Othman Maalim - Hukmu ya Kusoma Maulid

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 626

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 11 měsíci +2

    Mimi sikua nnaamini maulidi lakini hii khutba imenifanya nimeelewa maana ya maulidi na umuhimu wake. Shukran Sheikh Othman

    • @mujaahidk.kdatchi4052
      @mujaahidk.kdatchi4052 Před 10 měsíci

      Ushauri wangu ndugu,
      Usiishie kusikiliza upande huo pekee yake,
      Bali jitahidi kuwasikiliza na wanao kataza sherehe za mawlid wanatumia hoja zipi na zina nguvu kiasi gani.
      Ni ushauri tu ndugu,
      Utanisamehe kama nitakua nime kukwaza.

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 Před měsícem +1

    ❤Mimi napenda maulid mpaka kesho Alhamdulilah kifua changu hujaa huba zaidi nikisoma au kusikiliza maulid. Ndugu zangu tumsifu Mtume wetu Muhammad swallahu aleihim wasalam (Allahu huma swaleh wasalem aleih)

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 5 lety +24

    Masha Allah masha Allah kwa hakika umetupa muangaza mkubwa maana saiv tumeparaganyika kwa kweli hata dua miskitini hazisomwi tena watu wakiswali wanatoka bila ya kujua umuhim wa dua yan hatar kwa kweli mm nipo pamoja Na ww sheikh wetu najua wapo wanaokuchukia lkn waache sisi tupo tunao kupenda kuliko hao wanaokuchukia ila hakuna anaekuweza kwa maneno ya hekima Na busara ww Ni no moja nahisi wangelilizungumzia wao hili basi sjui ingekuwaje maana wanataman wakuchape ila ww umeelimisha kwa maneno ya hekim Na busara Na kufahamika kbs.
    Nakupenda sheikh wetu Allah akulinde.

    • @hatibmintanga7325
      @hatibmintanga7325 Před 4 lety +2

      Mashaallah Shekhe wangu,Role Model wangu Shekhe Othman Maalim... Mola akulipe kheri na Ulinganiaji mwema...
      Lkn Allah Atupe Uwezo na Moyo wa kuandaa Zifa za Kumsifu Mtume S.a.w ... Tujtokeze kwa wingi sana ktk Hizi Maulid za Rasuulilah inshaallah tutapata fadhwila Kubwa sana Kwa kuonesha Mahaba yetu kwa Rasulluulullah

    • @ramadhanikaogo5016
      @ramadhanikaogo5016 Před 2 lety

      znzzzvvzvzvnzzzvnvnvvzzznvznznznnnzvzvvnzvnzvnnzzznvznvnzzzvzznnznznnzznznzzvzjvznvznzvzzbvzzznzzzzvznzzzz:zvznzzvnvnzzzzzvznzznzzzzzvznznnzznzzzvzznzznzvvnvvzvznbzvnzvzvvznnzzvvvnzzzzzzznzvnzzznzzzzzvzznvzzznzzvznzvzznznzzvznvzzzzzzzzzvzvznzvnzzzvzzzznzvznvnzzvzvnzzvvznzzvzzznnvznzzbzvznzvzzvznzvznzzvzznznnvzbnvnzvznvzzvvvnvnzbbnznzznvnznzznznnzvzvznzzvzvzvzzzznvznznzvznzvzvzvzznvzzbzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzlz tut were uow5

  • @user-ey9vf2xo6l
    @user-ey9vf2xo6l Před 3 měsíci

    Wale wapinga maulid haya semeni tena ukwel ndo huo nakupenda sheikh odhuman mwalim kwa kuliweka waz hili Allah akupe Afya jema Alihamndulillah

  • @alasharyyimusa5832
    @alasharyyimusa5832 Před 10 měsíci +1

    Ustadhi nimependa hiyo himdi ❤ irudiwe tena

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 Před 5 lety +4

    Msikilizeni shekhe kwa umakini na utulivu sana atanielewa vzr mm wallah nilikua mpinga maulid lkn shekh alhamdulilah umeniamsha salu ala nnaby...

  • @lungusii
    @lungusii Před 7 lety +6

    Sheikh Othman ahsante sana kwa mawaidha kwakeli napata mafunzo makubwa sana

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 Před 6 lety +4

    Naam sahih sheikh wetu umetufahamisha kwa undani zaid, watakao ona maulid hayafai waache watakao ona yanafaa wafanye na Allah ni mjuzi zaid

  • @mwanakheri2880
    @mwanakheri2880 Před 11 měsíci +1

    Maa shaa allah Tabaarakarrahmaan. Nimeilimika. Jazaakallahu khairan

  • @semenimtoka1121
    @semenimtoka1121 Před 4 lety +1

    Wallah shekh unabusara unaelimu na unajua kuelimisha nakupend ujigambi baraka llah fiika nakupenda sana ktk njia y mwenyezmung

  • @saidiibrahimu7130
    @saidiibrahimu7130 Před 7 lety +21

    Allah ampe maisha marefu sheikh wangu othmn maalim

  • @arjenarjen6718
    @arjenarjen6718 Před 2 lety +2

    Mashaallah,M/mungu akulinde na husda za watu na akupe nguvu ya kutulingania

  • @smallpoxdadon2127
    @smallpoxdadon2127 Před 8 lety +6

    Mashaaalah,naridhika na mawaidha yako shekhe Othman maalim,nakuamini sana na Allah azidi kukuongoza ktk khair sema kweli japo chungu na maulid tutayasoma mpk vizazi vyetu wenye chupi wajinyonge,Mashaaalah elimu yko naikubali sana na mimi ndo msikilizaji mkuu wa Mawaidha yko,Jazak Allah khair

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 Před 6 lety +6

    Hapa kila mmoja hajui ataenda peponi ama motoni tunaomba Allah utujaalie tuijue hakki na batli insha Allah

    • @saiidridhiwaani6637
      @saiidridhiwaani6637 Před 3 lety

      hapaana siO kweLi ManenO yaakO ,, ALLah aLishaseMa nDani ya Qur'an ,,
      ( BaLiL insaanu aLaa nafsihii baswiira )...
      ukifata ManenO ya ALLah na MafunDishO ya MtuMe utakua katika twaa/rehMa za ALLah ,,
      Lakini ukifata MataManiyO ya nafsi na uzushi basi MtuMe aLishaseMa kiLa #BiDaa ni upOtOfu ,,,
      ALLah atuOnGOzeeni waisLaMu wOOte kwa JuMLa

  • @maryamadam9086
    @maryamadam9086 Před 5 lety +9

    Àssalam Aleikum Sheikh Othman. Mmungu akuzidishie Umri tawiilu na wingi wa elimu. Raha iiliyoje jinsi ulivyo weka sawa hii topic kuhusu Maulid Nabii, na Upingaji wake
    Zaidi Laiti tungelipata na tafsiri ya milango ya Barzanji ingawa ziko nyingi ingeliwatoa Watu katika mawazo yasiyo na misingi. Shukran.

  • @muslimkutsowa
    @muslimkutsowa Před 12 dny

    Sheikh uthman maalim napenda Sana mawaidha yako,,apo kw maulidi siko kbx ,,km wakati wa mtume s.a.w ,wkti wamaswaaba na ndani ya karne 3 bora halikufnyka ,,si ni bidh'aa iliyo wazi sheikh iyo

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 3 lety +1

    Jazaakallahu khairan Imam/sheikh/Ustad/ndugu. Mola akuhifadhi. Mola akupe umri mrefu pamoja na afya, ikhlaas na imaani

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 Před 6 lety +11

    Shukran jazakallah khayran tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 Před 5 lety +2

    ustadhi nimekuerewa vizuri ira kwa mtazamo ware wapingaji wote si wasomi wa kutafakkuri KwAiyo tuwaaachetyu allah awahidi mana so kwa kupingakwao n.a. d alili zikowazi allah akufanyie wepesi uzidi kutoa irmu

  • @SalimAlly
    @SalimAlly Před 5 lety +2

    Mashallah tutaendelea kusoma maulid milele mpaka mwisho wetu na vizazi vyetu Umetukuzwa sana Nabi Muhammad na Allah akubaarik sh Othman hata mimi naendelea kuleta nasheed nzury kuhusu tumwa Muhammad SAW

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      Swala tano ipo lakin??

  • @abubakarswaleh5667
    @abubakarswaleh5667 Před 10 měsíci

    Allah akuhifadhi Sheik Uthman kwa elimu hii, tumefaidika

  • @smallpoxdadon2127
    @smallpoxdadon2127 Před 8 lety +8

    kuna baadhi ya mashekhe kwao kilakitu bidaaa,zote chuki wanataka kukuharibia jina lkn kwa uwezo wa Allah Inshaalah utazidi kuwa juu kuliko mwanzo

    • @moHamedHassan-qy7pm
      @moHamedHassan-qy7pm Před 6 lety

      smallpox da don. ndugu yangu na kuusia soma dini yako vizuri Haya utayaelewa tu vizuri na haki IPO wazi utaiona

  • @abdulkadirhaji7671
    @abdulkadirhaji7671 Před 5 lety +3

    Nathani waislamu wezangu tusiwe na jazba wala tusigombane uislamu ni mmoja tu na muhamaad ni mjumbe wetu waislamu wote dunia lazima tuelewane waislamu tusigombane kwa suala LA maulid na mengineyo ucha mungu ndio muhimu zaid

  • @mrsking9570
    @mrsking9570 Před 2 lety

    Nilidhani nitasikia Sheikh akitoa hukumu kama kichwa cha mada ilivyo hudhurishwa Mash Allah nilichokisikia nitofauti namuomba Allah au hifadhi ulimi wako umetoa somo kubwa kwa mwenye kumpenda mtume Muhammad(s.a.w) na azingatie maulid c BIDAA

  • @mdkgmdfamily5063
    @mdkgmdfamily5063 Před 5 lety

    Kiboko yao ameshafariki almarhum Mohamed Bakari wa shamsi maarif Allah Amuhifadhi sheikh wetu aliesoma sanaaa na akatuelewesha vizuri swala LA maulidi kama anavyotufafanulia sheikh wetu Othman Maalim uko vizuri na Allah Azidi kukupa Afya na umri mrefu ili tujekusoma huko ulipo In Shaa Allah

  • @musaramadhani9884
    @musaramadhani9884 Před 2 lety

    Asalam alaikum shekh othumani maalimu mimi niko Nairobi katika maisha yako ujue kuna mtu anaitwa musa Ramadhani mngazija nakupenda sana shekh wangu kwa tz wewe kwakweli elimu yako iko juu sana na hekima

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 5 lety +1

    Shekh Othman uko vzr sana,mungu ndiye mjuzi zaid lkn si wanaadam,pia watu wajue kuwa kumtusi ulamaa ni sawa na kumtusi mtume s a w ,na kumtusi mtume s a w ,ni sawa na kumtusi Allah sw.lindeni ndimi zenu waislamu mjue mungu anawaona

  • @shikandamunyasia6950
    @shikandamunyasia6950 Před 7 lety +14

    sheikh Athman maalim wewe ni sheikh wangu tena napenda sana mawaidha yako ila kwa hili utanisamehe...

    • @salaamclinicoftraditionalm3641
      @salaamclinicoftraditionalm3641 Před 7 lety

      Mwambie Allaah akusamehe

    • @moHamedHassan-qy7pm
      @moHamedHassan-qy7pm Před 6 lety

      hili Suala halina mashiko hata kidogo na halikufanywa na mtume katika dini na siyo ktk mambo ya kidunia je aweza funga swaumu ya ramadhani mfungo sita kisha useme unamuenzi mtume?

    • @yussufaliosmanali304
      @yussufaliosmanali304 Před 6 lety

      Hata mimi pia

    • @fahmiiidrissa6120
      @fahmiiidrissa6120 Před 5 lety +1

      Co lazm kumfata jaman il wacha cc tufrah na tusome maulid

    • @omarbaruan2640
      @omarbaruan2640 Před 5 lety +2

      Ndugu Mukanda uko sawa! Sheikh Othman Maallm ni Sheikh mkubwa lakini ktk suala la Maulid kachemka! Ikiwa watu wa karibu sana na mtume kama Ally bin Abi Twaalib, Othman bin Affaan, Abuu Bakar Swidiiq na taabii na taabiin hawakufanya Maulid watu waliokuja baada ya hao wametoa wapi habari ya Maulid? Ushahidi wote aliotoa hauthibitishi uhalali wa Maulid!!! Ina maana Waislam wa leo wanaujua Uislam zaidi kuliko masahaba walioishi na Mtume Mohammad (SAW)?

  • @rufaydabaskut2230
    @rufaydabaskut2230 Před 7 lety +3

    Yarabb mpe umri mrefu wenye barka sheikh wetu uthman

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před 3 lety +1

    Swalu ala Muhammad, Allah maswaleh ala muhamad waali Muhammad( s.w.a)

  • @ahmadimambwe180
    @ahmadimambwe180 Před 8 lety +2

    Sheikh Othuman maalim Allah akujaze kher ameena, na akupe umuri mrefu isha-allah na akupe mwisho mwema

  • @hassankhamis7977
    @hassankhamis7977 Před 8 lety +5

    I love you 4reva sheikh othman maalim

  • @bakarimashi875
    @bakarimashi875 Před 5 lety +5

    Kama hukubaliani naasemacho shekh basi we baki kutokuamini lkn tusitumie maneno ambayo yatatupelekea kupata dhambi bila ya 7bu, tena mwengine hana amfikiacho chochote shekh othman lkn watoa maneno kama vile wamsemea mlevi asie na mana popote

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud8944 Před 4 lety +1

    Tumsifuni mtume tusichoke Allah anakubali kilakitu na nia yetu ndiodirayetu maadam tunafanya kwaajiliya Allah anakubali kilakitu na nia alllah atukubali inshallah

  • @cesarbukuru9915
    @cesarbukuru9915 Před 3 lety +1

    Cheikh nakukubali sana cheik wangu, ila cheikh mlango wa maulidi muutazame kwajicho la pili mana ni mlango wenye madhara makubwa katika dini.

  • @user-ij5oe2jp4u
    @user-ij5oe2jp4u Před 5 lety

    Mimi sioni makosa yoyote kwa sheikhe wetu........ Allah akubariki ..
    اللهم اهد المسلمين في أنحاء العالم .....

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 Před 5 lety

      Aa huoni ana makosa kumanisha mtume SAW ameish miaka 23 hajui kuna milad yake nahajakamlisha dini ndugu iko wazi alipanda juu yamlima mtume SAW akisema kabla hajfariki leo nimekamilisha dini leo tuko wapi almuhm nimekufikishia salam

  • @asafsulayman9375
    @asafsulayman9375 Před 5 lety +3

    Sheikh wetu Othman maalim, itak-Lah. Usifurahishe viongozi na watu kwa ujumla , Zaid angalia Sana utafakar usitumia lafzi yako mzuri kupotosha maksudi utakwenda jibu unakokwenda sio mbali, acha uzushi njoo katika Sunna. Wala usijisikie vibaya wala haya. Unajuwa makini maulidi sikatika mafundisha ya Mtume wetu. Acha uzushi fuata sunna wala usione hayya.

    • @mudynyika1116
      @mudynyika1116 Před 5 lety

      Wew una elimu kuliko yeye shekh

    • @Mandakaw2
      @Mandakaw2 Před 5 lety

      Toa Darsa yako na dalili zako

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 Před 5 lety

      Asaf nakupa pongez shekh huyu mzur lakin ameteleza hapa wajua maneno darham

    • @drimazonechoice9822
      @drimazonechoice9822 Před 5 lety

      Asaf sulayman wew unatak kusem aya na hadith anazo tusonea zinamfurahisha nan? Na je ni swahihi hizo hadith ama ni vp?uislam haukuja kwa rai ya mtu acha kuwakyfirisha watu una coment tu na wewe tupe elim

    • @amirikibamba5382
      @amirikibamba5382 Před 5 lety

      Kama we unjua zaid muache akaingie motoni

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 5 lety +3

    Asalam aleikum, kuna sheikh anaemfikia Sheikh Abdullah Saleh Farsy,ni mtu wa mwanzo aliyeutafsiri msahafu kwa kiswahili,na akatuasa makosa mengi yaliyokuwemo ndani ya kitabu cha maulidi ya barzanje,tena kwa ufupi aliyapinga,kwa haya maneno mazuri ya kupanga na kuvutia, hayatohalalisha barzanje, kwa kuwa kimeandikwa kiarabu,na yeye anajaribu kuleta ufasaha wa kiarabu kwa hawaa zake, mfano mdogo tu,maulamaa wa makkah muharram na madina munawari, hawakubaliani ma maulidi na ni marufuku,ni Bora kama ana ufahamu huo ,angekwenda huko kuwafundisha yale aliyoyaona yeye yanafaa,tuone itakuaje, lakini hilo hathubutu na wala hatothubutu,ataishia humu humu vijiweni,na yeye anajua hilo,huko ikiwa kiarabu basi huko atatolewa ngozi walizokuwa masahaba wa mtume wakiandika,asalam aleikum

    • @hassankuemya3613
      @hassankuemya3613 Před 4 lety

      Kama kigezo n makka hebu tuambie dua wanayopiga mwezi wa ramadhan chungu 27, kwenye taraweh wamepata wapi dalili

    • @rahmamusa9627
      @rahmamusa9627 Před 4 lety

      Mashallaha

  • @captain5290
    @captain5290 Před 7 lety +8

    Aa.. Maulid Yalifanywa Na Yatafanywa Na Yanafanywa.. Shukran

    • @wardalward3693
      @wardalward3693 Před 7 lety

      Kabisa

    • @moHamedHassan-qy7pm
      @moHamedHassan-qy7pm Před 6 lety +1

      ndugu yangu na kuusia soma dini yako vizuri Haya utayaelewa tuIPO wazi utaiona tu Kama ilivyo mtu aweza fuatia upande wapili kisha uswazishe haki utaiona tu

    • @Mandakaw2
      @Mandakaw2 Před 5 lety

      Na tutafanyaaaaa. Swallu 3alla Nabiiii

  • @mshakz6006
    @mshakz6006 Před 6 lety +5

    Kawaaida ya Wenye kuhalalisha maulidi mnapenda Kufanya taawil baadhi za aya Allah awaongoze

    • @fahmiiidrissa6120
      @fahmiiidrissa6120 Před 5 lety

      ali moalim taawil ni muh wew aya nyng bla taawil hutoki

    • @ramadhanijohoiddi2899
      @ramadhanijohoiddi2899 Před 5 lety

      Huyu ndio mana Allah amemtia pigo huyo amemtimua nchini kwetu bola akawaambie watu wa kwao mombasa

    • @fahmiiidrissa6120
      @fahmiiidrissa6120 Před 5 lety

      Ramadhani Joho yaan kuna watu mizigo kabisa hlo sio pigo kam unafkria wew kwan hujui mithan hupew san wanazuon hujui kuw wat mtume alipw mithan ndgu

    • @drimazonechoice9822
      @drimazonechoice9822 Před 5 lety

      ali moalim na wanao pinga hutumia aya na hadith au hutumia nini?

    • @majidsaid08
      @majidsaid08 Před 5 lety

      Wanaopinga mbona wafanya birthday za watoto wao?? Tena na manyimbo na mavazi machafu

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Aslm nimesoma maulidi alhamdulliha rabil alamin

  • @musaramadhani9884
    @musaramadhani9884 Před 2 lety

    Mungu akupe afya anjema.na waisilamu wote duniani tupendane

  • @sawikifadhili148
    @sawikifadhili148 Před 5 lety +2

    Kama watu wanapinga bad maulid. ..ni ukosefu wa elm shekhe umeongea kwa dalili zote mada umeweka wazi tumeelewa sana jazaka llaah khyra. Allah azidi kukuwepesishia uzid kutuelimisha inshallah

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 Před rokem +1

    Sasa leo kuna watu wanatupa vitabu vya maulid subhanallah

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 4 lety +1

    mashallah tabarak llah sauti yako inanifanya niendelee kusikiliza kwa makini zaidi m.mungu akuweke sheikh wetu OTHMAN Maalim

  • @shamiwitnessy4219
    @shamiwitnessy4219 Před 9 lety +28

    Sikupingi, ila mimi ni bora niachane na maulidi, nitamswalia mtume (s.a.w), bila ya kusoma maulid

    • @sonimurat
      @sonimurat Před 5 lety +1

      Ni sawa tu wauslaam msosoma maulidi ni waiislamu na wasomao pia sio makafiri, kwani kwa kumsifu mtume Mohammed salallah allahy wasalaam.pia sio vbaya

    • @abubakarmpole4000
      @abubakarmpole4000 Před 5 lety

      Mungu akupe mahaba y mtume s.a.w

    • @hamisiabubakari5650
      @hamisiabubakari5650 Před 5 lety

      Shami Witnessy kwani we nani kati watu bora anaowatambua mwenyez mungu hata mtaa wako naona hawakutambui

    • @rahimumandia1434
      @rahimumandia1434 Před 5 lety

      Kishik

    • @AbdullahAbdullah-ik7xv
      @AbdullahAbdullah-ik7xv Před 5 lety +1

      Kumsifu mtume si vibaya lakini kuna vitu vina katazwa ndio ina sababisha hili jambo linaleta utata. Tusipinge maulidi alafu kwenye harusi zetu tunaleta taarab hilo ndio jambo lakufanyia kazi ndipo turudi kwa maulidi

  • @amanichanzi3257
    @amanichanzi3257 Před 4 lety +3

    Allah akuongoze maana kama ndevu kwako ni uchafu ndiyo utapinga maulidi unaongea tu dalili zenyewe hamna kitu Siku ya kiama Kuna kazi kubwa

  • @rashidmkoga3053
    @rashidmkoga3053 Před 5 lety

    Asante sheikh Mungu Akujaalie umri mrefu uendelee kutufundisha

  • @wardalward3693
    @wardalward3693 Před 7 lety +5

    Shukran shekhe wetu maulidi yako na yatasomwa na yatasomwa wambiye hao

  • @torinomambo1212
    @torinomambo1212 Před 4 lety +4

    We need this to keep faith of God in our life

  • @fatmayusuph4295
    @fatmayusuph4295 Před 7 lety +2

    mashallah shekhe allah akuweke allah yaafiq Othman Maalim jazakallah kheir

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini4815 Před 5 lety +2

    Masha Allah kila la kheri Maalim Outhman nime faidika na kuelewa Allah akuzidishie ilmu yenye manufaa Allahumma ameen

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před rokem +1

    Aslm alkm ww..... Masha Allah 🌹❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Shukran sana sheikh, Jazakallah kheir 🙏♥️❤️❤️. Allah akulinde 🙏

  • @didahkassim5844
    @didahkassim5844 Před 10 lety +10

    Mashallah umenifurahisha USTADH mi napenda Sana mlango wa tatu

    • @sawikifadhili148
      @sawikifadhili148 Před 5 lety +1

      hahahaaaaa

    • @maukay9075
      @maukay9075 Před 5 lety

      mie ndo haswaa nimeukariri na tafsiri napenda maulid km jina langu

    • @jumangodu2402
      @jumangodu2402 Před 5 lety

      Wewe hujielewi angetakiwa akupe dalili ya maulidi
      Sasa hajatoa
      Uislaam ni dalili sio maneno ya mtu

    • @omypaxtore8740
      @omypaxtore8740 Před 3 lety

      @@jumangodu2402 Toa wewe dalili tuone usheikh wako ndugu dini sio kukaa kukaririshwa soma kwanza..

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 8 měsíci

      ​@@jumangodu2402ulivo tolewa dalili hukusikia ama ww ni yule Allah anasema una macho huoni na masikio husikii pole hasidi wa mtume

  • @haroububilally221
    @haroububilally221 Před 3 lety +1

    Leonatoasiriyanoyowangu yakwamba Nakupendasana sheikh othman maalim lillahi.

  • @Rabbihdini
    @Rabbihdini Před 13 lety +1

    mashaallah mungu akubarik shekhe ulie kubaliwa na mawahabi na wengineo ambae anatosha kuwa ni hojja kubwa kwa wa tz wote wanao pinga maulid kwamaana walikukubali sikuzote leo wame hakikisha kuwa ni mtu wa maulid wame kutowa katika alhidaayya yote ni chuki ..yuizzu man yashaau wa yudhillu man yashaaau..

    • @adamnayopa8660
      @adamnayopa8660 Před 5 lety

      Shekh nimekuelew vzr san

    • @issahabib6037
      @issahabib6037 Před 5 lety

      huyu ni mzushi tangia zamani nilikuwa nasema othumani ni MTU Wa bidaa

    • @maryamfum9974
      @maryamfum9974 Před 5 lety

      Jaman tusiwe na chuki za kijinga waislam sote tunatafta radhi za Allah anoona maul haram bas awe mstaarab kukoment ujinga

    • @user-rc8zi7oy9t
      @user-rc8zi7oy9t Před 5 lety

      Ibin kathiri ndio katunga maulid
      Ww kumbe waongea uongo na unawadhalilisha maulamaa walio mbali na fikra za bidaa ya maulid

    • @user-qt1uw1wc4i
      @user-qt1uw1wc4i Před 5 lety

      ManshaAllah

  • @rajabmasoudkhamis4572
    @rajabmasoudkhamis4572 Před 5 lety +4

    Juzi nilikwenda Paje Nimeshangazawa sana na mskiti ambao nilisali Ijumaa .
    Khutba yote ya ijumaa inasema kuwa Maulid ni kharam kubwa sana .
    Nilishangaa zaidi kuona maziko yao .
    Wakati wa kurudi huko mazikoni nilishangazwa zaidi kuona uchafu wa ulevi na zinaa ulivyoenea mabaa madanguro yaliyo zagaa mjini pao pote .
    Nimeshangaa tena kujuwa kuwa hawa walimu wameshindwa kukemea machafu haya na wengi wao wanategemea kipato chao kutokana na harakati hizo za watalii .

  • @khamisjuma2691
    @khamisjuma2691 Před 6 lety +2

    Sababu haya ni mazazi na kutaja mazazi si vibaya mungu ametaja mazazi ktk sura nyingi mfano suratul imran na suratul maryam si yamtume Muhammad lakini ya watu wema

  • @msfatma946
    @msfatma946 Před 5 lety +1

    Mashaallah mungu akuzidishie kher na barka in shaallah mungu akujaalie kila lakher in shaallah

  • @mustayoo
    @mustayoo Před 5 lety +1

    Sheikh ulipokua mahdi kisauni ulipinga maulidi.sasa uko zanziber wayaunga mkono sababu ya viongozi wa serikali unaogopa watakukanyagia maslahi yako.mche allah.

    • @bintshariffmuhammad620
      @bintshariffmuhammad620 Před 3 lety

      Sheikh ametoa dalili sawa sawa hakuna haramu kusoma maulid bali wenye kupina ni uhasidi na chuki

    • @bintshariffmuhammad620
      @bintshariffmuhammad620 Před 3 lety

      Allah amjajze kheri Athman Maalim ampe umri tuwil wenye swiha na amani

  • @aishayahya7687
    @aishayahya7687 Před 5 lety

    Nimekuelewa sana shekh wangu kwa hoja Allah akulipe na Allah nimjuz zaidi

  • @smz262
    @smz262 Před 10 lety +19

    Salaam aleikum ndugu zangu waislamu wote....
    Napenda tuwe na adabu kwa namna ya kuandika comment zetu......
    Sheikh Othman Maalim ni Sheikh sawasawa bila kumpinga kabisa..
    ama kuhusu mawlid ni Olamaa wamektalifiana bas, pia kila anachoongea sheikh Othman anakupa na sababu zake.

    • @muhammadkifakara2573
      @muhammadkifakara2573 Před 5 lety

      Wewe ndo uwe na adabu kuwakemea waliojuu y'ako kiufahamu bal wewe ni kibaraka tu jaahil murakabb

    • @hajijuma6986
      @hajijuma6986 Před 5 lety

      Mazoon Alriyadh Est.

    • @manitalyanimohamed8526
      @manitalyanimohamed8526 Před 5 lety

      Hino ndio shida ya wanao pinga hawana hikma ya kuwaeleza watu bila ya kukosowa watu kwa njia ya kukubalika,wewe kama hukubaliani nayo hiyo ni Haki yako na wanao soma wacha waendele kila mtu atakwenda peke yake.kila mukipinga ndio yanazidi mwenyezimungu atuongoze na atusameh

    • @amirikibamba5382
      @amirikibamba5382 Před 5 lety

      Swadakta

    • @sabringwal3079
      @sabringwal3079 Před 4 lety

      Anaepnga maulidi kma hayafai aache anaehic yanafaa aendelee kufata

  • @mrsmrshassan7473
    @mrsmrshassan7473 Před 8 lety +5

    ما شاءالله شكراً واااجد معليم . جزاكالله خيراً

  • @ahmadimambwe180
    @ahmadimambwe180 Před 8 lety +3

    jhazakallah khayra Sheikh othuman maalim

  • @bashirmrisho8491
    @bashirmrisho8491 Před rokem +1

    Rabi zidna elima waruzukuna afah'ma

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud8944 Před 4 lety +1

    Allah tusamehe makosayetu kama ulivowasamehe masahaba raziyallah anhu

  • @hassanal-husseiny9144
    @hassanal-husseiny9144 Před 4 lety +6

    الله يحفظك شيخنا ويرحم والديك بحق محمد وال محمد

    • @jumanasoro8903
      @jumanasoro8903 Před 4 lety

      Wewe hii dua gani
      Nani amekufundisha kuomba dua kwa haki ya mtume

  • @abdaladelo371
    @abdaladelo371 Před rokem

    Mashaallh barakallah nashukur saaaaaan shekhe wetu unatufunza mengi na kumucha Alla kutokana na mawaidha Yako na natamani saaaaaan kukuona laivu inshaallh taaala

  • @fredstarch5184
    @fredstarch5184 Před 3 lety

    Allah akubariki shekh wangu ktk maisha yako ya dunia na akhera inshaaalah

  • @burhanmuhammed2234
    @burhanmuhammed2234 Před 4 lety

    Hujatowa huja kufaa maulid

  • @wardalward3693
    @wardalward3693 Před 7 lety +2

    Shukraran shehk wetu mngu akupe umrimrefu

  • @nasrytwalib2778
    @nasrytwalib2778 Před 5 lety +1

    waislamu waliokamilika ki iiman hawawezi kukoment maneno kama haya

  • @mwajumafuadsaad5994
    @mwajumafuadsaad5994 Před rokem

    Shukran wape kweli allah akulinde

  • @ramadhanhaji6656
    @ramadhanhaji6656 Před 2 lety

    Ahsnte barska LWAAA Wafundishike tuliokua jayujui ili tupatr gafhila zs bwana MTIME SAW

  • @matanokarabu5580
    @matanokarabu5580 Před 3 lety

    MAASHAALAH ALLAH akubariki shekh letu kwa kuzidi kutuelimisha shukran jaazilan

  • @abdukherykhamis73
    @abdukherykhamis73 Před 6 lety +3

    mashallah ya shekh .jazaka wallah kheir

  • @fadhilyallyomarysangore9704

    Shekh maulid ni maneno y mungu kwail nisamee tu

  • @hamisihasani8457
    @hamisihasani8457 Před 5 lety +1

    kwahio shek kwamanenu yako hata wale wanaosema yesu nimungu wako sahihi maana nawenyewe niwengi wanafika asilimia 80

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 3 lety

    Shukrani Shekhe, kwa somo. Masha Allah

  • @user-tl2jz5wg2p
    @user-tl2jz5wg2p Před 5 lety

    Namchukia kwa ajili ya Allah na hawa inafaa kuwakufurisha kwasababu anajua maulidi haifai na analazimisha ifae

    • @abuahmad1206
      @abuahmad1206 Před 5 lety

      Mashekhe wako chini ya matajiri hawana dalili watak kuwardhisha matajir na wamwudh Allah na mtume SAW

    • @husseinzayumba3775
      @husseinzayumba3775 Před 4 lety

      Kasomen wazee acheni ligi

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor3507 Před 6 lety +3

    barakallah fiikum sheikh othman

  • @haroububilally221
    @haroububilally221 Před 3 lety

    Maashallah, hikma ndompango mzima allah amdumishe ktk kutufunzamengimazuri yatutatizayo.

  • @hajimkomwa2513
    @hajimkomwa2513 Před 5 lety

    Sio tu kuhusu Maulid pia nimejifunza na mengineyo mengi tu katika Mada hii.... Jazakallah

  • @maulidsalim6505
    @maulidsalim6505 Před 5 lety

    M/Mungu akupe kila la kheir, tunakusoma vizur.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 5 lety

    AsalamuAleykum. Mauridi ingelitaharika isipokuwa ni MUZIKI UCHEZAJI MAVAZI TABIA YA KIKAFIRI ndicho kitatuharibia maurid matendo yasiyofanana na UISLAM ama laa maurid yanasifia na kutukuza UISLAM. Bidaa ni namna ya utendaji wa wa maurid.sifa za Mtume zitukuzwe Amin🌙🌖🕋🕌

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 5 lety

    Mengi nakubaliana na wewe,lakini katika hili la maulidi,na hapa hawaa yako umezidiwa,hapa umemkiuka,mtume,maahaba zake matabiun nk,umeukamata barabara,ufuasi wa suufiya,qadirya,nashqband,ambao wao wamejiridhisha usharifu,kwa kukopi uhalul bayt wa kishia,kwa ufupi maulidi si ibada,na haijaamrishwa kufanya na mtume,masahaba,tabi na nk,na jambo kubwa kama hili ,lililowekewa ibada ya kila mwaka kuadhiniwa,ni mtihani.tumuombe Allah atulinde tusije tukatoka katika njia sahihi tukaiga kaumu zilizopita,kwa matamanio mafupi ya dunia hii.

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966

    Shukran wajazaka llahu heri

  • @matanokarabu5580
    @matanokarabu5580 Před 3 lety

    Tuelimishe shekh letu na ALLAH akubariki fiii dunia wal akhera

  • @fadhilirajabu1957
    @fadhilirajabu1957 Před 3 lety

    Shekh Allah akupe ujasil wa kuenderea kufanya daawa

  • @jumangodu2402
    @jumangodu2402 Před 3 lety +4

    Hiyo Aya unaeitegemea kuwa ni dalili ya Maulidi imeshuka kwa mtume na. maswahaba waliifanyia Kazi je walisherehekea hayo Maulidi?

  • @salaamclinicoftraditionalm3641

    Jazaaka LLAAHU Khayrah Shkh

    • @jamalimaulidi1394
      @jamalimaulidi1394 Před 4 lety

      mungu akujalie nakupenda sana ww nakuelewa sana huba zako

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 Před 5 lety +1

    wambie she hee wapingaji allah akupe umli mlefu wenye manfaa

  • @hassankurran6830
    @hassankurran6830 Před 5 lety

    Shekh Mtume alifunga hakucheza ngoma zile waislam wafunge.Hilo tu ndo ungelipaswa kusema wala usingeenda mbali.Na Allah siku ya kiama atahukumu hizi sintofahamu
    Allah ajua zaidi.Assalm alaikm.

  • @allybyarushengo5727
    @allybyarushengo5727 Před 5 lety +3

    Aww,wengi wiliopinga maulid wamepinga kibubusa hawana dalili yoyote ya kielimu, Mtume anasema watakuwepo watu watakaokuwa jirani sana na farqa kama vile mbwa anavyokuwa jirani na mwenye mbwa.Na tayari kundi hilo limeshadhihiri utaliona ktk mitandao likikazana kuyaita madhebu mengine kwa jina la Kafiri,Mtume anasema tahadharini na Farqa.Tahadharini na kundi hili tusipokuwa makini litasababisha vita kubwa sana ktk hii dunia,

    • @abdaladelo371
      @abdaladelo371 Před rokem

      Umesema kweli kabisa hawana dalili yeyote wenye kupinga maulid

  • @SeifSiwatu-ir7jz
    @SeifSiwatu-ir7jz Před rokem +1

    Huu ndio ubora wakuwa na watu wanaojuwa dini vizuri wasio juwa wajuwe sasa.

  • @shekhally5741
    @shekhally5741 Před 3 lety

    Allah akulipe kheri zote na akuongezee ktk elimu

  • @maheralmuayqily1900
    @maheralmuayqily1900 Před 7 lety +4

    ALLAHU Akbar me ckuwah kujua kuwa Akili yako Uthman Maalim Ni ndogo hvyo
    wallahi nakuombea Kwa Allahu akuongoze ktk Njia ya sawa Kisha Muogope Allah usighiribiwe na pesa za wahisani wako Makhulafi

    • @yaziduiddi481
      @yaziduiddi481 Před 6 lety

      ABDULHALIIM KHAMISI ww umesoma vitabu vyingapi mpaka sasa ambavyo mtume Mohammad( s w s) havijui wala maswahaba wala tabighina wala tabiwataghibina mfano vitabu vya Shekhe alban na anavyijua kati ya hao umma boro

    • @abdukherykhamis73
      @abdukherykhamis73 Před 6 lety

      wewe ndio pumbuani kabisa.shekh umenena yalio sahihi m/mungu akuzidishie na akupe umri wenye kheri na ww

    • @abdukherykhamis73
      @abdukherykhamis73 Před 6 lety

      inavyo onyesha ata mada hukuiyelewa

    • @salimzimbo6440
      @salimzimbo6440 Před 6 lety

      Ata you tube channel una unataka shindana na maalim othman ww

    • @muddathirkassim2407
      @muddathirkassim2407 Před 6 lety

      Tupe yako kubwa basii,wajua bidhaa wewe,

  • @abubakarmussa4190
    @abubakarmussa4190 Před 2 lety +1

    MAASHAALLAH , JAZAKALLAHU KHAIRAN .

  • @user-tt9wf8ti8m
    @user-tt9wf8ti8m Před 5 lety +3

    Safiiiiiiii maulidi oya eee eeeee eeeee eeeee eeeee mwenye wivu ajinge afe mawahabi shikamaoni munao yapinga maulidi

  • @fahmiabubakar5654
    @fahmiabubakar5654 Před 5 lety

    Sheikh mungu akupe umri mrefu uzidi kuwailimisha hao wanapinga Kwa chuki tu nawala sio Kwa dalili