Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali? Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
Aaapaanaaa hi round table si yake ya kwanza ata kipindi akianzia utawala wake hayamajibizano kenya sisi na hata yeye hatuonagi kama ukosefu wa kutoheshimiana
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
Bwana kiongozi sio mfalme bwana kenya hivyo ndio hali ilivyo 😂😂😂😂 ww wacha zako bwana ati tusifanyie nn kiongozi huku kenya sisi hivyo ndio tuko my friend
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
Amesema wakati anaishi kenya alikuwa na umri gani? Je umri huo ulikuwa enough kuwa matured kwenye siasa na kuwa na tabia na mienendo ya wa kenya.... usiseme amedanganya hata elimu yake ikuwa ya primary.. umri una matter sana kwenye makuzi tabia na mienendo ya mtu
Hata ukimchukua mtoto wa kenya wa miaka 10 umpeleke uarabuni baada ya miaka 30 hawezi kuwa na tabia za kikenya.. je utasema ni muongo hajawai ishi kenya
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him
Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.
Mm naona Ruto Yuko smart sana Kwa sababu kama mkuu wa nchi anawajibu wa kijibu chochote anapotakiwa. Lakini maswali alijibu vizuri tu Kwa mfano maswali aloulizwa yalihitaji uchunguzi Sasa unadhani angejibu nn.
Kwa Mara ya kwanza nimeshwidwa kumaliza video ya sns. Mtu uko bias lakini unatuambia unaupande ….. nimelose respect sana na wewe. I thought una akili sana
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali. Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu! Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.
Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja
Poie sana ndugu karibu tena
Karibu tena
😊😊😅😅😅
Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.
DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!
Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.
Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,
Yow brother Sky.....pin this please......
sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~
Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui
You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile
Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂
Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo
He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated
You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting
In Kenya we have boring president 😢
Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
Real talk
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
Mh. Zakayo amelewa anasa anataka kuuza nchi kwa NATO
Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦
In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
Bongo CCM inacontrol kila kitu mpaka hewa tunayopumua😂
Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.
Our president is having mental health challenges.he is mad
Respect
@@mariamkassim9925 andika comment Yako nkt
I gat u my fellow kenyan😂hjui tofaut ya reply na section ya kukoment kiujumla😂
@@everrineanyango7410 🤣🤣🤣🤣 makasiriko ya nini ama leo hauna chakula
@@mariamkassim9925😂😂😂
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee
Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂
uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie
😂😂😂😂 kunywa maji kidogo
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
Sure
Hujui lolole tuachie wenyewe huyu
🤣🤣🤣🤣
Kabsa huyu namuona hajielewi akwende uko nyau😂
Ni sahihi katka hili kafel
😂😂😂😂
Real talk
Leave us alone sns
Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia
Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe
Period
wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele
Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .
Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike
Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp
Waandishi wa habari wanamujua vizuri sana,Ruto na kupanga,na kutenda alaah!
Kupanga ruto kutenda aaaaah😅
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali?
Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
University of Dar es Salaam motto say "HEKIMA NA UHURU".
Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI
uyu anakushow mawhat ama unataka salamu kidogo zakayo amefanya kenya uchumi iko juu
sana ruto shuka tu tunakujuwa
Huyu tumsalimie
Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂
Shida ya Ruto ni mjeuri saan !!.jpt
this SNS guys nikama wameongwa na RUTO Hawa Miki kwanza na unsubscribe uku upuzi mtupu no wonder Tanzania wako nyuma democracy
@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
Ukiwa huna D 2 uwezi kumwelewa Dj sma vitu vingine Kama vya Taifa utakiwi kuongea kwa hisia au kuwa na upande
Nawakubali sana ila kuhusu ruto tunamjua ss wakenya
Huyu ni mchambuzi ko haruhusiwi kwani?
Tuliza mshono wewe huyu ni wetu twamalizana naye wenyewe
Eehee heshima tena.. Heshima utapewa tu kama inakustahiki wala sio venginenyo
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana
Matapeli wa tazania wengi
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
Kabsa bro
Kweli kabisa
Unabrainstorm sana kabla hujaja na analysis kwenye session. I like to listen to smart minded guys like you mkali.
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
Aaapaanaaa hi round table si yake ya kwanza ata kipindi akianzia utawala wake hayamajibizano kenya sisi na hata yeye hatuonagi kama ukosefu wa kutoheshimiana
UYU JAMAA WA HII SNS ANAJIFANYA KUJUA RUTO KUTULIKONSISI WAKENYA WEWE USITU CHOKOZEE KAMA UMEONGWW KAA NA PESA YAKO SHENZI
Wakenya wengi hapa tunakupa mda wa kukusikiliza but umeanza kukosea wakenya respect kwa kumpongeza ruto...
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
Watching from Zambia
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
Dj smaa upo vizuri sana umesema kweli mingu ndo humchagua kiongoz awe mzur au mbaya
Sisi ndo tulimchagua anafaa atuheshimu .. period my guys did well
Hao ni wanasiasa wanaojiita wandishi wa habari😂😂😂😂
Kweli man hawa mafala sana hata kama mzee kakosea lakini hawakutakiwa kumbull like that.
Wanakomaa kumtia 18 zao
@@shenamtukufu1224Wana hasira nae na Raisi kuna muda alikasirika lakini ametumia hekima kutoku snap back at them, hizi siasa ziko si biased.
@@shenamtukufu1224ukweli haufichiki ingawa mchungu... Maswali yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake
Bwana kiongozi sio mfalme bwana kenya hivyo ndio hali ilivyo 😂😂😂😂 ww wacha zako bwana ati tusifanyie nn kiongozi huku kenya sisi hivyo ndio tuko my friend
Ruto ana makosa nyingi kka sma maneno yak na matendo yk nivitu viwili tofauti adjusi from Mombasa
Dj sma umeniangusha on this
Kwanini rais Ruto anakunja 4 ktk kipindi hiki wakati ndani ya nchi yake pamejaa kilio kila pahali?!!
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?
Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania
Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.
sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~
Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo
Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.@@shantisam-wo8wj
Hawa hata hawajasoma
@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz
The protest begins in Mombasa
Ngoja tukusalimie kidogo
Tumsalimie hyu ni kma hamjui Ruto
Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote
bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya
Huyu jamaa alisema ashai ishi nimegundua alidanganya...hangeongea hivi iwapo angekua na akili huru kama ya wakenya...
Amesema wakati anaishi kenya alikuwa na umri gani? Je umri huo ulikuwa enough kuwa matured kwenye siasa na kuwa na tabia na mienendo ya wa kenya.... usiseme amedanganya hata elimu yake ikuwa ya primary.. umri una matter sana kwenye makuzi tabia na mienendo ya mtu
Hata ukimchukua mtoto wa kenya wa miaka 10 umpeleke uarabuni baada ya miaka 30 hawezi kuwa na tabia za kikenya.. je utasema ni muongo hajawai ishi kenya
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI
Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.
uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit
@@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣
@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura
You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂
Without two D you can not understand Dj asma😂
Kbs
@@kevicristian2738d gn nyinyi mumezoea kuabudu raisi nop cc tuko n democracy kwetu sw
Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi
Following from Swaziland 🇸🇿,Ruto hafai kuwa Rais wa nchi hiyo.
Mpeleke mamako akaongoze kenya
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
pia Trump hadi alikua anachukia cnn
Umeongea vizuri sana sema umeshindwa kuelewa walikua emotional sana na kinachondelea huko. Wanaopigwa mabomu ni wao na ndugu zao.
Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu
Dj sma....unapotea kwa line kakangu tuachie tu wenyewe +254 tunajua wenyewe shidaa zetu ..kipindi hiki chako sijakipasisha umeniangusha....
Anyway nimewapenda sanaaa wakenya wanadai haki Yao fasta tena bila uoga sio kama bongo
Ruto alipiga chenga maswali mingi. Kenya twahitaji revolution
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
DJ sma ruto ni mtu smart Sana
Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
Mm n mkenya lkn uyo jamaa jajaua vzr siasa za Kenya au hajamjua vzr Ruto, ungefatilia paka kwa Ground Dj Sma ndo uchambue!
Keter he's a former mp and he was abducted not arrested
Sns hakuna kitu unachambua hapo, siasa za Kenya wachia wakenya...huwezi elewa hii maneno...you are so personal
Citizen Tv NTV and KTN we know those medias are biased
Biased like your mother's side guy huuh😢
How are they. biased can you explain plz
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
mwizi anapewa heshima
Kaka sio kila kiongozi amechanguliwa na mungu hii hapa hapa hapa.
Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him
Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.
Mm naona Ruto Yuko smart sana Kwa sababu kama mkuu wa nchi anawajibu wa kijibu chochote anapotakiwa. Lakini maswali alijibu vizuri tu Kwa mfano maswali aloulizwa yalihitaji uchunguzi Sasa unadhani angejibu nn.
Ni kweli kabisa hata mimi mwenyewe nilikua nasema hivo jamaa alifanya makosa makubwa kufanya roundtablekwa huyu wakati
Kaka Kenya Tulisooma Katiba Vizuri..Na pia Tunajua Uhuru wetu uko wapi Sasa wewe Wala Usisononeke
Tunamjua sana huyo msee papa. Sisi kenya hatuna rais.
Ruto alijibu vizuri sana
Hapo uko vizuri wandishi hawana hoja wanaruka mashwali wandishi wameshindwa
Bila A mbili huwezi elewa Dj sma ni Genius....wengi hawataelewa
Congratulation dj smaa Kenya we love you🇰🇪❤❤
Kwa Mara ya kwanza nimeshwidwa kumaliza video ya sns. Mtu uko bias lakini unatuambia unaupande ….. nimelose respect sana na wewe. I thought una akili sana
Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu
president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
Lazima aheshimiwe ni kiongozi ❤
Kenya real example of Africa
Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali.
Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu!
Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.
wew unaharibu bwana wamjua ruto ww ama waongea to
yuy JAMAA ame hongwa na ruto
Tupo pamoja nafurahia kupata habari bora
Dj sma nakukubali sana ila kwa hili zii mkubwa wangu huyu jamaa ni muongo kupitiliza kaka acha tudeal nae twamjua wenyewe huyu
Kenya is our country,tuwachie inchii yetu wenyewe,, Nivile kile Mtu amtaki Ruto,Hata Raia hatumtaki, kenya tumesoma nandyo maana hatuwezi bebwa ufala