MWIJAKU: WAZEE WA YANGA WAMENIOKOA/ALI KAMWE AMENIPA PRESHA SANA/NIMEKOMA KUMUWEKA MKE WANGU BONDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Tumepiga Story na MWIJAKU
    ````````````````````````````````````````````````````
    Facebook Page @chazymedia
    instagram @chazymedia
    Tiktok @chazymedia
    ``````````````````````````````````````````````````````````````

Komentáře • 189

  • @MoosaMzinga
    @MoosaMzinga Před měsícem +4

    Wewe akili hunaaa.......kwanza weww sio mtanzaniaaa pumbavu

  • @franktarimo271
    @franktarimo271 Před měsícem +5

    Hakuna baya hapa wala msipaniki. Huu ni utani wa mpira na haina shida. Binafsi nimemkubali mwijaku kwa hili

  • @ThandieMamela
    @ThandieMamela Před měsícem +2

    Sida saaaaana 😂😂😂❤❤❤

  • @sophiamkwavi4729
    @sophiamkwavi4729 Před měsícem +7

    Hujielewi kabisaààaa ukubwa wa ndevu tuu ila kichwa box

  • @CainArmak
    @CainArmak Před měsícem +1

    Daah Hili halinaga point kwenye maisha yake cjui linaishije

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před měsícem +5

    Sijui lina laana maana linaropoka tuu jinga kweli

  • @user-nm1ll8gu4n
    @user-nm1ll8gu4n Před měsícem +2

    Kuahid tu kutimiza aaaah

  • @chekazone255
    @chekazone255 Před měsícem +1

    Wap ww 😂😂😂 wew ni mwehuuu

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Před měsícem +2

    Huyo mke angekuwa na elimu ya dini usingemkuta nyumbani. Ndoa ya dini ya Kiislam haitaki maneno maneno ya kuiongelea kwenye mambo ya kipuuzi, waone wenye elimu zaidi uliulizie hili jambo usije ukawa umetoka kwenye ndoa

  • @omaryhilaly5894
    @omaryhilaly5894 Před měsícem +8

    Hujitambui mjinga umekosea baado unaongea ujinga pumbavu

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Před měsícem

    Mwijaki Mwijaku Mwijaku, Acha hizo usimung'unye maneno, hujitambui chunga ulimi wako. Usifanye UTANI na mambo kama hayo.

  • @rukundorwiza5223
    @rukundorwiza5223 Před měsícem

    Mwijaku his very intelligent! He knew very well that simba was going to lose the game! And he take it advantage for free publicity

  • @user-ju8tl7ug6b
    @user-ju8tl7ug6b Před měsícem +1

    Huyo sio mkeo umefanya makubaliana kwenye mashahidi kaka mrejee mkeo umemuacha

  • @paschalkayoka3945
    @paschalkayoka3945 Před měsícem

    Hahahaha uko vizuri

  • @user-vv6oj5eh6z
    @user-vv6oj5eh6z Před 29 dny

    Wewe msenge tuuuu

  • @ArRahman-ih1pi
    @ArRahman-ih1pi Před měsícem

    Wala hujakoma ww mpk likukute jambo 👌

  • @dennisngonyani1795
    @dennisngonyani1795 Před 29 dny

    ""KUWA MAKINI KUNA SIKU UNAWEZA UKAJIWEKA BOND NA UKAOLEWA WEWE""

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 Před měsícem

    Dah

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n Před měsícem

    😂😂😂 yaan mwinjaku jaman 😅daah

  • @chekazone255
    @chekazone255 Před měsícem +2

    Yaan vile tu unavyoongea unaonesha tu akili huna 😂 toka apaa

  • @ayshausman5898
    @ayshausman5898 Před měsícem +1

    Wwwww chizi sana wajisanya unadini

  • @user-tp2lq4bd7o
    @user-tp2lq4bd7o Před měsícem

    Wewe jinga tuu

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 Před měsícem +4

    Mtu wa hovyo kabisa pumbavu

  • @joycelinenathanael2542
    @joycelinenathanael2542 Před měsícem

    Jamani mwijaku akapimwe ana afya ya akili

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 Před měsícem +3

    tafuta maneno ya hekima kwa kusema ...unasema mpaka unapitiliza ..punguza kusema

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před měsícem

    Kweli akili hakuna kabisaaa

  • @user-wu9fs2dw5x
    @user-wu9fs2dw5x Před měsícem +1

    Kweli hili jinga halina akili Yani anayoongea pumba tuuu

  • @user-lo3vb1oc3z
    @user-lo3vb1oc3z Před 29 dny

    We ni mjinga sana,nauzee wote huo akili aifanyi kazi.

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Huyu Wachu kachanganyikiwaaaaa😂😂😂 kwa maneno haya hali akili hata mojaaaaa😂😂😂

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před měsícem +1

    Mteja wa Mirembe Hospital

  • @saraphinalupondo1115
    @saraphinalupondo1115 Před měsícem

    Nakukubali ata watu wakuponde

  • @user-cd8ge8mx7p
    @user-cd8ge8mx7p Před měsícem

    Ulishakoseaaaa omba msamaha yaisheeeeee😂😂😂😂

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g Před měsícem +18

    Kwa sasa huyo sio mkeo kutokana na kauli yako kwani kumuweka rehani mkeo tayari umeshamwacha huyo inatakiwa ukamrudie kwasheria ya imani yako

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před měsícem +2

      Wacha kudanganya watu ww.. nia yake haikuwa serious.. alikuwa ktk hali ya utani.. hata sheikh mazinge Leo kamwambia maneno ya hekima na si kama yako..

    • @abdulfattahiddisaid15
      @abdulfattahiddisaid15 Před měsícem +2

      Katika dini hakuna matani

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před měsícem +2

      @@abdulfattahiddisaid15 Inategemea nia yake ilikuwa ni ya dhati au ya matani.. na Allah pekee ndiye anayejuwa nafsi zetu.. usitake kufanya dini yetu ikaonekana ngumu sana Kwa kutuletea Sheria zako

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před měsícem

      @@abdulfattahiddisaid15 kwani kapewa talaka tatu mpaka asiwe Tena mke wake? ikiwa talaka moja au mbili bado wanaruhusiwa kurudiana sembuse kauli za porojo za mpira? we vp wewe.. ally kamwe Kisha msamehe.. mke mwenyewe Hana mpango wa kumwacha mumeo wake.. na mume mwenyewe kasema hakuwa serious.. na Sheria au sababu za kumwacha mke ktk uislam tusha elekezwa.. ww Baki ukiumia wenyewe washa sameheana na wanapendana.. we unaumia kama vile labda unamtamani mke upewe wewe au.... 🤣🤣 pole sana..🤣🤣

    • @yusuphmkenza3019
      @yusuphmkenza3019 Před měsícem

      achana na swala la nia hapo shekhe kusema utamuachia mke mtu furan ni sawa na kumtaraka na mambo miongoni hayan utan ni taraka

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 Před měsícem +2

    Alichofanya mwijaku ndio utani,Simba na Yanga ni watani huu ndio utani

  • @user-rg3ir1os7u
    @user-rg3ir1os7u Před měsícem +1

    Umeiba misemo ya watoto wa kimakonde pumbavu😂😂😂😂😂

  • @ibrahimayoub8972
    @ibrahimayoub8972 Před 29 dny

    Hili limwijaku ni lipumbavu Sana, halina akiri vizuri

  • @AbdanKhaif
    @AbdanKhaif Před měsícem

    Weye ni mpumbavu sana, hujielewi sana kubwa lkn fala (KLF)

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniy Před měsícem

    HILII KWELIII PUMBAVUUUU

  • @user-uv6ul1vj3j
    @user-uv6ul1vj3j Před měsícem

    Yan kama lizuzu Yan

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před měsícem

    Mwenyewe umemtowa kiteteya

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Afya ya akili huyu 😂😂😂😂😂

  • @aishaadam9933
    @aishaadam9933 Před měsícem +1

    Nyoooko

  • @AlbertNyemba-r5k
    @AlbertNyemba-r5k Před měsícem

    Ila ukumbuke kulipa deni..

  • @hassankalush7513
    @hassankalush7513 Před měsícem

    Huyu mwijaku fala kweli Ila yuwajifanya mjanja kweli Ila ndivyo chawa ili uwezekuishi

  • @tausislim2252
    @tausislim2252 Před měsícem

    Cjawai kumkubali mwijaku
    Ndio kwanza leo

  • @sankeykajange353
    @sankeykajange353 Před měsícem

    Hata waandishi nao wanapoteza muda wao kumuhoji huyo zuzu.

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi Před měsícem

    Alafu Wewe Mwijaku si Msomi mzuri wa Quran...
    Sasaa ni Kweli hujui kuwa kwa sasa huna Mke...!!!
    Na kama upo naye si Mke tena bali una Dhiinii...
    Uzuri Dini yetu Tukufu hainaga Kupepesa na wala utani wa hivo... Hizo trending cjui nn zote hazikurejeshei Mke Mdhinifu Mkubwa Wee.

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Před měsícem

    Safi mwijaku ila usimweke shemu kuwa sehemu ya kamali yaani lehani

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Hili jinga hatariiii 😂😂😂😂😂 hapa linamponda MAZEE Magoma

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před měsícem

      Hilo uendapo upepo linaunga na Aibu halina wala alijali chochote

  • @maratochacha5308
    @maratochacha5308 Před 27 dny

    😂😂🎉🎉

  • @MichaelRaphaer
    @MichaelRaphaer Před měsícem

    Ndio ukome

  • @user-vl4ky3tc2m
    @user-vl4ky3tc2m Před měsícem

    Ovyooooo

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv Před měsícem

    We nishoga change doa

  • @user-de4sv1yn2t
    @user-de4sv1yn2t Před měsícem

    Nchi hii inawatu wa hovyo sana😂😂

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Před 29 dny

    Wewe usifanye masihara na mambo ya yasiyo ya masihara !

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 Před měsícem

    Hili jamaa la hovyo kabisaa

  • @user-dy5xt2zn2d
    @user-dy5xt2zn2d Před měsícem

    Yan ili lijibaba choko Sana jitu Zima ovyo mume wa aina gan fala

  • @JOSEPHGERALD-k5b
    @JOSEPHGERALD-k5b Před měsícem +1

    Doto magari nimeanza kumuelewa

  • @user-mf9bj5uo8b
    @user-mf9bj5uo8b Před měsícem

    Umeenda mpaka hijja,mwenyezi Mungu akusamehe.

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc Před měsícem

    Ila mwijaku nakuomba ulejee tena mkeo kwasheria ya llah isemavyo

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 Před měsícem

    Huyu mpuzi sana

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwani Před měsícem

    Mwijaku uwe na heshima kwa maneno yako kuwa na hekma wewe mwenyewe ulianza uwe na heshima kwa Ali kamwe

  • @FlorahKahemele
    @FlorahKahemele Před měsícem

    Hivi huyo mnamuelewa kweli maana Mimi cmuelewa

  • @user-dy5xt2zn2d
    @user-dy5xt2zn2d Před měsícem

    Uyo mke ndugu zake wamekuchukuliaje au ndo walewale

  • @user-kg2tm2eq7q
    @user-kg2tm2eq7q Před měsícem

    Anazugaa et anapima😂😂 mamaee famasiala nin acha uboya hv huoni aibu

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 Před měsícem

    Wewe Unechemka tu Chawa mpuuzi

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem

    Mwijaku jitathmini kiakili kabisa kwanzia sasa

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před měsícem

    Sasa MZEE MAGOMA katrend kapata ubalozi wapiiiiiii?????? MAKAMANI 😂😂😂😂 AU??

  • @janejoel2465
    @janejoel2465 Před měsícem

    Huyu sio nzima

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před měsícem

    Mwijaku anaongea kama mtu wa kufezeleka tu 😂

  • @adolffTeobardiChimbala
    @adolffTeobardiChimbala Před měsícem

    jamaa chizii kweli hili 😂😂😂😂

  • @abdallahussi2978
    @abdallahussi2978 Před měsícem

    Huyu jamaa taahira

  • @MahamuduLiwowa
    @MahamuduLiwowa Před měsícem

    Mwijaku akapimwe akili kwanza jamani tafazali

  • @SarahNambela-m1v
    @SarahNambela-m1v Před měsícem

    Wewe ni kolo sana

  • @Jennyjonh
    @Jennyjonh Před měsícem

    Msenge wee, kwanza huyo mkeo nae akibak kuwa naww Bac nayeye akili hana, maana huwez kunidharahu kiasi hicho

  • @AbdallahShaweji-c7r
    @AbdallahShaweji-c7r Před měsícem

    Kuna situation utapelekewa moto

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 Před měsícem

    acha maneno ya kuropoka ropoka ovyo we si kijana kwa rika lako ni baba weka heshima huwezi fanya jambo kama hilo...ni kama umejivua kwenye ndoa kwa kumgawa mkeo

  • @angelmauja1846
    @angelmauja1846 Před měsícem

    Em ukiongea vua hyo miwani tyone kama utapata ujasir kuongea madudu kila siku

  • @javanjav8417
    @javanjav8417 Před měsícem +1

    Mambo mawili umejifunza au bado?

  • @Dulajuma
    @Dulajuma Před 28 dny

    Msimlaumu maana anajinad ana digirii ya ujinga thaman ya mke haijui au huajamuowa anaishi nae tuu?

  • @farahali6041
    @farahali6041 Před měsícem +1

    Umemeza dawa lakini mana sio mwauchizi uwo

  • @rajabnabil2497
    @rajabnabil2497 Před měsícem

    Halafu bdo kuna waandishi wanamhoji kichaa hizi Media nyengine bhana

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o Před měsícem

    Kipanya anasubili maokoto

  • @user-dy5xt2zn2d
    @user-dy5xt2zn2d Před měsícem

    Weee akili auna punguza sifa

  • @SeifHashim-r1j
    @SeifHashim-r1j Před měsícem +1

    Ww chizi boss wako mo mbona hajamuweka dada yake bondi

  • @fettymo2055
    @fettymo2055 Před měsícem

    Ww mwijaku lazima umrejee huyo mwanamke huruhusiwi kuishinae

  • @AliJuma-eg8tq
    @AliJuma-eg8tq Před měsícem

    MAKA MATEMBEZI

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Před měsícem

    Usijaribu kucheza namwanamke fungandoa naukome kabisa

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 Před měsícem

    NYOOOOO

  • @user-wu9fs2dw5x
    @user-wu9fs2dw5x Před měsícem

    Huyo mkeo mwenyewe hana akili

  • @endrewalfred8333
    @endrewalfred8333 Před měsícem

    Ngoja akusikie magoma akushitaki kwa kumzalilisha umlipe fidia

  • @dalmasokoth4190
    @dalmasokoth4190 Před měsícem

    Mwijaku umemdhalilisha Sana mkeo na kama anaendelea kuishi na wewe kuna mambo mawili ama amekwama hana pa kwenda au ametumia busara kuendelea kuishi na mtu asiye na akili kama wewe mwijaku.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem

    Una Bahati usifanye hivyo..... MASHABIKI wa mpira huwajui, walishajaa jangwani , wangekuja nyumbani kwako , wangevunja fensi na MBWA ungemkuta maiti na mke angechukuliwa, ungemlilia Mama Samia akusaidie, USIRUDIE TENA

  • @PauloSeyai
    @PauloSeyai Před měsícem

    Me mshabiki wa simba ila jamaa hana akili

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Před měsícem

    ivi wewe kweli ulifikiria heshima ya binadamu unaweka mkeo kanakwamba ni bidha,

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Před měsícem

    Hakili na mdomo chunga

  • @user-fo9jw2gb2h
    @user-fo9jw2gb2h Před měsícem

    Wanaeweka Bondi wakezao ninawasiwasi na ukosefu WA kinga mwilini Ali ameangalia ilo

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid Před měsícem

    Jua huyo mke kidini huyo mke wk ameachika niswa kumtandikia talaka mke ww kumbe mwisilamu sijwi zehebu gani ktk dining ya kisilamu hamuna ujinga huo

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před měsícem

    Punguza miemko bro ifike kipind ukue sio kila kitu unakifanya kichawa chawa😂😂tu huo n uzalilishaj wa kijinsia kwa Wanawake hasa mkeo iyo kaul si pow badilika

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 Před měsícem

    Mtu mzima ovyooo