Kuzitamka trillion 15 okay... issues zinaleta matokeo gani Kwa raia wake? Governance is about results not performance alone ..watu wanataka kuona matokeo ...unaweza kujinadi kukusanya matrillion ya kodi kama hazileti matokeo hizo zinabaki kuwa nyimbo tu...kumbuka tulivyoahidiwa gesi ya mtwara na faida lukuki zilizonadiwa...kikowapi? Tunahitaji utayari na udhubutu wa viongozi wetu katika kusimamia utelekelezaji wa haya yote.
China na Urusi ndiyo Marafiki wa Afrika. Uchumi wa Viwanda unakuwa kwa kasi kupitia Uwekezaji kama huu katika Sekta Binafsi na Bandari kupitia DP World Iendelee ili tufikie Malengo ya Tanzania ya Viwanda. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Industrial park ndio imefanya china ikaendelea sana. Ni mwanzo mzuri kwa nchi yetu. We need one in each zone so that we can realize our vision
Huu ndiyo uwekezaji hasa unaotakiwa na Watanzania
Faida nazoziona za moja kwa moja kwa mtz ni ajira
Tukanunue viwanja uko mapema kabra avijapanda bei
2028 dah 😪 Mbona Mbali sana Aisee 🙄
Kwa hiyo watu vyuo vikuu hawarusiwi kuja kujifunza
Ni wapi hapa ??
Hahahaha watalisha nchi ngapi huo niuongo haijaenda aise hio imebuma
Uganda tayari washatangulia
Kuzitamka trillion 15 okay... issues zinaleta matokeo gani Kwa raia wake? Governance is about results not performance alone ..watu wanataka kuona matokeo ...unaweza kujinadi kukusanya matrillion ya kodi kama hazileti matokeo hizo zinabaki kuwa nyimbo tu...kumbuka tulivyoahidiwa gesi ya mtwara na faida lukuki zilizonadiwa...kikowapi? Tunahitaji utayari na udhubutu wa viongozi wetu katika kusimamia utelekelezaji wa haya yote.
Mkoa Gani huu kumewekwa hivi viwanda...?
China na Urusi ndiyo Marafiki wa Afrika. Uchumi wa Viwanda unakuwa kwa kasi kupitia Uwekezaji kama huu katika Sekta Binafsi na Bandari kupitia DP World Iendelee ili tufikie Malengo ya Tanzania ya Viwanda. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿