Wow, that's the king and the queen.Our queen is speechless.Tears of joy. Haters come and celebrate the queen's birthday ,surprised by the King.Love is sweet ooh.what God has joined together let no one put asunder says the Lord .Enjoy your surprise and happy birthday again and again my coucou.🎉❤❤❤
Ok nice, very romantic. I really hope all this has a good fairy tale ending. I wish you well our song bird everlasting love from a player. Am glad upo happy honeyyyy
uzur wa mwanamke sio sura wala makalio,kuna vitu wanaume huwa wanavipenda zaid kutoka kwetu akili zetu na unyenyekevu na kamwee hakuna mwanaume anaetulia ila kuna wanaume wenye kuheshimu mwenza wake hengera Naseeb hongera Zuhura
Ole wenu wale mnaoshangilia na kuikaribia zinaa mana kwa Mungu mtaisabiwa kwenye viumbe walio laaniwa!kama unampenda kweli na una kila kitu ambacho kinakufanya huna sababu ya kuto kuoa,sasa kwanini usioe!mbona sisi tu pangu pakavu tumeoa,kwake shida ipo wap!tuwaombee na tujiombee nafsi zetu kwa Mungu tuwe na mwisho mwema!
Elon Musk,Jeff Bezzo ,Donald Trump all got with humble normal woman . Zuchu is natural,humble good fit for Simba . I hope Simba continues to cherish and love her
Hilo shati la diamond hata nikipewa bure nakataa hata hiyo suruali yaani rangi na jinsi zilivyo loh! Fassion bwana! Achana nazo kabisa hayo si matambala kabisa!
Jamani zuu ndio maana watu wanakuone wivu sio kwa raha hizo mamii upendo wenu uwe wenye nguvu siku zote hbd my cute zuu
Raha
Imiss u & iwll always❤u ADL .
🎉🎉🎉 happy birthday Zuuu Wangu na furahi kukuona Uko happy watakunya mwaka huu Diamond alisema.
Nawapenda sana nyie watu Zuchu na Diamond Mwenyezi Mungu awalinde muwe na maisha marefu na mapenzi yenu yadumu
Wow, that's the king and the queen.Our queen is speechless.Tears of joy. Haters come and celebrate the queen's birthday ,surprised by the King.Love is sweet ooh.what God has joined together let no one put asunder says the Lord .Enjoy your surprise and happy birthday again and again my coucou.🎉❤❤❤
Am super happy for them😊
Love them 🎉🎉🎉
I know right 😂❤
Diamond na zuchu nipeni like zangu ❤❤
❤
Zuchu tunakuonea huruma kukutana na pepo lamahaba hilolinakupotezea wakati wako wa thamani but bi mkubwa wako hajamuamulia tuuu huyo diamond
You made my day, with love from Holland 🇳🇱 ❤
Ok nice, very romantic.
I really hope all this has a good fairy tale ending. I wish you well our song bird everlasting love from a player.
Am glad upo happy honeyyyy
Muda umefika wa kumuona Queen Zuchu kwenye Young famous Film🎉🙏🤝
Show ya maajuza wazee wasio na vipani hiyo Zuchu tu ni show inayojitosheleza
Nothing gonna change my love for you iyo song iko dope
Wachawi wameumbuka, kula maisha Zuchu wetuuuuu🎉
Dai mstarabu sana ana upendo sana wanaume kama hawa wako wachache sana wenye kujua uthamani wa mwanamke. Kapo nzuri imevunja rekodi.❤❤
Mh!
Maasha'Allah!Allah akulindeni Na Husda, ajaaliyeni Penzi la Hala!🎉❤❤
Hapa wacha tuseme tu ukweli after wema zuchu ndiye wapili kupenda diamond mapenzi ya ukweli ❤
Yaani Hawa ni Beyonce na Jzee wetu 🥰🥰
I agree. This is a treat fit only for a sweetheart. No doubt. We celebrate you two!
Zuchuu is speechless 😅😅😅😅😅😅
Sipend kuwa mnafk mie kikwel mnapendeza san❤
Mashalla mungu alilinde penzi lenu❤
uzur wa mwanamke sio sura wala makalio,kuna vitu wanaume huwa wanavipenda zaid kutoka kwetu akili zetu na unyenyekevu na kamwee hakuna mwanaume anaetulia ila kuna wanaume wenye kuheshimu mwenza wake hengera Naseeb hongera Zuhura
Kabisa dear umenena
Ole wenu wale mnaoshangilia na kuikaribia zinaa mana kwa Mungu mtaisabiwa kwenye viumbe walio laaniwa!kama unampenda kweli na una kila kitu ambacho kinakufanya huna sababu ya kuto kuoa,sasa kwanini usioe!mbona sisi tu pangu pakavu tumeoa,kwake shida ipo wap!tuwaombee na tujiombee nafsi zetu kwa Mungu tuwe na mwisho mwema!
U said it so good ma dear 👌👌
2they are acting young and famous video.:23 2:24 2:26 2:32 2:32
@@selinenyonje9116they wouldn’t have published if it was for the show due to legal contracts . Please use y’all brain
This man knows how to treat a lady, the song says it all❤❤❤❤❤❤❤❤
Naskia raha zuchu kakicheza happy birthday habibi zuchu
Elon Musk,Jeff Bezzo ,Donald Trump all got with humble normal woman . Zuchu is natural,humble good fit for Simba . I hope Simba continues to cherish and love her
Nawapenda sana❤❤❤❤🎉🎉
Nothing is gonna change my love for you. That's a statement.
❤❤❤Mungu azidi kuwalinda na mzidi kupendana
Diamond poa kabisa hakuna kitu kizuri kama chali kuku treat na pesa Zak zone,huyu ndio mwanaume kudos diamond
Amour fou et réel. Je vs souhaite le bonheur
Vraiment vous avez raison, un amour réel ❤❤❤
Ah ça !
Kula Raha mama,ni wakati wako 🎉🎉🎉
Nnawapenda wambea kazi kwenu
MashaAllah natamani na Mimi nipendwe hivi😢😢
Upewe Nini zuchu hongera
Zuchu i love you so much but i am a gambian ❤❤❤❤❤❤❤😍👑💍💗
Haki wanapendana jamani ❤❤❤
Mwapendezana mashallah
Msije mkaachana nyinyi 🙏.... best love birds ever 😘😘😘
Kaka yangu huyo ndo muke wako munapendezan Mwenye anakupenda kwa dathi siyo wale warikupendea bu star muwowe
Muowe uyu bitu ana mabo ya❤❤❤❤❤❤❤❤ umalaya kama wale.we ngine
Diamond. Na zuchu ndio wamependezeana kuishi pamoja mume na mke.
Ulisha ona
@@user-cg4jw4si8z nimeona. Aswaaa
Hilo shati la diamond hata nikipewa bure nakataa hata hiyo suruali yaani rangi na jinsi zilivyo loh! Fassion bwana! Achana nazo kabisa hayo si matambala kabisa!
Zuchu wakele wenye maumbile yao wanazani uzuri wa mwanamke makalio penda bizuu
Happy birthday our queen ❤❤❤
Hivi kwanini huchaguahi ngio za kuvaa jamani hii umetisha juu gold gauni ya kijuvjjivu kwanini Xuchu ipo hivyo
wow so amazing
Wenyemumecheka zuchu hehenakojowa❤😂
Nimeipenda hiyooooo nyie chongeni tu
Nawapendasananyiewatuzuchunadiamondmwenyezimunguawalindemuwenamaishamarefunamapenziyenuyadumu❤❤
Jani nikiwaona napagawa nawapenda sana
Nakushauli zuchu. Usinunue rangi jiachie Ivo ivo
Enjoy mama
Yaani nawapenda Hadi naumia❤❤❤❤
When she told them to make sure their names are spelled correct though 😂😂 shiiit I would be sorry I pass im not getting in there 😂.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Zuchu and Diamond
Muoe jamani diamond huyo mtoto
so perfect
Platnumz
Leo raha ❤
♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥
Me ako kamwimbo tyu nothng gonna chang ma lov fr you je na siku ukichange tukufanyaje???
Nice ❤️❤️❤️
Iv kwann haupendezag we dad
Wa nyuma Kawa wa mbele na wambele Kawa wa nyuma zuchu anavyokazana
❤❤❤❤
Mutu akipedwa usiseme mubaya mumewake akamupeda zuchu muachemaneno
VIS TA VIE AVEC L'HOMME QUE C'EST TON CHOIX SOIS HEUREUSE
Huyo anayepuliza Hilo tarumbeta Nampa pole! 😂😂
🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
ZUUUUU C'EST DU CHAMPAGNE
Enjoy in raha Jeni wenyewe maisha mfupi
Waooooh ila ka ZUCHU kam sweet jaman Kana shine
😢😢pesa shikamoo
😂😂😂😂😂 marahaba
Pindi pale muislamu unapo fulahia zinaha kitabu chako kina andikwa uliifulahia mungu atusamehe
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Lakini Zuchu, si ujiongezee mwili kidogo uzito?! Otherwise we’re happy for you.
Mvumilivu hula mbivu mwachen zuu was watu hahangaiki hovyo Hana skendo chafu katulia na mmoja tu
rahaaaa
Wataisama
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanashoot reality show ya Netflix
Naipenda hii couple, wale wa makalio na mikorogo kaeni kando
KINGINE KINGENE KINA NYOTA KALI
Wenye wivu mtasubiri sana
Cape Town iyoo
❤❤🎉💃🇧🇮
Ivi hayo ma balloon kwann wanayoyaongoza ni wazungu jamani? Sijawahi kuona m bongo analiendesha since way back😂
Ulikosa nguo ya kuvaa
Zuhura hiyo nguo uliyovas sijaipenda imekuonyesha umbile lako lipo vibaya uwe unavailable nguo kuendana na body yako
❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyo akiolew ndo museme anapendw lakn hapo hapendw anatiw kweny Moto mtoto mzur wa kiislam anafany laana kama hiz haya kunamwsh
Kabisa akimwoa ndo tutajua kama anampenda bt sai wanazini
But Ni wachache hupata hizi moment😂😂😂😂😂😂
Ameoa wangapi mbeleni and he left them all 😀
Mbona nikama vile zuchu hajapendeza
Kamfindisha na mpenzi wake sijui wanavaaga nini?
So it’s real😂
Jamanii hadi kamelia
Who is that local babe...can't even hold a wine glass
😮😮😮😮😮😮😮😮😮❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊
Kama kweli akuowe basi tushachoka kuona zinaaa zenu
Mondi anajuwabila zuchu hakunadrama❤😂
Kabisaaa
Who dresses diamond?? 😳 😳
Kwaraha. Zenu. Vipenzi
Acha ndoto ,Diamond haesabiwi kwa nguo
❤❤ loves 😂😂
Zuchu kwaza anarangi ya kawaida Yani ata bila mkorogo ni mrembo tu
Anatufedhehesh wazenj
Watazaaa nyanyiiiii😅😅😅😅 hawa wawili😅😅😅😅
😂😂😂😮😮😮
Ila balloon kupanda ni 1 Milion
Kabisaa ni very expressive