Nmependa sana tiba zako
Asalam aleykum jee kiungulia huweza kufika paka kwenye koo Asante kwa faida
Haya yamekuwa maradhi yangu kwa mda sasa
Mie nikinywa soda tu yenye gesi kama vile pepsi au Coca-Cola halaka inakuja 😢au tangawizi nikichwa
Tufahamishe hiyo dawa bc nateseka na gass mm
Anaejua dawa y kiungulia anisaidie
me kunamisumbua Sana ynii kulaà pia mtiani
Nimejifunza kitu apa thank you