Bro bado sana ,material ya kitoto sana, standup comedy lazima uwe na uwezo wa kuchambua mambo ya kijamii, siasa na uchumi. Lazima kuwe na logic na uchezi ndani. Hapo unaongea ujinga tuu.
Huyu jamaa anaweza sana tu, ila hii performance kidogo imekuwa down, ni jambo la kawaida kwa comedians, somedays wanaunderperform, kuchekesha si kazi ndogo!
wako sawa siasa na uchumi inategemeana na watu wao wanaitaji vitu gani,brother what we need its only thing laugh,and forget 1 thing this man the dont have big bulget so just give them some motivation .
Huwezi ukamchukia,mtu ambaye hana hata idea kam upo DUNIANI,heshimu kazi ya mtu!!, kwanini usiende wewe walau utuoneshe hicho kipaji cha kuuza Matango!!
Uko vizuri kaka,, JITAHIDI achana na HATERS,,hata ukipafom vizuri bado watakuchukia tu,keep it up,,!!
Coy unapoteza ela kwa uyu jamaa anaboa sana he is fighting very hard to get people attention
mbona katishaaaa watu wanawivuu mnaomkosoa na nyinyi wekeni zenu tuone
Jaymond is good, sema hii kama iko down hivi. Hope next show atafanya poa
Yaaan huyu jamaaa hajiez kabisa yaaan bola uwe muuza kalanga 2
broo endelea kuigiza stand up bado aisee.
Keep it up
jay bado kidogo....be comfortable... deogratius anafanya poa sana jamaa
Talent
Mchz kaelewa mwenye kwamba kaharibu ya kawaida San Jay keep it up
#JAYMOND
hatariiiiiiii
Yaniiii wamekaa mda mrefuuu had wanaboa sas
Meaya j unaweza usisikilize maneno ya happy maboya wanaotaman ulipo mwaya kaza brooo
Wacha kumtaja Yesu kwenye upuuzi🙄🙄
GONGA LIKES kama Unamkubali #JAYMOND
SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YANGU
Hamna kitu apo kabisaaaaaaaaaaaa
Mtamu
Bro bado sana ,material ya kitoto sana, standup comedy lazima uwe na uwezo wa kuchambua mambo ya kijamii, siasa na uchumi. Lazima kuwe na logic na uchezi ndani. Hapo unaongea ujinga tuu.
Huyu jamaa anaweza sana tu, ila hii performance kidogo imekuwa down, ni jambo la kawaida kwa comedians, somedays wanaunderperform, kuchekesha si kazi ndogo!
wako sawa siasa na uchumi inategemeana na watu wao wanaitaji vitu gani,brother what we need its only thing laugh,and forget 1 thing this man the dont have big bulget so just give them some motivation .
😂😂😂😂😅😅😂😂cwezi lipa pesa yangu nije kutukanwaaaa😂😂😂😂😂
Wa kwanzaaaaaaa🤗🤗
Safi sana
Mapua
iv writer unae sema ivo tukupeleke ww bac kama ni simple kumchekeshe mtu mwenye kudaiwa kodi ya meza n.n mawazo kibao😢
Sana
Slyqueen wakuriaa Hakuna hahahahahhaaha
Niga huchekeshi
Mnajitaidi lakin tafuta mtu inaitwa silwimba lazima ufurahi
Saafi bro
TO BE HONEST, JMONDY BADO SANA YAAN AKAZE KINOMA
Anasehemu zake na yeye
Bado kijana
ii siku ulizngua we jamaa mbs dadeq
mmekawia sana kutupostia izi zafainal😠😠😠😡
To be honest hakuna kipaji hapo kalime matango
Huwezi ukamchukia,mtu ambaye hana hata idea kam upo DUNIANI,heshimu kazi ya mtu!!, kwanini usiende wewe walau utuoneshe hicho kipaji cha kuuza Matango!!
pua nene
Hatimaye mmepost
Mamae mb zangu jaman
HATARE SANA BONGE LA ETN NMEPENDA KIUKWEL
pambana mwanangu ucjal
🤣🤣🤣🤣