MAAJABU YA MMEA WA MNYONYO ,MBEGU ZAKE PAMOJA NA MIZIZI YAKE KIAFYA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Mbarika ama nyonyo inatoa mbegu zijulikanazo kama (castor seeds) ni mbegu za daikotiledoni ambazo zipo katika kundi la mbegu zitoazo mafuta, kundi moja na mbono kaburi (jatropha). Mmea wa nyonyo kitaalamu hujulikana kama 'ricinus communis'. #morningstarchannel #Echostv#afya #mbegu za nyonyo#afya na kiasi#makalazampagaze

Komentáře • 41

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 13 dny +2

    Mizizi unatumiaje kutibu koo

  • @RevalationRevalation
    @RevalationRevalation Před 9 měsíci +1

    Dah Asante uendelee kutupa. Elim

  • @MATHAYOMUHULU-jt9sq
    @MATHAYOMUHULU-jt9sq Před měsícem +2

    Mizizi ya Munyonyo hutumikaje kutibu mafindofindo

  • @hassanlewa5317
    @hassanlewa5317 Před 10 měsíci +3

    Ni kweli nimetumia mafuta ya mnyonyo na yameni saidia.

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Před 13 dny +2

    Kwa kuzuia mimba hizo mbegu zatumiwaje?

  • @JamesMushi-n6x
    @JamesMushi-n6x Před 2 měsíci +3

    Ivi,kweli,jamani,upati,mimba

    • @faithuponline6790
      @faithuponline6790  Před 2 měsíci

      Sijawahi kutumia katika kuzuia mimba ilaa kulingana na wengi wanasema inazuia mimba

  • @VailethPallangyo
    @VailethPallangyo Před měsícem +2

    Mbegu.za.mnyonyo mjamzito ikitumia anaweza kutoa mimba???

  • @kofisaidi3756
    @kofisaidi3756 Před rokem +4

    Naomba maelezo jinsi ya kutumia mwenye VVU

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Před 10 měsíci +2

    Asntee sanaaa jamani

  • @StellaGilman
    @StellaGilman Před 3 měsíci +3

    Mimi nilitumia mnyonyo naka acha sasa sijapata mimba nifanyeje

    • @faithuponline6790
      @faithuponline6790  Před 2 měsíci

      Mzunguko wakoo wa hedhi uko sawa?

    • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
      @EmmanuelNyinyigwa-m1o Před 18 dny

      Ulitumia mbegu nyinyi kama ulimeza mbeku 4.ujue utakaa mwaka mzima bila kumpata mimba. Mbegu moja ukiimeza itakaa siku tisini. Biga hesabu ulimeza ngapi

    • @asharashid1680
      @asharashid1680 Před 9 dny

      Unaweza kutusaidia uliitumia vp?

  • @BenemweteAmisi-li1wb
    @BenemweteAmisi-li1wb Před 10 měsíci +1

    Asante

  • @ericoapex1815
    @ericoapex1815 Před rokem +3

    Naomba maelezo jinsi ya kutumia kwa ajili ya kisonono

    • @user-zz5ng1yb8d
      @user-zz5ng1yb8d Před 6 měsíci

      Ng'0a mizizi chemsha kunywa asubuh kikombe na jion siku 7

  • @user-vq1up5lv7u
    @user-vq1up5lv7u Před 6 měsíci +1

    Nitumije mafuta ya mnyonyo kwa kupanga uzazi

  • @HelenaRobert-oe6nu
    @HelenaRobert-oe6nu Před 6 měsíci +1

    Unawezaje kutumia mbegu za mnyonyo kama panga uzazi?

  • @user-vp7yj7el1m
    @user-vp7yj7el1m Před 10 měsíci +1

    ❤❤

  • @JamesMushi-n6x
    @JamesMushi-n6x Před 2 měsíci +1

    Aya,saws,mana,nilitaka,kujua,

  • @fatukhamis
    @fatukhamis Před měsícem +1

    Za saa iz je nafanyaj majan ya myony kweny maumiv ya mkon na mg

  • @kofisaidi3756
    @kofisaidi3756 Před rokem +2

    Naimba maelezo jinsi ya kufumua nwenye VVU

  • @estherwaringer4664
    @estherwaringer4664 Před 6 měsíci +1

    Hello,Kama hevi kapotea mapama kafanga Nini?

  • @user-wx4gf4dv5c
    @user-wx4gf4dv5c Před rokem +3

    Ninaomba kufahamu matumiz ya miziz yake

    • @faithuponline6790
      @faithuponline6790  Před rokem

      Mizizi yake ni dawa pia ya mafindo findo ,kuungua ,macho ya njano ,uvimbe ,Koo,kisonono na kaswende .

    • @savageswa6844
      @savageswa6844 Před 10 měsíci

      ​@@faithuponline6790mambo nauliza mafindo findo ni Kama matezi matezi ,au uvimbe Kama jipu lilio ndani?

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 13 dny

      Unatumiaje. Mm ninatatizo.la.uvimbe kwenye koo ​@@faithuponline6790

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 13 dny

      Ji nawezakunywa yakanisaidia kwenye kukausha uvimbe kwenyekoo na makwapani?

  • @lydiajonathan3544
    @lydiajonathan3544 Před 8 měsíci

    Mbegu zake zinasaidia nn

  • @faithuponline6790
    @faithuponline6790  Před 2 lety +1

    🌹🌹

    • @dianampemba3874
      @dianampemba3874 Před 2 lety +1

      Akante saana umenifanya nijue tiba nzur

    • @faithuponline6790
      @faithuponline6790  Před 2 lety +1

      @@dianampemba3874 shukurani Diana

    • @rosemarykaduma4246
      @rosemarykaduma4246 Před rokem +1

      jaman mbona wame sema kwamba. ukiwa kwenye siku zako unakunywa kipunje kimoja kimoja kila unapo kua kwenye siku zako ili uwe kwenye uzazi wa mpango naomba nieleweshe mana sielewi da. unakula mafuta unafanyeje dada ili yawe mafuta au wanauza madukanii

    • @ModesKazimil
      @ModesKazimil Před 5 měsíci +1

      Dokta naomba ushauri mana nimetumia mbegu za mnyonyo ili kuzuia mimba , lkn leo ni siku ya pili nimepitiliza siku zangu je mbegu zinazuia hedhi,? Na nikipima sina mimba et tatizo nn?

    • @sukhairamlisho
      @sukhairamlisho Před 2 měsíci +2

      Mafuta yamnyonyo utumika kwakutengeneza mafut unachukua mbengu akikisha umemenya umepat ile mbegu yandan kisha zikaange kama kalang kisha zitwange nakinu au ziaag na blend alaf weka maji kidogo alaf utenge kwenye jiko moto uwe mdog mdog ed maji yakauke juu yatabak mafut juu unayatia kweny kichup

  • @Nabatabita6873
    @Nabatabita6873 Před 7 měsíci

    Mafuta ya mnyunyu nitaipata wapi