'Fadhila zina wenyewe wazijuao fadhila, wala si mimi na wewe, twajikalia tukila' Fadhila zina watuwe, ukiwa huwezi kulipa, usile kitu cha mtu. Sijambo zuri kunyosha sana mkono. Fadhila zina wingi wa hatari na udhia mwingi mno -wakati wa malipano' Maneno kuntu!
'Fadhila zina wenyewe wazijuao fadhila, wala si mimi na wewe, twajikalia tukila' Fadhila zina watuwe, ukiwa huwezi kulipa, usile kitu cha mtu. Sijambo zuri kunyosha sana mkono. Fadhila zina wingi wa hatari na udhia mwingi mno -wakati wa malipano' Maneno kuntu!
wooow wallah laadhim nyimbo ni hiz zilizopendwa
Kenya
Nakwambiaaa weee3
Hapo ni kweli fadhila ni kama kukopa ujuwe kuna kulipa
Fadhila zina wenyewe wazijuao fadhila!!
Bakari ndilo,kweli zina watuwe wajuao maana ya fadhila
santaaa mjomba,fadhila zina watuwe
😂joka,❤boy3,🎉
Hoyaaaaaaaaaaaaa... ama kweli fadhila ni kidonda ki so konda
Santa Mjomba wa kwetu mnyika imbaaaaa hai we😘👌👌
Mambo nikama hayo ,ila kwa asiejua mana usimpe maana👍
sina usemi babu wanitamanisha nyumbani ...fadhila jamani
Khadija Wendo Mwachirenje .....usijali
Uko wapi kwani utamaniye ...nyumani
Nikwe fadhila zina wenyewe wazijuwao ckuizi mtu mtendee jema yuwakulipa makruu
baba peke take ndio pwani hiyo mfadhila
Fadhila kwa Muungwana.
Kabsaaaa
Awesome
swadakta babu fadhila zinawatuwe
Wanikumbusha mbali wallah......pale muembe fujo kd
Hongera babu 1999 kwetu apo
Kweli kabisa mjomba
babu hoyeeeeee
Asantaaa maulid imeweza
Mambo
Hapo kweli
fadhila zina wenyewe wazijuao fadhila...kiwa huwezi kulipa usile kitu cha mtu......nimekumbuka gan'da kwetuuu jamani mjomba
Fadhila zinawenyewe waziwao fadhila na wala cyo Mimi na wewe twajikalia tukila.
Elewa c jambo zuri kunyoosha sana mkono fadhila zina hatari na uzia mno. kisha waja tayari wakati wa malipano.
Ndani SAUDI ARABIAN
fadhila zina watue
Kheluwaaah
mamee mii kwa mkomaaa
Nikweli..j
Zilipendwa.kweli.wanipunga.sana.wataiga.hawawezi.hapa
kweli
true
chenye thamani ya laki waja kitoa rahisi
Iwapi tena dunia hio Mjomba Maulidi..?
Black&White fathila jambo la thiki na moyoni wasiwasi kwa misong hii watatubu sanaaaaaaaaaaaa
Juma balo
best
Haloooooo
safi
Elewa sijambo zuri.kunyoosha sana mkono
Usiniambie si kitu
Fadhila jambo la dhiki na moyoni wasi wasi..Chenye thamani ya laki wajakitowa rahisi....Kweli kabisaa
kitu chenye thamani ya laki,waja kitoa rahisi
Maneno kuntuu