KWANINI WANAWAKE WENGI HAWAFIKI KILELENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 07. 2021

Komentáře • 184

  • @isaackamando8484
    @isaackamando8484 Před 2 lety +16

    This guy is very intellectual, you need deep concetration to understand what he is saying! Big up dr

  • @kingungeii6520
    @kingungeii6520 Před 2 lety +45

    Moja kati ya binaadamu wenye akili nyingi sana ni huyu Doctor

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety +6

      Hana akili nyingi tofauti yake nawewe ni kwamba yeye amesomea hayo mambo na kukutana na cases ambazo zimempa experience.

    • @babyhamisi1437
      @babyhamisi1437 Před 2 lety

      @@ahz6907 yap

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Před 2 lety +1

      @@ahz6907 ana akili sana, wengi wamesoma hawana uwezo wa kudeliver hayo madini ishu sio kusoma tu bro. Nenda ukasome tuone madini yako, kuna watu wamesoma kuzid hata yy lakini hawana kitu.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      @@timothmwakakusyu4563 nimesemea akili yake plus experience ndo utofauti ulipo.sio kwamba ni special sana.hata wewe ukisoma na ukakutana na cases zikakupa experience ya mambo meengi katika maish huwezi kuwa sawa na yule aliyesoma tu. Kumbuka kila binadamu anazaliwa genius.

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Před 2 lety +1

      @@ahz6907 si kweli ndugu, sio kila binadamu anazaliwa genius ila kila binadamu ana karama yake. Hivi unajua maana ya neno Genius? Ukijua maana ya neno genius ndo utaelewa mambo, na ujue pia kutofautisha kati ya IQ na EQ, binadamu tuna utofauti sana. Huyu ni special sana kwa eneo lake, tuna wanatheolojia na wanasaikolojia kibao ila usitegemee kwamba uwezo wao wa kudeliver kile ulichokisoma uko sawa. Unaweza ukawa umesoma sana lakini Mungu hajakujalia uwezo wa kutoa kwa wengine wakakuelewa na kukufurahia, kuna wengine wanaposoma inakuwa faida kwao pekee. This is hard talk bro huwezi kuelewa kirahisi kama mambo ya delivarance huyaelewi kiundani

  • @epimackmkunde2264
    @epimackmkunde2264 Před 2 lety +20

    Am happy I found this Man here . Happy enough I met him also at KKKT buguruni last Sunday and He shared a word on that special Mass of our deceased brother Masue. It was the best speech ever met in a funeral Mass.

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 Před 2 lety +11

    Yaani Hakuna Mwanafalsafa Anamafundisho Mazuri km Waminiani. Mungu akutunze uendelee kutupa Madini

  • @pendosoa9632
    @pendosoa9632 Před rokem +4

    Rahisi kuelewa Ila ni ngumu kupembua😌namsikilizia afu nastopisha kufikiria amesema hivi anamaanisha nn dooh nmechelewa kumaliza hii interview 😊

  • @geoffreyluvanda7801
    @geoffreyluvanda7801 Před 2 lety +13

    Mmmmh hapa wazazi walizaaa kichwa kweri this Man is genius

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 2 lety +6

    The genius, incredible man , humble and very intellectual, I’m happy you got this man on the show .. ❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před rokem +2

    Dkt Mungu akuweke kwa mafunzo Muhimu Uzembe ni mkubwa

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 Před 2 lety +8

    Wangu anafika kila wakati. Namsifia kitumbua chake ndiyo the best under the sun na simuangushi🇰🇪

  • @thevibe6427
    @thevibe6427 Před 2 lety +9

    Doc kaongea lugha ngumu sana
    Ukielewa anachoongea huyu mzee.. 🔥 🔥

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 2 lety +5

    This guy is too much I swear .. I love you Dr 🇬🇧🇬🇧❤️❤️❤️

  • @hawampate5029
    @hawampate5029 Před 2 lety +7

    Kumuelewa huyu Dr you must understand his philosophy sio rahisi. Nimejifunza mda mrefu kumuelewa kupitia talk zake kwakweli

  • @wilsonkomago627
    @wilsonkomago627 Před 2 lety +8

    DOCTOR NI HATARI SANA ANAJIBU MASWLI KISOMI KAMA HUJASOMA HUWEZI ELEWA AISEEEEE

  • @hasankasam5576
    @hasankasam5576 Před 11 měsíci

    Dctr yuko vizuri nimemkubali ila alivomtaja mungu nimempitisha...

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Před 2 lety

    Very interesting
    You heal by talking transparently
    God bless you

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Před 2 lety +1

    Thanks for the Good questions my sister lilian mwasha may God keep on using you guys doc and lilian best combination hardtalk on top

  • @ninacamara6835
    @ninacamara6835 Před rokem +1

    Fact you’re very intelligent docter be blessed

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 Před 2 lety +4

    Lilian kacheka kidogo baada ya Doctor kusema kuwa mtoto haji kumtegemea mtu😄😂😛

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 Před 2 lety +4

    Kaka kichwa kama Google akili hadi raha mashallah

  • @naindwamsheri4803
    @naindwamsheri4803 Před rokem +4

    Nani mwengine ana watch hii interview. Again after a year na ana enjoy kuitazama tena?tujuaneee 🎉 doctor hongera na ahsante sana kwa wisdom

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 Před 2 lety +4

    I am always telling Weman that we are the managers of the love's feelings. because we are the receivers and produces of our relationship's love 💞💗💗💞 thank very much for your explanation doctor. you are the best 💋💋💋

  • @navinhasting3194
    @navinhasting3194 Před 2 lety +3

    Aiseee Lilian hii interview ni bonge moja la interview kuwahi kufanya big up my sister keep it up you doing great watu hawajui mambo mengi sana ktk hii dunia ila hatujui kama hatujui mpk tujuzwe

  • @universaldesign4295
    @universaldesign4295 Před 2 lety +2

    Duuu! Falsafa tupu. Tulio elewa tujuane lkn Lilian kutupiga { MDAA}.

  • @mainaenock8972
    @mainaenock8972 Před 2 lety +3

    Daktari wapitia sana vichakani, " beating around the push" .

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 Před 2 lety

    Nice Hard Talk Mwasha, l like it mama...

  • @trecyangelo1112
    @trecyangelo1112 Před 2 lety

    d.r nimekuelewa vizuri sana

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před rokem

    Dkt punguza Ktk viumbe hao ni shida dada kula tu basi awawezi

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před 2 lety

    Dk akili nyingi sana, big up sana. Nakuelewa sana.

  • @nurumigeyo4625
    @nurumigeyo4625 Před 2 lety +2

    Nimekuelewa sana Dr, ila inahtaji akili ya ziada mtu kukuelewa, asiwe mbumbumbu, my God bless and protect you

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 2 lety +6

    🤔Hii cheating kuna msemo wa Kiingereza unasema “forbidden fruit is the sweetest”. Yaani tunda lililokatazwa ndio tamu lao. Hii ndio maana mtu akitoka nje ya ndoa na kufanya mapenzi nje hupata shauku na mvuto mkubwa kimapenzi. Lakini pia harufu mpya na mapigo mapya pia huongeza michapuko ya kufika kileleni kimapenzi🤔.

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Před 2 lety

    Thanks so much doc

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Před rokem +1

    Mwalimu wangu huyo ❤❤❤

  • @officialmtiamoyo6922
    @officialmtiamoyo6922 Před 2 lety

    Mwendelezo Jamani 🙌🙌🙌

  • @collkidstar7040
    @collkidstar7040 Před 2 lety +6

    This man he does not know how to strike point , he is passing around the point which is not acceptable

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Před 2 lety +1

      This is hard talk, hapa ni swala la uelawa. Fuatilia koment nyingi ndo utajua tatizo ni ww. Philosophical conversation doesnt need what u need bro

  • @salumdavid2128
    @salumdavid2128 Před 2 lety +5

    Ungefunguka wazwaz doctor kuliko kimafumbo ingependez zaid

  • @husseinmwita9642
    @husseinmwita9642 Před 2 lety

    Thanks Dr

  • @wahidabawabu8965
    @wahidabawabu8965 Před 2 lety +3

    Asantee doctor hofu ,woga ni muhimu

  • @kingungeii6520
    @kingungeii6520 Před 2 lety +3

    Hii ni brain kutoka sayari ya mbali sana

  • @omarshakur9183
    @omarshakur9183 Před 2 lety +17

    This guy is genius

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete2404 Před 2 lety

    Dada lili nimependa sana hadtolk duu hiyo Dr yuko poa katika kujibu maswali ya msingi kutoka kwako. Safiii

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Před 2 lety +1

    Hard talk,great talk,we are blessed to have you

  • @mustafajaku9772
    @mustafajaku9772 Před 2 lety +8

    This is really hard Talk

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 Před 2 lety +14

    Nimemuelewa sana doctor. Inamaana asitokee mmoja wapo kati ya mke na mume akasema hanifikishi kileleni.
    inatakiwa aseme sifiki kileleni. Ndio maana akasema hakuna mtoto anaezaliwa haji duniani kukutegemea ww au kumtegemea mtu.
    Kila mmoja afanye juhudi ya kutafuta anachokitaka ili akipate.
    Kweli mkiwa mnanyanyua mzigo mzito watu wawili ukizembea kiunua ule mzigo utainamia kwako na utakuangukia utaumia wewe uliezembea kunyanyua.

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem

    Dada lilian, jitaidi sana kupunguza background music, hatusikii vizuri

  • @catherinecharles932
    @catherinecharles932 Před 2 lety +4

    KWAKWELI NAJIKUTA NAPATA NGUVU MPYA NAWAPENDA SANASANA❤

  • @augustpavelnahayo5009
    @augustpavelnahayo5009 Před 2 lety

    Asante sana doctor, napenda sana hard tolk

  • @hildakayun6445
    @hildakayun6445 Před rokem

    Daah mpo vizur lkn kingereza king bhna

  • @sammushi1512
    @sammushi1512 Před 2 lety +2

    Hahhaaha nimependaa iiioooh

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Před 2 lety +1

    Natumaini tunamuelewa Dr hapa...
    Wengi tunashida kwa namna nyingi

  • @enodaprince7122
    @enodaprince7122 Před 2 lety +1

    Sister @lilian mwendelezo twapata lini, umetuishia njiAni

  • @stellabaraka1334
    @stellabaraka1334 Před 2 lety

    Nimekupata saana Dr

  • @Muka_26
    @Muka_26 Před 2 lety +2

    Akili kubwa sana hii Asante kutuletea huyu

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před rokem

    Huyo Dada akuerewi ni mbwembwe tu ana jipya

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 2 lety +2

    🤔Fore play, fore play, fore play and different techniques may help. Tuache uvivu tuwe wabunifu kwa kujaribu mbinu mbali mbali kitandani zinasaidia🤔. Mapenzi ni mashirikiano ya watu wawili lakini mkifanya kwa dhati kwa kujaribu mitindo tafauti lazima mtatoshelezana tu🤔.

  • @jimmysichalwe3586
    @jimmysichalwe3586 Před 2 lety +2

    Aisee,upo vizur Doctor

  • @kailalimited3640
    @kailalimited3640 Před 2 lety

    Uyu docta ajenvwe sanam pale singida kwa Warang.....

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 2 lety +3

    Sijawahi kuelewa kama Leo thks doc

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 2 lety +2

    Womens they sleep like mattresses and they don't work to come😂😂😂

  • @josephpaul193
    @josephpaul193 Před 2 lety +8

    The more u take the less u have

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 Před 2 lety +1

    The hard talk

  • @shabanisaidi2045
    @shabanisaidi2045 Před rokem

    Lilian please we need party 2

  • @justinemfilinge9874
    @justinemfilinge9874 Před 2 lety +1

    Doctor nimekukubari

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 Před 2 lety

    Mwandishi mwenyewe kaachwa njia panda

  • @enoceruganga5435
    @enoceruganga5435 Před 2 lety

    Well doct

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 2 lety +1

    Dr.Umenitisha Maana Mimi Nikiwambia Kwenye Hizi Vidio Zao Humu ???? Raha Yakula Nikutafuna Ndio Wawahili Wamesema Nyege Kunyegeshana ???? Wao Wanakuja Kutaka Kufikishwa Hajuwa Kuwa Nikufikishana

  • @ramadhankisila452
    @ramadhankisila452 Před 2 lety +7

    Ufasaha wa lugha uliopo hapo sio mchezo

  • @eliasnyangato8930
    @eliasnyangato8930 Před 2 lety +12

    Huyu mwamba anafundisha San lkn bado hajajibu swali. Kuna contact zipo za kumfikisha mwanamke killelen hajazitaja, mwanamke hata Kama anamsongo wa mawazo lazma atafika kilele tu, labda atachelewa tu lkn lazma afike. Kikubwa umjue yy na contents zake. Very very easy.

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Před 2 lety +2

      Wajanja washajua bro, hujasikia maandalizi ndani ya mazungumzo kwamba lazima umwandae vya kutosha ili umshtue uwepo wake? Mengine haya ni elimu ya ziada itakusaidia, usiwe mgumu wa kuelewa 😆😆😆😆😆😆😆

    • @greenermichael2057
      @greenermichael2057 Před rokem +1

      Hutakiwi kufikishwa unatakiwa kufika wewe

    • @hamidubakary
      @hamidubakary Před rokem

      Pia uwepowanguvu unahitajika kikubwazaidi kwanza mwanaume inatakiwa achelewe kufikakilele nahilowengilinawaangusha wanaume kutokana na vyakula mwingine Huwa anashusha Kwa dakika 2 huuni udhaifumkubwa namwanaume akiwahisana kufikakilele mwanamke atakuchukiasana nakukudharau kamawasipobadilika nakuachakula mikukuyakisasa tatizohilohalitaisha by op hamidu mkomwa

    • @dennislihepa2247
      @dennislihepa2247 Před měsícem

      Dr yuko sawa sana wanawake wengu wanamatatizo ya fikra zao

  • @yusraally6732
    @yusraally6732 Před 2 lety

    Nice

  • @ahmadmuhammadnguri1770
    @ahmadmuhammadnguri1770 Před 2 lety +3

    We dada una udhi na kiengereza chako kifupi kifupi, ongea2 kiswahili

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 2 lety +4

    Lillian in front of every successful man there is a woman not behind my dear

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 2 lety +4

    Wanawake wagonjwa wengi mno

  • @tegemeawilliammsewa1950

    Ubarikiwe

  • @jennifermlyakalam5000
    @jennifermlyakalam5000 Před 2 lety +1

    Natamani nije kumuona huyu baba jamani sijawahi choka kumsikiliza

  • @ngonajacob2895
    @ngonajacob2895 Před 2 lety

    Mbona imeishia njian dada

  • @markomushi1465
    @markomushi1465 Před 2 lety

    hi dada lillina Abella mwasha natumaini uko salama kbs nina ombi nina wezaje kupata mawasiliano na docter

  • @happyzm1477
    @happyzm1477 Před 2 lety +1

    👏👏👏🙏

  • @emanuelsimpa6438
    @emanuelsimpa6438 Před 2 lety

    Doctor Asante umefanya vyema kutukumbusha

    • @bahatiedward8866
      @bahatiedward8866 Před 2 lety

      Aisee kumbe Haina haha ya kuteseka utamu tunao wenyewe

  • @tegemeawilliammsewa1950
    @tegemeawilliammsewa1950 Před 2 lety +1

    Sichokagi kukusikilza. Kila siku nikama, nasikiliza upya.

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Před 2 lety +1

    Maneno bambam tunatoka kwa baba mamillioni mmoja anaweza kushinda kuwahi kuingia kwenye yai.

  • @ecologuideaceae.2178
    @ecologuideaceae.2178 Před 2 lety +1

    Full name of this man..! Plz

  • @petronilamtei7470
    @petronilamtei7470 Před 2 lety +1

    kazi kweli kweli through kufika kileleni

  • @NashonyMagwi
    @NashonyMagwi Před 2 měsíci

  • @maryephrem7819
    @maryephrem7819 Před 2 lety

    Tunasubiri mwendelezo mpk leo hujatoa

  • @senseisafari1355
    @senseisafari1355 Před rokem

    Wewe nisarute donkita

  • @mujuniflavian1088
    @mujuniflavian1088 Před 2 lety

    👍

  • @aishaabdallah8916
    @aishaabdallah8916 Před 2 lety

    Dr pongezi ila ameongea kiswahili Cha ndan sana

  • @mandruslamu2016
    @mandruslamu2016 Před 2 lety +7

    Dada Lilian mimi ni mume na niko kwenye ndoa kwa mwaka wa tano na challenge nyingi mnoo naomba namba yako ya whatsapp please

    • @hawampate5029
      @hawampate5029 Před 2 lety

      Ndoa yako isoviwe Na Lilian😁aisee una utan

  • @tegemeawilliammsewa1950

    Asante.

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 Před 2 lety

    Kwl

  • @estermassawe1687
    @estermassawe1687 Před 2 lety

    Hii kicha kwekweli hapana

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa ni nondo ya hatari

  • @mashamborashidi1178
    @mashamborashidi1178 Před 2 lety

    Vinnie bite Kana flow lkn!

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 Před 2 lety +1

    😄

  • @eteniashola1729
    @eteniashola1729 Před 2 lety

    Hbr mbona sehemu ya pili sioni?

  • @kelvinmushubiro8187
    @kelvinmushubiro8187 Před 2 lety +3

    ukiwa na akili ndogo huwez kumwelewa huyu jamaa, anaongea mambo makubwa magumu, hii ni mashine kwakwel,, najifunzaga meng sana kuptia dokta huyu

  • @nasibumanji7538
    @nasibumanji7538 Před 2 lety +2

    Sasa nimeelewa Sana....but what he speaks are too philosophical

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 Před 2 lety

    Kiumbe cha kale katika maumbile madogo sasa nimekuelewa

  • @lawalogomaker9376
    @lawalogomaker9376 Před 2 lety

    Mwasha anataka majibu ya mmoja kwa moja dk anazunguka mbuyu

  • @natsach5849
    @natsach5849 Před 2 lety

    Mwendelezo wake upo wapi jamani

  • @calvoh9715
    @calvoh9715 Před 2 lety +1

    what is he saying exactly.