Huyu jamaa wanaonekana wot wachumba w diamond na wanaonekana wapo tyr ht kuuza familia zao kw pesa yaan hawana uchambuz zaid y kuongea pesa ambazo hawana umilik nazo😂😂😂
Hata tukimuuza kwa maslahi ya club kwetu sis watoto wa jangwani poa ,wachezaji wa ndani wajielewe mayele kule,chama fc mtaumia sana ,wacgambuzi wa mchongo muwe na heshima..😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Hao hao tunaowaita wachambuzi,wanakili kuwa menejiment ya Azizi ki akiwemo mama yake mzazi, ambaye ndiye msimamizi wake mkuu walikuwepo hapa nchini, sasa kama mnaelewa hivyo, hao watu wa Azizi walikuja kucheza Lege hapa. Watu wengine mnatulazimisha tutumie lugha zisizofaa jamani!!!!
Safi sana kamwe
🔥🔥🔥
GJ sio wakala, ni meneja na ana elimu ndogo sana kuhusu player transfers
Ally unaongea kwa hekma sana umewapasha hao wanafki
GJ ni Mshikaji wetu Lakini tunajua upande wake kwenye suala hili,kikubwa awe mpole tu,Mpira ni Biashara!
Kamwe umeongeya vizuri sana suala la azizi 🎉🎉🎉🎉🎉
HONGERA KAMWE UMEMPA SOMO ZURI HUYO MBUGILA JOB ...
Kamwe umemkanda job vizuri sana, nafikiri Sindano imempata.Hata ukiwa meneja wa timu mchezaji akikataa wewe kama meneja utafanya nini?.
Kamwe kaongea point sana
Mess aliuzwa Dollar ngp kwenda PSG kama sio bure
Hawa wapuuzi2, Hans Rafael wafundishe wenzio nmna ya kuongea, kutoka free sio kosa hata kidogo
Kumbe job naye siyo mwelewa?.
Nafikiri kazi zimewashinda, kati yenu mlianza kuisema na kuikatisha tamaa Yanga, lakini mliambulia zerooooooooo.
Job baada yakukandwa katulia tuli anasikilizia mpenyo wasindano unavyopenwa kwenye tako🤣🤣🤣🤣
Ally kamwe nimekuelewa mpeleke darasani huyo jobu maana anaongea kama naye ni msemaji wa klabu.
Mimi Simba ila huyo mchambuzi kaferi hayo kauli
George job😂😂😂 too much biased
Huyu jamaa wanaonekana wot wachumba w diamond na wanaonekana wapo tyr ht kuuza familia zao kw pesa yaan hawana uchambuz zaid y kuongea pesa ambazo hawana umilik nazo😂😂😂
Wakala anatoa kauli kama hana elimu na anachofanya,
JOB GEORGE NAE WAKATI MWINGINE HUWA ANAONGEA PUMBA TU,UNAWALAUMU VP VIONGOZI WA CLAB KAMA MCHEZAJI ANAHITAJI GHARAMA KUBWA KULIKO UWEZO WA CLAB?
Hv km baba yk mzaz amekosa mkate mama yk amshatak maan ameoa kw matakwa yake. Acha ujinga kuongea pumba....
MBONA PSG MBAPE ANAONDOKA FREE AGENT HUTAWASIKII WACHAMBUZI HUKO UFARANSA WAKISEMA VIONGOZI WA PSG WAFUNGULIWE KESI? JOB ACHA UPUUZI
Hata tukimuuza kwa maslahi ya club kwetu sis watoto wa jangwani poa ,wachezaji wa ndani wajielewe mayele kule,chama fc mtaumia sana ,wacgambuzi wa mchongo muwe na heshima..😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Hao hao tunaowaita wachambuzi,wanakili kuwa menejiment ya Azizi ki akiwemo mama yake mzazi, ambaye ndiye msimamizi wake mkuu walikuwepo hapa nchini, sasa kama mnaelewa hivyo, hao watu wa Azizi walikuja kucheza Lege hapa. Watu wengine mnatulazimisha tutumie lugha zisizofaa jamani!!!!
Wachambuzi wamchongo mpooo
Ujinga mtupu,halafu mnajiita wachambuzi,mawakala,halafu hata mkipewa elimu, hamtaki kuelewa????