Video není dostupné.
Omlouváme se.
Diamond Platnumz - Yatapita (Official Lyric Audio)
Vložit
- čas přidán 19. 01. 2023
- Download Yatapita Song👇👇👇
dplatnumz.lnk.to/yatapita
Diamond Platnumz Booking Info:
Email:bookplatnumz@gmail.com | sallam.sharaff@gmail.com
Catch Up With Diamond Platnumz On:
Instagram: / diamondplatnumz
Facebook: / diamondplatnumz255
Twitter: / diamondplatnumz
#Diamondplatnumz #wasafi #music
Kama umerudia wimbo huu zaidi ya mara 2 gonga like tujuane 🇹🇿✌✌✌
Achatu
Atari
Tujuane😁
Mara zaidi ya ishirini ndugu yangu
Mara kadhaa from +254
MBONA MIMI HATA NIKIWA WAKWANZA KWENYE NGOMA ZA SIMBA HAMNIPI LIKE ZANGU NIPENI LIKE JAMANI LEO BAS😭😭😭😭
Guh czcams.com/video/HLqvhu8vj98/video.html
🤣
Leo umepata🤗yamepita ☺️☺️
🔥🔥🔥
❤❤❤
this boy is hardworking, kama ulikuwa unangoja hili ngoma liwe no. 1 trending piga like...we kenyans loves u TZ🥰🥰🥰
Yeah yatapita magumu yote tuliyepita mu 2022 atakwisha mu hii 2023 Lord knows ,🙏🙏🙏🙏😭😭😭 amen love this song from 🇧🇮🇧🇮
YATAPITA🔥......Kama unaamini hakuna Gumu utaishi nalo milele! Gonga Like.
Hakuna magumu yasiyoisha believe in GOD
czcams.com/video/WGFCJQPFXFI/video.html tazama maisha magumu wanayoyapitia familia hii wape neno la faraja
czcams.com/video/WGFCJQPFXFI/video.html tazama maisha magumu wanayoyapitia familia hii wape neno la faraja
czcams.com/video/WGFCJQPFXFI/video.html tazama maisha magumu wanayoyapitia familia hii wape neno la faraja
czcams.com/video/WGFCJQPFXFI/video.html tazama maisha magumu wanayoyapitia familia hii wape neno la faraja
Dah hii nyimbo nime isikiliza 8:30pm nikiwa nimelowa na mvua pandeza Dodoma nkuhungu naombeni like japo 10 tu kwa mziki mzuli🦁 je wewe umesikiliza ukiwa wapi?
Aisee nyimbo tamu
Chuga
😂😂😂😂😂😂
Nkuhungu au sio
Homeboy❤✊
On behalf of the Zimbabweans we approve that Diamond platnumz will always drops hits 🔥 🔥
Hii ndio Nyimbo Nzuri umetuletea since 2019💪🇰🇪🇹🇿nipee likes za hii Nyimbo
Sawa yatapita ,Ila mupitie hapa na likes za Mondi..... Burundi 🇧🇮 in the house
I heard 🙉,,,he's the African Michael Jackson🤝
Pure love for you Diamond 💎 Platnumz 🤘😍.
A die hard fan of yours KING KEIZY
@@KingKeizy
Noma zaidi broooh
❤💋
Vil czcams.com/video/HLqvhu8vj98/video.html
Vip uko Wana ugonga 🤔
Sina mpenzi ila uhu wimbo unanitiya nguvu kipekee, mind bora kwa wakati ngumu ninao pitiya , big up simba 😊 , YATAPITA .
pooole yatapita
iko poah sanaa
True
Napenda sana wale wanapenda diamond show love kwangu
Wakwanza hapa leteni likes,, tulitamani sana nyimbo aina hii au vipi ,, Diamond mkali sana🦁🦁🦁🦁
Diamond:::Asante Sana🤝
Diamond ako juu sana ako viwango vingine walai
Watanzania Wote Likes Zenu Hapa Tuwaoneshe Wakenya Kuwa Diamond Ni Noma 🔥
Twajua hamtupendi.. ila sisi tunawapend sana hakika.. wala msijipe tabu na sisi.. ila ipo siku mtatuthamini mlio tudharau🙏
Gyy czcams.com/video/HLqvhu8vj98/video.html
Acha umama Nani....
Acha ubinafsi mshamba wewe
@Director shasinbu sema na kingeleza sasa 😂😂😂 tukuogope 🙄🙄
Yatapita kwel 😭🤝🏻🙏🏻...Nice song🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 🔥
Nikisikiza iii wimbo naamka ,,,nakujiabia I will never give up
Wimbo unaoishi daima its true say walah naenjoy najifunza nafarijika pitia wimbo huu Jah bless you Mond🕊
Huyu ndio diamond tunaye mjua SS 🌹Amini huu wimbo utaishi miaka mingi Asante Kwa wimbo wa mzuri Simba's🇰🇪
Simba ana kauli moja anakwamby huu ni muda wa kuwapa mashabiki zang kitu cha uhakika,au huu muda ni wa sankatumela😂😂
@@johnhanga7583 😁😁😁Anaenda na trending huyu MTU 🙌
Imeweza aki❤️❤️❤️
Mzuqaa tamu sana huu Simbaa baba 🔥🔥🔥🔥🔥
Nilikua Na isubiri Na hamu hii.
Iyani umetuchelewesha kidogo mzee baba
Big up Simba 🦁
Nyimbo yetu ya ma hustler…Asante Mondi🤜🏼
Yatapita Yana mwisho inshallah,inallah maswabilina ❤
My mentor imefanya tena ile kitu💥💥💥
KAMA UNAAMINI IPO SIKU MAMBO YATANYOOKA GONGA LIKE kwa ishara Ya Upendo ❤ #Yatapita🔥
❤
Gth czcams.com/video/HLqvhu8vj98/video.html
Amiin
@@hashimmakungu1947 kml
Yatapita
Diamond Platnumz akiamua kutulia na Kutunga wimbo lazima ukubali. Hii ngoma yake mpya inayoitwa “Yatapita” ni Bonge moja la nyimbo. Diamond katulia, katunga mashahiri hatari, halafu kaimba kwa hisia kweli kweli. Huu wimbo unatukumbusha yule Diamond wa 2010, 2011 huko. 🔥 🦁
Hizi hazimfikishi popote anafanya Kwa ajili yetu tu wabongo ila msimlazimishe aandike mashairi
@@malianonicass7029 kweli wanamlazimisha sana .na kumshindanisha na watu waajabu
Either wewe au Ayubu Madenge kamcopy mwenzake🤣🤣
Ndugu Abdul kwema? Ayubu Madenge hapa
Simba sana 🇹🇿🇹🇿🇿🇲
Nimeielewa sana hii Ngoma big up sana Simba mungu akupe maisha marefu.
daaah !hii ngoma bhana ukiisikiliza unaweza sema labda umeimbiwa ww maana changamoto tunazopitia 🙏🙏
Diamond Platinumz oyeeeeee! Shabiki w dhati kutoka Rwanda 🇷🇼. Kwa kweli wewe mwanamziki, mwenye kipaja cha ajabu ambacho kinaishitua mioyo ya wengi. Kuimba kwako si vitu unavyotafutatafuta bali ulizaliwa kwa lengo hilo. Endele kuwa mwanga wa Africa na Dunia nzima. Tunakupenda sana.
Goma La Kwenda
Ahsante kwa niamba ya Mwanamziki Wetu Daimond platinum Simba #KakaAlexis Mazimpaka Wa Rwanda Tunakupenda pia.
Pamoja sana
czcams.com/video/goIH8wTxYts/video.html
Naomba uusikilize hii kitu hakika autojutia
Huu ndio wimbo sasa.. Melody zimetulia🔥
Nyimbo iko Kali sn . diamond ni mnoma sn . He is the king
Hongera kwa wimbo mzur brother god bless kwa kazi nzuri halaaaaaaah ahsante
Simba sasa naona hataki kucheka na watoto!🙌🏾🔥🔥🔥 hizi ndo mambo tunataka mzee😭😭😭😭
Diamond:::Huu mwaka WA kazi Kali Zaid 🎉
Mi ndo mtu wa kwanza toka Kenya kuicheki hii ngoma nipe like WCB members 🔥🔥🔥🔥🔥Breezyyyy
Huyu ndo Diamond simba nnayemkubali sasa...oy mondy karudi mazee
Kaka Diamond Platnumz Wewe Number one Tanzania Hakuna kama wewe Hakuna kabisa Haki ya mungu
Dopest music master in Africa...wapi likes za Simba wakenya na watanzania🤗🤗🤗
Dopest
This Simba will remain a king Forever!!! Kwanini Watanzania hamtaki kukubali diamond is another level Kweli Nabii hakubaliki Nyumbani... Kenyans 🇰🇪 let us support this African Kid 🇹🇿🇰🇪♥️🙏
They know He is the best,they are just in Denial.
Am just feeling the vibe... It's just like simba has indicated this song to me🥺.. Ooh God😒but yatapita watanieshimu wanaonidharau.🥰🥰🥰 Kenya all the way 🇰🇪🇰🇪
Tuna kubali but kuna wabishi tu wanabisha kila kitu
Watanzania wengi sana wanamkubali kuliko wasiomtaka, thts Normal kwa binadamu hakuna aliyewahi kubalika na watu wote since time immemorial hata hao kina yesu na mtume Mohamad walikataliwa toka enzi hizo mpaka na sasa ila wengi huwapenda so sio muhimu kukataliwa na baadhi
🙏🙏🙏 Asante kwakuliona hilo👍
🔥ngoma Kali Simba unatisha
Nyinbo yangu pendwa yamwaka🔥🔥🔥🔥
Diamond Platnumz 🔥🔥🔥,much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,every song is a hit,Mungu akutangulie kwa kila jambo 🙏🙏🙏
Huiczcams.com/video/HLqvhu8vj98/video.html
Mwamba anaweza jmn sio sir hii imetugusa
Jmn tunakutakia maisha mema sana by calian
Naombeni nijue hivi Kenya mziki wenu mnaiita bongo flavour au una jina lingine?
🔥🔥🔥🔥goma lenyewe fungua mwaka🚶🚶 believe yatapita✨✨
Wimbo Kali huu Inabeba ujumbe kabisa
Simba is unique🦁🦁🦁. Nobody can match his energy in bongo flava though they're all doing their best 🙌
Nyimbo za hisia Kama hizi tulizisubili Sana toka kwako BABA YETU wa bongofleva....we love you Father of Music
Like Twende Sawa 😭
Namkubali diamond akiimba nyimbo kama hiz nafuraii naona amerudi upya king of music of tanzania
Kama wimbo uhu umekutoa machozi kama mimi like tujuane...I love you diamond
@@angelthomas9002
Uko kama mm nimeusikiliza paka machoz yananitoka.ngoma kali balaa
So powerful song
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love Simba
Like zangu wakuu
Simba we kenya we appreciate your work YATAPITA
Simba congratulations,,,,to your musics hii ngoma ni kali sana
Diamond diamond diamond yatapita nyimbo kalisana nyimbo yakumbenbelezeya beby wangu ume tisha baba ✊✊✊
DIAMOND TANGU AANZE MZIKI HAPA AMECHAPA KHAAA 🙌🙌🙌🦁🙌🔥👊
Kwa kweli yatapita wimbo tamu sana huu kauskiza kila dakika
Hujui kukosea ngoma kali sana hauchoki kuisikiliza unatubuludisha najua unapambana upate kutubuludisha na kwa mafanikio yako asante
Watanzania mmebarkiwa na msanii pengine nyie tu ndio mjajua this man is more 🔥🔥🔥 from kenya kama unamkubali huyu mnyama gonga like.
Diamond platnumz never disappoint 🔥🔥🔥
Daaah bonge la nyimbo sanaaa simba🎉🎉🎉❤
😭😭angezaliwa Kenya diamond kweli tungejiwakilisha sana bt ♥️ fro Kenya bro🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli huu wimbo Bora Kwa 2023. Diamond umeweza na umeweza tena. Talent boy. Hii nyimbo kila mtu aliyepita magumu 2022 . Huu mwaka 2023 yote yatakwisha amini hilo . 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Diamond platnumz 😊😊😊😊simba huyu... ngoma kali sanaa 😊😊😊😊
Continue kuwaonyesha akuna msanii atakae tokea kama weww simba
Dah hii nyimbo nime iskiliza wakati nipo kwenye hali kama na hii YATAPITA ni kweli
YATAPITA... natamani sana ningekuwa mmoja wapo katika studio team wako kazi nzuri sana ila uchaguzi wa maneno sahihi hasa katika nyimbo za utulivu kama hizi ni muhimu sana... Lets push Africa to the world
Yatapita
África é dona do mundo, já está dominado.
Kwani kuna Neno baya?
Due to public demand, nyimbo imefika sasa. SIMBA🔥🔥🔥🔥
Diamond:: thanks 👍
Huu wimbo inanitia moyo sana .. Nina Imani yatapita
Yana mwisho, IPO siku ntasahau kile ambacho napitia😭😭😭😭😭much love from Kenya
Bonge la ngoma.Hakuna shida ya kudumu.Hiyo Hali yako ngumu itapita.Jikaze ,jitume,endelea kuomba kila siku bila kufa moyo.Ipo siku.Mungu hajachelewa.
Big up
True
@@seifujuma243 Nyimbo Ya Kwenda
Kabisa
Ngoma fungua mwaka hii🔥🔥🔥👏👏🙌nilikua nasubili sana hili goma,Tisha sana 🦁🦁🦁
Ahsante umejiongeza sana hahaha duh mwamba sema vizuri wasani wadogo wanakufanya unatowa hit sana #chizibyvanilah
Duuu nipo safarini na ngoma kali kama hii safari inakuwa fupi ngoma kali sana
What a hit😢 huyu ndo DIAMOND PLATNAMZ Sasa 🔥🔥🔥🔥 nyimbo haichoshiiii
Yeeeeees huyu sasa ndo Chibu Dangote sio zile zake za weka na kuchomoa THIS IS A BIG HIT💯
Ulikua wp ww cimbaaaaa # wimbo mzuri na unahelimisha jamii good job#🤜🤜🤜🦁🦁🦁🦁
hii sasa ndio ngoma zetu simba... kali sana
NIMENGOJA SANA HII NYIMBO SIMBA 💥💫💯
Ok ndio Maana nime ileta🤝😂
Tumeingojea sana, nimefurahi kuipata full💖
Hujawahi kuhribu simba tunakuelewa sna wanao team mondi from zenji simbaaaaaaaaaaaaa
Yan hii ngoma ata kama upo single unajiimbia na unaenjoy
Hapa umekomesha wenye midomo ya negative juu yako, well done diamond, fans wako tunaenjoy, like hapa kwa upendo
Kila gumu litapita kwa uweza wake mungu 🙏🏿🙏🏿
Swahilli is the most romantic language in Africa. Diamond take it to another level whenever he sings .bravo
Iko poa
Me too ndugu my wedding song
Hausa, also sounds musical especially if the speaker has a litling voice.
From Kenya kiukweli wimbo huu wanipa saana matumaini😱😱😱yatapita tuu
Wimbo uko vizuri hakika unafariji. The proud of Tanzania, Africa and world.
Have been waiting for this so long,no situation is permanent #YATAPITAAA🤲🙏🙏🙏Tanzania Kenya tunawapenda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
What's the meaning of the song
@@mayahdanstan7530 No situation is permanent. Challenges will pass
@@mayahdanstan7530 YATAPITA means vina Muda bhasi🤝
umetisha Simba achan nao wapenda kiki broo
@@pmall8867 🤣😂🤣mpumbavu wewe😂
Hakuna aliyelinganiswa na diamond platnumz still Simba ... still on top bro Yani unafundisha mpaka walimu kaka yangu hata Mimi ni msani kutoka Kenya nimekubali kwa hi goma.....hata waubiri watakubali....hii goma yako imeshinda hata goma za gospel...uendele maishani mwako
Huyu ndiye simba aliyetega mashabiki kwa mashairi mazuri ya mziki ❤🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I never knew that over 11k people were waiting to view this song within 30minutes.Im diamonds fun but you guys are more than fans🙌
Kenyans piteni na like tukisonga.... Ngoma tamu kutoka wasafi🤗🤗🔥❤️🥰much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤️
Safiii.....yani sitaki niongee sana.
Sijachoka kupitia hii ngoma mara yangu ya saba kuisikiza ni vibe kali🔥🔥🔥Kisii, Kenya 🇰🇪
Yatapita yana mwisho,kaza moyo maumivu yatapita ..
Asante Diamond for this heat..💛💤💥💥💥
Asante
Team Platnumz Let's Go Guys where is your Like ✊🤞🤞🤜🔥🔥🔥🔥
Simbaa unajuwa unajuwa unajuwa Tena Yatapita Tuuuuu
Ngoma Kali sana yani kama huku zambia imekuwa kama Jojo kila Kona IPO 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
yatapita kweli😊
kutoka pande za 254
Simba is a genuis...Mad love from kenya
YATAPITA TU USIKATE TAMAA😭😭😭Imenigusa Sana hii nyimbo 😥🤲🏾🤲🏿 Kama Una Amini kila Jambo lolote BAYA au GUMU litapita Gonga like then Type Amen 🙏🏾🙏🏾
Here We Go🤝🏾✊🏿
Nomaa sana
Mmhh wimbo mkali sana na wenye ujumbe hata beat Iko sawa kabisa ,mm kutoka Kenya 🇰🇪 nimempenda tu saaaaana💎☑️
Vitu vya GOAT 🐐
Mtoto wa tandale tumuache jamani...the only one king ...simba wa Africa 💎💎💎💎💎💎❤❤❤
Diamond Diamond already a hit within 48 mns 🔥
Huu sasa ndio mziki🎧 lika zote tunasikiliza na tunaelewa hata mama kaupenda pia❤
Aisee kweli yatapita nayopitia kwasasa Mungu nisaidie Yatapita 🙏
Straight from SA🇿🇦😘 Songoflife