Rais RUTO amefanya kosa la kimkakati kufanya Round Table kipindi hiki!

Sdílet
Vložit

Komentáře • 414

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před 2 dny +25

    Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 2 dny +14

    Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 2 dny +19

    DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!

    • @mohamedsuwari2588
      @mohamedsuwari2588 Před 2 dny +2

      Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.

    • @abdulswamadabdallashee5802
      @abdulswamadabdallashee5802 Před 2 dny

      Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,

    • @abdallazakaria6953
      @abdallazakaria6953 Před 2 dny

      Yow brother Sky.....pin this please......

    • @aby.beka1630
      @aby.beka1630 Před 2 dny

      sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~

    • @CandyLoud
      @CandyLoud Před dnem +1

      Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui

  • @WILLY_SKY1
    @WILLY_SKY1 Před 2 dny +12

    You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile

  • @BenBella254
    @BenBella254 Před 2 dny +16

    Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂

  • @maxwellnzai9542
    @maxwellnzai9542 Před 2 dny +17

    Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo

    • @nicoledinga9948
      @nicoledinga9948 Před 2 dny +1

      He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated

    • @GentleGiant-pj2rk
      @GentleGiant-pj2rk Před dnem

      You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting

    • @tinakaitsa7334
      @tinakaitsa7334 Před dnem

      In Kenya we have boring president 😢

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 Před 2 dny +12

    Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.

  • @ibrahimsalim6835
    @ibrahimsalim6835 Před 2 dny +6

    Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi Před 2 dny +7

    Mh. Zakayo amelewa anasa anataka kuuza nchi kwa NATO

  • @ombeniyohaneaustin8415
    @ombeniyohaneaustin8415 Před 2 dny +5

    Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦

  • @BenBella254
    @BenBella254 Před 2 dny +9

    In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 2 dny

      Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.

    • @Hassan_Mengi
      @Hassan_Mengi Před 2 dny +1

      Bongo CCM inacontrol kila kitu mpaka hewa tunayopumua😂

  • @jafaribori5428
    @jafaribori5428 Před 2 dny +3

    Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 Před 2 dny +24

    Our president is having mental health challenges.he is mad

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 2 dny +13

    Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 Před 2 dny +1

      We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee

    • @Qqambaa
      @Qqambaa Před 2 dny

      Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂

    • @allankenyali1535
      @allankenyali1535 Před 2 dny +1

      uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie

    • @hadijagere
      @hadijagere Před 2 dny

      😂😂😂😂 kunywa maji kidogo

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 dny +7

    Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.

  • @user-de8qk5ij6m
    @user-de8qk5ij6m Před 2 dny +15

    Hujui lolole tuachie wenyewe huyu

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před 2 dny +5

    Leave us alone sns

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 Před 2 dny +4

    Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia

  • @abdallazakaria6953
    @abdallazakaria6953 Před 2 dny +4

    Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe

  • @vinnyinjenga
    @vinnyinjenga Před 2 dny +2

    wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru Před 2 dny +3

    Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Před 18 hodinami +1

    Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako

  • @kawogoremigius8152
    @kawogoremigius8152 Před 2 dny +3

    Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya

  • @lucasmartin431
    @lucasmartin431 Před 2 dny +4

    Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike

    • @RamadhanBurji
      @RamadhanBurji Před 16 hodinami

      Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp

  • @benardmakori4012
    @benardmakori4012 Před 2 dny +2

    Waandishi wa habari wanamujua vizuri sana,Ruto na kupanga,na kutenda alaah!

  • @philipkahindi3499
    @philipkahindi3499 Před 2 dny +2

    Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 dny

      Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali?
      Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.

  • @gracelema2374
    @gracelema2374 Před 2 dny +1

    University of Dar es Salaam motto say "HEKIMA NA UHURU".

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g Před 2 dny +4

    Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI

  • @miriamvihenda7408
    @miriamvihenda7408 Před 2 dny +2

    uyu anakushow mawhat ama unataka salamu kidogo zakayo amefanya kenya uchumi iko juu
    sana ruto shuka tu tunakujuwa

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 Před 2 dny +2

    Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂

  • @alexbahindolwa3921
    @alexbahindolwa3921 Před 2 dny +3

    Shida ya Ruto ni mjeuri saan !!.jpt

    • @allankenyali1535
      @allankenyali1535 Před 2 dny

      this SNS guys nikama wameongwa na RUTO Hawa Miki kwanza na unsubscribe uku upuzi mtupu no wonder Tanzania wako nyuma democracy

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 2 dny

      ​@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 Před 2 dny +2

    Ukiwa huna D 2 uwezi kumwelewa Dj sma vitu vingine Kama vya Taifa utakiwi kuongea kwa hisia au kuwa na upande

  • @MwauchiMwatela
    @MwauchiMwatela Před 2 dny +2

    Nawakubali sana ila kuhusu ruto tunamjua ss wakenya

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 2 dny

      Huyu ni mchambuzi ko haruhusiwi kwani?

  • @user-de8qk5ij6m
    @user-de8qk5ij6m Před 2 dny +2

    Tuliza mshono wewe huyu ni wetu twamalizana naye wenyewe

  • @Hamisi8465
    @Hamisi8465 Před 2 dny +1

    Eehee heshima tena.. Heshima utapewa tu kama inakustahiki wala sio venginenyo

  • @rosemaryogambe4498
    @rosemaryogambe4498 Před 2 dny +2

    Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.

  • @user-sq1ol2fb3i
    @user-sq1ol2fb3i Před dnem +1

    Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana
    Matapeli wa tazania wengi

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 Před dnem +1

    Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.

  • @athmanabushir1622
    @athmanabushir1622 Před 2 dny +4

    kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Před dnem

    Unabrainstorm sana kabla hujaja na analysis kwenye session. I like to listen to smart minded guys like you mkali.

  • @KhamisBeja
    @KhamisBeja Před 2 dny +2

    DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia

  • @john_1trader
    @john_1trader Před 2 dny +2

    Aaapaanaaa hi round table si yake ya kwanza ata kipindi akianzia utawala wake hayamajibizano kenya sisi na hata yeye hatuonagi kama ukosefu wa kutoheshimiana

    • @allankenyali1535
      @allankenyali1535 Před 2 dny +1

      UYU JAMAA WA HII SNS ANAJIFANYA KUJUA RUTO KUTULIKONSISI WAKENYA WEWE USITU CHOKOZEE KAMA UMEONGWW KAA NA PESA YAKO SHENZI

  • @mikechidi3339
    @mikechidi3339 Před 2 dny

    Wakenya wengi hapa tunakupa mda wa kukusikiliza but umeanza kukosea wakenya respect kwa kumpongeza ruto...

  • @makaoyafutaa1302
    @makaoyafutaa1302 Před dnem +1

    WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪

  • @alexsilungwe1620
    @alexsilungwe1620 Před 19 hodinami

    Watching from Zambia

  • @JastoLeleJnr
    @JastoLeleJnr Před dnem +1

    Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions

  • @TwahaMaziku
    @TwahaMaziku Před 2 dny

    Dj smaa upo vizuri sana umesema kweli mingu ndo humchagua kiongoz awe mzur au mbaya

  • @gideonmageto4623
    @gideonmageto4623 Před dnem

    Sisi ndo tulimchagua anafaa atuheshimu .. period my guys did well

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w Před 2 dny +3

    Hao ni wanasiasa wanaojiita wandishi wa habari😂😂😂😂

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 Před 2 dny +2

      Kweli man hawa mafala sana hata kama mzee kakosea lakini hawakutakiwa kumbull like that.

    • @shukranisibale1739
      @shukranisibale1739 Před 2 dny +1

      Wanakomaa kumtia 18 zao

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 dny

      ​@@shenamtukufu1224Wana hasira nae na Raisi kuna muda alikasirika lakini ametumia hekima kutoku snap back at them, hizi siasa ziko si biased.

    • @Hamisi8465
      @Hamisi8465 Před 2 dny

      ​@@shenamtukufu1224ukweli haufichiki ingawa mchungu... Maswali yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake

  • @BillyJames-l6x
    @BillyJames-l6x Před 2 dny +1

    Bwana kiongozi sio mfalme bwana kenya hivyo ndio hali ilivyo 😂😂😂😂 ww wacha zako bwana ati tusifanyie nn kiongozi huku kenya sisi hivyo ndio tuko my friend

  • @fistonmakasi3803
    @fistonmakasi3803 Před dnem

    Ruto ana makosa nyingi kka sma maneno yak na matendo yk nivitu viwili tofauti adjusi from Mombasa

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 Před 2 dny +1

    Dj sma umeniangusha on this

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Před 2 dny +1

    Kwanini rais Ruto anakunja 4 ktk kipindi hiki wakati ndani ya nchi yake pamejaa kilio kila pahali?!!

  • @Ibrahimkhamis005
    @Ibrahimkhamis005 Před 2 dny +2

    Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 2 dny

      Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?

    • @user-ev2xf1tv3w
      @user-ev2xf1tv3w Před dnem

      Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania

  • @kepharichard4183
    @kepharichard4183 Před 2 dny +4

    Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.

    • @aby.beka1630
      @aby.beka1630 Před 2 dny +1

      sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~

    • @shantisam-wo8wj
      @shantisam-wo8wj Před 2 dny +1

      Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před dnem

      Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.​@@shantisam-wo8wj

    • @RamadhanBurji
      @RamadhanBurji Před 16 hodinami

      Hawa hata hawajasoma

    • @RamadhanBurji
      @RamadhanBurji Před 16 hodinami

      ​@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz

  • @mohammadabdul45bb57
    @mohammadabdul45bb57 Před dnem +1

    The protest begins in Mombasa

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před 2 dny +2

    Ngoja tukusalimie kidogo

  • @katsopolechonyiboy4896
    @katsopolechonyiboy4896 Před 2 dny +1

    Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote

  • @mohammadabdul45bb57
    @mohammadabdul45bb57 Před dnem +1

    bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya

  • @mcallande1317
    @mcallande1317 Před 2 dny +2

    Huyu jamaa alisema ashai ishi nimegundua alidanganya...hangeongea hivi iwapo angekua na akili huru kama ya wakenya...

    • @abdallahngoe
      @abdallahngoe Před dnem

      Amesema wakati anaishi kenya alikuwa na umri gani? Je umri huo ulikuwa enough kuwa matured kwenye siasa na kuwa na tabia na mienendo ya wa kenya.... usiseme amedanganya hata elimu yake ikuwa ya primary.. umri una matter sana kwenye makuzi tabia na mienendo ya mtu

    • @abdallahngoe
      @abdallahngoe Před dnem

      Hata ukimchukua mtoto wa kenya wa miaka 10 umpeleke uarabuni baada ya miaka 30 hawezi kuwa na tabia za kikenya.. je utasema ni muongo hajawai ishi kenya

  • @lowasamollel9852
    @lowasamollel9852 Před 2 dny +4

    Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 2 dny

      Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 dny

      Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.

    • @allankenyali1535
      @allankenyali1535 Před 2 dny

      uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 dny

      @@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Před 2 dny

      ​@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura

  • @JIMBO_MEDIA
    @JIMBO_MEDIA Před 2 dny +3

    You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale Před dnem

    Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 Před dnem

    Following from Swaziland 🇸🇿,Ruto hafai kuwa Rais wa nchi hiyo.

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Před 2 dny +2

    Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 2 dny

      pia Trump hadi alikua anachukia cnn

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před dnem

    Umeongea vizuri sana sema umeshindwa kuelewa walikua emotional sana na kinachondelea huko. Wanaopigwa mabomu ni wao na ndugu zao.

  • @philipkahindi3499
    @philipkahindi3499 Před 2 dny +1

    Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu

  • @pakeyzaa
    @pakeyzaa Před dnem

    Dj sma....unapotea kwa line kakangu tuachie tu wenyewe +254 tunajua wenyewe shidaa zetu ..kipindi hiki chako sijakipasisha umeniangusha....

  • @official_dicksonmunga

    Anyway nimewapenda sanaaa wakenya wanadai haki Yao fasta tena bila uoga sio kama bongo

  • @mosesmuyamwangi7905

    Ruto alipiga chenga maswali mingi. Kenya twahitaji revolution

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 Před dnem

    Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧

  • @musahassan1106
    @musahassan1106 Před 2 dny

    DJ sma ruto ni mtu smart Sana

  • @sarahonguso6187
    @sarahonguso6187 Před dnem

    Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!

  • @makwegarashid-ui1oe

    Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.

  • @hamooummar7298
    @hamooummar7298 Před 2 dny +3

    Mm n mkenya lkn uyo jamaa jajaua vzr siasa za Kenya au hajamjua vzr Ruto, ungefatilia paka kwa Ground Dj Sma ndo uchambue!

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 2 dny +1

    Keter he's a former mp and he was abducted not arrested

  • @wambuageorgemutua1930

    Sns hakuna kitu unachambua hapo, siasa za Kenya wachia wakenya...huwezi elewa hii maneno...you are so personal

  • @WILLY_SKY1
    @WILLY_SKY1 Před 2 dny +2

    Citizen Tv NTV and KTN we know those medias are biased

    • @BillyJames-l6x
      @BillyJames-l6x Před 2 dny +1

      Biased like your mother's side guy huuh😢

    • @NoName-pp4lo
      @NoName-pp4lo Před 2 dny

      How are they. biased can you explain plz

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 Před 2 dny +3

    Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative

  • @saivellybrutally2994
    @saivellybrutally2994 Před 2 dny

    Kaka sio kila kiongozi amechanguliwa na mungu hii hapa hapa hapa.

  • @carlytube338
    @carlytube338 Před dnem

    Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him

  • @laurine7898
    @laurine7898 Před dnem

    Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm Před 2 dny

    Mm naona Ruto Yuko smart sana Kwa sababu kama mkuu wa nchi anawajibu wa kijibu chochote anapotakiwa. Lakini maswali alijibu vizuri tu Kwa mfano maswali aloulizwa yalihitaji uchunguzi Sasa unadhani angejibu nn.

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před 2 dny

    Ni kweli kabisa hata mimi mwenyewe nilikua nasema hivo jamaa alifanya makosa makubwa kufanya roundtablekwa huyu wakati

  • @amrunassibu5105
    @amrunassibu5105 Před dnem

    Kaka Kenya Tulisooma Katiba Vizuri..Na pia Tunajua Uhuru wetu uko wapi Sasa wewe Wala Usisononeke

  • @allotropeking5991
    @allotropeking5991 Před dnem

    Tunamjua sana huyo msee papa. Sisi kenya hatuna rais.

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm Před 2 dny

    Ruto alijibu vizuri sana

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Před 2 dny

    Hapo uko vizuri wandishi hawana hoja wanaruka mashwali wandishi wameshindwa

  • @SundayMtachi
    @SundayMtachi Před 2 dny

    Bila A mbili huwezi elewa Dj sma ni Genius....wengi hawataelewa

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t Před 2 dny

    Congratulation dj smaa Kenya we love you🇰🇪❤❤

  • @bravo8324
    @bravo8324 Před 2 dny +1

    Kwa Mara ya kwanza nimeshwidwa kumaliza video ya sns. Mtu uko bias lakini unatuambia unaupande ….. nimelose respect sana na wewe. I thought una akili sana

  • @NikodemusOgembo
    @NikodemusOgembo Před 2 dny +1

    Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu

    • @allankenyali1535
      @allankenyali1535 Před 2 dny

      president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu

  • @ENGLISHMOVIES-DOCUMENTARIES

    Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated

  • @nadinemasengo9970
    @nadinemasengo9970 Před 2 dny

    Lazima aheshimiwe ni kiongozi ❤

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 Před 2 dny

    Kenya real example of Africa

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 Před 2 dny

    Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali.
    Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu!
    Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.

  • @alikonge8864
    @alikonge8864 Před 2 dny +1

    wew unaharibu bwana wamjua ruto ww ama waongea to

  • @Emanuelfrankasei
    @Emanuelfrankasei Před dnem

    Tupo pamoja nafurahia kupata habari bora

  • @jumajames1767
    @jumajames1767 Před dnem

    Dj sma nakukubali sana ila kwa hili zii mkubwa wangu huyu jamaa ni muongo kupitiliza kaka acha tudeal nae twamjua wenyewe huyu

  • @RamadhanBurji
    @RamadhanBurji Před 16 hodinami

    Kenya is our country,tuwachie inchii yetu wenyewe,, Nivile kile Mtu amtaki Ruto,Hata Raia hatumtaki, kenya tumesoma nandyo maana hatuwezi bebwa ufala