Mashaa Allah, Allah akuhifaz wewe na babiyo sheikh Adam Bin Ahmad.. Allahumma Amiin.. sheikh twaomba usome hata juzuu Amma, itakuwa vizuri hasaa na itakuwa ni sababu yakupata thawab na kufutiwa madhambi kwako na kwa masheikh zako akiwemo sheikh Shareef Badawy.
Assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh.Mwalimu umeanza na Rast, ulivyoingia kwny hayyaála sswalaa ni Hijaz ya hatari, hayyaála swalaa ya pili ni nahaawandi, hayyaálal falaah ya kwanza ni Rast tena, hayyaálal falaah ya pili ni Ájemi. Kisha ukamaliza Bayyat palipo baki. Maqam tano hizo. Shukran sana. Alhamdulillah.
ماشاء الله
Mzungu amrehemu mzee wetu Imaam
Mashaa Allah, Allah akuhifaz wewe na babiyo sheikh Adam Bin Ahmad.. Allahumma Amiin.. sheikh twaomba usome hata juzuu Amma, itakuwa vizuri hasaa na itakuwa ni sababu yakupata thawab na kufutiwa madhambi kwako na kwa masheikh zako akiwemo sheikh Shareef Badawy.
Assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh.Mwalimu umeanza na Rast, ulivyoingia kwny hayyaála sswalaa ni Hijaz ya hatari, hayyaála swalaa ya pili ni nahaawandi, hayyaálal falaah ya kwanza ni Rast tena, hayyaálal falaah ya pili ni Ájemi. Kisha ukamaliza Bayyat palipo baki. Maqam tano hizo. Shukran sana. Alhamdulillah.
Hayyaalal swallaaa ya kwnz ni Ushaq
@@jaafarjacka9272 Doh shukran sana mwalimu. Jazaakallahu kheyr.
@ally said na @jaafar Jakka Allah awabaarik
@@RamaMkongwe Allahumma Amiin.
Umejitahid
Kaka natamani sana kuwa mahir kama ww ila dah changamoto
Maqaam Rast/Hijaaz/Nahaawand/Ajemy/Bayyaat
Mashahha profesa kweli ww masud
Doh Allahu Akbar Mwamba
😢😢😢😢😢