hiki kibonde kinauwezo wa kucheza nasi.
@@seciliamchalo5627 ndio maan hat CAF inawaona nyie kwel hamjielewi Yan mnaforce na mnaibishia Hadi VAR kha! Kwel underdog et tumedhulumiwa mpira ulotunda nusu ndan nusu nje hahahahaha Cecelia Kwan unaumia ukiwa wap dada angu
Ila ww kolo ni kichaa, VAR ilitumika wapi hapo,ulimuona refa kajisumbua kwenda kwenye VAR ? Acha kuropoka,kama refa angeenda kwenye VAR angefunika kati mpira@@salehkhamis3000
Yanga Mungu awazidishie imani yake mikate tamaa Mungu aliwapa gori shetani wa kibinadamu akajitokeza kiuchawiuchawi Mungu yupo na mariponi hapahapatuu siyo mbinguni mtajutua tena mmushukuru ilikua huko kwenu ingekuwa huku kwetu Tanzania sizani kama mungebaki sarama na Tanzania mshukuru ni Mungu kwa kwenda kufanyia huko kwenu
hilo lingekua kosa lingine kugomea mchezo na lina adhabu yake,2019 widady Casablanca dhid ya esperance widay alifunga goli likakataliwa wakagoma kuendelea na mchezo na ilikuwa fainal mkondo wa pili lakini hakuna kilichobadilika, zilipita siku kadhaa esperance akatangazwa bingwa
@@uwezaeliyaadam2292 Bora ingekua hivyo ili mjadala ubadilike lile ni Gori au sio Gori na red card imetolewa kinacho fata kugomea tu mchezo kwisha habari ndio zifate adhabu😂
Yanga wenyewe walizinguwa wengetakiwa wasiendelee namchezo wastopu mpaka wakahakiki kwenye v a.r Bora kadi tu kuliko Kunyanganywa ushindi hakika wesingeendelea namchezo
Yani niliumia sana hadi nikatamani kutokuwa napenda mpira tena kabisa lakini ndio hivyo kama unaupenda mpira huwezi kuacha tena ila kiukweli maumivu ya uonevu huu kwangu hayatoisha haraka na navuta picha tu kama mm shabiki nahisi hivi je vipi Kwa wachezaji walivyojitoa alafu wananyimwa haki yao nadhani wao wana maumivu zaidi .
Yanga Kama watoto wadogo hawachoki kulia lia hayo mbona ni maswala ya kawaida Sana , yaani kama goli la Max zengeli na ihef ndio hivi hivi tu ni uuzaji na ununuaji
Umesema kwel malipo hapa hapa duniani wanalia nn sasa, wakat wao Mashujaa, Kagera Suger then now wao wanalia Lia tu tumewachoka sio gori lile mpira haudunda full ndan ulidunda ila ulikuw nusu ndan nusu ndan ya star hiyo ndio tafsir ya VAR akn Hawa wanaongea ushabiki tu kisa wamekosa ushindi rudin kweny bahasha zetu Huku mtu anashika nje ya 18 penat
Mameroad jina tu timu ndogo sana kwa yanga.
Yan timu yangu kuzulumiwa goli Mungu anawaona 😢😢😢
Kuna siku Mamelodi na wote waliosababisha goli kukataliwa Iko siku mtaumizwa na mtaumia vibaya.Mungu atalipa
Mungu anawalipa yanga ni wahuni kwenye ligi yetu ya bongo
Mungu anamakusudi yake hakika haki yetu haitapotea hata kama itapotea mungu atatulipia kisasi
Mashabiki wa huko ni wanamichezo kabisa,ingekuwa huku kibongo bongo,wangesifia ujinga tu.
Mpaka saivi si unaona makolo yanafurahia
Naipenda yanga,nilikua sijui maumivu ya mpira kiukweli zaidi ya ushabiki tu,ila huu mchezo wa juzi umeniuma sana sana moyoni
Sorry
KAZAE UTOWE MAUMIVU 😂😂😂😂
Safi sana Ayoma media, congrats for good interview
Mungu ni wawote nakila chozi lidondokalo mbele ya haki mungu analihifadhi huyo refaly hakika atapata taabu sana
Yaan mamelodi amejishusha sana tena tumemzalau hawana kitu mbwaa haoo
Duh kweli bongo bahati mbaya Hadi kwenye mpira
Kwa sababu wanahela ndio maana wanakua wadhulumati shauri yao.
Hakika mungu awatie nguvu wachezaji na viongozi wa timu wa yanga sc Ili lililojitokeza ni kubwa kuno
Asante kijana
Yanga mungu awapen nguvu
Kwakweli
yani sitamani hata kurudia ule mchezo Kila nikiona viclip chozi linanitoka
Imeisha hiyoooo! Refareee hoyeee safi sana
VIVA YANGA❤
Yanga imefanya tuzungumziwe dunia mzima
Nani aongelee habari ya goli TU watu wenyewe hawajui hata penati
@@petermasanilo732WANADHANI WATU HAWA KAZI ZA KUFANYA KAMA WAO MACHOGO FC 😂😂😂😂😂 OUT OUT OUT.
Nipeni rakizangu hapa❤
Wataendelea na ufala wao huohuo washenzi wakubwa hao .
Mungu atatulipia
Hakika Mungu atatulipia aiseeee inaumiza Sana kiukweli
Hakika huyu refa kwa dhuruma hii itamtafuna hakika
Mutsepe na Mamelodi yake wote wahuni tu
Yaani Mungu anawaona tu 😢😢😢😢
Wachezaji wabovu na kocha wao mbovu hana mbinu anafungwa ni nusu timu
Wametudhulumu Ushindi wetu
Mungu anawaona mamelodi
Na yanga Huwa wanadhulumu sana ligi ya Tanzania sasa wacha na wao wapate Maumivu pumbavu zao
@@kassidpandu866We ni bwege kweli hebu toa upuuzi wako huku watu wanaongelea tukio la afrika nzima imesimama unaleta upuuzi wako hapa mbwa we,😡😡🖕🖕🖕🖕
MACHOGO FC WAMEBAKI KELELE MITAANI TU 😂😂😂😂😂😂
Mnasajili wchezaji kwa kiwango kikubwa eti muzitishie timu mtakazo kutana nazo wawaogope kwa uwekezaji huo ni ujinga tu yanga haiangalii ukezaji wako anaangalia hiki kibonde kinauwezo wa kucheza nasi.
❤❤❤❤❤❤❤❤
Je uongozi wa club bingwa wanaichukuliaje?
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nini maana ya kuwa na wachezaji wa ghalama kubwa...wakati unabahatisha ushindi au kununua ushindi ..
ACHENI ujinga nyie lile sio gori ukiangalia vibaya kw haraka haraka utasema gori ila sio gori
@@salehkhamis3000makolo utayajua tu ukweli watapindisha uwe uongo
@@seciliamchalo5627 ndio maan hat CAF inawaona nyie kwel hamjielewi Yan mnaforce na mnaibishia Hadi VAR kha! Kwel underdog et tumedhulumiwa mpira ulotunda nusu ndan nusu nje hahahahaha Cecelia Kwan unaumia ukiwa wap dada angu
@@salehkhamis3000 ..Ni goli ...Labda macho yako yanahitaji matibabu mpira wote Kwa asilimia mia Moja ulidunda ndani.... Hizo ni papara tu ..
Ila ww kolo ni kichaa, VAR ilitumika wapi hapo,ulimuona refa kajisumbua kwenda kwenye VAR ? Acha kuropoka,kama refa angeenda kwenye VAR angefunika kati mpira@@salehkhamis3000
Ukwaju unapitia hapa
Salimmalaka tatizo hujui mpira ila kolo koloz
Ya kaisali.............
Kumbe wamezoea sasa huu ukubwa mnaowapa ni wanini
Mechi kubwa imepewa hadhi kubwa na kupewa ukubwa wake kua ni derby ya SADC afu mnaleta unazi mnachafua football ya Africa🎉🎉🎉😂😂
inauma lakini mossepe ni mjinnga mwanzo mwisho ata anyang'anye yanga goli awachukuiii
Tupeni haki yetu acheni dhuruma hazitawafikisha popote
Goli letu daaaaaa
Wamebebwa
Nikweli wanajichafua branding yao
Simba sport club ❤❤❤❤wakali wa kariakoo
Yanga wanaume pale loftus
Na wewe Nyau umefata nini humu,hapa wanazungumziwa wanaume YANGA
Wakali wa kupapaswa na waarabu 😂😂😂😂
MACHOGO FC YANATAFUTA HURUMA 😂😂😂😂😂 YAMELIWA KIBOGA 😂😂😂😂 OUT
@@Erickmjuni-ev6dcKWANI NYUMBANI KWA MAMAKO HAPA??? MACHOGO FC NYIYE 😂😂😂😂😂 OUT
Mamelod ni kajitimu kadogo tu
Kubwa ni ipi?
VP UNATAKA JITI KUBWA?? AU 😂😂😂😂😂😂
Ukubwa wa timu ni Muda uloanzishwa.... katimu kadogo saana mpira ni HISTORY
💔💔💔
Yanga Mungu awazidishie imani yake mikate tamaa Mungu aliwapa gori shetani wa kibinadamu akajitokeza kiuchawiuchawi Mungu yupo na mariponi hapahapatuu siyo mbinguni mtajutua tena mmushukuru ilikua huko kwenu ingekuwa huku kwetu Tanzania sizani kama mungebaki sarama na Tanzania mshukuru ni Mungu kwa kwenda kufanyia huko kwenu
Yaani mimi nimeumia sana timu yangu kuzulumiwa gori inaniuma sana ila mamelod hamtafika mbali malipo ni hapa hapa
Refa hafai yaan kakataa goli na Kona pia haikupigwa
Yanga mwenyewe Mara ngapi anapewa magoli acheni ujinga
Kwa wazi goli linaonekana kabisa refa una yako moyoni ,umetia aibu sana
Sio gori tokean zenu mpira umedunda kwenye mstari ila mnaongea ushabik tu akin sio gori angalien vizuri kweny marudio ya video mtaona mie Mtz akn kiukwel sio gori, ingkuw gori labda kwa Mashujaa au Kagera Suger🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@salehkhamis3000 kumbe umetoq yako ya moyoni na wewe
@@mariamtega4139 unaumia ukiwa wap Maria
Refa alimuogopa mwenye timu ambaye ni mmiliki sandawana
Helloh
YAMAKUWA HAYO WACHA NICHEKE MIE 😂😂😂😂😂😂 OUT
Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga yanga mlifunga goli la ulalamishi dhidi ya ihefu na mlishangil Leo inauma
Mamelody ni azam iliochangamka
One day Yule Gamond mamenlod watamng'oa kwa zile mbinu
Alishafundisha mamelod
Amewafedhehesha refa wa soudh yanga ni timu kubwa
Tunaomba nusu yetuu jamani Mungu yukowap
Yanga na nyie mlizembea hamkustahiri mkubali kuendelea na mchezo bila kumshinikiza refa kwenda kuangalia v.a.r
Kweli
hilo lingekua kosa lingine kugomea mchezo na lina adhabu yake,2019 widady Casablanca dhid ya esperance widay alifunga goli likakataliwa wakagoma kuendelea na mchezo na ilikuwa fainal mkondo wa pili lakini hakuna kilichobadilika, zilipita siku kadhaa esperance akatangazwa bingwa
@@trice_yanga ok hapo nimekupata vizuri
MACHOGO FC OUT 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata mm niliona hilo
Sandarasi
refaree alibalance mchezo mamelod walinyimwa penarty na yanga wakanyimwa goal ,sasa ilitakiwa washinde kwene penarty.
We kima kadandie miti kule
Hawafik mbali kbs, dhuluma haifik mbali
Shame on you mameload...
Mamelod is nothing,We dont have faith with them anymore,
Mamamelodi kudadadeki zenu masikanyage dar
Wamebebw
Ni mazala pia ya kua na Captain mpole mpole aliye lala lala pale angemfosi Refa akacheki VAR
Ila ujumbe umewafkia kua Tanzania Kuna yanga 😅😅
Angemfata refa tuu kadi nyekundu ndio walitega mtego huo ndio mana hakwenda kuangalia VAR
@@hassanndauka9685 Wanaooo saivi tishio na Yanga Sasa😂😂
@@uwezaeliyaadam2292 Bora ingekua hivyo ili mjadala ubadilike lile ni Gori au sio Gori na red card imetolewa kinacho fata kugomea tu mchezo kwisha habari ndio zifate adhabu😂
INGE NA ANGE HAISAIDII KITU MACHOGO FC NYINYI 😂😂😂😂 OUT OUT
Yanga wenyewe walizinguwa wengetakiwa wasiendelee namchezo wastopu mpaka wakahakiki kwenye v a.r Bora kadi tu kuliko Kunyanganywa ushindi hakika wesingeendelea namchezo
Hapo umenena sana,, walizubaa sana, wangemzonga refa adi akaangalie
Yani niliumia sana hadi nikatamani kutokuwa napenda mpira tena kabisa lakini ndio hivyo kama unaupenda mpira huwezi kuacha tena ila kiukweli maumivu ya uonevu huu kwangu hayatoisha haraka na navuta picha tu kama mm shabiki nahisi hivi je vipi Kwa wachezaji walivyojitoa alafu wananyimwa haki yao nadhani wao wana maumivu zaidi .
NDIO MKOME KUTOWA RUSHWA MACHOGO FC NYINYI 😂😂😂😂😂😂 OUT
Hapa Africa kwenye maswala ya competition sana sana swala la Uchaguzi na Mpira ushindi huwa ni ya kutatanisha tu yaani Ushindi wa kulazimisha tu
Kweli sema wewe
Yanga Kama watoto wadogo hawachoki kulia lia hayo mbona ni maswala ya kawaida Sana , yaani kama goli la Max zengeli na ihef ndio hivi hivi tu ni uuzaji na ununuaji
Matako yako
Tumia akili usitumie matako kwn ligi ya Tanzania ina teknolojia ya VAR?
Umesema kwel malipo hapa hapa duniani wanalia nn sasa, wakat wao Mashujaa, Kagera Suger then now wao wanalia Lia tu tumewachoka sio gori lile mpira haudunda full ndan ulidunda ila ulikuw nusu ndan nusu ndan ya star hiyo ndio tafsir ya VAR akn Hawa wanaongea ushabiki tu kisa wamekosa ushindi rudin kweny bahasha zetu Huku mtu anashika nje ya 18 penat
@@salehkhamis3000mnateseka sana madunduka Ila ukweli ndio huo mtake msitake watu lazima waongee
@@seciliamchalo5627 unateseka ukiwa wap mwanadada
Sisi tulilogwa na nan??
Mechi irudiwe kwenye uwanja huru tuone mwenyemsuriiiii
UNADHANI WATU HAWANA KAZI ZA KUFANYA KAMA NYIE MACHOGO FC 😂😂😂😂😂 OUT IMEENDA HIYO.
Na nyie mnakera. Mbona hamkufunga penalties
Nyoko we
sijui hii itanitoka lini kichwani moyo unauma sana
Me moyo unaumaa mpaka Leo,,Bora tungetolewa kihaki moyo ungeumia lkn sio Kwa Namna hii dhulma ya waziwazi😢😢😢,,
KAZAENI MTOWE MACHUNGU 😂😂😂😂😂 MMELIWA KIBOGA MACHOGO FC
@@salimmalaka256 we Kuma acha usenge
@@salimmalaka256mbona umekaza fuvu km mamelod ni tim ya ukoo wenu mmeliwa kiboga mbele na nyuma na waarabu mbona hamsem kula chuma hicho 5G🖐️🖐️🖐️🖐️
@@mariamseleman4631 FUTARI MIHOGOO DAKU MIHOGOO MATOPOLO MMEOTA MACHOGO MMEOTA MACHOGO HAHAHAAA
MUNGU Mkubwa... Tanzania and south africa forever......
Yashapita tugange yajayo
LABDA Kwa alhaly
Kabisaaa
Wamemloga mamaako au
Yanga jamani hawamalizi jambo , yameshapita
hata ndgu akfa uwez msahau kwa sk moja
Kwa sababu ni yanga unataka yaishe ingekuwa Simba mmmh!
Pita wewe
Liisheje kwa mfano limepita kwenu siyo kwetu
Umelipitishia wapi tujue ili yaishe nyau wewe
MACHOGO FC OUT MTABAKI KELELE MITAANI 😂😂😂😂😂😂 IMEENDA HIYO 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOO
Kama chogo lako la kinembe
Mlitakiwa mfungwe 7 , sema majini yamepunguza magoli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hilo goli moja ndio waliopata? Hii ndio Yanga
Hakuna goli , sema Yanga ni wageni kwenye hizi stage , tulieni dawa iwaingie
Wewe ni bata
Huna jipya
Kolo kama kolo wewe mwenyeji una nini aibu tu nyie ndio mtulie
Watulie wapi wakati semaji laolinawafundisha kuropoka na kupotosha umma?😅😅
Corruption member😏😏
Mlifikiri zile bahasha zenu huku zinatosha , Majini fc , Ndo kwanza mnajifunza
Kawaulize wa south màana nao pia wanalalamika🖐️🖐️🖐️
Na nyiye mngetoa bahasha kama ni rahisi mnasajili mazee yanga ikishinda mnasema bahasha,pooen madunduka kolokwinyo mmepigwa nje ndani na waarabu
Hujielewi kabisa
Yanga wamezoea Kuloga na Kinunua game . Laaana za michezo yenu ya Kijinga. .
Simba Ina laana gani maana Kila cku ni mwakarobo?
Simba yenu ina laana kila safar mwaka robo
Kati ya hao wawili laana ipo upande upi maana we unajiita mzoefu wa mashindano hayo lakini hujawahivuka nan mwenye laana????
Narrow thinking capacity
Aisee Yanga ni wanaume, nini fanya hile kocha yao onekana bure kabisa na toto dogo kimbinu sasa?
Sandarasi