Yes tena achukuwe shows hata za laki 5 ilimradi apate shows asijefanya upumbavu kama wa ibraah maana naskia alipata shows mwanzo mwanzo alipoanza mziki lkn harmonize akitaka milioni 10 kama wanavofanya wcb so sasa hivi ni tabu hata za milioni 5, lkn jay melody marioo wakipokea icho icho kidogo ilimradi wawe kwenye system ya kubokiwa na mapromota.
Vanilla anajua kupita kiasi, full package 📦 tunamuona mbali sana, yani wakati anaimba namuona hapo bro sky anasinzia kwa utamu wa sauti yake🤣🤣🤣🤣🤣 yani huchoki kumsikiliza, cant wait watoe nyimbo na tommy flavor itakua hatari na nusu
Daaah hiyo nyimbo uliyoimalizia imenitoa machozi sababu umepita mlemle kwenye maisha yangu yamenikuta nayajua mapenzi na sijawahi kunyamaza kabisa kila nikimkumbuka mama watoto daah 😭😭😭😭😭 Popote uliponnakutakia maisha mema mke wangu,mpe madikodiko jamaa lakini nachoomba walee watoto wetu ktk hofu ya mungu,ni hayoo tu🙏😢
uyoo dogo anajua sana sio pow promo tu alikiba amfanyie promo zaid na zaid,mana diamond wasaaani wake uwaga anamwaga sana hela kuhakikisha saut ya wasanii wake inasambaa hewani muda wote kwa siku unasikia nyimbo zao ata mara nne kila redio yuko mbali namuona mbali kijana anajua mziki wenye ladha yakipekeee
Vanillah anajua kimba King's music hote wanajua kuimba tatizo alikiba anawabana sana awatoi iyo ndo shida
Nasubiri collabo yake na kiba…..this boy his very good…..tanzania like zenu please…..ata South Africa 🇿🇦 chizi ni no5 on treading
Ukiwa genius hutumii nguvu kubwa kama huyu jamaa
Jamaa anajuwa kuimba,kutunga Melody,kutunga mashairi,inshort yuko full package,atasumbuwa sana sana
Noma sana jamaa ana kipaji kikubwa san
Kaka yogo ubarikiwe sana producer wangu kwa kumpeleka vanillah kwa Alikiba na sasa tunaenjoy mziki mzuri na tulivu .
Yani wee ni kichwa usilegeze kamba hata kidogo unaonekana mbali Sana♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Yes tena achukuwe shows hata za laki 5 ilimradi apate shows asijefanya upumbavu kama wa ibraah maana naskia alipata shows mwanzo mwanzo alipoanza mziki lkn harmonize akitaka milioni 10 kama wanavofanya wcb so sasa hivi ni tabu hata za milioni 5, lkn jay melody marioo wakipokea icho icho kidogo ilimradi wawe kwenye system ya kubokiwa na mapromota.
Tunamkubali sana @Vannilah kama chocolate vilee apo Kwa Kings Music Label wamepata NDUME
Hapa kings music wajipange sna labda kiba abanie
Vanillah unajuwa unajuwa tena 💥💥💥💣💣💣🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Mwamba kaza unajiamini unaweza umekubalika waooooo mwamba pambana sana .
Ndo mana baraka hampendi alikiba uyu dogo hatali🤣🤣🤣🔥🔥
Kweli brow
Kama wazolako tumeedana mzee mwezangu
Kweli
Kumbe 🤣🤣🤣
Kwani yeye Baraka dar prince si msanii basi afanye afike level ya King.
Sky kama Sky kwako kweli ni limit... Jamaa sio mwandishi ni muziki kabisa.😊
Safi sana bro
Studio nzuli sana na Alikiba
Ni mwimbaji mzuri sana
Sanaaaaaa tu
@@rehemaothman2475 Atasumbua sanaa
Mwamba hii nilikua sijui kuwa umeandika wewe hii ngoma dah umetisha pia sisi wana mwanza tupo pamoja kaka vannilla
DAH.. JAMAA KATISHA SANA SANA SANA....
Fantastic......BUNDALA BIG MAN.
mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman Muscat 🇴🇲 sauti yake nzuri kweli hongera sana kweli My bro
Tupo wengi Oman🙌
Bro upo vizuri always I know u hukoseagi.
Kings music for life
Vanilla anajua kupita kiasi, full package 📦 tunamuona mbali sana, yani wakati anaimba namuona hapo bro sky anasinzia kwa utamu wa sauti yake🤣🤣🤣🤣🤣 yani huchoki kumsikiliza, cant wait watoe nyimbo na tommy flavor itakua hatari na nusu
Bravooo!!! So gifted & talented!! No need filter!!🇱🇷🇱🇷🇹🇿🇹🇿
Jembe vanilla kapikika😂 king misic big up
Msianze kusema kapikwa na alikiba hapa ametoka huko na kipaji chake Ali ka msaini tu
Jamaa anajua mpaka ana kera
Wa bongo amuweni Huyu dogo afike kwenye level za wakina Mario maana anajua sana
MASHAALLAH UYU KAKA NAJUSA SANA🙏❤ALLAH AKUZDSHIE KIPAJI CHKO🙏🙏AKULINDE LA KILA LA SHARI🙏🙏ALLAH AKUFNGULIE RIZKI ZAKO🙏🙏🙏
Nimeona kwanini Barakah hampendi king 🤣🤣🤣 vanillah ni noma 🔥🔥🔥
Master wa live huyo apo ss 🙌🙌🙌
Yaani mpaka natamani interview isiishe...#Vanilla Music #Vanilla Taste.
Vanillah wa Moto sanaaa ya dah , video toa za nyimbo zote maana hakuna nyimbo mbovu zote Kali sana
heeee vanilla wanakuona majambazi wa kike waliokuwa single kwenye muziki wa bongo wapo wengi
@@lgdnce8309 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💯
New Young king 🤴
Waje waige sauti pure hapa bila auto tune wala computer. Kijana anajua mpaka basi 🔥 🔥
Jamaa kaimba kaimba kaimba
Dogo nouma sana, ata Msumbiji anagonga
Baraka wapi tuna enjoy huku na vanilla
Vanillah ndo abari ya mjini.... #Unanisitiri 🔥
Vanillah unaweza sana big up 🔥🔥🔥
Vanillah Music
Never disappoint 🔥👂 SIKIENI
Huyu mwamba namjua sana
Daaah hiyo nyimbo uliyoimalizia imenitoa machozi sababu umepita mlemle kwenye maisha yangu yamenikuta nayajua mapenzi na sijawahi kunyamaza kabisa kila nikimkumbuka mama watoto daah 😭😭😭😭😭 Popote uliponnakutakia maisha mema mke wangu,mpe madikodiko jamaa lakini nachoomba walee watoto wetu ktk hofu ya mungu,ni hayoo tu🙏😢
mmmh!! pole sana😒😒
Vanilla music unaJua brooh hii Ep Yako Unanisitiri na nilimpenda sana umeua broh 🔥🔥
Hyu dogo ana ujua mziki mno, inabidi afikishwe sehemu
Muandishi mzuri lkn hiyo track hakuna mtu atapita nayo perfect zaidi ya Ali, 😀😀 I swear to God!
Kweli kbs
Au vp Justin
I can’t get enough of his touching songs his music will forever live ♥️
Jamaaa anajua sana hadi anaboa karibu sn nyumbani
Live yake noma sana 🔥
Jamaa ana weza sana hongera kwake
Huyu jamaa nimkali #alikiba ajivunie sana na amlinde anajua #rehaaaaa
Hatari Sana Vanillah
Ulicho kipata ni zaidi ya bahati shukuru kila ukipata fursa
Pia Napenda anajua kujieleza
Big Talent 🎸🎻🙌💎
Jamaal anakera kwa kujua sana
Nyoko yeye
The guy is so polite,keen and humble,zaidi ya yote Mungu amuongoze
Akifanikiwa ata vimba..kama harmonize
Full talent boy
Anajua sio kubahatisha
Kingsmusc
Jamaa ni talented kubwa🎶🙌
Jamaa anatalent
Talented. Mungu aimulike njia yako bro!
Jamaaa anajua sanaaaaa
Karibu ufalmeni
*vanillah ni full package 🔥🔥🔥🔥*
This guy is baraka da prince's replacement asilimia mia , u gonna tell me!
Baraka agusi hata kidogo hapa labda ufunzwe Tena Na uyu jamaa
Dogo anajuwa sana 🔥🙌🏽
Jamaa anajua hadi anajua zaidi
Unajua Sana Vanilla 👏👏👏
Karibu king Kwetu ni dhamu ndo jambo la kwanza umechaguo sehemu sahihi chuo Cha mziki ni kong
Amefunzwa nani pale king na amepata tuzo gani ktk raman ya Muzik
😂😂😂😇😇
Jamaa nomaaa 👏👏👏
Good voice Bro🇰🇪🇰🇪
Full package 📦 🔥
Nilimpenda sana video 🔥🔥
Unaweza sana
Ila ungeimba wewe ungekuwa mbaya tu king is king
Aisee dogo noma sanaa🔥
"Na nilimpenda sana,mbona ameniacha naumwa...?"
"Na nilimpenda sana,mbona amenikana...?"
Mapenzi Shikamoo...#VanillaTaste.
Kings👑 Music for every body
uyoo dogo anajua sana sio pow promo tu alikiba amfanyie promo zaid na zaid,mana diamond wasaaani wake uwaga anamwaga sana hela kuhakikisha saut ya wasanii wake inasambaa hewani muda wote kwa siku unasikia nyimbo zao ata mara nne kila redio yuko mbali namuona mbali kijana anajua mziki wenye ladha yakipekeee
jama anajuwa sana
Muamba yuko vizur
Skywalker...💪💪
Enzi hizo upo RFA ulitisha sanaaa
🙌🙌🙌 anajua kikubwa awe na uvumilivu pia heshima ni muhimu Xana
his sound like baraka prince
Uyu mchizi anajua kinoma noma
Jamaa ako sawa......
🔥🔥
Congratulations🎉🎉🎉🎉
Noma sanaaa
Anajua sanaaa
Big up bro vanillah 🇨🇩♥️
That's beautiful!
Jamaa mkali vanilla ndio mn cheusi mangala baraka anamchukia kiba coz kings wamemchukua kichwaa anahofia cheusimangala
Atumi nguvu but I can feel it ♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥
Ndy maana ya mzki mzur yan hauimizwi kupenda yan
kings music umewahi ona wanatumia nguvu
@@allanizoo1678 kwakweli ♥️♥️♥️👏
Very talented vanilah🇲🇿🇲🇿
Mkali sana🔥🔥🔥🔥
So humble this guy
Alikiba anafaa kuwa jaji mkuu bss anajuwa kusaka vipaji vya kweli na sio vipaji vya mchongo kama hamisi
Bss ukiimba hivi kwisha habari yako 😂..... ila jamaa yuko vzr
Jamaa anajuwa kabisa
Jamaa ana kipaj sana
Wooow vannillah Ni yye