MAAJABU YA MMEA WA MNYONYO ,MBEGU ZAKE PAMOJA NA MIZIZI YAKE KIAFYA.
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Mbarika ama nyonyo inatoa mbegu zijulikanazo kama (castor seeds) ni mbegu za daikotiledoni ambazo zipo katika kundi la mbegu zitoazo mafuta, kundi moja na mbono kaburi (jatropha). Mmea wa nyonyo kitaalamu hujulikana kama 'ricinus communis'. #morningstarchannel #Echostv#afya #mbegu za nyonyo#afya na kiasi#makalazampagaze
Mizizi unatumiaje kutibu koo
Dah Asante uendelee kutupa. Elim
Mizizi ya Munyonyo hutumikaje kutibu mafindofindo
Ni kweli nimetumia mafuta ya mnyonyo na yameni saidia.
Kwa kuzuia mimba hizo mbegu zatumiwaje?
Ivi,kweli,jamani,upati,mimba
Sijawahi kutumia katika kuzuia mimba ilaa kulingana na wengi wanasema inazuia mimba
Mbegu.za.mnyonyo mjamzito ikitumia anaweza kutoa mimba???
Naomba maelezo jinsi ya kutumia mwenye VVU
Asntee sanaaa jamani
Mimi nilitumia mnyonyo naka acha sasa sijapata mimba nifanyeje
Mzunguko wakoo wa hedhi uko sawa?
Ulitumia mbegu nyinyi kama ulimeza mbeku 4.ujue utakaa mwaka mzima bila kumpata mimba. Mbegu moja ukiimeza itakaa siku tisini. Biga hesabu ulimeza ngapi
Unaweza kutusaidia uliitumia vp?
Asante
Naomba maelezo jinsi ya kutumia kwa ajili ya kisonono
Ng'0a mizizi chemsha kunywa asubuh kikombe na jion siku 7
Nitumije mafuta ya mnyonyo kwa kupanga uzazi
Unawezaje kutumia mbegu za mnyonyo kama panga uzazi?
❤❤
Aya,saws,mana,nilitaka,kujua,
Za saa iz je nafanyaj majan ya myony kweny maumiv ya mkon na mg
Tumia majani ya mnyonyo kwa kufungia sehemu inayouma
Naimba maelezo jinsi ya kufumua nwenye VVU
Hello,Kama hevi kapotea mapama kafanga Nini?
Hello @estherwaringer4664
Ninaomba kufahamu matumiz ya miziz yake
Mizizi yake ni dawa pia ya mafindo findo ,kuungua ,macho ya njano ,uvimbe ,Koo,kisonono na kaswende .
@@faithuponline6790mambo nauliza mafindo findo ni Kama matezi matezi ,au uvimbe Kama jipu lilio ndani?
Unatumiaje. Mm ninatatizo.la.uvimbe kwenye koo @@faithuponline6790
Ji nawezakunywa yakanisaidia kwenye kukausha uvimbe kwenyekoo na makwapani?
Mbegu zake zinasaidia nn
🌹🌹
Akante saana umenifanya nijue tiba nzur
@@dianampemba3874 shukurani Diana
jaman mbona wame sema kwamba. ukiwa kwenye siku zako unakunywa kipunje kimoja kimoja kila unapo kua kwenye siku zako ili uwe kwenye uzazi wa mpango naomba nieleweshe mana sielewi da. unakula mafuta unafanyeje dada ili yawe mafuta au wanauza madukanii
Dokta naomba ushauri mana nimetumia mbegu za mnyonyo ili kuzuia mimba , lkn leo ni siku ya pili nimepitiliza siku zangu je mbegu zinazuia hedhi,? Na nikipima sina mimba et tatizo nn?
Mafuta yamnyonyo utumika kwakutengeneza mafut unachukua mbengu akikisha umemenya umepat ile mbegu yandan kisha zikaange kama kalang kisha zitwange nakinu au ziaag na blend alaf weka maji kidogo alaf utenge kwenye jiko moto uwe mdog mdog ed maji yakauke juu yatabak mafut juu unayatia kweny kichup
Mafuta ya mnyunyu nitaipata wapi
Njoo tanga